DUNIANI LEO - APRILI 28, 2020... Majimbo kadhaa Marekani yanatarajia kuruhusu shughuli za kawaida kuanza wakati wataalam wa Afya watahadharisha uwezekano wa mlipuko mpya. www.usagmdirec...
Kenneth uko vizuri sana ktk utoaji wako wa taarifa .voa Swahili nimetokea kuipenda sana japo Apo awali nilikuwa muumini wa BBC ila kwa Sasa nawakubali sana voa mko vzr mungu aendelee kuwapigania ili muendelee kutupatia taarifa tena kwa picha zenye muonekano mzuri Kama hivi.