Hapa kuna mambo mawili tofauti.1.Imani ya Matha Mwaipaja kwamba,"lolote baya likikupata,nyamanza,mwachie Mungu na usilalamike kwa namna yoyote,acha Mungu akupiganie mwenyewe".2.Imani ya mch.Mbarikiwa Mwakipesile ni kwamba,"lolote baya likikupata,usikae kimya,lalamika tena hadharani(paza sauti),waambie wabaya mabaya yao,wazuri na mazuri yao, mwambie pia MUNGU ili aingilie kati juu taabu zako".NB:Nilicho kibaini kati ya watu wawili wa ni kwamba,Mch.Mbarikiwa Mwakipesile anaiishi imani yake(anaishi kulingana na NENO,but Matha Mwaipaja anachokiongea ni tofauti na anachokiishi,yaani anachokiongea ni tofauti na anachokiishi.Mungu wa mch.Mbarikiwa Mwakipesile si mungu wa baali,ni Mungu wa kweli, Ameen ❤❤❤❤❤
Hizi maelezo anayotoa Mbarikiwa ni rahisi sana kuelewa ila ni mtiani mgumu sana kwa walokole wa siku hizi kuelewa. Wataishia tu kutusi ila maelezo yenyewe ni waziwazi kabisa. Ndiyo mana mara ntyingi naskiliza tu na wala sisomi comments za watu huenda nikakutane na tusi ya kynichafua roho. Ubarrikiwe sana mchungaji
Pastor mwakipesile angekuja mwalimu wangu wa darasani, ningeiyacha shule yaani na mapema tu, ata singe Toka na school bag,...ningetoka tu hivo kaa baenda msalani na ndio hivo, maana kumuelewa ngumu sana, ila yupo sahii,be blessed man of God of another chance
Hata wewe unavita kali mbona kila siku unafuatilia ya wengine? Kuna wakati ulipitia vitabu alimbana msaada kwa watu watusaidie tujifunze kuwaombea wenzetu sio kuwaanika mtandaoni Amina
Kama ninyi mtaenda mbinguni nyinyi waimbaji maarufu wa kike basi Mungu alitupa kuishi na kusubiri kwenda mbinguni hata kwa vyovyote atakavyo na sisi wengi tutakuwa hatujaelewa neno la Mungu vizuri,may be usinzi ,mauwaji ,wizi ,na mengine sio kosa ,wanawake maarufu hawaishi nafasi zao kwenye ndoa kama vitabu takatifu zinavyosema ,naunga mkono hoja wazo la Mbarikiwa ya kuwa wanawake wanalewa sanaaaa wakipata umaarufu ,kilevi kikubwa cha wanawake ni umaarufu Mungu saidia maana umaarufu tunataka kwa ajili ya utafutaji na sio kwa ajili ya uvunjivu wa ndoa
😂😂😂MWE MBARIKIWA TUSAMEHE hatukukuelewa mwanzoni lakini leo UMEONGEA KWA UFAFANUZI ULIO WAZI KABISAAA.(Mbinguni ni kwenye akili/ufahamu wa juu saana wa kufikili na kuamuwa mambo asivyoweza kutazamia mtu
"RUDI KWA MUMEO NA UWACHE UDANGAJI.SIKUIZI MNAACHA WAUME ZENU MNAANZA KUJIFANYA MNAIMBA GOSPEL MUSIC.KAMA HUPIGANI MWENYEWE,MUOMBEANE MSAMAA NA MUMEO UWACHE UDANGAJI.MNAJIFUNIKA KWENYE NYIMBO ZA GOSPEL MKIFANYA UDANGAJI.ROSE MUHANDO,BAHATI BUKUKU, CHRISTIAN SHUSHO,NA WENGINE NATAKA MFAHAM KUWA HAMKUJIZAA WENYEWE,MLIZALIWA NA BABA NA MAMA.SIKUIZI ATA HIZO NYIMBO ZENU HATUNA HAJA NAZO KWASABABU NYIE SIO MFANO BORA KWA JAMII.JUZI MKE WA EPHRAIM BRIGHTON MWANSASU KAUWAWA NA MKEWE ILI ABAKI NA KANISA NA AFANYE UDANGAJI UNAONA....???...!!!!....TUMIA AKILI.WACHA KUTUPIGIA KELELE WEWE MARTHA,RUDI KWA MUMEO NDIO HESHIMA IFUATE.
Mm tu nashangaa nikiona walivyo anza na walivyo kwa Sasa aise naona shetani uwa anatutega pale tunapo fanyikiwa. Wakumbuke hawa waimbaji Mungu ili asijekuangamia!!!
