Тёмный

EX WA BEKA AELEZA SABABU ZA KUACHWA "NISINGEWEZA KUMKATALIA HARMONIZE"/ALITUMA MESEJI MBAYA 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 337 тыс.
50% 1

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

23 сен 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 446   
@frankfelix5344
@frankfelix5344 2 года назад
Huyu ni mjinga sana ndomana wanawake ni nyoka unawezaje kujichukulia maamuzi kuwa vixing na hujatoa taarifa kwa mme wako beka well done
@mkobainnocent2368
@mkobainnocent2368 2 года назад
Kwani ametolewa mahali? Kama hajatolewa hana uhalali wa kuwa mke ni mzazi mwenzake tuu,,kikubwa yeye apige pesa maisha yaendelee,,kwani huyo beka ana vi chuplichupli vingapi?😁😁😁😁
@shadyarif653
@shadyarif653 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-tMmrY5XSATY.html
@shadyarif653
@shadyarif653 2 года назад
@@mkobainnocent2368 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-tMmrY5XSATY.html
@humphreynduye6239
@humphreynduye6239 2 года назад
Mkoba huna akili,,, nahx hujaoa ww And hujui ,,, nn maana ya mke ,, Mwanmke ukikaa nae miez miwil tuu hta kma hujmtolea posa n mkeo halal mkiachana kisheria mnagawana ,,, hta mlivyonavyo
@najmahamso8364
@najmahamso8364 2 года назад
@@mkobainnocent2368 alimuoa na huyo dem alislim na wakafunga ndoa ya kiislam
@Tariq_Tryagain
@Tariq_Tryagain 2 года назад
Shout out kwa mchaga OG na thisisaaliyaah na refresh kwa ujumla na wasafi media kwa kazi nzuri🤝👏👏
@piusphilip307
@piusphilip307 2 года назад
Happy Kwa hakika, umempoteza mume, dadangu
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 2 года назад
Nouma ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-yKXCNFMSwHg.html
@PendahlawKE
@PendahlawKE 2 года назад
Much love ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Smu7gj2od5Y.html true story jamani
@chamalawana3606
@chamalawana3606 2 года назад
Mungu anakuona we dada
@philbertemmanuel7630
@philbertemmanuel7630 2 года назад
Unaitwa tu hovyo kushoot wanakuona we danga wenzako huwa wanaandaliwa
@stevenchenga1978
@stevenchenga1978 2 года назад
Si ndio apo vixen huwa anaitwa na anaandaliwa kwa kupewa maudhui ya video jinsi itakavyokua na sio kukurupushwa Kama ww unavyosema...kweli walimuona ni cheap prostitute ndomaana
@danielathanas5872
@danielathanas5872 2 года назад
Both wanaonekana wako humble kwa kiasi Chao. GOD have them together.
