Тёмный

EXCLUSIVE: ALLY KAMWE ASIMULIA MAISHA YAKE BAADA YA KUMALIZA FORM 4 "CHUMBA ELFU 7, NALIPWA LAKI 3" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 73 тыс.
0% 0

Опубликовано:

 

22 май 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 94   
@user-oq2lp8xq1f
@user-oq2lp8xq1f 2 месяца назад
Ukitoa ushabiki wa Timu ,binafsi huwa napenda sana kusikiliza interview za Ally.Huwa zinanoga sana kwasababu anajua sana kuongea.cheers kwako Sheikh
@stellashao7885
@stellashao7885 Месяц назад
Daa mm kila nkiingia RU-vid 🙌
@SaedyNganur-he8bc
@SaedyNganur-he8bc Месяц назад
Mi pia bro Yan me Simba lakin namkubal San interview Yako Inakuw hot sana ni mchangamfu kweli
@levisdeicon5073
@levisdeicon5073 Месяц назад
Mi simba lkn all kamwe napenda story zake
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo 2 месяца назад
Ally kamwe hata aongee masaa sabiin akfu ntamskiza tuu i like him😊😊😊😊
@kingkendrickk
@kingkendrickk Месяц назад
Kabisa
@getrudamunna
@getrudamunna 2 месяца назад
Anavutia katika usemaji wake hadi Ayo kawa mpole kumsikiliza zaidi kuliko kusema. Mungu akujalie makubwa zaidi Ally Kamwe
@ZawadiNyambulapi-lk1np
@ZawadiNyambulapi-lk1np 2 месяца назад
Aly MUNGU akubariki sana
@justinejackson1731
@justinejackson1731 Месяц назад
Ally Kamwe👊👊 Mtu wa maana kabisa🙏
@user-cv4yi5hz9b
@user-cv4yi5hz9b 2 месяца назад
Tunaotafuta movie ya Aisha tupo ✌️✌️😂😂😋😛👇☝️
@rajabually5372
@rajabually5372 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂
@user-cv4yi5hz9b
@user-cv4yi5hz9b Месяц назад
@@rajabually5372 🤣🤣🤣🥷🥷☝️🔝✅
@emmanuellupiga
@emmanuellupiga Месяц назад
👆
@gudimbwana8088
@gudimbwana8088 2 месяца назад
KIJANA amehaso sana acha awe mwerevu wa mjini MWENYE maarifa mengi
@NaseebMshuza
@NaseebMshuza 2 месяца назад
Ali kamwe ktk cku ambazo umeongea point ni leo aisee big up sn na nimekuelewa sn kak mungu qku
@Saidi-ic7um
@Saidi-ic7um Месяц назад
Ndugu yangu ally kamwe nakuelewa mnoo na story ya maisha Yako ,,,,ni kama yangu tuuu ila mi bado sijatoboa
@yasirsaid8464
@yasirsaid8464 17 дней назад
MAA SHAA ALAH ALLAH Ambariki Ali kamwe he's bright man
@hk_ballers
@hk_ballers Месяц назад
Respect bro Kamwe. Hustler kwelikweli 🙌🏽
@stn4873
@stn4873 Месяц назад
Huyu jamaa BIG BRAIN.....ila akiingia kwenye mambo ya Yanga tu shughul imeisha, leo namuelewa Manara sasa ile kauli yake.
