Тёмный

OHOO! ZAYLISSA AFUNGUKA MAZITO YA DULA MAKABILA, CHANZO CHA NDOA YAO KUVUNJIKA - "KWELI ALINIPIGA" 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 307 тыс.
50% 1

OHOO! ZAYLISSA AFUNGUKA MAZITO YA DULA MAKABILA, CHANZO CHA NDOA YAO KUVUNJIKA - "KWELI ALINIPIGA"
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 388   
@safiasaleh669
@safiasaleh669 8 месяцев назад
Ndio mana wifi kamuongele zai vizuri kumbe dula kicheche Mungu akusimamie Zai ..
@Mbeyaconscious
@Mbeyaconscious Год назад
Dah! DUNIA Imeisha Sasa! Ndoa Inafanyika Instagram Na Inakuja Kuvunjikia RU-vid😢 Mbona Dunia Imeenda Kasi Sana?
@allanothuman2941
@allanothuman2941 Год назад
KWASS AKUN UPEND WA DHATI N MAPENZ TUH ND MAANA AWAFIK MBALI KWASBB YA MPENZ N SIO UPEND WA KWEL
@sadilahindian3401
@sadilahindian3401 Год назад
Umeongea points
@neemamponezya5075
@neemamponezya5075 Год назад
😂😭
@olicej7837
@olicej7837 Год назад
😂😂😂😂😂
@mshambaused3840
@mshambaused3840 8 месяцев назад
Hatarii
@cdeleo9336
@cdeleo9336 Год назад
Walikurupuka kuoana wakati hawajuani vizuri. Wewe dada acha mambo ya kuolewa focus na life yako
@rosefrancis2043
@rosefrancis2043 Год назад
Hilo nalo neno una wahi kuingia kwenye ndoa wakati mtu humjui vizur
@lizzybrownlizzy6094
@lizzybrownlizzy6094 Год назад
Mwanamke uyo mwache aolewe tu
@svt3
@svt3 Год назад
waliingia kwenye ndoa sababu ya kukomesha ma ex wao ila sio kwa upendo wa dhati, hao hawajui hata ndoa ni nini wanafikiria sherehe ndio ndoa
@nasralikungwa5267
@nasralikungwa5267 Год назад
Ivi wamefika mwaka kwl awa
@vanessastafford5120
@vanessastafford5120 Год назад
Vimilia vitu vyote ila kupigwa, ulevi ulipitiliza, na Uzinzi uliopitiliza, vurungu za kama mwehu. KAMWE USIVUMILIE. Fanya part dada hongera.
@callicevallice7383
@callicevallice7383 Год назад
Ndo maana hamuolewi, mnaishia kuwa single mothers
@vanessastafford5120
@vanessastafford5120 Год назад
@@callicevallice7383 Kwani kuolewa ni tunzo, au ajira. Upigwe kila usiku ukae tu Eti kisa umeolewa. Kwa tarifa yako single fathers nao wapo ni wengi tu, cha muhimu furaha, na amani.
