Mtumishi huu wimbo nimzuri ukiliasa kanisa, namimi naomba nikuase rudi kwa Mungu umeshageuka unaimba nyimbo na uchezaji wa kidunia umeshaiacha njia, rudi,
2 year ago I was given this song in my prayers and fasting. ITs message of revival to the body of Christ, it shall remain in our spirit and SHALL BE KNOW IN MY TIME IT IS MY MESSAGE TO THE WORLD AND TO THE BODY OF CHRIST #ISA 58 #ISA 61 #JER 6:16-19 According to the time of men less than 9 yrs the message in this song shall be like gold to the soul of men. Body of Christ get prepared for the shift that is coming 2022/8/6
Kabisa mtumishi wa mungu yani roho wamungu amekuonyesha. Maneno umetumia la wimbo huu nikama umeona yanayo tendeka kanisani kwetu mungu akuzidishie vipaji vingine.
Mtumishi hawa watumishi wadada ungeendelea kufanya kazi pamoja nao. Hakika utumishi wenu ulioana vizuri mno. Wanajua kupanda ukishuka, ukipanda wao wao wanashuka. Mlitubariki sana mlipofanya kazi pamoja.
Barikiwa sana. Lakini kuna nyimbo sizioni huku, niliwahikuwa nazo audio 2017 bahat mbaya ile flash iliji format, mojawapo ulikuwa huu, Nataka nikuone Bwana, na nyingine kama tatu ivi ambazo hizo sijawahi kuziona popote ata kwenye account yako. Please over please naomba ziweke kama utajaaliwa kufanya hivyo (Wataulizana n.k) nlikuwa nabarikiwa sana sana.