Тёмный

#EXCLUSIVE 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 23 тыс.
50% 1

#EXCLUSIVE: DAVID MULOKOZI ALIYETRENDI na JUMBA LAKE la KIFAHARI MANYARA - NI VIOO na MAWE ya VOLCANO...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 34   
@globaltv_online
@globaltv_online 8 месяцев назад
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@hashimmziray7416
@hashimmziray7416 7 месяцев назад
hongera saaana ,ni mfano wa kuigwa Africa, nyumba hii ni moja ya nyumba bora zaidi na ya kisasa zaidi Africa nzima, hadi watu wa UN Habitat wafike hapo kujionea Manyara imetisha, Tanzania 🇹🇿
@nin6324
@nin6324 8 месяцев назад
I love his energy that’s literary me… staying at home is a way better than in a hotel….
@abdallahsaid8157
@abdallahsaid8157 27 дней назад
MashaAllah!!!
@domisonrichman6499
@domisonrichman6499 8 месяцев назад
Big work bro naishi huku na wahaya wengi Kagera sifa nyingi but Huyu bro hana sifa kabisa keep it up ..mm strong ndo kinywaji changu hicho
@abelmwakalinga2305
@abelmwakalinga2305 7 месяцев назад
Nimependa wazo lakutembea ili kupata exposure. Big up kwa kazi nzuri
@irenekayombo5509
@irenekayombo5509 7 месяцев назад
Hongera sana kwake.
@ThomasMselewa
@ThomasMselewa 8 месяцев назад
Interview nzuri sana ila changamoto ni mtu wa sound alishindwa kucontrol muingiliano Kuna mawimbi ya upepo sana yameharibu kazi ila big up
@sabinaluyego4408
@sabinaluyego4408 8 месяцев назад
Waooo, inatia MOYO sana. Hongera kwake
@ellgodfather282
@ellgodfather282 7 месяцев назад
Mimi nimesport madayako ya kutengeneza nchi maana Tanzania ni sehemu nzuri sana duniani.
@ellgodfather282
@ellgodfather282 7 месяцев назад
Ina wezekanza
@godfreychaula3969
@godfreychaula3969 8 месяцев назад
kolumba interview nzur ila next time kuwa makini na sound....noise nying sana apaaa
@subiradaud711
@subiradaud711 7 месяцев назад
Safi sana shem
@luganomwaigomole7441
@luganomwaigomole7441 5 месяцев назад
KAZIKAZI SIO MAANDAZI..
@hassanhancha1413
@hassanhancha1413 8 месяцев назад
Ndio maana Millard Ayo anawa win kila siku nyinyi media nyingine hamko serious na mnachokifanya.Yaani mmetoka koote mpaka mmefika hapo halafu lengo lililowapeleka mnalifanya ilimradi tu.sauti iko mbovu,back sound zakitosha fujo mtindo mmoja.Kuweni seriou na kazi zenu.Shame on you
@highthemetv7857
@highthemetv7857 7 месяцев назад
Fungua media yako we mbwa acha kelele
@EstherJacob-n1g
@EstherJacob-n1g 7 месяцев назад
Huo nao ni ukweli 😂
@Ryanzabron
@Ryanzabron 7 месяцев назад
Ila jamaa umeongea ukweli 😂😂😂
@reubenedwinnditi9979
@reubenedwinnditi9979 7 месяцев назад
Umeongea ukweli mkuu
@juniorstanford1467
@juniorstanford1467 8 месяцев назад
This is huge
@dn.n4983
@dn.n4983 7 месяцев назад
Unayo sema kweli ujipende ni kwelin
@onesmomwakasege5215
@onesmomwakasege5215 7 месяцев назад
Huyo jamaa nitajili anae jielewa hayuko Kama wengine misifa kibao dah ongera Sana mkuu
@hanifamziray277
@hanifamziray277 8 месяцев назад
Safiii ni msomi sn ss mwinyaku ana nyumba sio ile yako na ipo babati hii ni ndio kasiri
@luganomwaigomole7441
@luganomwaigomole7441 5 месяцев назад
Nawishi kuklonana na Bilionea Mulokozii
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 8 месяцев назад
Nmejifunza,you are e your own limit
@sarahminja7255
@sarahminja7255 8 месяцев назад
Mwandishi wa habari anaongea Sana alitakiwa atuonyeshe nyumba iko vip mpaka ndani
@AngelaYohana
@AngelaYohana 8 месяцев назад
Umeniinspire mi alot
@massawemrlowprice3949
@massawemrlowprice3949 8 месяцев назад
Which country is this😂
@asheryyakuta8088
@asheryyakuta8088 8 месяцев назад
Tanzania
@luganoessom1464
@luganoessom1464 8 месяцев назад
mtu anaitwa masawe bado unafikiri hajui kwamba hii ni tanzania😁@@asheryyakuta8088
@mbachoclassic7818
@mbachoclassic7818 7 месяцев назад
Nigeria
@mimikimanga3126
@mimikimanga3126 7 месяцев назад
Tanzania
@subiradaud711
@subiradaud711 7 месяцев назад
Safi sana shem
@faustinemtui8174
@faustinemtui8174 7 месяцев назад
Very Inspiring . Bravo Mulolozi Sir.
Далее
КОТЯТА НАУЧИЛИСЬ ГОВОРИТЬ#cat
00:13