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Год назад
Ndoa hata miez 3 jamn mhhhh eeee m/mungu naomba unijalie subra uko niendako Maana mtoto WA mama mkwe ndio anataka kwenda uko😅....Ila mashamsham ndio mambo haya muyapendayo
@shejamy06
@shejamy06 Год назад
Ukipata nafas ya kuwa singleeee shukuru Mungu na utumie nafas vzr ndoa hizi🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
@blessingjacob7928
@blessingjacob7928 Год назад
Kabisa ndugu yangu
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Год назад
Mi siwezi kaa single 😁
@joykenya
@joykenya Год назад
Kabisa dear
@shejamy06
@shejamy06 Год назад
@@khadidjasuleiman8006 🤣🤣🤣🤣
@sylvierlumbasio4226
@sylvierlumbasio4226 Год назад
Sana yani mwagilia moyo ukija Olewa kaa kama bonzo kuondoka tena fullstop😅
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Год назад
Ndoa inaraha ikiwa wawili wataelewana 🎊 Mapenzi ndio Maisha ❤
@AminaAmine-v4m
@AminaAmine-v4m Год назад
Haswa❤❤
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Год назад
@@AminaAmine-v4m hao wakati Waraha hawatuhisishi wakati wa shida ndio wanatujuza Ili tuokope ndoa mi napenda saana Maisha ya ndoa 👍 Mungu awape waume wema wenye hawajapata amiin 🤲
@catherinekiwipa9271
@catherinekiwipa9271 Год назад
@@khadidjasuleiman8006 Kwan wakat wa Raha ukuwaona mtandaoni
@gerry_macopper3808
@gerry_macopper3808 Год назад
Sema na hii redio mnapenda sana kukuza mambo
@marianajoseph1892
@marianajoseph1892 Год назад
Ndio maana ni vizuri kuwa na utafika kwa muda ili I mjue mtu kabla haujamuoa.
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 Год назад
Hawatabiriki,unaweza kuwa marafiki ila mkiishi pa1 ndo mtajuana
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 8 месяцев назад
Dah inahuzunisha sana kumbe dulla kayataka mwenyewe saiv anajiliza😢
@walizanasiri4963
@walizanasiri4963 Год назад
Akuna talaka tatu kwa pamoja waende kwa mashee wakulize wanaweza ludiana❤❤😊
@tatukhamis6501
@tatukhamis6501 Год назад
Hizo ni talaka 3
@sadahgullam8228
@sadahgullam8228 Год назад
@@tatukhamis6501 ndo sheria ya dini hakuna talaka tatu kwa pamoja sheria talaka inatolewa moja mwanamke anakaa eda ikipita miezi mitatu hajarejewa ndo anaachika watu hawasomi dini wanafuata mkumbo
@RandB_Channel
@RandB_Channel Год назад
Mnaumiza sana tatizo mnapendana Leo kesho mnafunga ndoa. Na mnakuwa hamujajuwana ndoa za bongo nivichekesho. Muache kujishebeduwa oooo nimefunga ndoa oooo sitaachika sijuwi mawifi kujishebeduwa mara mafumbu kuwanawake walio pita . Lakini mko mnachezeya ndoa. Huruma Leo ndoa kesho kuachika . Ma x ba Zailisa wanafurahi
@fatmaahmed972
@fatmaahmed972 Год назад
Kabisa mtu anajuana leo kesho anataka mfunge ndoa yan wabongo wana mambo wa ajabu sana
@RandB_Channel
@RandB_Channel Год назад
@@fatmaahmed972 yani baache tu kuwa wanapoteza pesa zakufanya hizo ndoawano wapeleke wasaidiye wasio jiweza . Du sijawayi ona ndoa ya mwezi mmoja natala ju 😳😳😳
@mamylnkuzi8482
@mamylnkuzi8482 Год назад
Dada angalia UHAI WAKO tengenexa furaha yakoo mwenyewe. MUNGU AKUSAIDIE
@vanessastafford5120
@vanessastafford5120 Год назад
Ndoa sio project Dada,. Jiamini usirudi nyuma.
@sarahlimbu9305
@sarahlimbu9305 Год назад
😂
@KaumbyaTibenda
@KaumbyaTibenda 8 месяцев назад
😭😭😭😭😭😭😭pole sana Zai Mungu mkubwa ona amekufungulia njia nyingine jamani
@MohamedHuseein-s5i
@MohamedHuseein-s5i 8 месяцев назад
This lady she is right
@issakamangila4143
@issakamangila4143 Год назад
Dulla ni mkorofi atari ajui mapenzi aja maliza bd ujana
@jumatajiri585
@jumatajiri585 Год назад
Ndoa hamziwezi mnakimbilia nini
@uwimana6533
@uwimana6533 8 месяцев назад
Dullah chizi mkubwa 😂😂😂
@luciaadventures3290
@luciaadventures3290 Год назад
Daaah pole dear...
