Тёмный

MIAKA MITATU YA KONDAKTA NICE, ANUNUA GARI YA MILIONI 17, "NIMEHAMIA SGR" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 214 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

17 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 473   
@hildajoel5
@hildajoel5 3 дня назад
Inawezekana jamani, amepata umaarufu na deals nyingi za kutangaza biashara za watu. Hayo mengine tumuachie mwenyewe. Pisi kali kama huyu wangekua wanabadili madanga tu na sehemu za starehe lkn kaamua kuwa konda na kutafuta hela yake bila kujali uzuri alionao. MNYONGE MNYONGENI LKN HAKI YAKE MPENI. Big up Nice
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 3 дня назад
@@hildajoel5 Dada yangu HILDA,ni kweli tumuachie tu mwenyewe,huo ukondakta ni kivuli tu cha kujifichia dadangu,ila umeshamalizia vizuri,tumuachie mwenyewe,na Mimi Kwa heshima yako,acha nisiendelee.🙏🙏
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 3 дня назад
@@hildajoel5 hapo wadada wote watataka wawe makondakta ili na wao wapate 17m,wakidhani ni UKWELI,dunia hii, mtihani Kwa kweli😭😂😂😂
@pasiensiabel7278
@pasiensiabel7278 3 дня назад
​@@israelkisaila8401 yaani gari la milioni 17 tu ndo unashangaa? Hv unajua tangazo moja analipwa shngap kwa siku au wiki?
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 3 дня назад
@@pasiensiabel7278 wewe M 17 najuwa ni pesa ndogo sana,hata mwenyewe nimewahi kuwanazo zaidi ya hizo,Kwa level yake huyo,hakuna wakumpa pesa nyingi kwenye tangazo lake,bado Hana influence kubwa kiivyo,watu wanaolipwa mamilioni kwenye matangazo ni kina wema,diamond,hamisa NK,si huyo kondakta.
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 3 дня назад
Kwa matangazo hiyo ni hela ndogo sana. Watu wanalipwa hadi milion mia mbili kwa tangazo moja
@hezronmagessa
@hezronmagessa День назад
Kuna watu hapa wanahisi wivu mkali balaa usiokuwa na sababu. Mwenzako akifanikiwa ni wakati wa kujifunza mazuri yaliyomfikisha pale na kama kuna madhaifu, uyaseme kwa namna chanya ukilenga kusaidia mtu huyo. Chapa kazi, Sali Sana, wasaidie wazazi. Siyo lazima upate zawadi na Mali alizopata mwanadada huyu lakini Mungu atakupatia kinachokufaa. Subira na uaminifu ni ngao za maendeleo mahali popote.
@joycealex8652
@joycealex8652 23 часа назад
Ukiona mtu anafanikiwa mshukru Mungu kwaajili yake mtie moyo ndipo na wewe Mungu atakubariki kupitia yeye, Hongera sana mwanangu ukawe mfano kwa wengine wanaochagua na kubeza kazi za watu piga kazi mwanangu umeubariki moyo wangu much love toto nzr❤
@happysanka
@happysanka 3 дня назад
Uko vzr dear usiwasikilize songa mbele dada mzuriiiii😍
@righitkileo
@righitkileo 3 дня назад
❤❤Jaman tuacheni wivu sio poa kwani matusi.ya nn? Mtoto wa watu bidii zake zinakukera nm?? Wivu bana hata akihonqwa wewe inakuuma nn?keep it up mamy.
@JoyceMwita-e3w
@JoyceMwita-e3w 3 дня назад
Ata akihongwa anafanya kwa marengo hongera dada nance
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 2 дня назад
​@@JoyceMwita-e3wkwel kabixa
@ShabaniKigalu
@ShabaniKigalu 3 дня назад
Kumb kitot cha 2000 waooh hongela lakin piya hongela kwa bidii na kuwa na malengo saf ❤
@TheresiaAndrea-hv9dg
@TheresiaAndrea-hv9dg 3 дня назад
Nimekupenda mtoto we ubajieliwa. Pambana utafika mbali. God bless you
@christinelokaji664
@christinelokaji664 3 дня назад
Songa mbele Binti. Miaka 2 ijayo nunua gari linguine 20mil, wakukasirika wakasirike na wakukutukana wakutukane, lakini mwisho wa siku, utachomoka unawaacha wakishangaa shangaa na maneno na matusi yao. Piga kazi usisikilize vya kukurudisha nyuma, bali sikiliza vya kukupeleka mbele zaidi. Pambanaaaa.....
