Тёмный

Duet Ya Margaritha Patrick Na Yusuph Nizar 

BongoStarSearch
Подписаться 410 тыс.
Просмотров 790 тыс.
50% 1

Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 11 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Видеоклипы

Опубликовано:

 

26 дек 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 605   
@haysamoscar3738
@haysamoscar3738 3 года назад
Alooh! Wanaomkubali huyu fundi gonga like hapo💪💪🇹🇿
@careenolotu9903
@careenolotu9903 3 года назад
Kama unajua huyu ndiye mshindi wa bss gonga like tumsapoti 👌👌😻😻😊
@hezekiahelbertonline6831
@hezekiahelbertonline6831 3 года назад
Daaaah this is one of my favorite electric performance I ever seen,unajua hii kitu wamefanya mpaka zaidi ya Coke studio🔥🔥👊👊
@malckmizgodfrey3858
@malckmizgodfrey3858 3 года назад
Kama unamkubaliii rapa we2 gonga like
@safindume2089
@safindume2089 3 года назад
Ok
@sheddyboytz9882
@sheddyboytz9882 3 года назад
Nakbal rapa
@mariammuhsin7154
@mariammuhsin7154 3 года назад
Sana tu 🤗
@heavenlightskawa2845
@heavenlightskawa2845 3 года назад
Appreciate YUZZO
@vashtyanthony8191
@vashtyanthony8191 3 года назад
😍😍
@solomonlemalikoroinnko6104
@solomonlemalikoroinnko6104 3 года назад
Yusuf na magaritha nawakubali Sana na mungu awe pamoja nanyi,like zangu zote ziende kwenu,by lemali nnko from arusha
@chamgwankojuma704
@chamgwankojuma704 3 года назад
Oyaa wanajuaa saana...Kali kuliko ata official music... Wanae niunga mkonoo..Leo ndo nimejua hi I ngoma kallii..master
@gulainruvuzomusic5965
@gulainruvuzomusic5965 3 года назад
Sikiza hawa mafundi 👇👇👇👇👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-xRuuX0u64Cc.html
@priscamlyuka5531
@priscamlyuka5531 3 года назад
Nam ndo knkadanload baaada ya hapa
@chamgwankojuma704
@chamgwankojuma704 3 года назад
@@priscamlyuka5531 yaapp ipoo
@saimonjoseph2304
@saimonjoseph2304 3 года назад
@@priscamlyuka5531rrrrrrrr rrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
@esthermosses5475
@esthermosses5475 3 года назад
Jamani na mimi nipeni likes zenu wote mnao mkubali huyo kaka 🥰
@amiriselemani4282
@amiriselemani4282 3 года назад
Estre nimekupenda
@gulainruvuzomusic5965
@gulainruvuzomusic5965 3 года назад
Sikiza hizi sauti zama fundi 👇👇👇👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-xRuuX0u64Cc.html
@salmahassan6472
@salmahassan6472 3 года назад
Kaka anajua jmn
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 года назад
Mbona nimewapenda bule uyo dada namjuwa namuaminia uyo kaka naye katisha, hakafu hendsame
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 года назад
Kumbe nyimbo ya bilinas na nandy nzur Lakin nimeiona nzur walivyo imba hawa
@samwellazaro9480
@samwellazaro9480 3 года назад
Kabla ya kifo Cha mende ujue kuna mbuz kagoma kwendaaa🤣🤣🤣🤣mwambaaaaa🔥🔥🔥@yusuph nizar daaa🙌🙌🙌
@hongeramfugale3239
@hongeramfugale3239 3 года назад
🤣🤣🤣🤣
@hermanynoni4613
@hermanynoni4613 3 года назад
Ni Hatari
@adamdemarch5565
@adamdemarch5565 3 года назад
Aseee wameimba vizuri na ngoma imesikika kuliko hata song Original waloimba Nandy na Nenga Kama unaamini hilo dondosha comment lako hapa twende sawa