@daudimatelot9339
@daudimatelot9339 2 года назад
Bonta alisema Mwanamke mzuri kama hana skills ni sawa na Pete ya dhahabu kwenye poa ya Nguruwe
@PendahlawKE
@PendahlawKE 2 года назад
Much love ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Smu7gj2od5Y.html true story of
@shadyarif653
@shadyarif653 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-tMmrY5XSATY.html
@vummyjulias6951
@vummyjulias6951 2 года назад
Unamakosa razma ungempa taarifa mwenzaako
@vummyjulias6951
@vummyjulias6951 2 года назад
Dah naomba beka msamehee 2 uyu mdada Mana nimzur sana
@daudimatelot9339
@daudimatelot9339 2 года назад
@@vummyjulias6951ana tamaa sana uyo dada
@piusphilip307
@piusphilip307 2 года назад
Acha jeuri za kiiraki dadangu, mtafute Beka ndugu yangu, achana na wazugaji hao, wewe ni mtoto wa kike Una muda mchache sana wa kuondoka kwenye chat
@r14kgroup68
@r14kgroup68 2 года назад
Mwambie ukweli
@rogathebarran9944
@rogathebarran9944 2 года назад
Pole sana happy mi Bado nakuelewa wasikichanganye watu wa media rogathe bwawani biskuti upsent date kumbuka umejificha sana huko dar wasanii ni kama tu kina lao la usanii kila kitu wanaigiza na kuimba
@embeteidi5023
@embeteidi5023 2 года назад
Shida ya wanawake wa bongo wanaweka pesa mbele kuliko mapenzi
@lightnessdominick6887
@lightnessdominick6887 2 года назад
Nyie ndo mnataka iwe hivyo
@fathers19991
@fathers19991 2 года назад
Wende jaza mimba
@emmanueljoseph2576
@emmanueljoseph2576 2 года назад
Tafuta pesa utapendwa hadi na chawa
@johnjoseph763
@johnjoseph763 2 года назад
Kwa kifupi Wanawake walio wengi ni tatzo sn na uwa hawajui km kuna kesho hyo ndio shda na wanajifanya wajuaji sn ndio maana wanaishia kuzaa zaa ovyo tu na hata uwaambie nn yanapita huku yanatokea huku
@salamaseif4183
@salamaseif4183 2 года назад
Kweli
@satwanthoogan6746
@satwanthoogan6746 2 года назад
Ex- wa Beka,mzuri sanaaaa!😍👍👏
@shadyarif653
@shadyarif653 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-tMmrY5XSATY.html
@yohanayohanaadamu6483
@yohanayohanaadamu6483 2 года назад
Ndokasha achwa tena
@Maseras.love5
@Maseras.love5 2 года назад
It"s so painfull najiskia mawazo yamenizidi..nishawai experience such things kama ni mtu caring na huruma mbona akuache hio inamean kuna kitu ulifanya na ibra😭😭you so cute mamy we men we are not that good as you think utachezewa na uregret badae mnaendana sana na beka aki am ready to give you all kinds of things zenye utataka bora mrudiane na beka sipendi kuona true love ikivunjika beauty pls rudi nyuma.Nimefatilia hii story sana na imenigusa..From lamu Kenya
@claricmihegwa8783
@claricmihegwa8783 2 года назад
So painfull😪
@saleheabdallah5461
@saleheabdallah5461 2 года назад
We acha kijishusha thaman kwa kushobokea ustar mume wako ndo amekufisha mpaka hapo ulipo alaf unakuja kufanya vitu bila kumshirikisha huna stara ya kuwa mke wew..
@emmanueljoseph2576
@emmanueljoseph2576 2 года назад
Hakuwahi kumuoa
@sniperreally9078
@sniperreally9078 2 года назад
Kwa waliomuonea huruma bekq let's go 🚶‍♀️
@placidiasilvanus9113
@placidiasilvanus9113 2 года назад
Atleast umeeleza mema yake big up
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 2 года назад
Alafu Oooh wanaume kwa kununa wanamaindi vitu vidogo sio kununa wala kumaindi vitu vidogo tunaitaji heshma ya dhat na kweli sio heshma ya kuigiza
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 2 года назад
Happy una lugha za kubadilika. Ulisema unamjua beka ukimuaga hawezi kukuruhusu leo unasema ulikurupushwa. Hakuna mwanaume anaweza kukubali eti itokee kwa video bila kumshirikisha ulikosea sana.