@dorislema2465
@dorislema2465 3 дня назад
Gari iloilo linamtosha,,awekeze tuu sasa
@OmerSuley-gl7go
@OmerSuley-gl7go 3 дня назад
Wacha ajenge nyumba
@richarddavidmk
@richarddavidmk 3 дня назад
Boss ali mpumzisha Mwenye nyota ya kampuni yake. Adhabu zinatufanya tuwe bora zaidi
@user-qi4hn8lq1f
@user-qi4hn8lq1f 3 дня назад
MashaaAllah Mungu akulinde zaidi bint nzuri❤❤
@zenobiagenuine537
@zenobiagenuine537 2 дня назад
Hongera sana mtoto mzuri,Mwenyezi Mungu azibariki juhudi zako,usisikilize maneno ya watu,hao hawana kazi weee fanya kazi zako hiyo Ni nature ya wabongo wasikusumbue hataa
@shamiramsoke1365
@shamiramsoke1365 3 дня назад
Nakupenda sana nance unajituma sana MUNGU WA MBINGUNI AKUBARIKI
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 3 дня назад
Hongera Nancy, fanya ununue kiwanja Arusha, hili ni jiji la kitalii, unaweza kuwekeza, Mungu amekuinua,usiache kutoa sadaka na kusaidia wahitaji.
@VanShayokviewshoursago
@VanShayokviewshoursago 3 дня назад
Anakiwanja kwao moshi jiji lakitalii pia😊
@Ndu-wa.uroony2
@Ndu-wa.uroony2 2 дня назад
​@@VanShayokviewshoursagoMoshi sio mkoa hata sembuse kuwa Jiji Mbulula mkubwa wewe!
@VanShayokviewshoursago
@VanShayokviewshoursago 2 дня назад
@@Ndu-wa.uroony2 sasa kwn mimi nimesema kajeng mkoani moshi???
@VanShayokviewshoursago
@VanShayokviewshoursago 2 дня назад
@@Ndu-wa.uroony2 Unajua hata tofauti ya jiji na mkoa kweli mbulula mwenzangu??
@samsonelishajr9474
@samsonelishajr9474 День назад
Mungu anambariki mtu katika kila kazi, si lazima iwe kazi kubwa sana. Mungu aendelee kukusimamia Nancy
@user-vl1ts1eh8s
@user-vl1ts1eh8s 3 дня назад
Nice hongera sana my dear unajuwa kupambania sana❤❤❤❤
@Dejacofx6
@Dejacofx6 2 дня назад
Congratulation nice Moshi unajuhudi Sana hata kipindi ulikuwa shuleni tulikuwa wote advance ulikuwa na juhudi Sana endelea hivyo hivyo waache hao wanao kubeza hata hawakujui by professor Jacob nyakahura
@Dejacofx6
@Dejacofx6 2 дня назад
HGE nyakahura
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 3 дня назад
Hongera sna bint yangu umepambana sana zaid ya sana miaka 2 kwa mafanikio hayo aise umewafundisha bint mwenzako waache kudanga
@abdulmango2461
@abdulmango2461 3 дня назад
Safi sana kwa kupenda kazi yako hakika ukipenda kazi kutoka moyoni lazima ufanikiwe 👏👏👏
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 3 дня назад
Sidhani
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 дня назад
​@@rumdeesonsoa1811kweli jaribu uone matunda yake
@EvodiaDominic
@EvodiaDominic 3 дня назад
Hongera Sana Nice nawaombea wanangu wafanikiwe wakiwa na umri mdogo🙏🙏🙏
@isabellajuma1720
@isabellajuma1720 2 дня назад
Insha'Allah
@BeatriceKitembe-gs9si
@BeatriceKitembe-gs9si 3 дня назад
Hongera sna mwanangu nice
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 дня назад
MashaAllah 🎉🎉🎉🎉dunia imebadilika,unatoboa popote,ni kujutuma tu na kufanya ur best,pesa unapata popote. Kujituma,fanya kazi kama ya kwako kwa moyo. Do your best,and God will do the rest .
@RosemaryLema-qp2df
@RosemaryLema-qp2df 3 дня назад
Mnaosema amedanga jmn mbona maelezo yanatosha kapata kampuni na kafanya matangazo na support kwa mamaake
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 3 дня назад
Mbona wadangaji wengi wapo mitaani na hawatoboi? Watu acheni roho mbaya mwombeni asonge mbele.