@KulwaMbeko
@KulwaMbeko Год назад
Huyu si ameolewa juz😮😮😮😮😮
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 Год назад
😂😂😂😂mpaka walipoachana walikuwa nà siku 54
@yasintadavid1296
@yasintadavid1296 Год назад
Duuh 😢😢
@abbashussein-hz4dr
@abbashussein-hz4dr Год назад
Sheria ya dini inasema talaka 3 huwa inahesabika moja tu mkae chini musome dini on line hadi lini Astaghafirullah😢😢😢
@SafiaOmar
@SafiaOmar Год назад
Kuna kauli mbili tofauti. Wapo maulamaa wanao hesabu Moja. Na wapo wanao hesabu kuwa ni talaka 3
@jamillahngala9087
@jamillahngala9087 Год назад
Watu awafuatilii sheria na steps za talaka heri wapeane tu talaka wallah inauma mm nikiona mtu ameshapewa talaka hua Nahisi vibaya.. Alafu kitu Ingine social media zinaharibu ndoa za watu na marafiki pia ila pole kwake Zay
@shejamy06
@shejamy06 Год назад
Ndoa za bongo movie kibokoo😂😂🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Год назад
Eeee m/mungu nijalie subra uko niendako Maana mtoto WA mama mkwe anatak kufanya nusu ya dini ndoa ndoa ndoa
@SamiraKionga
@SamiraKionga Год назад
Kwani bado kuna watu wanashikiana cm kweye cm za wenzenuuu Eeeh hayaaa endeleeni Mnachokitafuta mtakipata
@hafswahamisi9685
@hafswahamisi9685 Год назад
😂😂😂😂 wewe n mimi kabisaa kila mtu na simu yakeee
@ashaali2853
@ashaali2853 Год назад
Mwanaume akikupa talaka tatu hio inaesabiwa moja sio tatu
@NusrathRamadhani-wq8yj
@NusrathRamadhani-wq8yj Год назад
Wapo mumy
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 Год назад
HAO MASHAM MASHAM NDO MAMBO WANAYOYAPENDA HAYO,,,KUVUNJIKA VUNJIKA KWA NDOA ZA WATU,,,,UYO DIDA AKUMBUKE AACHE KUSHADADIA NDOA ZA WATU.
@callicevallice7383
@callicevallice7383 Год назад
Yeye mwenyewe si amejaza failed marriages kwenye CV 😂😂
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
Wambea wakubwa
@sadilahindian3401
@sadilahindian3401 Год назад
Wapo kzn mkumbuke
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 Год назад
Kuna kutangaza na ushushu,,,kwani redio nyingne hazijui hiyo taarifa?,KUACHANA KUPO,,,INSHU KUSHADADIA YASIOKUHUSU,,
@queenhenagu3496
@queenhenagu3496 Год назад
@@hassanbakari4525 jaman wamefanya kile watuu hupendaa kusikiaa yaan umbeaa kama huu ww ungeacha sikilizaa sasa si umevutiwa na kichwaa cha habar ukajaa angaliaa ama umejipata bahat mbaya 🤣🤣🤣🤣🤣
@mercypeledawson1622
@mercypeledawson1622 Год назад
Huyu zay akae ajiangalie... maana hata mahusiano alokua nayo alipigwa hv hv 😢
@rerisamba
@rerisamba Год назад
Pengine walimroga
@mrsmumewangu4907
@mrsmumewangu4907 Год назад
Huyu mjeuri wakupindukia na Kisha chini kunamuwasha hatali kaachwa Mara kwa Mara navile ajui kupika 😂😂😂
@najmahamso8364
@najmahamso8364 Год назад
​@@mrsmumewangu4907🤭🤭🤔🤔
@vinnahjasson5546
@vinnahjasson5546 Год назад
Umeckia mwenyewe anasema mumewe anadai anamdomo
@GiftAbduly
@GiftAbduly Год назад
​@@mrsmumewangu4907mhmmmm
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 Год назад
😢😢😢😢duuu nlijua utani
@abcmnbb2610
@abcmnbb2610 Год назад
Pole sana lisa sim yamwanaume Usirudi kucukuwa sim yamumeo Ifanya kama kituo capolisi
@abdulab6202
@abdulab6202 Год назад
Sawa ulivyo fanya umesali rakaa 2 hongera sana
@trueexplorer894
@trueexplorer894 Год назад
Mara zote huwa nasema Juma hii sio taaluma yake kwa maswali ya kijinga anayoulizaga, dida kauliza kama Lisa ataridhia kurudiana na Dula akasema "no comment" then Juma anauliza kama anajuta kukutana na dula, come on!!!
