DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Agosti 01, 2024 | Asubuhi | Swahili Habari leo | Ripoti na Uchambuzi | Taarifa ya Habari | Matangazo ya DW | Dunia Yetu
-Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limefanya mkutano wa dharura hapo jana ili kujadili hali ya sasa huko Mashariki ya Kati. Baraza hilo halikutoa tamko la pamoja ispokuwa kutaja kuwa eneo hilo liko katika hatari ya kushuhudia vita vya kikanda na kuzitaka pande zote kujizuia na kutoa kipaumbele kwa diplomasia.
#dwkiswahili #HabarizaUlimwengu #dwkiswahili #DWSwahili #HabariLeo #RipotiNaUchambuzi #TaarifaYaHabari Ukitaka kukupata habari zetu kila siku, bonyeza 'subscribe' kwenye chaneli yetu ya DW Kiswahili.
8 сен 2024