@azzizazizion5056
@azzizazizion5056 2 года назад
siongei kwa ubaya ila wanawake weng walojaliwa uzur bas wanahis kutulia na mwanaume mmoja watachelewa kimaisha so wanatumia uzur wao kama fimbo ndio mana weng wanaishiwa kudanganywa kwa kupewa pewa vijihela lakin mwsho wa cku watu wanapiga kisela wanasepa tumien akil
@elishaedson861
@elishaedson861 2 года назад
Kwr babu
@chamalawana3606
@chamalawana3606 2 года назад
Hii ndio aina ya wanawake wengi tulio waoa eee h mungu tusaidie
@calvinpaul2171
@calvinpaul2171 2 года назад
Aisee achaa2 n shdaaa
@musason1680
@musason1680 2 года назад
Hapa ndo utaona jinsi walivyo wajinga ety nimekurupushwa na msanii mkubwa ko siwez mkatalia ni bora afanye dhen Amwambie akili za kijinga sana hawa wanawake wa mjin ni WA kudate nao maisha mengne ttatafta watu wengne wa kufanya nao maisha ujuaji mwingi
@kidjhdf7568
@kidjhdf7568 2 года назад
Yes ni mjinga kweli huyu dada
@jassonnelly3445
@jassonnelly3445 2 года назад
Sahihi uzuri bilaa akili ni kasha kabisa
@frankbizatv6023
@frankbizatv6023 2 года назад
Upo sahihi
@stevenchenga1978
@stevenchenga1978 2 года назад
Huyu msichana ni mjinga Sana ata ambavyo anaongea..ety nilikurupushwa na msanii mkubwa so siwezi mkatalia afu msanii mwenyew Harmo mweny tamaa ya wanawake dah! Afu aliliwa kabisa siku iyo sio bure mpaka Beka akamaind
@AliMohammed-df7iz
@AliMohammed-df7iz 2 года назад
Wallah hujielewi mumeo utuambie msanii mkubwa
@mathiaslaurent756
@mathiaslaurent756 2 года назад
Huyu dem ni mjinga na ndio tabia nyingi za wanawake, anajiona mzuri na kuanza kusikiliza maelekezo ya wanaume wengine fikiria anasema ni msanii mkubwa nisingeweza kumkatalia dah!
@salamaseif4183
@salamaseif4183 2 года назад
Mjinga huyo
@Sevenmedia_tanzania
@Sevenmedia_tanzania 2 года назад
😉
@isackdalushi2255
@isackdalushi2255 2 года назад
Beka fleva yuko sawa kumwacha huyu dem maana hajielew wee unaishi na mme wako ushindwe kumpa taarifa wanaume hatupend hayo mambo
@babuunavaz9843
@babuunavaz9843 2 года назад
Ukiona demu anakuelezea kwa uzuri hivyo ujue kurudiana naye sahau 😂😂
@rickierunyota3613
@rickierunyota3613 2 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Kabisaaaaaa
@dankalama7677
@dankalama7677 2 года назад
Wahuni tumeelewa 😂😂
@shkjumaa8339
@shkjumaa8339 2 года назад
uko sahihi mwamba
@piusphilip307
@piusphilip307 2 года назад
Mimi nakushauri fanya ufanyavyo, mtafute Babu Tale au Fella waongee na Beka
@oyay2821
@oyay2821 2 года назад
Kama ashaonjwa Beka hawezi mkubali kabisa
@Sppah697
@Sppah697 2 года назад
Happy umechemka! Umeona mwanaume wako hafai ukaina Harmanise/ Ibra ni zaidi siyo!
@martinkinyua7650
@martinkinyua7650 2 года назад
For sure this lady loved beka so much but beka sometimes he is non understandable.
@Frankgamanuel
@Frankgamanuel 2 года назад
Tatizo lenu no nizamu Hiko ndicho kilichokuwa kipimo kwako kwake sio jambo dogo kama unavyochukulia jifunze kitu hapo hili husije kuludia kwa mwanaume mwingine. Hata ningekuwa Mimi nisinge kuhuliza maana hulishajichukulia maamuzi mikononi mwako. No Matt unaenda kuonana na nani taarifa kwanza.
@eliudijastini645
@eliudijastini645 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣 chezea pesa wewe wanawake heshimuni mlioko nao kwenye mausiano
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 года назад
😀😀😀😀😀
@mwangekatabia9136
@mwangekatabia9136 2 года назад
Sai ao waliomkurupuaha kufanya video wako wapi
@isackwsmithwsmith9027
@isackwsmithwsmith9027 2 года назад
Teacher konde 🔥😍🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@starjay3052
@starjay3052 2 года назад
😁😁😁
@isibanianews1329
@isibanianews1329 2 года назад
Wewe ni mshobokaji tu,lazima wawe walikuwa wanafanya na mengine.
