cha msingi brooo punguzen matangazo na cha msing tambua mahusiano ni uwanja mpana saaan BEKA ....ko jaribu kujua kuwa huyo ndio mke wako wa dhat ikiona kiza kinakuwa kinene ndo kunakucha mpende mke wako......afu jaribu kuangali kuwa asiyekosa ni mungu
BEKA ACHA MANENO YAKO MUOE MTOTO WA WATU ACHA KHMUWEKEA MASHARTI KAMA VILE UMEMUOA....BINTI ANAKUPENDA HALAFU NI MCHAPA KAZI LAKIN UNAMZIBIA NA KUMUHARIBIA MUOE KAMA HUTAKI HAPPY MOVE ON KUWA NA MTOTO SIO KIGEZO CHA KUMFUNGA MTOTO WA WATU😏
Beka yuko sawa. Huyu dada hajitambui. Ukishakuwa kwenye mahusiano na mtu huwezi kufanya hayo na mwanaume mwingine bila kumtaarifu. Hata mimi lazima ningeliamsha dude tu. Usipokuwa na wivu kwa mpenzi wako basi unazuga naye. UKWELI UBAKI KUWA UKWELI HUYU BEKA NI MWANAUME A.K.A BABA ASIYETAKA UJINGA.
Huyu dada anapitia wakati mgum kwenye mapenz maana happy anamapenz ya dhati na akipata mtu sahihi atadum ktk ndoa beka bado anamambo ya ujana mbona kuna vijana wadogo wako ktk ndoa na wametulia
@@taustaus2737 utakoma na roh mbaya yako haachiki mtu na akitusumbua tunakoroga uji tumuharbu ile sura kwasababu ndiyo inayompa kibri afu tunamuacha aendelee na video vixsen
Happy nikikuangalia wewe ni mrembo,unaheshima na nimwanamke ambae ni ndoto ya kila mwanamme.why huyo kijana akusumbue hivyooo?hebu tulia Mungu akupe mwanamme sahihi kwako
Hayo yote mnayomshauri mwanamke mwenzenu mjue mila nazo zipo. Mwanamke anayejielewa awezi fanya huu ujinga anaoufanya. Kwani kumwomba tu ruhusa nayo ni shida? Kama hawezi aende tu. Nipo upende wa Beka 100%
Brother wanawake wote wazur uwa sio wa kuoa ni wakuchapa unaondoka alafu maarufu oa mwanamke wa kawaida atakae kueshimu kusikiliza agalia wote waliodumu kwenye ndoa wake zao wakoje
@@priscaherman5302 kwahiyo unataka waowane siku mbili wameachana olewa ukiwa na uhalika kuna upendo wa kweli na usidhulumu moyo wako maan doa siyo kitu ya kujaribi mtu hana upendo na wew una mlazimisha akuowe haya amekuowa siku mkigomba anakwambia kwanza ulinilazimisha mimi sikuwa na mpago utafanyaje? Kingine mwana ume mwenye upendo na wew umezaa naye ameona mmegombana hata kama chumba ni yake anatakiwa akupishe wew chumba usisumbuke wew na mtoto yeye akatafute kwingine na siyo wew ukahagaike kutafuta chumba ni kweli kuzni siyo kitu kizuri lakini kama huna uhakika na unapo peleka moyo wako usifanye kwahara ni mawazo yangu
Alafu huyu kijana ni mnafki sana, tena nasema tena, miaka takribani 3 iliopita alihojiwa kuhusu ndoa akasema ndoa imesha pita, hau ilikua imepita na upepo?
Bwana beka flavour inakubidi ku tafuta hela . Na nyingine inakubidi ujiamini kiukweli mke wako anakupenda ila punguza wivu ongeza mahaba . Ka dada ka watu bado ka dogo sana usimpe stress kwaajili ya urembo wake nimeamua kuku foll instant and RU-vid ila ukizingua we subiri
Wanawake tunatolewa mbali sana halafu tunajisahau mheshim sana beka kakutoa mbali na beka nimuelewa San pia toka kwenye mahusiano tunawafuatilia San pia dada tunakupenda San na pia jichunge San dada dada beka anakupenda sana utakuja kujutia
Kaliwa mtoto nzuri acha ushamba beka video vixen ni kazi wanalipwa dolla or pound 200-300 acha mtoto nzuri ajipatie ridhiki mjini hapa usimbanie na wivu wako hizo ni stress za muziki
Exactly ndugu ile ni kazi halali Kama kazi zingine cio kweri kuzarau vixien ata akilipwa laki 2 ninyingi Sana kwamaisha yasasa.Beka cio Kama hataki Bali wivu tu umemjaaa hajui mjini nikujiongeza,Kama vipi aache uyo mke asimzuie riziki wanaume tupo.
Toa mahali beka mbona mwanamke mzuri tu achana na mawazo ya kuwaza mwanamke mwingine hayo yote hayana faida yoyote nakusihi kaka shemeji yetu anakupenda nenda katoe mahali. Uschelewe wahi nazani mahali yenyewe sio yakusema kwamba huna s kweli fanya ivo ndugu
Jamani kwanza tambueni kwamba kufunga ndoa ni kujiweka kifungoni,Beka ni msanii mkubwa kwahio anaogopa akifunga ndoa atakua amejimaliza maana mwanamke anaweza akaamua leo muachane na mkaachana huku mkigawana nusu kwa nusu kila kitu.
Happy wewe graduate kafanye kazi za officen Ili pia uendelee kusoma masters. Kuzaa na mtu siyo lzm akuoe. Kwanini mpaka Leo hakuoi? Utakujashtuka too late. KWA umri nilionao hamfiki mbali!! Bwana Asimame Kati yenu USISAHAU KUSALI
Becka unazingua asbh kwenye Leo tena ulisema hutakikuhojiwa tena nahautafanya tena interviu yaleotena ndioilikua ya mwisho mbona bd unaendelea kuhojiwa