Uyo mzee njaa itamponza maisha hayapatikani rahis kama anavofkiria yy na uzee huo angetafuta rizki ya halali akaishia kufanya ibada tu midomo ya watu mibaya
Sis tuliyojaliwa rizik ya akili tunamuelewa Tu vizur!! Kua upande wa pili wametushindwa ndani ya uwanja sasa wanatutafta nje ya uwanja hizi ni fitina tunazijua so hamtusumbui wee ngoja tukupe trend ujulikane ila yanga akili tunazo