@gulainruvuzomusic5965
@gulainruvuzomusic5965 3 года назад
Wajua hawa walimu wa music? 👇👇👇👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-xRuuX0u64Cc.html
@calvinkapinga8341
@calvinkapinga8341 3 года назад
Kweli aise
@adamdemarch5565
@adamdemarch5565 3 года назад
@@calvinkapinga8341 amini
@mxofmfk8406
@mxofmfk8406 3 года назад
Hiyo bangi unayovuta hebu iache mara moja
@saraphynarajabu8413
@saraphynarajabu8413 3 года назад
gonga like kama unaamini Yusuph ndie mshindi wa BSS2020
@wondersshabysendly1490
@wondersshabysendly1490 3 года назад
Hawa wa2 nawapenda hatare nimekuja kurudia hii k2 baada ya kuona mpo kwny 4 bora wanao amin yusuph na margarita wanajua comment plz
@masibosvlogmasibos9738
@masibosvlogmasibos9738 3 года назад
Team master ni fire moto 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🥰😍🇰🇪
@samwellazaro9480
@samwellazaro9480 3 года назад
Rap si kitu Cha mchezo kitendo Cha rapper huyo yusuph nizar a.k.a yuzzo mwamba kuwashawish majudge na sio majudge hata me na ww katushawish an kitu kikubwa jamaa anaweza saana 🔥🔥🔥🔥
@princeibra2042
@princeibra2042 3 года назад
Mkali sanaa 👊🏻👊🏻👊🏻
@samwellazaro9480
@samwellazaro9480 3 года назад
Jamaa anatisha
@watchme5678
@watchme5678 3 года назад
So wakawaida aisee
@heavenlightskawa2845
@heavenlightskawa2845 3 года назад
Sanaaaa
@samwellazaro9480
@samwellazaro9480 3 года назад
Jamaa ingekuwa maamuz yang bas ningempatiaaa ushind tu mapema aseee maana anajua had anakeraaaa namaneno yake duuu😂🔥🔥🔥🔥🔥
@hadijahussein5328
@hadijahussein5328 3 года назад
Tunaosema hy ndo mshindi wetu 2021 tujuane kwenye like👇👇
@asmahassan7570
@asmahassan7570 3 года назад
Yaan nairudia kil wkt
@Medicine.001
@Medicine.001 3 года назад
Huyo jamaa anarap had nashindwa kutype. Anajua
@gulainruvuzomusic5965
@gulainruvuzomusic5965 3 года назад
Ume sikiza hii? 👇👇👇👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-xRuuX0u64Cc.html
@aminasaid7657
@aminasaid7657 3 года назад
Yusuf umetisha bro❤️💯💯
@mishaelmisana7674
@mishaelmisana7674 3 года назад
Yaan hii show jmn naipenda sana bahati mbaya kwetu hakuna hata TV jamn
@princeibra2042
@princeibra2042 3 года назад
Safiiii sanaa Yusuph aka Yuzzo Mwamba wewe kwangu ndie mshindi mpk sasa 👏👏👏🙌🙌🙌
@bundaboytz2101
@bundaboytz2101 3 года назад
Yec💥
@MZIZE
@MZIZE 3 года назад
Yeeees
@sameersaid5058
@sameersaid5058 3 года назад
Huyu jamaa yuko vizuri sanaaa🔥🔥🔥
@rachealkitawa2153
@rachealkitawa2153 3 года назад
yani uyo kaka more 🔥🔥🔥🔥🔥penda yeye sana
@aminakipingu8100
@aminakipingu8100 3 года назад
Kaimba kumshinda bilinasi nikweri like hapa
@watufulanitv1012
@watufulanitv1012 3 года назад
Watching from Ukraine nice boy flow good...this show is hot...
@watchme5678
@watchme5678 3 года назад
Yuzzo mwamba the best rapper on the shaw ever
@maliampazi7786
@maliampazi7786 3 года назад
Kam unamkubali yusuph nizar bas usipite bila kugonga like
@mshangapeter6566
@mshangapeter6566 3 года назад
This duet was lit.. Walikiamsha sanaaaaa...
