Inawezekana jamani, amepata umaarufu na deals nyingi za kutangaza biashara za watu. Hayo mengine tumuachie mwenyewe. Pisi kali kama huyu wangekua wanabadili madanga tu na sehemu za starehe lkn kaamua kuwa konda na kutafuta hela yake bila kujali uzuri alionao. MNYONGE MNYONGENI LKN HAKI YAKE MPENI. Big up Nice
@@hildajoel5 Dada yangu HILDA,ni kweli tumuachie tu mwenyewe,huo ukondakta ni kivuli tu cha kujifichia dadangu,ila umeshamalizia vizuri,tumuachie mwenyewe,na Mimi Kwa heshima yako,acha nisiendelee.🙏🙏
@@pasiensiabel7278 wewe M 17 najuwa ni pesa ndogo sana,hata mwenyewe nimewahi kuwanazo zaidi ya hizo,Kwa level yake huyo,hakuna wakumpa pesa nyingi kwenye tangazo lake,bado Hana influence kubwa kiivyo,watu wanaolipwa mamilioni kwenye matangazo ni kina wema,diamond,hamisa NK,si huyo kondakta.
Kuna watu hapa wanahisi wivu mkali balaa usiokuwa na sababu. Mwenzako akifanikiwa ni wakati wa kujifunza mazuri yaliyomfikisha pale na kama kuna madhaifu, uyaseme kwa namna chanya ukilenga kusaidia mtu huyo. Chapa kazi, Sali Sana, wasaidie wazazi. Siyo lazima upate zawadi na Mali alizopata mwanadada huyu lakini Mungu atakupatia kinachokufaa. Subira na uaminifu ni ngao za maendeleo mahali popote.
Ukiona mtu anafanikiwa mshukru Mungu kwaajili yake mtie moyo ndipo na wewe Mungu atakubariki kupitia yeye, Hongera sana mwanangu ukawe mfano kwa wengine wanaochagua na kubeza kazi za watu piga kazi mwanangu umeubariki moyo wangu much love toto nzr❤
Songa mbele Binti. Miaka 2 ijayo nunua gari linguine 20mil, wakukasirika wakasirike na wakukutukana wakutukane, lakini mwisho wa siku, utachomoka unawaacha wakishangaa shangaa na maneno na matusi yao. Piga kazi usisikilize vya kukurudisha nyuma, bali sikiliza vya kukupeleka mbele zaidi. Pambanaaaa.....
Hongera sana mtoto mzuri,Mwenyezi Mungu azibariki juhudi zako,usisikilize maneno ya watu,hao hawana kazi weee fanya kazi zako hiyo Ni nature ya wabongo wasikusumbue hataa
Congratulation nice Moshi unajuhudi Sana hata kipindi ulikuwa shuleni tulikuwa wote advance ulikuwa na juhudi Sana endelea hivyo hivyo waache hao wanao kubeza hata hawakujui by professor Jacob nyakahura
MashaAllah 🎉🎉🎉🎉dunia imebadilika,unatoboa popote,ni kujutuma tu na kufanya ur best,pesa unapata popote. Kujituma,fanya kazi kama ya kwako kwa moyo. Do your best,and God will do the rest .
Strength woman keep it up my dear i know there are a lot of snitches arround you so live your life let them live their life let them go God protect you Nancy
Shida ya watanzania waliowengi hawawezi kufurahia au kuunga juhudi za mtu anaeonyesha maendeleo wengi ni roho za korosbo badilikeni Huyo dada awe ni mfano au mtu wa kuigwa kwa wadada na wakaka wanaokaa bila kujishughulisha igeni mazuri ndio siri ya maendeleo
Binadam bwana wamekaza mafuvu oo anadanga sasa mtu anapata madili ya matangazo na kaz yake na unakuta familia haina njaa kama wengine kwann asipate pesa ya kununua gari acheni wivu sifien vizuri vya wenzenu