@innobugobola1694
@innobugobola1694 2 года назад
Wanawake wa Dar kwa kupenda Kiki duh mpo Vzr aisee mnapenda san maixha ya Mtandaon kumb Njaa tu, kiukwel hauna Maajab
@ashuraussein7582
@ashuraussein7582 2 года назад
🙄🤣🤣
@joymafuru4006
@joymafuru4006 2 года назад
Wew unamaajabu gan acha ushamba
@rachelkihaka9204
@rachelkihaka9204 2 года назад
Aaah weeee ulishindwa kumheshimu mumeo kwa sababu ya pesa kwani Becka pesa alikuwa hakupi? Kwahiyo hapo ulipo umeridhika kabisaaaaaa na hayo madanga yanayokupa kiburi eti ingekuwa ni mwanamke uliyekamilika ilikupasa kabla ya mwaka mpya kuanza ungeomba radhi kwa mumeo
@luckyyusto8159
@luckyyusto8159 2 года назад
Fala Sana huyo msanii mkubwa yupo wapi? Na anakusaidia Nini!! Malaya wewe
@samwelmassi1932
@samwelmassi1932 2 года назад
Hafaiii kuwa mkee ila ni kwamatumiz anafaa etioi ila sifa za mkee hakunaa hata chembee
@erickthomas3436
@erickthomas3436 2 года назад
You can't decide and then ask for advice, about making decisions, he also knew that Beka would not agree with those decisions nor was it time to explain it to him, as that is the responsibility of the family
@aminahhill1277
@aminahhill1277 2 года назад
Waw I like the way she’s talking
@PendahlawKE
@PendahlawKE 2 года назад
Much love ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Smu7gj2od5Y.html true story jamani
@Adeen.1
@Adeen.1 2 года назад
Alikosea sana kwa ufupi mwanamke hasomuheshimu mumewe hafai honestly...
@peter_paulofficialy
@peter_paulofficialy 2 года назад
She is so cute....i love her💕
@bornfaceisaalivisonisaa7495
@bornfaceisaalivisonisaa7495 2 года назад
Hizo dharau hata mm ningekuluhusu uchanganye mbarigaa wende
@aboubakarykitemi3721
@aboubakarykitemi3721 2 года назад
Sasaiv ana sura nzuri bdo umri ngoja afike miaka35 tu uone km utaitwa kwen izo shooting pumbv ww yni kisa konde ni msanii mkubwa ndo ufnye utkcho bila mumeo! wnawke wa ckuiz dawa yao kuwachfua tu afu unasep zako mamae kbsa
@mwannerajabu8688
@mwannerajabu8688 2 года назад
Huyu bint mwanzo nilikuwa na muelewa ila Kadri siku zinavosogea namuona chenga. Et Leo hii anasema beka anajari Sana na huku interview zilizopita anasema Becka hajari. Inaonesha kabisa yy ndio ako na matatizo Ndiomaana Becka kagoma kukarudia na uzuri wote huo kabak kuhangaika ktk media😂😂
@mwasoprince3459
@mwasoprince3459 2 года назад
Naungeomba kutombwa ungetombwa kwanza ndo umuombe mume wako ruhusa ya kuchepuka. Ulifeli dadangu just respect your husband before everybody.