@shafiikiloko747
@shafiikiloko747 Год назад
Majina ya kina dula ni mtihan kwakwel
@zuu9996
@zuu9996 Год назад
Sana wallah
@pendo8082
@pendo8082 Год назад
Na kina zai
@walizanasiri4963
@walizanasiri4963 Год назад
Kweli kaka majina ayo atali alafu waongo sana kina dula
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Год назад
😂
@pendo8082
@pendo8082 Год назад
@@walizanasiri4963 sana
@mrsmumewangu4907
@mrsmumewangu4907 Год назад
Dullah jikaze Kaka ujui Mungu kakuepusha na nn huyo dada mzuri Ila matendo yk machafu Malaya tu kila mume akimuoa anamuacha ndani ya mwezi tu kazoea huyo mdangaji wa chamazi
@abuthuraiyyahsalum8335
@abuthuraiyyahsalum8335 Год назад
Inaumiza sna zaylisha alikuwa serous na ndoa yake
@NasraOmary-hy6ep
@NasraOmary-hy6ep Год назад
Uyu dad inaonekana n kibur wanaume wangap aw kila mwanaume anampiga anajivunui uzur wake
@khalifaalmugheiry9232
@khalifaalmugheiry9232 Год назад
Hii inapaswa kukemewa na mashekhe, na kutowa elimu hususan kwa kipindi kikubwa kama hichi wanasema kuwa talaka 3 sawa na talaka moja, hii haijakaa sawa Masham Sham mnapotosha Jamii, lipaswe kukemewa kwa mamlaka husika za dini na misikitini pamoja na kupewq onyo kwa kila wenye vipindi kupotosha vitu vya serious specially vya dini .. dini sio amapiano mkaichezea kama jambo hamlijuwi hupaswi kuliongelea.
@jaymandy8136
@jaymandy8136 Год назад
Mbona kama umepaniki kk😅
@khalifaalmugheiry9232
@khalifaalmugheiry9232 Год назад
@@jaymandy8136 kwaiyo tunyamaze kwenye upotishaji au sio ?? Ukiwa hujielewi utanyamaza kimya kwa anaejuwa dini yake inakataza nini kukemea lazima kukaa kimya ufala kama mafala
@mkongwekhamis4331
@mkongwekhamis4331 Год назад
Jamani wifi Siwa upo wapiiiii?! 😂😂 Uje kuyajenga ya nduguyo....... Uje kuyasuluhisha hukuu😅😅😅!!!...
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
Mkiona hamuwezi kutulia kwa ndoa ni bora tuu mtulie muangalie wezenu
@khadijaamur6032
@khadijaamur6032 Год назад
Na walee watoto
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
@@khadijaamur6032 watoto wapi hao?
@lelaiddy6856
@lelaiddy6856 Год назад
Kabisaa..maana wanaharibu hela za watu eti wanawachangiaaa kufanikisha shughuli
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
@@lelaiddy6856 yaan wanavyokazana na michango
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 Год назад
Kama navofanya mie ndomana yakitokea haya mambo naona raaaha! Na hakuna kurudiana ndo shasema
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 Год назад
Hivi mpaka leo bado kuna Wanaume wanapiga wanawake?
