Тёмный

#EXCLUSIVE 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 184 тыс.
50% 1

#EXCLUSIVE: KONDAKTA MREMBO ANAYETREND KWENYE MITANDAO AFUNGUKA - "NILISIMAMISHWA KAZI KWA MIEZI 6"
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

2 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 279   
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Год назад
Mashallah, anaonekana Ana confidence, Mashallah Allah amuongoze bint uyu pamoja na mabint zetu inshallah 🙏
@ashuramhandoashuramhando6798
Karembo hadi Sauti inavutia unakitu Mrembo utafika mbali ❤️❤️🌷🌷🌷🌷🙏🙏🙏🙏
@LeticiaRichard-zm7co
@LeticiaRichard-zm7co Год назад
Yeah your a good girl I love the way you fight girl good may God bless your hard working
@vero57
@vero57 Год назад
Wanafunzi wako wengi sana kama huyu hakuna kazi walizo somea,safii sana piga kazi dada mfano mzuri wa kuigwa 👍👍🥳🥳👏👏👏👏
@EsterCharles-d6t
@EsterCharles-d6t Год назад
Hongera dada angu❤❤
@CatherineKimoso
@CatherineKimoso 10 месяцев назад
Mwanangu ❤❤❤ Sanaa. Pambana wewe jembe utafika mbsali Sanaa.
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Год назад
Mashallah, anaonekana Ana confidence, Mashallah Allah amuongoze bint uyu pamoja na mabint zetu inshallah 🙏
@mlawatvonline3720
@mlawatvonline3720 9 месяцев назад
Mashaallah
@ibraimoselemane17ibraimo29
@ibraimoselemane17ibraimo29 Год назад
Ni mtoto mdogo ila anajuwa kujielezeya ile mbaya
@AmisseShezume-wk5ee
@AmisseShezume-wk5ee Год назад
Masha allah
@charlesmillinga992
@charlesmillinga992 18 дней назад
NICE shikamoo
@geminamulima3180
@geminamulima3180 Год назад
Binti yuko vizuri sana mwaka juzi mwezi 12 alitupambania siku ya safari ilipiga mvua ya atari alitfatilia mpaka akahakikisha tumepanda hila yeye alibaki apo Rombo saruti kwake
@baybeshayo18
@baybeshayo18 Год назад
MUNGU wa mbinguni akutangulie na kukulinda mwanangu
@stellakasimba9375
@stellakasimba9375 Год назад
Amen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le Год назад
Amiina
@NgelejaLukanda
@NgelejaLukanda 5 месяцев назад
Naomba sister unisaidie kupata kaz kwamajina naitwa neema namia 20
@bjzee1981
@bjzee1981 Год назад
Kazuriiii kanafaa kua hostes. Ka baby face hudhani kasha maliza hata chuo. Wachaga big up kwa ku pambana.
@AnetDaniel-vx2sd
@AnetDaniel-vx2sd Год назад
Huyu bint nimesafiri nae sana tuu sipandag gar lingine hata no yke ninayo yupo vzr
@yannicknicah133
@yannicknicah133 Год назад
Sema kweli
@Neema-fh1wp
@Neema-fh1wp Год назад
Mmmh,ulivomtaja chiku kwakweli huyu chiku sikupenda ushauri wake,yaan yeye niwakuniambia eti usimfate mume wako maana unaeza kuta yupo na mwanamke, Adui wa mwanamke nimwanamke jaman uwiiiiii😂
@ibumajaamillah3195
@ibumajaamillah3195 Год назад
Huyu bint nilisafiri naye kutoka moshi kuja Dar she very humble wallah
@venancshirima9103
@venancshirima9103 9 месяцев назад
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 Год назад
Huyu Dada yuko vizuri sana kichwani, Safi sana.
@mako331
@mako331 Год назад
Ninafuraha sana kuona kina dada zetu siku hizi hawachagui kazi, wengi wameingia kwenye mabasi na wanafanya kazi nzuri sana
@FelistaJohnMsangi
@FelistaJohnMsangi Год назад
Hogera sana Mwanangu Jitahidi epuka vishawishi ili ufikie malengo yako my dear uko just kama pesa ya kigeni
@hafsasaid9666
@hafsasaid9666 Год назад
Maashaallah amepata umaaruf mdogo wangu angepata fulsa akafanya vitu vya maana
@cleophacephelician6739
@cleophacephelician6739 Год назад
Vitu vya maana kama vipi hafsa !? Usikariri ajira za serikalini. Hii sasa ndo amepata kazi nzuri
@raummoshi4372
@raummoshi4372 Год назад
MUNGU akutunze nice, utafika mbali
@paschalewamtaa726
@paschalewamtaa726 Год назад
Ushauri aendelee na nizamu yake asivimbe kichwa
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 Год назад
Nime tumia hizi basi mwaka huu kutoka Arusha Dar kwakweli wana huduma nzuri sana na ni gari nzuri sana.
