Тёмный

EXCLUSIVE | DIVA AFUNGUKA MAZITO -"MWIJAKU ALINIAMBIA ANATAFUTA KIKI,NAMPENDA SANA MUME WANGU" 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 56 тыс.
50% 1

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 106   
@Teddy-fq5oc
@Teddy-fq5oc Год назад
Nampenda sana uyo dada anaongea vizur Divaaaa
@Slingtvmedia
@Slingtvmedia Год назад
We love diva the bawse
@shemelaruhinda6113
@shemelaruhinda6113 Год назад
Diva nakupenda sana. ♥️
@Nikita_8017
@Nikita_8017 Год назад
Respect to Diva
@josephgatunzi1670
@josephgatunzi1670 Год назад
Shikamoo dada nakupenda bure❤❤❤
@theodoremilenzo9420
@theodoremilenzo9420 Год назад
Muongo anaongea kiswahili vizuri sana na tena cha uswazi hovyoooo
@sbwest3023
@sbwest3023 Год назад
Sio mbaya, amesema tu ukweli kua yuko comfortable akiongea English na hata ukimsikiliza anachanganya English hana huo uongo unausema 😁😁😁
@SamuDshira-xm9yn
@SamuDshira-xm9yn Год назад
Diva upo kipesa zaidi,utafeli,hautoboi kwenye mapenzi
@gabrielcostantino7460
@gabrielcostantino7460 Год назад
Nakupenda diva
@dotogiving9293
@dotogiving9293 Год назад
Yupo sawa Dada Diva
@omanmct135
@omanmct135 Год назад
Safi sana diva
@noorrajpar3928
@noorrajpar3928 Год назад
Huyu dada anamaisha magumu sana sema anatamani maisha mazuri
@MikiGermany210
@MikiGermany210 Год назад
Sio kweli ndugu yeye kweli hana pesa ila unamjua baba yake ni nani?
@ikramalmas7039
@ikramalmas7039 Год назад
Vipi maisha yako?
@bainolatino3412
@bainolatino3412 Год назад
@@MikiGermany210 kwani baba yake ni Nani brooh nambie Kwa faida yangu
@Thebaddest255
@Thebaddest255 Год назад
@@bainolatino3412Baba yake mbunge
@Thebaddest255
@Thebaddest255 Год назад
Maisha anayo anakuombaga pesa ya kula?
@cdeleo9336
@cdeleo9336 Год назад
Huyu ana pretend maisha aisee mpka huruma
@kakakuona57
@kakakuona57 Год назад
Diva,umewahi kuwa mpenzi wa diamond
@agwalubifaridah7079
@agwalubifaridah7079 Год назад
Diva ilove you
@badmanno.1650
@badmanno.1650 Год назад
Hehe kama kuna watu wanacheza na dini ni watanzania... 🤦🏾‍♂️🤦🏾‍♂️🤷🏽‍♂️
@bakariomary8556
@bakariomary8556 Год назад
Linaakili hili dem phana halafu linaupendo
@abdallaabdalla998
@abdallaabdalla998 Год назад
Duh ati nikiwa ndani nakua mke 100% ukiwa nje unakua mke %?
@danielembakashi4846
@danielembakashi4846 Год назад
Kumbe kiswahili unajua
@enterenter7798
@enterenter7798 Год назад
Hahahahahahaha watu hata uongee mazuri utaonekan mbaya tuu hahahahahahaha Diva the boss keep it up
@barakakusa7606
@barakakusa7606 Год назад
Sud alikuwa mpenzi wake so bado hajamove on;
@wacundirangu1661
@wacundirangu1661 Год назад
KISWAHILI KITUKUZWEEEEEE!!!!!!!!!
@jacquelinejohn7821
@jacquelinejohn7821 Год назад
Kasome bhna😂
@salma-fc4xc
@salma-fc4xc Год назад
Ndiooo kingereza sio lugha yetu wazungu pia wanataman kujua kiswahili wengine
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
Milele amina
@mwajabuhoza9919
@mwajabuhoza9919 Год назад
Nimependa vidole vyake Diva. Visafiii hana ma kucha ya bandia
@sabihasalim942
@sabihasalim942 Год назад
Hii interview na Diva nimecheka through out...the whole crew was funny.💓🇬🇧🇰🇪
@sabihasalim942
@sabihasalim942 Год назад
I didn't want imalizike ....love you all guy's.
