Uyo ni mweu kabisa paka kama angejuwa chanzo Cha uchawa kimeazishwa na baba Leo elim yake ni dalasa la Saba kakupa ajila wewe msomi mbona ujakaa Redio yenu ya uridhi clazzz kaka ila umefata elim dogo Sana kwa baba levo
Mwijaku sio vizuri kumtukana mke wa babalevo heshima umetuvunjia sana mwanamke na affair ya mtu na privacy ya mtu usingilie na shangaa una Sema nimesoma na degree
MWIJAKU Big UP sana ! Babalevo hanaga lolote kwanza ni mtu ambae hakuendaga shule......sasa atakutisha nanini ? Kwanza anakichwa kibovu.yeye abakitu chawa.
We dada unafaa sanaaaaaa ❤ kuwa mtangazaji na ningependa tv yako ipenye sena we ukitoka kwa mwijaku mfwate pimbi meneja nding’ano na abikubanga na vijana wa kitaaa wanao ongelea wasanii ma star hata kaliako ukike ili mradi hii tv i pande zaidi 🎉 nimeijua kupitia mwijaku ❤ basi Fanya hivyo dada, yani unahoji Vizuri na unafaa zaidi kwa kutanganza god bless u
Ni kweli Mwijaku uwa unasimamia kwenye ukwel mtu unakuwa nae akikosea unamwambia ukwel ila Baba Levo hatak Mwambino aambiwe ukwel kisa anapewa ugali, sema ukwel hat km boss wako akienda wrong ila wajinga ndio wasioelewa!