@joycekija6245
@joycekija6245 Месяц назад
😅😅😅😅😂😂😂
@emmanuelmhagama2384
@emmanuelmhagama2384 Месяц назад
😂😂😂😂
@anithqpaul3923
@anithqpaul3923 2 месяца назад
Yahani Ally❤❤❤❤❤
@binwasiumbanga9256
@binwasiumbanga9256 2 месяца назад
Yani hadi milady anasikiliza tu,Unajua kuongea Ali kamwe
@bigjizee4130
@bigjizee4130 2 месяца назад
Hiyo count down kabla ya interview inamaliza bando tuu
@khalidhamka9567
@khalidhamka9567 2 месяца назад
Sema ally kamwe anajua kuongea sana
@machakuroger7068
@machakuroger7068 Месяц назад
Watoto wa Mbagala hao
@paulnyingo7316
@paulnyingo7316 Месяц назад
Duuuu nimecheka sana Ally kichwa sana keep it up ma young bro
@ChenchiKing
@ChenchiKing 2 месяца назад
Namkubali Xana Kamwe Anajuwa Kuchambuwa Soccer Congrats Kwake💚❤️💚❤️💙
@benjaminmpangala2611
@benjaminmpangala2611 Месяц назад
"Kipaji Mungu anakupa ila kukikuza NI kazi ya Mwanadamu" nimekuelewa Sana Alliiiiiii
@nuruelmada2877
@nuruelmada2877 Месяц назад
Ngoja nikupende, Msemaji wetu💚💛
@Bashirubakarisalala
@Bashirubakarisalala 2 месяца назад
Mwanafunzi wa Ahmed ally
@francepaul7711
@francepaul7711 2 месяца назад
R.I.P. THE GREAT KANUMBAAA🙌🙌🙌🙌🙌
@yohanadwac7497
@yohanadwac7497 2 месяца назад
Mwenyekiti la Wasemaji🟢🙌
@theheroesmusic4398
@theheroesmusic4398 Месяц назад
Jama kumbe yuko vzuri hivyo 🙌. From PA USA 🇺🇸
@mussansoleziplutnumz2097
@mussansoleziplutnumz2097 2 месяца назад
Nimependa sana stor yako unaweza tengeneza movie semaji
@HassanRamadhan-cv8de
@HassanRamadhan-cv8de 2 месяца назад
Dah nimeipenda hii😂❤
@mswaki_newstz
@mswaki_newstz Месяц назад
Congratulation brother 🎉
@husseinkadawa2846
@husseinkadawa2846 Месяц назад
Ally Mungu mungu akubariki sana.
@user-gc6ml8ec3k
@user-gc6ml8ec3k 2 месяца назад
Ndo maana movies zetu hazitoboi
@cryptoboy-5
@cryptoboy-5 2 месяца назад
hii kichwa hii
@faridhamad3678
@faridhamad3678 Месяц назад
Maa shaa Allah kijana anajua kujielezea vzuri
@hamisikambona8763
@hamisikambona8763 Месяц назад
Ally kamwe anajua sana
@OdriaKabati
@OdriaKabati 2 месяца назад
Kaka Ali mm nakukubari sana
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 2 месяца назад
Kichwa Cha ally safi sana
@ngoyaboy1590
@ngoyaboy1590 2 месяца назад
Kwahyo alikamwe amemalza form 2009 Alf badoo anaonekana Mtoto
@abdullyjadu7723
@abdullyjadu7723 Месяц назад
Xx mwaka 2009 ukitaka azeeke maana ata miaka 40 hajafika waliomaliza form 4 wamemaliza kuanzia miaka 198_1992 Kwa iyo hyo bado chalii kabx
@user-uk4os3zj6f
@user-uk4os3zj6f Месяц назад
Amin me mwenyewe namwona mdog
@suleimanbalemba3348
@suleimanbalemba3348 Месяц назад
Shija umtoe wapi yupo zake Canada mwambie akutumie dollar atakuwa kaishajipata
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 2 месяца назад
Ally hachoshi story zake
@HappyJohn-jo8im
@HappyJohn-jo8im Месяц назад
Ally yuko smat san mahojiano yake yanafundisha kitu
@departmentofpolicyplanning8184
@departmentofpolicyplanning8184 Месяц назад
Namkubali sana
@allyngimba430
@allyngimba430 Месяц назад
my rolmodel
@QueenMushi
@QueenMushi 2 месяца назад
Duh! Kweli millage ni baba lao
@abdylugete2056
@abdylugete2056 Месяц назад
Sema unatupanga kka
@TatuHusseni-hs7mu
@TatuHusseni-hs7mu 2 месяца назад
Ally huwa nampenda bule
@piusnkwale
@piusnkwale 2 месяца назад
Ali kamwe anaongea sana😊😊😊😊
@wazarendotv7966
@wazarendotv7966 Месяц назад