@aishajuma18
@aishajuma18 Год назад
Na huyu nae sijui Anamatatizo gani kila siku anapigwa Tu na anaume zake
@gagalinodenatrick1652
@gagalinodenatrick1652 8 месяцев назад
Cku ukioa ndio utajua
@asalkhan9168
@asalkhan9168 Год назад
mastaa wa bongo wanashida sana kwenye mahusiano na ndoa
@elisifaaron5662
@elisifaaron5662 Год назад
Sio masataaa tu ata mitaani saiv nipasua kichwa
@halimaomar2986
@halimaomar2986 Год назад
Masha Allah mke bado ana mpenda mumewe.. Allah ajalie warudiane...
@aishaibrahim5607
@aishaibrahim5607 Год назад
Bdowanapenda sema makabila kakurupuka na nais anajuta
@SemeniBaby-rj2he
@SemeniBaby-rj2he Год назад
Uyo mwanamke ameongea ukweli ata me nilikua namfumania mume wangu na akawa ananipiga yy iyo ipo na mm nimepitia kuna wanaume wengine hawakubali makosa yao
@janechaula2870
@janechaula2870 9 месяцев назад
Point ndivyo walivyo
@sarahmcharo1548
@sarahmcharo1548 Год назад
mmeishi kwa shida n raha miezi miwili!!!!!!!!! cumon
@barakatabdul3212
@barakatabdul3212 Год назад
Atuchezea sanaaa.... shida na Raha yamiezii Miwiliii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 dah!
@hafswahamisi9685
@hafswahamisi9685 Год назад
😂😂😂😂😂
@hanifa9153
@hanifa9153 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@musakaphu4581
@musakaphu4581 Год назад
Kwa ndoa ya namna hii lazima siku zihesabiwe kama za jela ndomana wameishi kwa shida na raha 😂
@naumikabila5880
@naumikabila5880 Год назад
Sio miwili mmoja na nusu
@zuumlondwa9518
@zuumlondwa9518 Год назад
Uyu dada inaonyesha anampenda bado mumewe ila dulla ndo mtihani
@ashaissa2435
@ashaissa2435 Год назад
Ilkn dida ndoa yake alikua mkali kuuliziwa za wenzie midomo juuuu kushadadia 5:35 5:36
@roqayaro9439
@roqayaro9439 Год назад
KAMA KWELI AMEPEWA TALAKA 3 HAWAWEZI KULUDIANA ITABIDI ZAYLISSSA AOLEWE NA MWANAUME MWINGINE AKIACHIKA NDO AMUOE DULLAH
@adilaadila1128
@adilaadila1128 Год назад
Hakuna talaka 3 kwa pamoja apo inahesabika ni Talaka Moja km wapendana warudiane
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 Год назад
Jamani
@sifamugwaneza8774
@sifamugwaneza8774 Год назад
Hiyo no Comment ndo naweza kurudi maana asingeweza kumrudia angesa simtaki simpend 👌
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly Год назад
😮😮😮😮😮mbona Beyonce wa mbagala😂😂😂😂 Ila jamani hizi ndoa za mastaa ,tumechokaaaa😂😂😂
@datty.wozaah865
@datty.wozaah865 Год назад
Nakwambia 😅😅😅😅😅
@TheSalma1999
@TheSalma1999 Год назад
Dah pole sana mambo ya kushikiana simu sio yenyewe sasa kupigana tena angemuuwa mwenzio kha bora niwe mjane ndoa hizi drama
@williamuaza7541
@williamuaza7541 Год назад
Ushikwe uchi simu usishikiwe uongo huo vyote tunashika
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj Год назад
Ndoa sikuhizi mh😢
@ummuadam2423
@ummuadam2423 Год назад
Hajui ndoa dula bdo hajamaliza ujana,talaka 3 kwampigo haitolewi hvo mshamba tu, hyo no comment bdo anapenda kipigo hyo
@esthercharles5119
@esthercharles5119 Год назад
Wanawake wa siku hz sijui mnatoaga wap wanaume wadundaji khaaa!!😢😢 mtakuja kufa
@vero57
@vero57 Год назад
Mwanamke wake wa USA ATAKU anachekelea tuu huko saizi khaa!!!