@elisifaaron5662
@elisifaaron5662 Год назад
Ipo moja wapo dar Arusha wakaka ao wananyodo mdada tu kidogo anakauri walinikera nawauliza vizuri mzigo nimeacha chini wenyewe wanaondo gar
@abelmumamwamba8990
@abelmumamwamba8990 Год назад
Kwenye tilisho huyu nayce pekee ndo konda kwanza anakaulii nzuri
@mbaichris8772
@mbaichris8772 Год назад
Bravo mentor other women to do any work around the globe
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 Год назад
Mitandao inadanganganya sana,mi navo muonaga najua Ni malaya wa mjini,kumbe kitoto
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 Год назад
Umejisikiaje kuongea ujinga km huo
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 Год назад
@@samwelimoshi5614 Kama ujaelewa kilichoandikwa ,Ni bola uludie kusoma,usikurupuke
@jacksonyesu6480
@jacksonyesu6480 Год назад
Iv inyie mmeona huyo peke yake wa kumuhoji hamna lolote wasaf mefata Sura Tu mwandishi mate na ugwadu ya memjaa tu mdomoni 😂
@kotadapotar5094
@kotadapotar5094 Год назад
Kazi hizo Uku Ulaya za warembo kama wewe pambana dada yangu nimependa sana Uchangamfu wako 👏🙏🇹🇿🇬🇷
@annemakaka210
@annemakaka210 Год назад
Masha Allah! Binti mrembo na mstaarabu kweli. Tia bidii dada
@gervas58
@gervas58 Год назад
Huyu angekuwa makabila fulani na uzuri huo sehemu njeti ndio zingeumia
@monicambuya-sq9ms
@monicambuya-sq9ms Год назад
🤣🤣🤣
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le Год назад
😂😂😂😂tutajie ilo kabila
@emariusrush3285
@emariusrush3285 Год назад
wahaya,wanyiramba,wanyamwezi,wazaramo ,wajita na wakerewe ni malaya kama mbwa!!!!!
@joycenicodemus.2232
@joycenicodemus.2232 Год назад
​@@emariusrush3285wahaya mutuache tu🤣🤣🤣
@nancyg8664
@nancyg8664 Год назад
@@emariusrush3285 shenzi😆😆
@bakarimakame4694
@bakarimakame4694 Год назад
Jmn kaongezeeni mshahara
@elisifaaron5662
@elisifaaron5662 Год назад
Safi sana unaakili mwanangu bora ukafanye biashara zingine nimekupenda ssna unamaakili kazi ya magari ningum sana makonda mmoja alitelezaga kwenye gari alikuwa aagongwe. Akajikuta kakanywagwa mguu wote mpaka ukawa chapati
@catherinekanono4298
@catherinekanono4298 2 месяца назад
She is beautiful ,humble and very smart upstairs mungu akutangulie
@pendokissatu937
@pendokissatu937 Год назад
Mdogo angu una Potential kubwa Sanaaa Ya Kufanikiwa usiuchezee huu Muda Tafuta Hata Maduka Ya Nguo omba Ubalozi maduka Ya Vipodozii Katangaze maduka yao Una Lugha Nzuri ya Kibiashara Sana sana Kwa kampuni ya Tilisho Raise Her salary Plz Anafanyia Promotion kubwa san kampuni Yenu❤
@Allykoroshotv
@Allykoroshotv Год назад
Fact
@juniorjohn2233
@juniorjohn2233 Год назад
Mungu akutangulie zaid
@YusterLeonard
@YusterLeonard 2 месяца назад
Jamani da nice find me basi mi johary I have like you so charming dear❤❤❤❤
@Shadrack-oz1bh
@Shadrack-oz1bh Год назад
mungu hawabarik
@juliasmwambulukutu3461
@juliasmwambulukutu3461 Год назад
Wamiliki wa Ndege binti huyo anafaa kuwa kwenye ndege
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 Год назад
True kwa ndege ingekua fire
@fatmazullu4933
@fatmazullu4933 Год назад
​@@angelalyimo2862Ni mfupi! Na mpk asomee
@salehaliy7198
@salehaliy7198 Год назад
Kwa uhudumu wa ndege angekosa kwa kigezo cha ufupi na kutosomea taaluma hiyo
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Год назад
​@@fatmazullu4933SI MFUPI SANA ANAFAA ANAWEZA KUPITA.
