Baba,levo,hata huku Tanzania kunasemu nyumba unachukua hivyo funguo,mimi mwenyewe nafanya kazi masaki Kwa boss wangu funguo natoa kama hivyo,ila All in all kama msemo wako nakupongeza sana nawafutalia sana na wcb
Ilo tumbo umeweka nini humo ndani mbona linafanana na iyo washing mashine bro au umeficha vijiko vya wazungu hehee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Baba Revo wewe ni dogo wo muhira ukirudi today U S A naandaa Itek kubwa Igunga Tabora, ututembelee utupe mawazo mapya ya kupata Visa na kuishi marekani