@biggievandar254
@biggievandar254 Год назад
Wasafi mwapenda sana umbea mbna msimwongelee zuchu na diamond
@irakoze3762
@irakoze3762 Год назад
Wafukuzwe kazi 😂
@rosemilingi7860
@rosemilingi7860 Год назад
Nawashangaaa kwakweli
@salmarajabu4890
@salmarajabu4890 Год назад
Nilikua nakulaum xana zay wangu kumbe cvyoo unampnda mme wak
@bintyk5149
@bintyk5149 Год назад
Hatariiii ndo mastar😢
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 Год назад
AKA kio cha jamii
@binaljabirmshihirzanzibar8369
Yaan mtihan kweli kweli jmn duuh!!!
@sihamnjagi
@sihamnjagi Год назад
Lakini watu wanatoa wapi energy ya kushika simu za waume zao
@bahatielias6443
@bahatielias6443 Год назад
Ukweli simu zetu mngekuwaga mnaziacha tu ,simu za wanaume zinamambo mengi mno,
@najmahamso8364
@najmahamso8364 Год назад
Mi si shiki kila siku ila kama kuna maaswi yatafanyika uwa niko na wasiwasi na nikishika tu anagomba msamaha mana uwa yuajua nimegundua lengo lake mpaka sasa ushukuru kwa kua namgundua alafu hafanyi aliyo ya panga na mwenzake 😂😂😂
@neemanyimbi2355
@neemanyimbi2355 Год назад
Simu bila kushika angejuaje wewe kaa ivoivo usishike uletewe magonjwa simu nashika vixuri
@bahatielias6443
@bahatielias6443 Год назад
@@neemanyimbi2355 lakin neema, mwanaume akiamua kuchepuka atachepuka na Wala ukishika Sim Bado hutajua kitu, kiufupi sisi tunajijua jinsi tulivo, lakin wew Kama mke ukaamua kuchepuka ndani ya miezi miwili tayali ushakamatika.🤣🤣🤣
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Год назад
Nyinyi musiongelee dini hamuijui talaka tatu kama moja kawambia nani
@MonaAlmona-c1n
@MonaAlmona-c1n Год назад
Talaka inaisabika moja tu hakuna talaka tatu kwa mpigo apo inaisabika talaka moja tu
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Год назад
@@MonaAlmona-c1n mhmm subutuu
@ZainabAbdu-o1t
@ZainabAbdu-o1t Год назад
Mmmh uyu mwanamke ajielewi mnakumbuka kipindi kile alivyo jibugi Leo anasema vyingine bado ataenyeka na wanaumewote wadaa na wazaziwake nawo washamuchoka ndomaana akiachwa wanampokea sababu wanajuwa mwanawo nitaila wa mapenz ana lolote yani kila siku wewetu mtoto wanaume wote wanamakosa we ndo mzuli kuna jambo so bule jaman angalieni mbele 😂😂😂😂😂😂 anaishi kwa bwana uyo akutoka uku anaingia kule yani weektu ndoa angalien namimi ni mwanamke bali siwezi kuwa kama uyu dada tena ni wajina wangu ajielewi bado ❤
@naomimwahosi8177
@naomimwahosi8177 Год назад
Kwa kweli huwezi nyamaza ukiumizwa.
