Ma boss wanaogopaga kuwapendezesha wasichana wao ili wasiwazidi unajua kuna wengine ni wazuri kuliko ma boss zao😂😂😂samtaim wasichana ni wazuri kuliko ma boss kwahiyo waogopa wakipendeza
Watanzania tunapenda sana kushabikia ujinga,apo mtu hajui ada ya mwanae mwakani ataitoa wapi lakini kutwa kuhangaika na mambo yasiyowahusu,iyo time ingetumika kufanya maendeleo aaahaaah. Ebu let's normalize staying out of people's businesses.
Media za bongo miyeyusho sana yani waandishi wa habar wamekaza kabisa wanasubiri beki3 wa Nandy aongee kiingereza..😂utafikiri kuongea kiingereza ni Inshu kubwa. DAHHHH..!!!😔😔
Ulikosea mtu anavaa nguo hata ndefu but huwa yuko smart nyinyi mupendeze yy mwamueka kama sijui nn....mm humpenda Diana wa bahati angalia waschana wa kazi wake utapenda
You know bra bra braa, hiki dada kinaonekana kiko uncare, ndo maana anatumia nguvu kuielezea jamii vitu vinavyotakiwa kuonekana, sasa English ni nini si mnaweza mfundisha kwa faida ya mwanenu, mpelekeni shule akasomee fan anayoitaka kamekomaa English English 😂😂
Aibu tupu watanzania hawajui kabisa kiingereza yaani huyu dada hata hajui kiingereza bogus education system ya Tanzania 🇹🇿 mnakwama wapi wabongo mbona Kenya 🇰🇪 na Uganda 🇺🇬 hata Rwanda 🇷🇼 wanaongea kiingereza kizuri
Yani watanzania mnavituko 😂😂 karibuni Kenya kuna blabla mingii sana ,Nandii be careful Nenga atapitanaye sababu kingereza we endelea kumsifia tu ,hio accent ni ya ungaenda hio muache ufala
Nandy uyu anacekesha kweli eti watoto watafundishwa warere ,ère miye wabo sasa sisi tunaishi uganda hatujuwe kingereza tunafaamu tu kifaransa unatwambiya je ?😂😂😂
Just stop explaining yourself that was wrong maybe she don’t want to do her hair ok we understand but come on new 👚 for one day I’ll make her wear it you will not embarrass me