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 3 дня назад
​@@dicksonkilupa2258Wanadhani wadangaji wana hela sana. Hv kuna watu wenye njaa kama wadangaji kweli
@jescaedwardkurumela4333
@jescaedwardkurumela4333 3 дня назад
Kwa malengo kila kitu kinawezekana Hongera binti
@denismushi614
@denismushi614 3 дня назад
Nakupenda bure mchaga wangu uko vzr sana mpambanaji.mchaga hashindwi na kazi
@Husseinsaidmbinga83
@Husseinsaidmbinga83 3 дня назад
wanawake wafupi mmeweza naombeni like zetu mnaakili sana sio nice pekeake
@Mina.15
@Mina.15 3 дня назад
😂😂😂😂
@sarahrashidabdallah3109
@sarahrashidabdallah3109 3 дня назад
Ushasema 😅😅😅tn wabishi i
@JudithAdonis
@JudithAdonis 3 дня назад
😂😂😂😂😂
@JudithAdonis
@JudithAdonis 3 дня назад
​@@sarahrashidabdallah3109 Mtuacheee 😂😂😂😂
@EuphrasiaNtawatawa
@EuphrasiaNtawatawa 3 дня назад
Uko vizuri sana my daughter usikate tamaa, nungefurahi pia ungetumia ile kanuni ya *PUSH* --Prray Untill Something Happen- tutafanya vizuri zaidi
@samirsamson3996
@samirsamson3996 3 дня назад
Strength woman keep it up my dear i know there are a lot of snitches arround you so live your life let them live their life let them go God protect you Nancy
@AthumanSisi
@AthumanSisi 3 дня назад
ongera Sana mungu akulinde uwe tu na Imani ya mungu❤❤ 13:05 13:05
@Alfredmusa24
@Alfredmusa24 3 дня назад
Ongeza gari nyingine, nunua viwanja jenga mahoteli mdogo wangu, yanawezekana
@AwinaNassoro
@AwinaNassoro 3 дня назад
Shida ya watanzania waliowengi hawawezi kufurahia au kuunga juhudi za mtu anaeonyesha maendeleo wengi ni roho za korosbo badilikeni Huyo dada awe ni mfano au mtu wa kuigwa kwa wadada na wakaka wanaokaa bila kujishughulisha igeni mazuri ndio siri ya maendeleo
@Gratefulheart3188
@Gratefulheart3188 3 дня назад
Kabisa Awina,
@camilomassao8971
@camilomassao8971 3 дня назад
Kweli, hata ukivaa kiatu cha mchina wanauliza shhiii, amepata wapi, si bure kaiba hela mahali
@salumualoyce5620
@salumualoyce5620 2 дня назад
Nimekubali kaka mkubwa umeongea fact 😂😂😂😂
@VeronicaMduba
@VeronicaMduba 15 часов назад
Hongera sana kazi nzuri
@clemenceparokola
@clemenceparokola 3 дня назад
Huyu Binti ni mchapakazi sana
@laiserkuyan6075
@laiserkuyan6075 3 дня назад
Hongera Sana Nancy mungu Akutie nguvu uzonge said ya hapo uwe muvano kwa wadada wengine wajue kumbe inawezekana zio wanaume Tu ❤
@CatsonMwanda
@CatsonMwanda 2 дня назад
hongera sana kwa kujitambua maana makondakta wengi wanajizarau
@Economically-Growth-Musicians
@Economically-Growth-Musicians 3 дня назад
From #EconomicallyGrowthMusicians Congratulations 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@didimeandrewngowi
@didimeandrewngowi 3 дня назад
Beautiful!! Congratulations, keep it up 🎉
@AzaAzamhmod
@AzaAzamhmod 3 дня назад
Bismillah mashalah kanajituma kazuri❤❤ufup ni wake.kaumbwa hajajiumba
@RahmaKasimba
@RahmaKasimba 2 дня назад
Hongera mdogo wangu, ucjal maneno ya watu kwan mti wenye matunda ndiyo hupigwa mawe zaid mtangulize Mwenyenzi Mungu kwa kila hatua
@Antonijoku
@Antonijoku 2 часа назад
Honger dada kwa juhudi zko
@LightnessUrio-fo7mq
@LightnessUrio-fo7mq 3 дня назад
Mungu akuzidishie zaidi na zaid nausi mwache mungu jishushe eshima iwe ngao yako utiifu uwe fimbo yako pia mungu akulinde mpnz
@MamaGennady
@MamaGennady 3 дня назад
Hongera sana mchaga mwenzangu mungu azidi kukupambnia
@rehemamajaliwa
@rehemamajaliwa День назад
Hongera sana mdogo angu😘😘😘😘
@zakayomawalla1085
@zakayomawalla1085 3 дня назад
You can excel in anything! She is very bright!