@maimunashaban4932
@maimunashaban4932 Год назад
Yaan ndan ya miez2 mpk vikao tyr mlikuwa mmeanza kukaa duuh! Kwel ata mneendelea bado mngegombana tu
@zaynabmwanjovu1002
@zaynabmwanjovu1002 Год назад
🤣🤣🤣jaman
@kamalissabig4631
@kamalissabig4631 Год назад
Acha umbea mtu akupige Bila sababu kwan Dullah n Chizi hakuna mwanaume atae kupiga bila sababu tena Kwa makosa yake
@wendyabduly3732
@wendyabduly3732 Год назад
Hiv hiki kipindi huonyeshwa lin wasaf na sangap?
@mgesijoseph7912
@mgesijoseph7912 9 месяцев назад
Kuna ndoa zisizo na mafarakano kweli😢😢kugombana ndio sehemu ya kujuanna na kupendana zaidi na kukwepana ili maisha yaende
@azzaalhabsi1505
@azzaalhabsi1505 8 месяцев назад
Jamani mie nafurahigi sana nikiwasikiaga hawa watu wawili maneno yao juma na dida.nachekaga mpaka mwisho.wamezidi umbea
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
Dulla anaonekana ana Gubu😂😂😂
@DulaKhamis
@DulaKhamis Год назад
Namtaka huyo na Mm nimfuse 😂
@NicoleNicholaus
@NicoleNicholaus Год назад
Hahahah bado anampenda huyo😅😅 anashindwa kujibu short namtaka au simtaki oooh anapenda kupigwa jmn
@janethedward4631
@janethedward4631 Год назад
WANAUME ....KUNA WANAWAKE WAKUOA NA KUNA WANAWAKE WAKUVUCHUPI NAKUPITA IVI. TATIZO LENU WANAUME NYIE MNAPENDA WANAWAKE WAZURI AMCHUNGUZI MTU NDO MANA NDOA ZINAVUNJIKABJUMA PILI ADI JUMATATU TUJITAIDI KUCHUNGUZANA KABLA YA NDOA
@makindimbo1851
@makindimbo1851 Год назад
huyo demu alikuwa anataka umaarufu kwa mwamba ila kiukwel huyo demu sio wa kuolewa bado kijana xna ana muwasho ndoa inataka akili iliyokomaa...
@janetdundul3858
@janetdundul3858 Год назад
Kunamuda muwe munatupenda hata wakina sisi dahaaaaa mukuje uku uswanzi 😊
@kekovasudi7388
@kekovasudi7388 Год назад
Haha na nyie muwe mnakubali kuolewa hata na sisi tusio maarufu
@ashurahatibu5069
@ashurahatibu5069 Год назад
Yani dah
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 Год назад
Dida wee mbona hijakaxiwa kirudi kwa kumbilamoto
@leonleon6323
@leonleon6323 Год назад
Mbona wanaweek tu😂
@matildakyambile5239
@matildakyambile5239 8 месяцев назад
Amna kitu hapo cjui nani mkweli
@neamusic2601
@neamusic2601 Год назад
Katoa talaka 3 jamani asee kweli ana hasira sana...nahx hawakujuanavizuri.
@maramegamahega1991
@maramegamahega1991 Год назад
😅😅😅😅 lazima nicheke mana mimi yalinikuta 😅😅😅 niliwahi pigwa na panga 😢😢😢
@vinnahjasson5546
@vinnahjasson5546 Год назад
Pole dear
@WemaOmary-of6to
@WemaOmary-of6to 8 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂 sijui nacheka nini naboupo unadubda kama kitenesi sisi wanawake tunapepo yetu
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 Год назад
Juma roho inakuuma ulivoona hajibu kama watarudiana or not! Mi mwenyewe sijapenda! Warudiane ili kiwe nini??? Hakuna kurudi mtu hapo😡😡😡
@noelmusa3502
@noelmusa3502 Год назад
Ila wasafi nawakubali aiseeee kwa umbea we bibie eeeeeeeeh uko vzr😂😂😂😂😂😂
@vumiliarichard9347
@vumiliarichard9347 Год назад
😂😂😂😂😂dida mungu anakuona
@BigZhumbe
@BigZhumbe Год назад
Kwani watu wa Cuba wanasemaje 😂😂😂
@aisharajimbo6784
@aisharajimbo6784 Год назад
Dida wewe ulikua mkali ulipokua ukiulizwa kuhusu kuachwa lkn saa eee washadadia ya wenzako
@Teddy-fq5oc
@Teddy-fq5oc Год назад
Umeona eeee
@InnocentMwingwa-wz1js
@InnocentMwingwa-wz1js 8 месяцев назад
Mmesikia xhuma ich cha dullaa
@zulphaiddy1191
@zulphaiddy1191 Год назад
Ngoja tuanzie hapo kwe kuswal rakaa mbili, Wakat huo ulikua huna Rasta kichwani na rangi kweny kucha na makucha marefu ama?
