His ni habari njema kwa watanzania,je WaTanzania walokuwepo nje ya nchi wanaweza kunufaika vipi na mradi huu? pili Refinance % yeni ni ngapi?Ahsante sana.
Elimu ni nzuri nimeelewa Bali naona shida hapo kama ifuatavyo. Mkopo wa miaka 15, kama riba ni 14% ya mkopo wote, je hiyo 14% ni Kwa mwaka mmoja au Kwa miaka 15? Mfano nyumba ikijengwa kwa Tsh 60, 000,000 hapo 14% ni 8,400,000 hapo jumla ya mkopo wa kulipa 68,400,000. Swali hapo ni hiyo 8,400,000 inalipwa Kwa mwaka mmoja au hiyo 15? au inazidishwa mara 15 ya miaka ya mkopo kama faida yenu? Kama inalipwa Kwa miaka 15 itakuwa Tsh 126,000,000 riba tu na ukijulisha million 60 itambidi mlipaji wa mkopo huo Kwa miaka 15 alipe jumla ya mkopo wa milion 186? Hapo mtaua watu Kwa pressure