@franklinkessy586
@franklinkessy586 2 года назад
Kunde Gang ni kikundi flani cha wahuni ambao hawana adabu wala heshima kwa wake za watu pumbavu kabisa
@musason1680
@musason1680 2 года назад
Ety anipende kulko navompenda unawajua wanaume ww 😅😅😅 utapendwa na atakujali akishazagamua ndo utajua walivyo
@boyochu1308
@boyochu1308 2 года назад
Hajawajua vizuri huyuuu😀😀😅Subiri limfike
@musason1680
@musason1680 2 года назад
@@boyochu1308 hajui neno mwanaume hiyo me ina maana gan hapo mbela 😂
@jastinmollel5502
@jastinmollel5502 Год назад
Unaongea vzr had raha mnapendana sana ubarikiwe madam
@abdulishaban7795
@abdulishaban7795 2 года назад
Wana wake wabaya saana wana wake yaaan cyo kabsaa yaaan mwanzon una muona mtu lkn tamaa aiseeeee tamaaa
@neemazee1864
@neemazee1864 2 года назад
Mmmh pole ndugu apo ulifeli, kabra ujaenda ungemuambia mwenzio, lkn umejiamulia tu.... Kaona umemzalau sio vzl my dear, cjui ulimuona jinga kumbe mwenzio ana msimamo wake
@alira6789
@alira6789 2 года назад
Nimependa nilipoona kipande cha wimbo wa ibra..huu ndo upendo wadau
@sarahbraison417
@sarahbraison417 2 года назад
Wanaume wengine wababaishaji tu hapo bdo alikua hajakuoa kwahiyo una Uhuru wa kufanya lolote chamuhm heshima tu
@juliasmihwela1326
@juliasmihwela1326 2 года назад
Hapana watu hubarika wakiingia ndani sasa yeye hata hajaolewa anafanya mabaya je akishaolewa ingekuaje huyo usimtetee hana adabu tu na licho fanyiwa ni haki yake
@mzalendoonlinemedia7170
@mzalendoonlinemedia7170 2 года назад
Tamthiliya ya PAZIA mmeipotezea Wabongo. mnakwama wapi!?
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 2 года назад
Wanawake wengi wanaojiona wazuri wametenganisha malezi ya baba na mtoto kisa tamaa zao,Kingne nimejifunza hata Kama unampenda na kumjali mwanamke ambaye bado hujamuoa usimuoneshe upendo huo atakupelekesha na kuona hata akukosee vp huwez muacha kisa umezaa nae
@ibrahscharo2703
@ibrahscharo2703 2 года назад
Nakubaliana na wew Kakangu hili n somo kubwa sana kwangu.
@skythugblackmonster9041
@skythugblackmonster9041 2 года назад
hakuna mwanaume yeyote yule ambae anakubali kufeli, huyu demu alim- undervalue mshikaji huwez kua kwene mahusiano afu unajiamulia vile unatak, she z not serius mazee ni sawa na mke wako amuheeshimu boss wako zaid ya anavokuheshimu ndo kitu kilichotokea.
@mariamubonifac3775
@mariamubonifac3775 2 года назад
Kwahiyo beka Yuko singer🤣🤣🤣🤣wooo nitajimilikisha na mim
@happyelias9465
@happyelias9465 2 года назад
Eti mke wa beka 😏, mtu hajakuoa alafu anataka kukupanga mjinga nini dada fanya mambo yako , kama angekupenda angekuoa mfungu ndoa hapo unakuwa na uhakika na unachovumilia
@tonnykenga9468
@tonnykenga9468 2 года назад
Nonsense huyu mjinga bado anatafuta umarufu kilazima..mwka mzima story ni hio hio tu
@malikzafarani172
@malikzafarani172 2 года назад
Saiv wasafi bila kumzungumzia jeshi hamsikiki mjini khaaaa
@olipambwilo6055
@olipambwilo6055 2 года назад