@ramadhanisalum3898
@ramadhanisalum3898 Год назад
Kwanza uyo dida mwenyewe anasemaje tuanze hapo kwanza
@Mina.15
@Mina.15 Год назад
Asma pia aliachwa after 3 months 😂😂😂
@mugemainyas5241
@mugemainyas5241 Год назад
Pole sana
@shyllahnekesa216
@shyllahnekesa216 Год назад
Lkn Zay ni malaya tuu
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Год назад
Wazazi mchangulieni mwanenu mwenza mwema, na mtu akishakupiga na ukamruhusu jua hyo ndo Tabia yake, mwanaume timamu hapigani
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 9 месяцев назад
Mwache aende
@saukhah6365
@saukhah6365 Год назад
Juma uwache udanganyifu talaka 3 hapo hakuna ndoa na hawezi kumrudia ten juma heeeh walimwengu tumeisha kwa kwel
@victaboy7273
@victaboy7273 Год назад
Pamoja na kwamba ni dada wa mjini, lakini anaongea vizuri.
@saidimandia2967
@saidimandia2967 Год назад
At least anajua kuongea kweny Media
@JumaShimende
@JumaShimende 8 месяцев назад
Kumbe dula penz lilikushinda mwenyewe hukua na iwaminifu.naukiona mwanamke anakufatilia ujuwe anakujali.sasa ukifatiliwa wewe unatoa kichapo dula veep!!?
@fredykephacy5166
@fredykephacy5166 8 месяцев назад
Huyu dada anaakili anajibu kwa Hekma sana
@yayhajoakim3046
@yayhajoakim3046 8 месяцев назад
Jamani dula alikosea sana
@esterstaphord5184
@esterstaphord5184 Год назад
Boy akisema atabadilika .. na mkaoanaa ... dada umeyakanyaga 😂
@shejamy06
@shejamy06 Год назад
Huyu anampenda nyokoo… watu wanamisigi vichapoooo Eeeeh naona mm ndo ntabak singoooo😅😅😅😅😅
@ibraheemqassim3018
@ibraheemqassim3018 Год назад
Sasa mtu kaachwa talaka 3 arud kwa mumewe yup anatakiwa asubir mpka aolewe tena na mtu mwengine alaf aachwe ndio 😅
@isamony58
@isamony58 Год назад
kiki hizoooo anataka kuachiy ngoma
@mrsinia3064
@mrsinia3064 Год назад
Ukute kwer 🤔🤔
@fahadmussa8879
@fahadmussa8879 Год назад
Wanawake wembamba hawaliziki namwanaume mmoja
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 Год назад
Wewe Dida hujui hata maana ya kifamilia. Familia sio baba na mama hata yeye na mumewe ni familia pia.
@chandeyusufu9570
@chandeyusufu9570 10 месяцев назад
Haiwezekani kurudiana Mpaka aolewe akiachika ndiyo amuoe tena
@luttahofficial9463
@luttahofficial9463 Год назад
Maaaaaaaaaaaaviiiiiiiiiii yake
@zulfahussein6784
@zulfahussein6784 Год назад
Daah kupingwa hapo jamani nami siwezi vumulia
Далее