@claratugara1993
@claratugara1993 3 года назад
Sijawahi comment kwa kweli @masterJ bigup sanaa
@4realstudio728
@4realstudio728 3 года назад
Nyie ni 🔥🔥 nyie ndo wasanii wakubwa mjao TZ
@diwanikatayankonko2671
@diwanikatayankonko2671 3 года назад
Noma aisee...kura zitaamua maana daa wote mafundi
@esthershaban6103
@esthershaban6103 3 года назад
Jomoni nampigiaje kura Yusuph mkaka ni mkaliiii jamaniii 💗💗💗
@princeibra2042
@princeibra2042 3 года назад
Download app ya StarTimes then ukifungua utaona sehemu imeandikwa kura za jumla bonyeza hapo itakupeleka moja kwa mpk washiriki. Cha kufanya nenda mpk group D utamuona kwa picha na jina la Yusuph Nizar then gusa neno kura na utaweza kumpigia kura Tano kwa kila siku 🙏🙏🙏
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 3 года назад
@@princeibra2042 ngoja na mm niende chap
@princeibra2042
@princeibra2042 3 года назад
@@beautyibrahim8428 ❤️❤️
@dogoshushaa6150
@dogoshushaa6150 3 года назад
Noma sanaaa,jamaaa amechana mixtari kuntu sanaaaaaaaaaaaaa
@jafarijumanne2404
@jafarijumanne2404 3 года назад
Huyu kaka yusuph Ni moto wa kuotea mbali hongera sana kaka mshindi wa bss
@jackiejackie5170
@jackiejackie5170 3 года назад
This year's bss is 🔥🔥🔥
@yustagasparkagali4325
@yustagasparkagali4325 3 года назад
Waoooo wanaimba kuriko wenye wimbo
@massudbiz9828
@massudbiz9828 3 года назад
Yussufa mkali saaana waku raper 🔥🔥🔥 Duet kali🔥🔥🔥
@ayshwaryadecute6467
@ayshwaryadecute6467 3 года назад
Hawa watu wameua jana Yan kl mda narudia daah kwel master j alkuwa n vipaji tupu nngetmn wote wawe top ten il mshnd n mmoja tu , ila kiufup show ya yn ndo imefunika saana hongeraaaa. Master
@ayshwaryadecute6467
@ayshwaryadecute6467 3 года назад
Anh bela kachukua waimb kwaya kaacha vkpaji
@mkizerhbc
@mkizerhbc 3 года назад
My Gee yuzzo mwamba✊
@heavenlightskawa2845
@heavenlightskawa2845 3 года назад
Yuzooooo ur the best...u know...u do en u feel the music
@crisndembwele4016
@crisndembwele4016 3 года назад
Oyaa weee billnenga akasome mzee huyu jamaa anachana mpaka mistari inachanika
@carolemutua7281
@carolemutua7281 3 года назад
These guy's are lit 🔥🔥 what???
@angelamisango5130
@angelamisango5130 3 года назад
And Yusuf won...congratulations Yusuf I loved you right from the start may you shine
@heispotipher
@heispotipher 5 месяцев назад
My Favorite Performance from Yusuph Nizar 🎉
@jacksonjamesndyabawe471
@jacksonjamesndyabawe471 3 года назад
I feel for the judges coz.. The game is so tough.. I pray for them to make the right decision.. Coz.. It is very hard to decide for the best artist.. Coz.. Everyone is talented
@haysamoscar3738
@haysamoscar3738 3 года назад
That's right
@christinapatrick2954
@christinapatrick2954 3 года назад
Kabisaa
@tamalijafari4305
@tamalijafari4305 3 года назад
Huyu magaritha ako na kipaji tangu advance alkw anaimba kwaya ya ukwata go go mommy 😍😍😍😍 u killed it wallah🔥🔥🔥
@glorynyoni1771
@glorynyoni1771 3 года назад
Daaaaaa yuzoo n fireeeee
@RandyMwanaKin
@RandyMwanaKin 3 года назад
Wa Congo tunapenda Bss... watching from USA 🇺🇸 #randykinamber
@jafaryshuigwa9162
@jafaryshuigwa9162 3 года назад
Yaani brother Yuso Anajua mpaka anakera
@fainajaffary4070
@fainajaffary4070 3 года назад
Sana
@laurenciamushi2576
@laurenciamushi2576 3 года назад
Dah..... Grt more good performance...... Excellent guys keep it up
@innobugobola1694
@innobugobola1694 3 года назад
We Mdada umefunika balaa Ongeza bidii Mbn Upo ✔️
@KeiboChampion
@KeiboChampion 3 года назад
All the way from 254 kali sana
@yohanajoseph6364
@yohanajoseph6364 3 года назад
Huyu rapa ni genius ase🔥🔥
@marqueenog8754
@marqueenog8754 3 года назад
Yusuph nizar anajua sana hd majudge wanatambua hilo moto wakuotea mbali sana wew
@pendoemily42
@pendoemily42 3 года назад
Namkubali uyo kaka mungu akupe ushindi
@leilasiela672
@leilasiela672 3 года назад
They nailed it.......