@WardaSalehe
@WardaSalehe Год назад
Sijawai ona boss anafanya kazi tena za umbea majigambo maisha yako magumu umepanga😅😅😅
@najuf8021
@najuf8021 Год назад
Kiswahili anaongea vizur tu halafu kama cherehan
@salmamwamba2745
@salmamwamba2745 Год назад
Diva nafikaje studio kwako au km nataka kushare story na kuitaji ushauri nakupataje
@fathimamct232
@fathimamct232 Год назад
Mwari wa Dida Amewiva ila SoMo Pumba Anamaliza waume ,🤣🤣🤣🤣
@parachichiFM
@parachichiFM Год назад
Eti ameoa Brand😁
@aishaimam1442
@aishaimam1442 Год назад
Umeongea maneno mazur ....ongera
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
Kuna mda mwngn umeongea kingereza sijui km juma kaelewa 😁😁
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Год назад
😂😂
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
@@mwanatz5980 😁😁
@zarinashivji9736
@zarinashivji9736 Год назад
MashaAllah ❤❤
@rosestigeneriksson8387
@rosestigeneriksson8387 Год назад
Huyu dada muongo na anapenda sifa'hivi angekuwa mzuri ingekuwaje?hivi alivyo tuu anaringa
@aminasalmin6058
@aminasalmin6058 Год назад
Na ubaya pia hana yawezekana hata humkaribii licha ya kumfikia. Ni wazi huo ni wivu,ndio keshakuwa hivyo alivyojaaliwa na Muumba. Kwa sababu hapo Pana mazungumzo hapahusiani na uzuri. Utakufa na Tai shingoni.
@rosestigeneriksson8387
@rosestigeneriksson8387 Год назад
@@aminasalmin6058 amekutuma nini huyo kifutu
@kakakuona57
@kakakuona57 Год назад
Mwambie juma lokole aache kujichekesha chekesha kama demu,
@omanmct135
@omanmct135 Год назад
DivA njo oman namumewo kutembeya kwetu
@mohammadfahad3186
@mohammadfahad3186 Год назад
Leo umeanini kuwa ni tapeli😅😅😅 watu wa comment puteni huku
@hamzakamil5001
@hamzakamil5001 Год назад
mke ameagizwa kujiachia home na ajistir nje na home
@hamzakamil5001
@hamzakamil5001 Год назад
mke anatakiwa kua mke popote nyumban na hata nje ya nyumba
@mosimba467
@mosimba467 Год назад
Wewe ni Mhaya bana Loveness Malinzi Mganyizi
@lucymussaabinego1753
@lucymussaabinego1753 Год назад
Na uzuri huo si ntakuwa nakupa shavu unipige kila siky
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 2 месяца назад
Nataman kuona kichwa cha diva jmn kutwa mawigi hata kusuka nywele zakawaida hakuna
@abdallahahmed2776
@abdallahahmed2776 Год назад
Mm naona tutafite hela mke atakuheshimu mwenyewe
@jumannerajabu8259
@jumannerajabu8259 Год назад
me nirivona ile clip ya hovyo nimekushusha samani nakuona kama nzi2 hataungee Nini ww nimshenzi ulieptiliza
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 Год назад
Wazigua wanawake kwa waume zao ni watumwa tu. Wanaume wao ni kula kulala mbele b kwa mbele
@allahisone6386
@allahisone6386 Год назад
🙄 Eeeeeeeeeeh 😳
@hamzakamil5001
@hamzakamil5001 Год назад
abdul hajajua nafas yake kama mume kumruhus mke kua kichwa waz au kuto kujistir kama din inavoelekeza akiwa nje na nyumban na kujistir nyumban hajipendi na hampend mke maaana anachokifanya ni kinyume na dini
@kwisa4899
@kwisa4899 Год назад
Tapeli
@keyla3641
@keyla3641 Год назад
Dida kakuwa jamani
@salimakuyela7813
@salimakuyela7813 Год назад
Kwanza kauli ya kusema anapokea Kila mtoto atakae letwa na mume wake kachemka maana hapo tu dawa zimemuingia
@lucyngoo6309
@lucyngoo6309 Год назад
Du!! Inawezekana
@mahmoudukusso4488
@mahmoudukusso4488 Год назад
Mnaswali na hiyo mivuzi ya kichina kichwani?