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Год назад
​​@@salehaliy7198KASOMA HUYO ANAWEZA KUPATA NA SI MFUPI HIVYO NI KAMA WA THAILAND NA WA FILIPINO TU.
@NiceReginald
@NiceReginald 10 месяцев назад
Wanawake tunaweza
@OmanAl-s9l
@OmanAl-s9l Год назад
Mashaallah bint uko vzur mng akifanyiwa wpx❤❤
@mejumaabaraza3989
@mejumaabaraza3989 Год назад
Masha Allah mungu akulinde na Shari dadangu❤
@shemnyaka
@shemnyaka Год назад
Diamond ashakuona Sasa, Chunga asikufanye kama madada wenzako, yaani kutiwa Mimba ya ghafla bin vuu😂😂
@petermusyoka9915
@petermusyoka9915 Год назад
Uyu mondi atapita na yeye pap lazma amtoleee copy😂😂
@hildasanga8042
@hildasanga8042 Год назад
Nimechekaaaa 😅
@catherinekanono4298
@catherinekanono4298 2 месяца назад
Walahi I also thought the sa shindwa pepo mbaya
@jacksonyesu6480
@jacksonyesu6480 Год назад
Kwenye mabasi mbona Wana wake na wasichana ni wengi sana tu
@maimunaabdallah3211
@maimunaabdallah3211 Год назад
Anahudumia vizur sana Nancy yupo vzur
@graceknight7498
@graceknight7498 Год назад
Mahallah ♥️♥️♥️♥️🇰🇪
@Neema-o9l
@Neema-o9l Год назад
Nakupenda sana wewe dada, Nakutakia kazi njema .Mungu azidi kukupigania.kweli wqnawqke tunaweza
@donvanpierre4369
@donvanpierre4369 Год назад
shida inaanzia hapa kwenye twaweza... iko kibinafsi sana
@AshaMakame-zg9xi
@AshaMakame-zg9xi Год назад
Kwanza kitoto kizur alafu muelewa pia mjanjamjanja Hong era kwa hilo bless Allah azidi kukuongoza
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib Год назад
Na mabint wengi wa kichaga hawachagui wanafanya sana kazi hizo za ukonda
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt Год назад
Mashallah 🥰 gari zenu nzuri sana
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 9 месяцев назад
Chapa kazi binti kazi ni kazi tu
@EliasheaZadock
@EliasheaZadock 4 месяца назад
Sama Hani naomba nisaidie Namba yako
@KimutaiNicholas-p5c
@KimutaiNicholas-p5c Год назад
Huyu Sasa, nadhani atanilazimu nisafiri Tanzania ,,,, ❤
@GoodLuck-x9i
@GoodLuck-x9i Год назад
Karibu utamkuta amejaaa tele😂😂😂😂
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Год назад
Tilisho service. Welcome usafiri na sisi
@OfficialA83640
@OfficialA83640 Год назад
Hawa wapo wasichana wengi kwenye hiyo campun maana wote wapare na wachaga wanapeana kazi tu ofice yao ipo Mbezi kwa Yusuph
@AshaMakame-zg9xi
@AshaMakame-zg9xi Год назад
Okay kwahiyo ukenda wa BUZA KWA MPARANGE utakaa pembeni km si Rchuga
@OfficialA83640
@OfficialA83640 Год назад
@@AshaMakame-zg9xi Umereaply nn sijaelewa
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le Год назад
​@@AshaMakame-zg9xi😂😂😂😂😂
@elyaikastanley6390
@elyaikastanley6390 Год назад
Ni kawaida kila tajiri mwenye magari asilimia 90 ameajiri watu wa Kanda yake
@FatmaSaid-j9o
@FatmaSaid-j9o Год назад
MashaAllah gd job❤ sweet
@EliasheaZadock
@EliasheaZadock 4 месяца назад
Mambo naomba Namba yako dada
@MariamSaid-z4l
@MariamSaid-z4l Год назад
Pambana hata Mimi natafuta hiyo
@SHADRICKSHABANI
@SHADRICKSHABANI 6 месяцев назад
This is my name to location 🤝
@ramadhaniharuna5441
@ramadhaniharuna5441 Год назад
Huyu ndio wife material sasa, Hana noma anachapa kazi yaani sister du Mwenye kujielewa.