Yaani baba umeongea kweli kwa unyenyekevu mkubwa sana, hasa huuuu ndio upendo wa kweli ambao Kristo alitaka tuoneane huruma na kupendana sisi kwa sisi, tukumkumbushane wajibu wetu tutende yaliyo wajibu wetu
Umh ila kiukweli wahubiri wa sasahivi kiukweli wameshidwa kuhubiri neno badala yake wamebaki kukosoa watu Martha ni mwanadam kama walivyo wanadam wengine kwahyo kuna mda anachoka kuvumilia ni lazima azungumze na hapa hajasema kwa ubaya wala hajalalamika ni amesema huyo anayefanya hivi aache maana pengine huenda anamhurumia akiomba MUNGU akampiga vibaya yule mtu tuache siasa Bwana watumishi wengi wamebaki kulalamikia watumishi wenzenu na pia ukitaka kumsaidia mtu usije mtandaoni huu sio upendo ni kumzalilisha mtumishi mwenzio Neno linasema mrudishane na kuonyana kwa upendo
Kuomba na kumshukuru MUNGU eti kakusaidia kupata gari ambalo limetengenezwa na mchina / mtu yeyote ambaye huenda hamwabudu hata huyo MUNGU ni upumbavu sana,ni kumfanya mtengeneza gari ni mkuu kuliko MUNGU ,asante mchungaji Kwa kufunuliwa.
Una Yesu kweli na hayo makucha?Nina wasiwasi hunishawishi na nafikiri hata wengi huwashawishi,na siku nimekuona unaimba singeli kwa kiboko ya wachawi nilipata wasiwas na nafikiri hata wengi walipata wasiwasi,na mm toka nisikieje kuwa umeachana na mume wako na ww ni muhubiri wa neno la Mungu niliacha na kukosa hamu ya kusikiliza nyimbo zako na hata wengi waliacha kusikiliza
Enewe pole kwa account ako iliohakiwa na Mungu akusaidie niliongea sio kwamba mm nipo sawa hapana,ila kipindi fulani ulikuwa ni wa kunitia moyo na kunishawishi na kutegemea mema na ukweli wa neno la Mungu kupitia kwako , mwishoni niliishia kusikia na kuona vituko kwako ,kwa nafasi ako nategemea kuongonzwa through God truth of his words
MARTHA MWAIPAJA NYAMAZA USIPIGANE MWENYEWE, MWACHIE MUNGU APIGANE, KWA NINI UNALALAMIKA MITANDAONI KWA SISI WA MWILINI? WEWE NI WA ROHONI, PIGA VITA VYA ROHONI😅😂😅
Umelielewa fundisho? Amuambie nani nawe upo kwa kazi gani? Haya ndiyo tunayokatakiwa tupaze sauti tukiona kasolo mahali fulani kwakusudi la kujenga ufalme wa Mungu duniani
Tishio la huyu Martha Mwaipaja ni Mch Tochi ya Mlinzi, Tochi ya Mlinzi alipost video zake 3, Nondo za Hatari, Martha kashindwa kuhimili japo hazina matusi hata kidogo, Zote kaomba ziondolewe RU-vid😊
@@christinewomanoffaith5479 Mch wa Channel ya "Tochi ya Mlinzi" alishusha Nondo za Kufungua uchafu wa Martha Mwaipaja uvaaji wa Kimalaya anavyovaa Kwa kusingizia kwamba Yupo Gym. ila Tochi ya Mlinzi Kamulika kamuumbua kusudio lake Kwa namna ambayo hakutarajia. Sasa Martha kachukia kamshatki YuTube sababu anajua Wazungu ndio Mavazi Yao hayo Kwa hiyo wangemtetea tu. Kwahiyo YuTube wakaondoa hizo video.
Nyakati zote ni vitani tu, maana ibilisi hanaga mapumziko hata mara moja. Na wala hajawahi kwenda mapunziko hata siku moja. Maana yeye anakuacha kwa mda tu na tena anakurejea upya kwa njia tofauti na ya mwanzo au ileile au tofauti kwa Mazingira.
YAANI UNAWEZA KUFANYA KITU AU KUIMBA NYIMBO HATAHUFIKIRI HUKO MBELE ITAKUWAJE,WE UNACHOTAKA NI WAKUONE UMEIMBA KUMBE MBELE UMEJIJENGEA NGOME AU MTEGO UTAKAOKUNASA MWENYEWE, USIPOKUWA UPANDE WA HAKI JUWA UTAKUWA UPANDE WA KUPINGA MEMA YA MTU KWA KUJUWA AU KUTOKUJUWA, PIA UNAWEZA KUIFUNDISHA JAMII UPUMBAVU KABISA KWASABABU YA NYIMBO ZISIZOKUWA NA FUNDISHO LA KUTENDA VIZURI
Unajuwa shida ni kwamba ninyi waimba kwaya wengi wenu mnaburudisha tuu watu unawezaje kuimba kama malaika halafu unakata kiuno kama shetani ...sasa hayo makucha ya nini
Martha hajasema atapigana tafadhali, amesema aombewe so Bado amesimamamia nyimbo zake, kunyamaza inamaanisha hata ukihisi kiu husiombe maji? inamaanisha ukipigwa husilie?she is right, MUNGU utumia watu.