@jacklinelyimo7407
@jacklinelyimo7407 Год назад
Wigi hilo anatoa ajasuka
@nahimanasaidi9490
@nahimanasaidi9490 Год назад
Diva Ebu tubainishiye izo dua zinaitwa aje km sio uganga huo anafanya mmeo
@mugishasharmilla5874
@mugishasharmilla5874 Год назад
Kumbe Anaga akili uyo dada wallai ndio maana tunaambiwa kosea kila kitu usikosei kuowa ao kuolewa abdoul anaukumiwa na mwanamke kila kitu kipo wazi
@emmah_bill5597
@emmah_bill5597 Год назад
Siamini😂😂
@Daniel-it8tv
@Daniel-it8tv Год назад
Gangaree huyu ana piga watu
@Anonymous23216
@Anonymous23216 Год назад
Ndo mambo ya waislam hayo. Kujigamba kwamba "dini yetu ya kiislam"... Asilimia 99.9 ni madanga. Wanawake wa kiislam wanadanga hadi mwezi wanaouita mtukufu. Sasa dini gani iooo
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
Ni dini au watu?
@halimashaaban8328
@halimashaaban8328 Год назад
NdiO anafaa kutofautisha dini na watu
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx Год назад
@@khadijahali4837 ah umempa jibu zuri sna
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
@@malak-lz6kx 😁😁😁sante
@Lululemon55
@Lululemon55 Год назад
Anaongea km cherahani mbovu
@allywaziry6419
@allywaziry6419 Год назад
Mganga huyoo usijidanganye
@lucyngoo6309
@lucyngoo6309 Год назад
Etiee anajidanganya
@khalidsoud235
@khalidsoud235 Год назад
Mganga ni mganga tu
@joviangeofrey6918
@joviangeofrey6918 Год назад
Mmmmmh unamfulia? Umejifunza au Kwa mashine dada angu???
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 Год назад
Asa uganga mpaka matunguriiiii kkkkk
@ellenkamanzi3505
@ellenkamanzi3505 Год назад
Diva anasauti yakitoto ila mwil sasa kama lishangazi 😂😂🤸
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 Год назад
😂😂😂😂 lishangazi
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
😁😁
@treasure12415
@treasure12415 Год назад
😂😂😂😂😂😂😂🙌
@jumakassim8718
@jumakassim8718 Год назад
😂😂😂😂
@salehaljadidi8206
@salehaljadidi8206 Год назад
Mzee wa matunguli huyo, mchawi mkubwa, anatumia majini kuwaroga wanawake. Eleweni huyo Jamaa ni mpemba, na wapemba ni wachawi wakubwa. Diva na ujanja wake alipatikana kwa huyo mzee wa matunguli. Cheza na mpemba wewe. Jamaa haachi hata wake za watu, anakula tu.
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
Mbn wanasema ni wa Arusha
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx Год назад
Koma kwanza uyu sio mpemba namjua vzr alishawahi kukodi znz jiran kiukweli uyu nikipishana nae huwa anasoma Quran alikua mtulivu kaharibika saiv izo tabia alafu sio mpemba kabisa hyu mpk lugha yke.
@salehaljadidi8206
@salehaljadidi8206 Год назад
@@malak-lz6kx kama sio mpemba ni kabila gani ni mpemba aliyekuwa anaishi Arusha. Kwani kusoma Quraan Kuna kuzuia kufanya matembo mabaya na machafu?? Ujue waganga wengi wanatumia Quraan kutibu watu na wengine kama huyu jamaa anatumia Quraan na matunguli na uchawi. Huwa hawamwogopi mwenyezi mungu kwa ajili ya masilahi yao.hata ukikataa jamaa anachanganya dini na uchawi wa matunguli.
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx Год назад
@@salehaljadidi8206 sio mpemba nimeshakwambia wala hakujui hta kulivokaa wapemba tokea lin wakawa na meno chocolate na ndio nikasema saiv kaharibika ypo tofaut na zaman
@rehemavickie6521
@rehemavickie6521 Год назад
Motivation speaking haha
@justinesorwa-soudo4177
@justinesorwa-soudo4177 Год назад
Ulimi hauna mfupa..
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
😁😁
@sarahkimaro75
@sarahkimaro75 Год назад
😂😂😂
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Год назад
😂🤣😍😍💪
@lydi791
@lydi791 Год назад
🤣🤣🤣🤣Dida
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 Год назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@moannamzigua9293
@moannamzigua9293 Год назад
😜wazigua sisiiii mmmh!!!
Далее
Тренеруем память physics drop 103 - 104
00:51
小丑调戏黑天使的后果#short #angel #clown
00:16
Find The Real MrBeast, Win $10,000
0:37
Просмотров 98 млн
Эта Белка Миллионер! 🥜
0:16
Просмотров 4,7 млн