@Gersah
@Gersah 3 дня назад
Congratulations mummy you deserve 🎉
@beatricejoseph2784
@beatricejoseph2784 3 дня назад
Anastahili kwakweli
@OsOs-l7c
@OsOs-l7c 21 час назад
Congratulations nice sister from another mother
@zawadikajuna3522
@zawadikajuna3522 37 минут назад
Hongela dada nmekupenda
@malengaWetuTv2699
@malengaWetuTv2699 3 дня назад
Mitandao inaela sana mimi naamini
@user-fd1kv7zm4s
@user-fd1kv7zm4s 20 часов назад
Muongo kwa mshahara gn wa kununua gr miaka mitatu kwa kz ya ukondacta uwo mshahara ci unamalizia kweny faction yk tu
@DijaCute
@DijaCute День назад
Hongera sana dada😘😍🥰❤️
@elizabethkalinga0822
@elizabethkalinga0822 3 дня назад
Hongera sana Nice you Deed it. BRAVO 💪🔥💪
@miriamamiri641
@miriamamiri641 18 часов назад
Siangejenga kwanza mrembo wangu ❤❤❤
@GloriousMshingwe
@GloriousMshingwe 2 дня назад
Nakupenda sn ww mdada ❤❤❤
@vero57
@vero57 3 дня назад
HONGERA SANA DADA, KAZI NI KAZI MRADI PESA INAINGIA SAFI SANA DADA 👍💐👌👏🌺😘🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥
@mtangag774
@mtangag774 3 дня назад
Sema anajituma lakn jaman
@LatifaMatayo-sz2cb
@LatifaMatayo-sz2cb 3 дня назад
Sanaa
@MerryLeonard-l1f
@MerryLeonard-l1f 2 часа назад
Mungu aibarik kaz yako, mm pia natamn kweli kaz kama hiyo lakn nakosa nafasi,na tunatapeliwa sana
@SelinaWilson-b5y
@SelinaWilson-b5y 3 дня назад
Pambana dogo na Mwenyezi Mungu akufungulie milango zaidi
@hafsasaid9666
@hafsasaid9666 3 дня назад
Binadam bwana wamekaza mafuvu oo anadanga sasa mtu anapata madili ya matangazo na kaz yake na unakuta familia haina njaa kama wengine kwann asipate pesa ya kununua gari acheni wivu sifien vizuri vya wenzenu
@user-em9zw4sd3c
@user-em9zw4sd3c 3 дня назад
Umeongea point watu wanafikra zakimaskini sana ndokinacho wasumbua wamekazana anadanga embu wakadange nawao watuletee ata bajaji tuone😒
@salumualoyce5620
@salumualoyce5620 2 дня назад
"Wamekaza mafuvu" 😂😂😂
@salumualoyce5620
@salumualoyce5620 2 дня назад
​@@user-em9zw4sd3c😂😂😂😂
@dorisnzogolo1476
@dorisnzogolo1476 2 дня назад
Wow❤❤❤🎉
@anastaziamehadi9143
@anastaziamehadi9143 3 дня назад
Very good. Keep going to attain your goals
@leonardladislaus7383
@leonardladislaus7383 13 часов назад
Hongera sana mdongo wangu
@moriskalegeleshusha2619
@moriskalegeleshusha2619 3 дня назад
Hongera sana mdogo wangu uko vzr
@user-jn6ec7qv5p
@user-jn6ec7qv5p 3 дня назад
Congrats bebe ❤
@neemastanley3539
@neemastanley3539 3 дня назад
Keep chasing the bag Bby girl
@user-jn6ec7qv5p
@user-jn6ec7qv5p 3 дня назад
Congrats once again love
@Jumanneharuna154
@Jumanneharuna154 14 часов назад
Inapendeza❤ sana
@Faya884
@Faya884 День назад
Ooh good🎉
@DeborsJoseph
@DeborsJoseph 48 минут назад
Safi sana Mungu akulinde
@MosesMukeka
@MosesMukeka День назад
Hongera sana binti
@CharityMkaugala
@CharityMkaugala 2 дня назад
Hongera mdogo WANGU. Wee songa mbele tuu fuata neno la MUNGU usikate tamaa..
@AngelAlphonce
@AngelAlphonce 2 дня назад
Jaman gari kanunua mwenyewe kwa kuwekeza kidogo kidogo mil 17 aliuziwa ni IST jmn kwa wale motors muende mkanunue pia
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 3 дня назад
Hongera sn Binti❤
@YusterLeonard
@YusterLeonard 3 дня назад
Good I love you unapambana by madam yuster.
