Тёмный

DOTTO MAGARI AMUWASHIA MOTO BABA LEVO, USO KWA USO, CHANZO GARI 

Mbengo Tv
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 76 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

8 ноя 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 96   
@user-wp3xr8gr8u
@user-wp3xr8gr8u 7 месяцев назад
Doto Acha Tu unatisha mzazi unatufanya tujiskie good Always
@AldoMan-ex6mi
@AldoMan-ex6mi 6 месяцев назад
Nakubal
@humphreyleodgar9434
@humphreyleodgar9434 6 месяцев назад
Doto ni halisi halisia hakuna kufake ❤❤❤
@frankmganda2424
@frankmganda2424 7 месяцев назад
Broo Dotto nakukubali sana unaongea ukweli
@user-sj8ck1bk1d
@user-sj8ck1bk1d 7 месяцев назад
Pesa haitaki kelele broo piga kazi mdomo achia Mke Wako boi
@salehkejje8786
@salehkejje8786 7 месяцев назад
Doto ni mtu Wa kufurahisha watu Tunajiskia faragha sana uwepo wako
@ASALABOY
@ASALABOY 8 месяцев назад
Mzee wanondo Dotto maca
@katsuvakamatedaniel7893
@katsuvakamatedaniel7893 7 месяцев назад
Hapo kwa juma nime cheka eti Kama musabato 😅😅😅
@eldaddyofficial
@eldaddyofficial 6 месяцев назад
Tto kakaa nao chuoni Uganda
@HappyGreenTea-fo8lz
@HappyGreenTea-fo8lz 4 месяца назад
Anaendesha kila jumapili kama msabato😅😅😅😅😅
@haroldkayanda7092
@haroldkayanda7092 8 месяцев назад
Hupendi maendeleo ya wenzio kazi kuwaponda, hivi wewe unauza magari au kazi kukashifu wenzio? Hiyo ndo kazi unaisha familia yako? 😂 pole!
@SharifuAlbughul-ls4mw
@SharifuAlbughul-ls4mw 8 месяцев назад
Yan mpk waandishi wanashindwa kumhoji wajikuta wanachekaaaa to na kuskiliza😂😂😂😂😂
@elizajoseph7209
@elizajoseph7209 7 месяцев назад
Anaendesha juma mosi na juma pili kama msabat0😂😂😂😂😂😂
@udizungwahimalaya5213
@udizungwahimalaya5213 8 месяцев назад
Dotto eeeeeeeh sijawahi kucomment leo acha nicheke2😂😂😂😂
@bonabonala5559
@bonabonala5559 7 месяцев назад
doto mwamba upo juu kuriko mapua au mama levo
@angedizzle1
@angedizzle1 7 месяцев назад
Kwa sisi watu wenye elimu.....😂😂
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 7 месяцев назад
Doto acha uongo mbona hiyo gari haina namba kama kweli ni yako😅
@arafatkasu
@arafatkasu Месяц назад
Vibunju 😅😅😅😅😅
@ReginaJoseph-cm3cx
@ReginaJoseph-cm3cx 7 месяцев назад
Kodi unalipa?
@danreckgodfrey4663
@danreckgodfrey4663 7 месяцев назад
Kwani dotto una gari yaina gan? Maana unaponda wakati lakwako hatulioni na pikipiki huna😊😊
@SelinaMdoe-jv1pu
@SelinaMdoe-jv1pu 7 месяцев назад
Mbona doto unakaa banda la uani misifa yote hiyo uliyonayo jamani mnaishi mai sha yakuigiza sana
@bugabyarugaba3771
@bugabyarugaba3771 7 месяцев назад
Baba levo kwa doto tulia wenye jj lao huwawezi
@eldaddyofficial
@eldaddyofficial 6 месяцев назад
Mburundiii babalevoo
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 8 месяцев назад
Yawezekana,kanunuliwa ,Ila wanakata kwenye mshahara
@abisaimuhanji3687
@abisaimuhanji3687 7 месяцев назад
Eti hapa ipo😊
@sorwasoudy6256
@sorwasoudy6256 7 месяцев назад
Doto unaongea Sana
@mathewungani9724
@mathewungani9724 7 месяцев назад
Matako ya Nyani.....Mapua
@roberttagaya9098
@roberttagaya9098 7 месяцев назад