Mabinti wengi wanasahau ni kuchanganya mapenzi na kazi
@thelonewolf4429
@thelonewolf4429 2 года назад
Mmewako hutakiwi kufanya vitu kama hivyo bila ruhusa yake unaonekana tu mdangaji unapenda maisha ya utandawazi hufai kuwa mke wa nyumbani bali wakula nae maisha ya anasa
@wapotionline1421
@wapotionline1421 2 года назад
Dada wewe ni mbaya dada Kuna wanawake warembo bila mekap ,,,,ila pia ni mwanaume mjinga tu angeweza kuvumilia huo upumbavu wako hata mimi siwezi
@afandehassan1
@afandehassan1 2 года назад
Heri kuoa demu mwenye sura kaa lori ya jeshi but hivyo hivyo atarukiwa tu
@shamsakiobiya2526
@shamsakiobiya2526 2 года назад
Huyu happy kafika mjini kajisahau amesahau alipotoka na beka,wasichana wa Arusha hawajatulia
@daudidisu6703
@daudidisu6703 2 года назад
Wambulu kaa nao mbali nimalaya wa kutupwa yani arusha uku wame shindikana beka kakosea cana huyu mwanamke mmbulu ninoma
@sinirdot1705
@sinirdot1705 2 года назад
Mwana mke ndo mwenye ttz kumbe 😏 nilifikiri Beka ndo mjinga kumbe ni mwanamke ndo mjinga, Unahanza je ku shoot video bila kumtaharifu mumeo eti Harmonize ni Msani mkubwa ujinga kbs
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 года назад
kwer🤔
@saummohamedm435
@saummohamedm435 2 года назад
Wasafi habari zikiwa za kondegang wanavalia njuga washenzi nyie
@barakanassary8871
@barakanassary8871 2 года назад
Na hiyo ndo point Dada kuongea kwamba yeye kwake ni upendo 2 vingine havimsumbui
@mwangekatabia9136
@mwangekatabia9136 2 года назад
Huyo aligotwa uko location
@Ryoof-qo7if
@Ryoof-qo7if 2 года назад
Una ushaidi
@allybakari5265
@allybakari5265 2 года назад
Yan kwaukweli wanawake niwajinga Yan kwaukweli mm na hawawa2 sinaiman nao Yan kisa m2 ni msanii mkubwa akualibie ndoa
@johnasso6944
@johnasso6944 2 года назад
Acha izo Wew kazi Ni kazi Kwani Hakulipwa?Kwani Alipo anza kukutana nae hakuijua kazi Anaeifanya
@stevenchenga1978
@stevenchenga1978 2 года назад
@@johnasso6944 ww huyu binti alikua hafanyi uvideo vixen alikua ni *makeup artist* na aliingizwa na kutambulishwa na uyo aliyekua mumewe Beka... Ata Kama ingekua ww uyo ndo mkeo anakuaga nyumbani anaenda kazini kwa ajili ya makeup alafu unakuja kushtukia anaonekana kwa video ya msanii kawa vixen utamuelewaje uyo mkeo??
@drdbmwakipigo7927
@drdbmwakipigo7927 2 года назад
@@stevenchenga1978 na kwa kuongezea hapo Ukweli ni kwamba huyo demu aliliwaaa na kondeboy
@drdbmwakipigo7927
@drdbmwakipigo7927 2 года назад
@@johnasso6944 huyo demu baada ya kushoot video aliliwa na kondeboy hotelini
@stevenchenga1978
@stevenchenga1978 2 года назад
@@drdbmwakipigo7927 kabisa iyo nakubar maana tunamjua Harmonize ana tamaa Sana ya wanawake na ivi uyo mwanamke mshenzi ety siwezi mkatalia msanii mkubwa 😅😅😅😅 pumbavu kabisa
@georgespenser1038
@georgespenser1038 2 года назад
Kumbukeni huyu binti ni mburu,, nawamburu tunajuana
@deega1234
@deega1234 2 года назад
Mbulu Manyara ama Burundi?