@abubakarijumanne7903
@abubakarijumanne7903 Год назад
wewe unataka kitonga tu nani kakwambia wife material ni mwanamke anayefanya kazi kwa kulipwa mwisho wa mwezi? 😀
@baybeshayo18
@baybeshayo18 Год назад
Hongera Sana mwanangu
@TinahJacob
@TinahJacob Год назад
Hongera sasa sister nimejifunza kitu kizur kutoka kwako
@gracesitta8586
@gracesitta8586 Год назад
Mungu akujalie sana mdadaa. Keep it up.
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib Год назад
Nilijuwa Kama katoka Kilimanjaro amekaa kichaga da halafu kasoma tu mwenyew ndio anaweza pata ata kwenye ndege
@hamisikibwana6642
@hamisikibwana6642 Год назад
dada nenda kaombe kazi kwenye ndege utapata
@abdallahukwaju4473
@abdallahukwaju4473 Год назад
Ndege weeeee unaona simple kama maguta aya
@FaudhiaUshaky-if8fs
@FaudhiaUshaky-if8fs Год назад
Jaman jamani niungenamimi mdada uko
@rockeygarcia5865
@rockeygarcia5865 Год назад
Urembo na pia upambani wake utamfikisha mahala ❤
@HanifaHashilu-mv6lv
@HanifaHashilu-mv6lv 4 месяца назад
Naomba no ya sm
@makrinamgombela1138
@makrinamgombela1138 Год назад
Binti ana uwezo Mkubwa na anapendwa sana.Sasa kila jambo lina wakati na Muda ,wanaompenda Zaidi basi Wamchangie akasomee Masomo ya Juu ili aje atimize Ndoto zake.Tambua Yeye ni Binti baadae atakuwa mama,Je kazi hiyo ataimuudu???Asome kabla muda wa Masomo haujamwacha.Asante
@jonijomk3107
@jonijomk3107 Год назад
ivi umeiangalia video au umesikiliza maelezo ya nice? ulichokiandika na malengo aliyonayo sasa ni vitu viwili tofaut, ashakwambia akiacha kazi tirisho anaenda kufungua na kusmamia biashara zake, hilo la kusoma umelitolea wapi??
@QueenMishy
@QueenMishy Год назад
C umchangie kma hela unazo😂😂
@jonijomk3107
@jonijomk3107 Год назад
@@QueenMishy 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@bjzee1981
@bjzee1981 Год назад
Kwishaaa huyo kasha acha ukonda. Mpeni wiki mbili ataanza kutafutwa na ma kampuni.
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib Год назад
Ndio anajiamin sana
@glorychambi6559
@glorychambi6559 Год назад
Mzuri had raha
@AmeldaKavishe-ry9ow
@AmeldaKavishe-ry9ow Год назад
😢 nimefurai Hadi machozi
@AsendeNyota
@AsendeNyota Год назад
😂😂😂
@hamiduhamisi2371
@hamiduhamisi2371 Год назад
😭😭😭😭😭😭
@nuraansuhail2578
@nuraansuhail2578 Год назад
Safi sanaa mabinti wengine Wasomi wanajidai Wana nata nata hawajitumi kazi kubandika kucha wamesubilia waolewe na Wasomi wenzao mtazeeka majumbani mwisho mtakuwa mzigo na sisi tukishaona lile Bango la tunauza barafu tunajua hapa Kuna mzigo unatafutiwa soko,,,Wake up girls fight
@charlesbabag1424
@charlesbabag1424 Год назад
Akina Charles always tuna utu 😅 tupewe maua yetu mapema, connection ilianzia kwa Charles 😅
@EliaUtenga
@EliaUtenga Месяц назад
Mm nataka kazi
@FaudhiaMustafa
@FaudhiaMustafa Год назад
Mashaallah❤
@ashahaji6265
@ashahaji6265 Год назад
Kazuri kanafaa kuwa Air hostess
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 Год назад
Air tena,🙄
@BedaMrutu
@BedaMrutu 3 месяца назад
Hongera sana dada Mungu akubariki sana na kukutia nguvu sana katika kazi yako
@BunjuBase
@BunjuBase Год назад
Nawapenda tilisho
@kudramzee5769
@kudramzee5769 Год назад