@vivianatieno296
@vivianatieno296 3 года назад
They killed this show
@najmahasan779
@najmahasan779 2 года назад
I proudly of that.....wako juu sana Masha Allah.....Allah bless her....nimependa sana
@charlespaulsechonge963
@charlespaulsechonge963 3 года назад
Niatari hiyo duet more than other
@eddowkivuko6601
@eddowkivuko6601 3 года назад
Sasa hii ndoile inayotakiwaga 💟💟💟
@glorymaembe2737
@glorymaembe2737 3 года назад
Fire 🔥
@kamikazejoseph6292
@kamikazejoseph6292 3 года назад
Waoooooo dah jamaa anaeza
@tiffahtailoringtiffahstyli9505
@tiffahtailoringtiffahstyli9505 3 года назад
Waoooh so funny guy's😘😘😘😘🔥🔥🔥
@nainaiblack6736
@nainaiblack6736 3 года назад
Daaaah Kali nimewaelewa sanaaaaa duet yao
@hibra8126
@hibra8126 3 года назад
The rap was dope 👌
@lumierembilizi966
@lumierembilizi966 3 года назад
the first verse was his own writings as well, wow!
@zennahmtoto1867
@zennahmtoto1867 3 года назад
Sanaa
@gulainruvuzomusic5965
@gulainruvuzomusic5965 3 года назад
Hawa ndio walimu wao... 👇👇👇👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-xRuuX0u64Cc.html
@hibra8126
@hibra8126 3 года назад
Talent of magnitude he is on high level i believe he is a waiting star soon to flourish.
@machibuladeus9075
@machibuladeus9075 3 года назад
Huyo brother duh next level anajua sana
@aishamohammed5347
@aishamohammed5347 3 года назад
Wallah wanajuaa khaaa. 😘😘😘😘😘😘😍😍😍
@cliffd8732
@cliffd8732 3 года назад
Yusuph🔥🔥
@honeymzigo7555
@honeymzigo7555 3 года назад
Hatariiii kubwaaaa na Nusu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@abdulikarimhamadi7145
@abdulikarimhamadi7145 3 года назад
Dahh!! Huyu jamaa noma sana
@DrNick-hg6il
@DrNick-hg6il 3 года назад
Mi mumeo kama umeme, nikiondoka nikirudi hakikisha unasema uooo😂
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 3 года назад
Huoooo
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 3 года назад
😂
@jamilajumanne9561
@jamilajumanne9561 3 года назад
🤣🤣🤣
@witnessnobby7039
@witnessnobby7039 3 года назад
Kabxa
@witnessnobby7039
@witnessnobby7039 3 года назад
Kabxa
@happymwashiwawa3764
@happymwashiwawa3764 3 года назад
Sina kitu yakulongea mumeuwaaa🔥🔥🔥🔥🔥
@trecykasongo7736
@trecykasongo7736 3 года назад
This year is 🔥🔥🔥🔥
@meryjosee2024
@meryjosee2024 3 года назад
#randykinamber bss 2020 ni damn 🔥🥰😂
@gracetepilit4585
@gracetepilit4585 3 года назад
These guys are on🔥🔥🔥much💕
@neemasilyvie8189
@neemasilyvie8189 3 года назад
Waooo!!! Patrick na yusuph nyinyi mue washindi 2020
@josephbayi9805
@josephbayi9805 3 года назад
yaan cjawahi comment humu ila hii clip kila cku lazima niangalie daah mkaka anajua kurap
@wandemtawa8695
@wandemtawa8695 3 года назад
Mnajua mpaka mnakera bigup yuzoooooo
@charomtengo2669
@charomtengo2669 2 года назад
Big up, CONGRATULATIONS 👏👏
@rahelkiteka
@rahelkiteka 2 года назад
Wow!! Best i had never see!!!😍😍
@shacqeumhunter8516
@shacqeumhunter8516 2 года назад
From 254 ...this show is damn lit....
