Sasa mbona mnataja pesa nyingi kiasi hicho kwanini si mseme ukiweka miliono tano unapata kiasi kadhaa unamuuliiza maswali ya milioni mia muulize maswali hata mwananchi wakawaida wakiasikia basi anafarijika kuanzia miloni 10 tano moja hapo sawa ila milioni mia heee
Tatizo hawa wanamiliki kuanzia milioni hamsini kwenda juu sasa sijui wanadhani kila mtu ana mamilioni yani millad ayo saa nyingine sijui vipi hivi kweli unamuliza msswali ya kuanzia milioni mia si itakua rahisi yeye kujibu,nina uhakika angemuliza maswali ya kuanzia milioni 10 kushuka chini angepata tabu ya kujibu kweli na kuanzia milioni 10 kushuka chini wengi ndio wenye akaunt kule NMB
Mil 100 ni sawa na Hiace zako 3 ambazo kila siku zinakuletea elfu 50 ,Kwa mwezi Hiace zote zitakuletea mil 4.5 ,,toa Mil 1.5 kwa ajili ya Matengenezo unabakiwa na Mil 3 kwa mwez,,fanya 12 ×mil 3, Kwa mwaka unatengeneza mil 36. Kupanga ni Kuchagua
Nina swali, hiyo fedha niliyo weka Mfano, baada ya miaka miwili kuna Kazi nataka nifanye nayo, Japo nitabakiza, kidogo. Naomba jibu. Asante 🙏 Je, naweza kuitoa?
Ukijiunga na vikundi vya kijamii vya huduma ndogo za kifedha Community microfinance group cmg vinavyo simamiwa na KAMPUNI YA PESCOP ENTERPRISES TANZANIA MILIONI 100 KWA MDA WA MIAKA MIWILI HUKOSI MILIONI 40
We Millard ndo umeharibu kila kitu,ulipaswa uhoji kiasi cha pesa ambacho watu wa chini huku wana uwezo nacho kama alivyo sema yy ni laki 2.5 ,sasa we umehoji kiasi cha uwezo wako binafsi,,swali lako sio tija kwa watazamaji wako,ulipaswa uibebe jamii yako na sio ww binafsi,,umeharibu kabisaa interview hii,,sasa watu wa laki 2.5 watajuaje interest yake apo
Mahesabu Michael riba ni 9.5% kwa mwaka so chukua mtaji wako zidisha mara 9.5% utapata riba yako kwa mwaka. Ukitaka kujua kwa mwezi gawa hiyo riba kwa miezi 12
Ndogo sana,yani urundike milioni 100 miaka miwili halafu uzalishe milioni 19 tu,yani hiyo milioni 100 kwa mwaka mmoja tu ukinunua stock za mpunga unazalisha zaidi ya milioni 70 au 80 ,huo ni mwaka mzima
Saana mimi nafungia mzigo South Joburg nikinunua mzigo wa mil 100 faida Mia nauzia kasumbaresa Kongo na Zambia sasa kwa Hilo wasemalo iyo pesa itakuwa inawanufaisha wao 😮
Waislam Hapo sio kwenu Tamaa hapana Muwe na uhuru katika dini yenu Hifadhi pesa yako kama akiba lakini usiweke katika Akiba plus Weka hela yako NBC katika account ya malengo Ukiweka milion 2 utachukua milion 2 Asante
Sasa mmenipa akili ngoja nibeti jackpot ya billion moja ya mechi 17 nikiipiga ile nakuja kuwekeza million 200 kumbe inawezekana kula hela kwa mwezi bola kaz
*Lakini mmeshaongea na MUNGU kuhusu izrail mtoa roho Mana mnazungumzia miaka miwili wakati kesho yke hatuijuwi SWALI LINAKUJA HUYO MUWEKAJI MALA PAAA AKAFA ITAKUWAJE?*
We nae unawaza umasikin mpk kifo hizo benki unahisi zinaendeshwa na mmiliki mtu anakufa na maisha yanaendelea kama unaweka ela kwa siri hushirikishi watu pesa zako utazikuta kuzimu ila dunian watu watafurahi na pesa zako