😂😂😂😂😂Muongo huyu viapo vingiiiii kama anakana kosa
@AminaLucas
@AminaLucas Месяц назад
So fun na raha
@franciskavyega280
@franciskavyega280 Месяц назад
Natafuta movie ya AISHA😅😅😅
@MtessaAlly-rd4hf
@MtessaAlly-rd4hf 2 месяца назад
Kamwe kama kamwe... Semaji lao
@kidawajuma9597
@kidawajuma9597 2 месяца назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@linnerphilip4260
@linnerphilip4260 2 месяца назад
Kila kitu wallahii 😂😂 ucjal tunakuamn bhn
@charlestobby6031
@charlestobby6031 Месяц назад
Kazoea kuapia shida iko wapi apo ndug😅
@valleluoga6258
@valleluoga6258 Месяц назад
Ally Huchoshi kukuskiza, na unatoa vitu vyenye elimu kubwa ndani yake
@paulPius-uk9rq
@paulPius-uk9rq Месяц назад
Huyu jamaa nafurahi sana kumsikiliza
@idrismghamba6439
@idrismghamba6439 Месяц назад
Akili kubwa Sana hii 💚💛✊💪
@machakuroger7068
@machakuroger7068 Месяц назад
Mbagala moja hiyo
@happymboma3567
@happymboma3567 Месяц назад
Ally utafika mbali
@sangotelleming7444
@sangotelleming7444 Месяц назад
Ayo namkubali sana uyu mdada frida
@mathiasmhangilwa195
@mathiasmhangilwa195 2 месяца назад
Dogo iq yako iko juu sana utafika mbali
@AlexMosha-ci5uq
@AlexMosha-ci5uq Месяц назад
😃😄😁🧠🤔🎤📺🔥KAMWE IS VERY FUNNY GUY
@djumakadege659
@djumakadege659 Месяц назад
Tuliambiwa kwamba Haji manara ndiye alikupeleka azam ! je ? nikweli .
@wonderkid14.
@wonderkid14. Месяц назад
Huyu jamaa asee anajua kuongea interview imepoa, fact nyingi asee jamaa kichwa sana
@farlykunga8599
@farlykunga8599 2 месяца назад
Mtu wa History san..😂..kichwa
@ifraimifraimuhusen282
@ifraimifraimuhusen282 Месяц назад
Frida naona kadata & ALLY
@user-lf1bd4vj9c
@user-lf1bd4vj9c Месяц назад
Ally
@antyigasper2850
@antyigasper2850 Месяц назад
Ila Ally😂😂 nakupend bure mm
@LatifaOmary-zo1un
@LatifaOmary-zo1un Месяц назад
Ila ally😂😂😂😂
@attanasleones-wn5qs
@attanasleones-wn5qs Месяц назад
Sasa mkome kumfananisha na yule mchekeshaji wa simba
@user-xh9ow7jl4m
@user-xh9ow7jl4m Месяц назад
Manara alikusaidia wap kwenye ajira azam
@meshackdauda4315
@meshackdauda4315 Месяц назад
Mshenz uyu eti simba sc akaisifia ,ni kwamba simba ni dudee kubwaaaa bila kulitaja uwez toboa
@plustzafromusic4908
@plustzafromusic4908 Месяц назад
Natamani siku moja vido amuoji Millard kuhusu Maisha yake mwanzo wake mpaka hapo alipo fikia, na Millard aongee ukweli kabisa hii interview itakuwa kubwa Sana na itatubaliki wote
@meshackdauda4315
@meshackdauda4315 Месяц назад
Mbona ilishafanyika SAANA HIYO
@Nyamko-christmas
@Nyamko-christmas Месяц назад
Watu wanatoka mbali
@user-vf5gs7ik7w
@user-vf5gs7ik7w Месяц назад
Wapi chuo champira???
@suwakofmuslim2565
@suwakofmuslim2565 Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂Aisha
@khamoshmikidadi618
@khamoshmikidadi618 2 месяца назад
Dah nampend uyu kaka atar
@FredMaulid
@FredMaulid Месяц назад
Yah yupo vzr kichwani na maisha ni fumbo Leo ni msemaji wa kilabu kubwa bongo.
@DonaldMpili-de3kc
@DonaldMpili-de3kc Месяц назад
Ila Ally n kamwe
@user-vi7ly9zh1q
@user-vi7ly9zh1q 2 месяца назад
Namkubali sana Ali kamwe 💚💛💛💚
@cryptoboy-5
@cryptoboy-5 2 месяца назад
hii kichwa hii
@hamisaepee6938
@hamisaepee6938 2 месяца назад
Muongo huyuu Viapo teleee 😂
@FredMaulid
@FredMaulid Месяц назад
😅😅😅
Далее
Я ПОКУПАЮ НОВУЮ ТАЧКУ - МЕЧТУ!
39:05
MAKALA VIVUKO VIPYA JAMBO TANZANIA
23:47
Просмотров 1,6 тыс.