Kwanini asinyamaze kimya, asuburi roho ampiganie? Maana ameisha vunja miiko yake kawaambia wanadamu shida yake, #nifundishe #kunyamaza #nisije #nikakukosea Mungu, maana yake jambo lolote baya litakalofanywa na mtu au akafanyiwa yeye ametufundisha tuzibe kinywa Mungu ndiye atatupigania, kiumbe anayeitwa mwanadamu ni hatari sana kinyonga akasome
Wewe nawe kenge tu na hiki kikoment chako ambacho umekirudiarudia kila mahali. Yaani hata hujui Yesu ndiye Mungu mwenyewe? Yohana 1:1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
Kwa nilivo elewa matha anajaribu kuwa juzi wale wanao fatilia huduma yake wasishangae kuona yupo kmyaa hii nikwasababu account yake imepata SHIDA kwo wavumilie mda si mrefu mambo yatakuwa sawa
Apandacho mtu ndicho hataka hovuna matha huyo ni kahaba pia ni mwimba taarabu sio gospel sshv alikuwa na kiburi mwenyez mungu amekishusha tena ashindwe na alegee huyo masonic member
Tunapofanya maombi Kwa mudomo, yanaenda kufanya kazi ktk ulimwengu wa roho usio onekana, unaposema tunajipigania tusingekua na sababu ya kuomba. Ukweli unabaki palepale Yesu anatupigania.
Tunafanya maombi ili tupate nguvu na akili za kufanya. Asilimia 99.99999 ya mambo hutegemea wanadamu tufanye wenyewe au tuulize kwa mwanadamu aliyeweza SIO TUMUOMBE MUNGU AFANYE KATIKA UTAHIRA AMBAO WAZUNGU WALIKUAMBIA KUWA NDIO ULIMWENGU WA ROHO. Ayubu 8:8-9 8 Basi, uwaulize, tafadhali, vizazi vya zamani, Ujitie kuyaangalia yale baba zao waliyoyatafuta; 9 (Kwani sisi tu wa jana tu, wala hatujui neno, Kwa kuwa siku zetu duniani ni kivuli tu;)
@@geraldleger5793 kwa mujibu wa imani ya Martha Mwaipaja,ukiibiwa au ukikabiliwa na baya lolote,wewe nyamanza,usilalamike,mwachie Mungu akupiganie mwenyewe.Je,wewe unasemaje juu ya hilo?
Martha Mwaipaja alitaka kuifunga account ya Kikosi kazi cha injili na sasa analalamika baada ya kuona na yeye anakabiliwa KUMBE UKITENDA MEMA NI KWAAJILI YAKO MWENYEWE NA UKITENDA MABAYA NI KWAAJILI YAKO MWENYEWE!!!!
NI WAZI WAIMBAJI WANAIMBAJI WANAIMBA NA KTOA NYIMBO SIkwaaajili Kristo Bali ni KWAAJILI ya UMAARUFU WAO WENYEWE.. Ukitafuta Yesu atukuzwe wewe VIEWERS wa nini? …
Kwa anadiko hili Muhubiri 3:7,wote mpo sahihi.Mbarikiwa upo sahaihi na Matha yupo sahihi Kwasababu kila jambo na wakati wake kunawakati wa kunyamaza na wakati wa kuongea Muhubiri 3:7 Wakati wa kurarua, na wakati wa kushona; Wakati wa kunyamaza, na wakati wa kunena; .Hivyo hapo ni kufundishana tu kwa upendo na hekima yote.Niwazi wakati wako wa kuongea Matha alikuwa anapita kwenye wakati wa kunyamaza.Na sasa Matha ameshapita wakati wa kunyamaza ameingia wakati wa kuongea anaongea. sasa.Na hii yote ni kwa sababu tunatofautiana viwanago vya imani na mapito.Hivyo muache tu Matha azungumze sasa ni wakati wake umemfikia.
Utafika sana wakati wa kulia, kunena na kulalamika hata kwa ninyi ambao mko katika wakati mdhanio ni wa kunyamaza. Ndipo utakuja kujua ni kwa nini haukulia pamoja na waliolia.
Kwa hiyo upi wakati wa kuongea na upi wakati wa kunyamaza??? Na wewe una uhakika kama kweli wakati wako wa kukomenti umefika? Au ulitakiwa usubilie wakati huo ufike?