@MsukumaBodaboda
@MsukumaBodaboda 3 дня назад
Mpe salamu nyingi mr.MWANYA
@Sixberitharenatus
@Sixberitharenatus День назад
Hongera sana
@jamesukombozi5216
@jamesukombozi5216 3 дня назад
Wewe ni Tajiri wa Afrika,, piga kazi MTT 🎉❤🎉🎉
@salumualoyce5620
@salumualoyce5620 2 дня назад
Tuliza mihemko😂😂😂
@happyiskaka
@happyiskaka 3 дня назад
Hongera sana kwa upambanaji mdgwangu
@AmisamauridNgagada
@AmisamauridNgagada 3 дня назад
Good dada achana na shombo za wabongo wengi wao wanamaisha ya kizamani wanapenda maisha ya tufe wote
@salumualoyce5620
@salumualoyce5620 2 дня назад
Kabisa mzee 😂😂😂😂
@ireneKiposa
@ireneKiposa 3 дня назад
Kumbe mdgo tu hongera💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚
@DativaMbowe
@DativaMbowe 3 дня назад
Hongera mdogo wangu 🤝❤️
@SalimuMohamed-w9h
@SalimuMohamed-w9h 2 дня назад
Haya manbo yanasiri miaka mitatu milioni 17 uko vzr.
@enocksilungwepondajr9707
@enocksilungwepondajr9707 15 часов назад
Yaaa it's possible
@shammhagama2527
@shammhagama2527 3 дня назад
Tunaozijua sauti za hivo tujuane, yaani ni lazima anunue gari tu. Maelezo hayana uhalisia😅😅
@mariamumusa4116
@mariamumusa4116 14 часов назад
Ivi kumbe ukifanikiwa ni lazima ujitangaze mi naona nikutafuta husda na nikaushamba flan maana huelewa uko tofaut tofaut
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 3 дня назад
Hongera binti ❤
@user-wx9or8rw4n
@user-wx9or8rw4n 3 дня назад
Nice fanya ujenge nyumba,maisha ndo haya haya.
@DativaMbowe
@DativaMbowe 3 дня назад
Mwambie
@shammhagama2527
@shammhagama2527 3 дня назад
Ajenge wakati anasubiri kuolewa hahaha
@floramassawe8930
@floramassawe8930 3 дня назад
Kwel boss wa tilisho ni mstaharabu sana
@SylviaAthuman
@SylviaAthuman 2 дня назад
Hongera nance
@judnesstemba7252
@judnesstemba7252 3 дня назад
Hongera sana nice
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz 3 дня назад
Hongela mdogowangu kwabidi
@KuruthumBilali
@KuruthumBilali День назад
Tabaraka ❤❤❤
@AshaRamadhani-r2o
@AshaRamadhani-r2o 2 дня назад
Honger dadaa
@UpendoMasawe-j1n
@UpendoMasawe-j1n 3 дня назад
Waoooo amazing 😍
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 3 дня назад
Nancy, nimekukubali mwanangu! endelea hivyo.
@janelyatuu1135
@janelyatuu1135 3 дня назад
❤mungu akutnze mtoto was kichaga
@HonestaAloyce
@HonestaAloyce 3 дня назад
Hongera,Mdogo,wangu,wakua,ishuwezavo
@Daniella249
@Daniella249 3 дня назад
Watu mkiacha wivu mtagundua huyu dada anajituma na anajuhudika jamani 😅
@salumualoyce5620
@salumualoyce5620 2 дня назад
😂😂😂😂😂
@faithkaganda-k3s
@faithkaganda-k3s 3 дня назад
Hyo miaka kila cku mnatwambia v2 tofauti😂😂anyway hayanihusu😅😅
@hanifamziray277
@hanifamziray277 3 дня назад
Mmekosa cha kupost
@JacksonKaria
@JacksonKaria 22 часа назад
Mi mchanga ban wao nimeipenda iyo kabila gani linguine linaweza kujitambulisha kama hii
@NaftaryMgoye
@NaftaryMgoye 3 дня назад
Hii nisifute... Hongera
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 3 дня назад
Pambana kipenzi vaa vizuri sanaaaa achana na walimwengu
@CrementinaObwago
@CrementinaObwago 3 дня назад
malayatu uyo
Далее
SNAKE BOY | ep 37 | SEASON TWO
25:01
Просмотров 388 тыс.
WAMEYATIMBA NDARO NA STEVE MWEUSI
14:56
Просмотров 1,9 млн
BABA YANGU KIPOFU Full Episode /37/ #love
40:20
Просмотров 344 тыс.
MISSION IMPOSSIBLE [40]
25:25
Просмотров 24 тыс.