@ge_fflex
@ge_fflex 3 года назад
Yusuph katisha iyo duet mmeuwa sanaaa
@nellydickson9323
@nellydickson9323 3 года назад
Wow kipaji wametisha htr yan ni 🔥🔥🔥🔥🔥
@DrNick-hg6il
@DrNick-hg6il 3 года назад
Idris na Ommy wanaichangamsha sana bss
@lailatuyusuf9131
@lailatuyusuf9131 3 года назад
Kumbe uliona broo nacheka mpaka naskia kulia
@DrNick-hg6il
@DrNick-hg6il 3 года назад
@@lailatuyusuf9131 yani saivi nikiwa stressed nskuja kuangalia bss😂
@lailatuyusuf9131
@lailatuyusuf9131 3 года назад
Wallay inachangamsha sanaaaa
@alluhdavison8913
@alluhdavison8913 3 года назад
Naqubal sanaaaa keep it up keep shining
@ashercute7985
@ashercute7985 3 года назад
Wameuaaaaaa yan ni fireeee
@sophiadeus7387
@sophiadeus7387 3 года назад
Whaaaaw they killed it
@imaculatadominic7005
@imaculatadominic7005 3 года назад
kijana wakiume unajua sana weweeeeeee
@anethmapunda5273
@anethmapunda5273 3 года назад
Wametisha sanaa
@lavyongudu7842
@lavyongudu7842 3 года назад
Wameimba vizuri🔥🔥
@alicebanele1196
@alicebanele1196 3 года назад
Corrabo nzuri mdada anakiuno feni had raha😂
@amanikasonga5626
@amanikasonga5626 3 года назад
Waooooo ilikuw atar😗😗😗😗
@elizabethjoseph8357
@elizabethjoseph8357 3 года назад
Kali san🔥🔥🔥🔥❣️
@irenegodwin3701
@irenegodwin3701 3 года назад
They kill it ,
@latifaamurhamissabd6610
@latifaamurhamissabd6610 3 года назад
They're amazing
@winnermariah
@winnermariah 3 года назад
MWANZAAAAAAAA🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@abdillahissa5336
@abdillahissa5336 3 года назад
to be honesty mwaka huu kuna vipaji sana daaah🙌🙌🙌
@harounsaid3040
@harounsaid3040 3 года назад
Wow I love the performance
@makerahjunior2914
@makerahjunior2914 3 года назад
Yusuph Nizar wallah nakupenda
@maryamsuleyman1049
@maryamsuleyman1049 3 года назад
Idriss unanifurahisha sanaa wallah😂😂😂
@dadychaps7527
@dadychaps7527 3 года назад
Dah... #TeamMaster katisha. Rapper Hatari🔥🔥🔥 Patrick 🙏🙏🙏🇰🇪✅✅✅
@dadychaps7527
@dadychaps7527 3 года назад
@Margaritha Patrick karibu Maggy. Nawatakia mafanikio bora katika sanaa ya mziki. Hakika mnaweza.
@michaelbobu109
@michaelbobu109 3 года назад
Kama kuna mweny kumbukumbu kama mm master J alisema kuvaa kitambaa ni wakina mama yeye kavaa nn😂😂
@marthadaudi3340
@marthadaudi3340 3 года назад
Ndo hapo sasa me nakumbuka
@michaelbobu109
@michaelbobu109 3 года назад
@@marthadaudi3340 😂😂😂😂
@matridalule6477
@matridalule6477 3 года назад
Utajuaje kama ni mama
@michaelbobu109
@michaelbobu109 3 года назад
@@matridalule6477 kumbee😂😂
@herthaheart6714
@herthaheart6714 3 года назад
😂😂
@erickmajula5425
@erickmajula5425 3 года назад
MNMA we support you yusuph
@wizomdanandatz9130
@wizomdanandatz9130 2 года назад
Wooow haman hii ni nzur san hongeren san jamn nimeipenda hyo
@bahatinakasongo5788
@bahatinakasongo5788 3 года назад
Moto🔥🔥🔥🔥🔥
Далее
Duet ya Abubakari Hamza na Neema Swai
6:12
Просмотров 368 тыс.
شربت كل الماء؟ 🤣
00:31
Просмотров 12 млн
The Trump rally shooting from a photographer's POV
00:58
Jua kali leo usiku jumapili 21-7-2024         4k
19:14
Просмотров 31 тыс.
Group Performance ya #TeamMasterJ
4:44
Просмотров 100 тыс.
Be Mine
3:28
Просмотров 1,2 млн
Mirjalol Nematov - I love you (Videoklip)
3:56
Просмотров 2,8 млн
Stray Kids "Chk Chk Boom" M/V
3:26
Просмотров 31 млн
можно
1:55
Просмотров 297 тыс.
JJAM
3:06
Просмотров 1,5 млн