@hasanijuma7744
@hasanijuma7744 2 года назад
Kama mburu mmh
@angelmwasha481
@angelmwasha481 2 года назад
Sana tu sisi wamburu ni noma
@athumanmtunga5729
@athumanmtunga5729 2 года назад
@@angelmwasha481 nichek
@happinessjacob2512
@happinessjacob2512 2 года назад
Very sorry sio mburu,,,she is muiraqw usituharibie kwa kweli,,mbulu ni wilaya ndani ya mkoa wa manyara
@bushsutimeline766
@bushsutimeline766 2 года назад
Hum
@neemakapinga7224
@neemakapinga7224 2 года назад
Watarudiana coz kupata a star or mtu fulan amaizin ukiwa na mtoto utasubir sana, labda ujipange kuzoa yoyote ka unavyosema,no man want to raise another guy kid
@Gody360
@Gody360 2 года назад
📢📢
@salimali7930
@salimali7930 2 года назад
Kueni Makin mapenz aya ingiliwi sio kwa kumnyooshee mwengine kidole angalia na kwko usisahau Dunia duara..... Usha pitia na yatakukuta na twaishi nayo na pia twayaona.. .
@jamesvmusic2677
@jamesvmusic2677 2 года назад
Waiting 🔥🔥🔥
@jastinefaustin9982
@jastinefaustin9982 2 года назад
Leo umevaa vizur halaf umependeza Ndugu mtangazaj
@sannycpaul9423
@sannycpaul9423 2 года назад
Huyu majibu yake ukiwa karibu lazina umtie mabanzi,yaani mwanaume upewe taarifa sio uombwe ruhusa pumbafu sana.
@dottohamisi9844
@dottohamisi9844 2 года назад
Mdada mzuli mashaallah
@danielmwaisaka2330
@danielmwaisaka2330 2 года назад
Was a nice
@hassanchauluwa7308
@hassanchauluwa7308 2 года назад
Yani unakunywa sumu alafu unategemea maziwa.
@alluminiumexperttz.12mview13
@alluminiumexperttz.12mview13 2 года назад
Ukitaka kuachana na mwanamke wako mjali sana. Ila kama mnataka kudumu mpelekeshe kama gari bovu. Yani mpe mikiki mpaka ajute kuzaliwa hapo mtadumu milele.
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 2 года назад
Kweli kaka
@dalilambalilaki3762
@dalilambalilaki3762 2 года назад
ASA Ayo ni mapenzi au?
@mosimba467
@mosimba467 2 года назад
Abanaee huo ndio ukweli
@njoroboihustla125
@njoroboihustla125 2 года назад
hahahaha ni shida
@karimabdoul7619
@karimabdoul7619 2 года назад
Angekuwa gari inge eleweka ila sas ni mwanadamu kama wew 😂😂😂💋
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 2 года назад
Yaan wanawake wa sasaivi hovyo kbs hapo ndo mnapokosea sana hata kama umeshtukizwa ujue Harmonize sio mumeo ulitambue ilo video ya muda tu ulipaswa umtaarifu kila kinachoendelea umejiamulia tu
@licious3456
@licious3456 2 года назад
Sawaa ni kosa ila ndo kosa la kuachana? Angechunguza sidhan km wangeishia hivyo
@kapopaelisha6406
@kapopaelisha6406 2 года назад
bien sana
@nestorassani5461
@nestorassani5461 2 года назад
Nakuja hapa kwa sababu nasikiya jina la harmonize
@Ryoof-qo7if
@Ryoof-qo7if 2 года назад
🤣🤣
@saidmohd9406
@saidmohd9406 2 года назад
Ndio mambo
@janemhango5884
@janemhango5884 2 года назад
Mimi kwa mawazo yangu tu huyu mwanamke kaona kapata vipesa kaanza kiburi wanawake wapole ni nyoka lakini atakuja kumkumbuka Beka kila mtu anakuwa na wivu kwa mtu ampendae hata wakiishi bila ndoa inatakiwa amsikilize huyo bwana ake
@gentilsafarikacheranga3025
@gentilsafarikacheranga3025 2 года назад
Mbona hataivi, harmonize si mrembo kama bekawako? Ona vile munavyo ji letea aibu. Hebu nenda kumuomba masamahaaaa. Hâta ivi, si vema kushuti n'a msani mwengine kama unajuwa mpenzi wako naye ni msani mkubwa.