Hongera kwake boss JOHN kwa kumjali huyo bint
@AnithaMunuo
@AnithaMunuo Год назад
Namuona kabisaaa simba akichukua mzigo😂😂😂😂😂
@efronaaron6772
@efronaaron6772 Год назад
😂
@ibrahimsaid4263
@ibrahimsaid4263 Год назад
Unaaakili nyau weeeeee 😂😂😂😂😂
@ibrahimsaid4263
@ibrahimsaid4263 Год назад
Unaaakili sana nyau weeeee alafu unaona mbali sanaaaaa😂😂😂😂
@azizahmustafa8330
@azizahmustafa8330 Год назад
Kijana unakitu na utafika mbali😂😂😂😂
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le Год назад
Na uyo Simba mnamuon handsome boy sana ee, mwanamk mweny akil timam na anae jielewa hawez funuliwa na simba
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib Год назад
Ndio Yani mrembo mzur namuonaga tandaon kumbe ni konda
@elizabethnguma3379
@elizabethnguma3379 10 месяцев назад
Hadi nmelia😢,kweli mdogo ila mpambanaji sana,,,jikaze mungu yuko🙏
@dakihamaluta4159
@dakihamaluta4159 Год назад
Nice fanya namba sasa usiniambie una boy friend
@MokoryaCosmas
@MokoryaCosmas 8 месяцев назад
Nilikua na shwalii ni zipii sifa za kua condacta jamnn kazii nzurii naipenda binafs
@elisifaaron5662
@elisifaaron5662 Год назад
Dah minamuhurumia kazi ngum za ukonda jamani du
@isangasamatini217
@isangasamatini217 Год назад
Yes wanawake wanaweza japo wengi Wao wanachagua Kazi japo Nayce hilo hana Hyo ndo tofauti na wanawake wengine, kikubwa tumtakie kila la heri kwenye majukum yake ya kila siku
@catherinethobias1688
@catherinethobias1688 Год назад
Dada nataman uwe ata kwenye ndege
@walinaziontime7300
@walinaziontime7300 Год назад
Chiku ni mkongweeee huyo Dada....kitamboo
@msakanotiofficial5523
@msakanotiofficial5523 Год назад
Nice ibebe Rombo mama
@BarakaMahamud
@BarakaMahamud Год назад
Jamani sisi wabongo ni nyoko sana sasa huyu dada anaurembo gani jamani doh
@mercypeter162
@mercypeter162 Год назад
MUNGU akuinue mpaka viwango vya juu umiliki mabasi pia
@jonijomk3107
@jonijomk3107 Год назад
kwenye iyo aproching unyoongelea umeongelea ulowakataa2, mbona hutwambii ni wangapi wenye umewapea?
@SylviaAthuman
@SylviaAthuman Год назад
Pambana my dear kaz ni kaz
@bakarimakame4694
@bakarimakame4694 Год назад
Dar konda mrembo
@cleophacephelician6739
@cleophacephelician6739 Год назад
Binti huyu anajiweza sana, elimu imemkomboa
@salamaali4726
@salamaali4726 Год назад
Nakupenda sana mdogo wangu una muelekeo wa kufika mbali, pls naomba kazi hiyo isiwe ndio ya kudumu cha muhimu changa pesa zako kaendelee na chuo utafika mbali inshaalah
@MussaMohammad-ku5bt
@MussaMohammad-ku5bt Год назад
kweli kabisa.
@samiraaindi
@samiraaindi 10 месяцев назад
Usikate tamaa usivunjike moyo endelea kupambana mungu yupo ipo siku utatoboa insha allah ❤u big kiss to you.
@ernestotadeunete3337
@ernestotadeunete3337 Год назад
Nimekupenda Sana nataka namba yako nipo Moçambique na mke wangu amekupenda
@mayarashidi2765
@mayarashidi2765 Год назад
mashaailah mungu akulinde dada
@barakamshiu7146
@barakamshiu7146 Год назад
precious air aeroplane host huyu apa kazi kwenu
@rosemmary6802
@rosemmary6802 Год назад
Wachag salute
@sharifahamis6924
@sharifahamis6924 Год назад
Mbona kasema ana miaka 21
Далее
VETA YAWANOA MADEREVA WA MAGARI MAKUBWA
4:38
Просмотров 16 тыс.