Altare kwa Bwana Yesu, ndiyo Hazina Yetu, Malaika nipelekeni Yesu unipokee x2.
Wimbo huu ni kati ya nyimbo Maalufu sana katika Nyimbo za kanisa katoliki Hasa Hapa Tanzania, imekuwa ukiimbwa na kupendwa sana hasa na Wazee, NI kati ya nyimbo Muhimu zinazotunza milindimo ya Kikatoliki japo ni wa Siku nyingi lakini ukiimbwa hata sasa unasisimua Miito ya waamini wengi na hauchuji umebaki na ubora ule ule hadi Leo.
Na sisi wanachang'ombe (Chang'ombe Catholic Singers Dsm) kwa kuona umuhimu wa Wimbo huu tumeamua Kuurekodi Ili uwafikie Watu wengi Zaidi.
TUMEBATIZWA NA KUTUMWA KUWATANGAZIA WATU HABARI NJEMA ILI WATU WOTE WAPATE WOKOVU.
NI Mimi Mratibu wa huduma ya uinjilishaji kwa njia ya Nyimbo
ALOYCE GODEN KIPANGULA#kanisakatoliki #katoliki #nimewalishakwaunono#aulayemwiliwangu
30 сен 2024