@rashidyhongo1077
@rashidyhongo1077 2 года назад
Aiseeh sijui
@r14kgroup68
@r14kgroup68 2 года назад
Huyu mwanamke mshenzi anataka kiki ajue atapotea
@billymateo5005
@billymateo5005 2 года назад
Yan Kaona Ku-Shoot Video Ni Bora Kuliko Kumjulisha Mumewe Na Anasema Hakupata Muda Wa Kumjulisha Mumewe
@rahjah5882
@rahjah5882 2 года назад
Dada ulikosea, jamaa yuko right
@ilovethem8106
@ilovethem8106 2 года назад
Pumbavu huyu kwahiyo harmo msanii mkubwa kuliko mumeo duh jamaa kavumilia mengi
@athumanmbululo3980
@athumanmbululo3980 2 года назад
Njoo kwangu
@muungujaunguja8609
@muungujaunguja8609 2 года назад
Mtangazaji hunajikuta wewe kama lulu sula mbaya nyuma umepigwa pasi
@kasrajymatimbwa6755
@kasrajymatimbwa6755 2 года назад
For sure ww ni mpuuzi mwanaume atakaeweza kuvumilia ni hanisi 2 na c mwengne
@fadhililitupa7512
@fadhililitupa7512 2 года назад
Beka huyo achana nae hiko kimalaya inaonekana ana mambo mengi mno ambayo huyajui akina mpango kitakuua na na magonjwa omba mungu utapata tu mwanamke mwingine tena mwenye hekima haka kadada katakusumbua sana shenzii huyo
@sosthenesmaemba
@sosthenesmaemba 2 года назад
Kama Beka anaheshima mbona hukumueshimu ?? Ulikosea mwombe msamaha, ninyi ni wazazi
@alimwero7302
@alimwero7302 2 года назад
Harmoo ulifanya mby Brow cwezi kubaliana na ww
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 года назад
Dada alikuwa natafuta ela
@venancekavishe9823
@venancekavishe9823 2 года назад
Mwanamke ambae hana Akili basi sehemu zake za Siri zitapata tabu sana mamae
@agusmileofficial2845
@agusmileofficial2845 2 года назад
Ukipata anaye kupendaaa nenda naye kwa mpalangeee nyie uyo dad hata mkumbuka beka wadau nipeni support kwa channel yang
@abubakarikisuju80
@abubakarikisuju80 2 года назад
Kwani huyu harmonise alishindwa kumuona beka kabla ya kumchukua?
@habibuhabibu1855
@habibuhabibu1855 2 года назад
Ndomaana wanawake wakaitwa hawa
@lareineminah1353
@lareineminah1353 2 года назад
Myaka mi 8 mtu amekuvumiliya vingi uka mu ache kwa message ? Beka hajawahi kukosea? Huu dada haku msameh!!!??? Wanaume huruma yenu finyuuu kabisaaa🤮🤮🤮 Happy Mungu akupe mwenye kheriii zaidi Nawe mara nyingine umsaminishe utakaye kuwa naye na usikubali kukurupushwa👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
@asmaameir3663
@asmaameir3663 2 года назад
Ndo wale wale
@chrispinkilasi1648
@chrispinkilasi1648 2 года назад
Wanaume huruma yetu finyuuu kabisaaa? Sawa je unaesema atampata mwenye kheri atakuwa mwanamke?? Kubali tyu wanaume tuna wivu mkali hivyo shemeji alikosea kufanya maamuzi mwenyewe
@lareineminah1353
@lareineminah1353 2 года назад
@@chrispinkilasi1648 labda😡😡😡
Далее
지민 (Jimin) 'Who' Official MV
03:28
Просмотров 14 млн
Jua kali leo usiku jumapili 21-7-2024         4k
19:14
Просмотров 44 тыс.
#краснодар
0:14
Просмотров 2,3 млн