Dotto. Sasa sisi Wasabato tumeingiaje apo? Mbona ivyo?😅😅
@eldaddyofficial
@eldaddyofficial 6 месяцев назад
😂😂😂
@josephmihayo6236
@josephmihayo6236 7 месяцев назад
Mbwembwe nyingi, majigambo mengi kumbe anakaa chooni.
@user-fg1gg3ec2o
@user-fg1gg3ec2o 7 месяцев назад
Kenya waoga wanaogapa kuuawa
@salumDion3175
@salumDion3175 7 месяцев назад
Kwan namba yagar inasemaje niileile au imebadirka
@user-lq1yg9mk1i
@user-lq1yg9mk1i 3 месяца назад
Acheni ushamba wa magari nyie
@user-el6mm4lh4m
@user-el6mm4lh4m 8 месяцев назад
Dotto njaaa2 uyoooo na sofa zimemjaaaa daimond hnaaa hiana na m2 bba levo chapa kazi🎉🎉🎉🎉
@user-fp9su6vp9y
@user-fp9su6vp9y 7 месяцев назад
🎉
@Josephkp629
@Josephkp629 7 месяцев назад
Tqngazo la biashara hili
@westcijosh
@westcijosh 7 месяцев назад
Matako ya nyani yamekua matako ya sungura😂😂 dotto kenge sana
@mariamalongo8803
@mariamalongo8803 7 месяцев назад
Duuu
@asmarajabu5786
@asmarajabu5786 8 месяцев назад
bora umewakomoa mana wambea hao 😏😏
@fanitofaustino4108
@fanitofaustino4108 7 месяцев назад
Kkkkk
@user-vw7te4fu9h
@user-vw7te4fu9h 8 месяцев назад
😂😂😂
@user-lq1yg9mk1i
@user-lq1yg9mk1i 3 месяца назад
Gari ni Chombo cha usafiri sio cha starehe...ukipata ajali ndio utajua.... Zaidi ni comfortability tu ya Gari kwa kutegemea umbali wa safari na ndio maana raisi ana magari ya town caravans' cars na gari za masafa ya mbali
@user-lq1yg9mk1i
@user-lq1yg9mk1i 3 месяца назад
Dotto Kwa sababu yeye Ni dalali wa magari Sio ajabu....Ila Hao wengine wamezidi ulimbukeni na ushamba ....mzungu hana ujinga wa kumiliki magari mengi akiwa hata ana Pesa vipi na wasanii wa ulaya wao wanakua na magari mengi ili baadae iwe kama vintage Yard
@user-lq1yg9mk1i
@user-lq1yg9mk1i 3 месяца назад
Achani kuiga maigo yasiyo ya msingi Kuna mambo kibao yakufanyia hizo Pesa ukaweleza na kufahidika ....acheni kua na mindsets za ajabu
@salehkejje8786
@salehkejje8786 7 месяцев назад
Doto achana na watu utajiharibia CV endelea kutufurahisha Cha mama kipo apo 😂😂
@gadafsalum8042
@gadafsalum8042 8 месяцев назад
Inatakiwa uanze kuripa kofi
@sorwasoudy6256
@sorwasoudy6256 7 месяцев назад
Doto ndo kboko w machawa
@eldaddyofficial
@eldaddyofficial 6 месяцев назад
Umeonaaa ehhhhhh hawavumiiiii tenaa wala hatuwaogopi tenaa
@YustoMlay-cv4zb
@YustoMlay-cv4zb 8 месяцев назад
🤣🤣🤣🤣
@user-uo8ce5wp9x
@user-uo8ce5wp9x 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@user-uo8ce5wp9x
@user-uo8ce5wp9x 7 месяцев назад
duu huyu mwamba hatar
@benitokibwaa4251
@benitokibwaa4251 8 месяцев назад
Humuwez baba levo ww
@KIPUDA2023
@KIPUDA2023 8 месяцев назад
😂😂❤❤
@Kimanzi001
@Kimanzi001 8 месяцев назад
DOTO MAGARI NDO NAANI MBONA ANA KELELE SANA?
@mkanulamajid500
@mkanulamajid500 8 месяцев назад
Mbona sijaona sehemu ambayo b levo anamchana doto ?
@westcijosh
@westcijosh 7 месяцев назад
Ukifungua macho utaona
@nurdinkisaria9476
@nurdinkisaria9476 8 месяцев назад
Wee takataka fiche vihela vyako mshenzi nini
@user-rw9kc2wg4f
@user-rw9kc2wg4f 7 месяцев назад
Sema mnazingua nyie midia yenu jau iyo uso uso kwa uso baba levo yupo wapi ss acheni mamb ya kiwaki
@nasibuahmedy2438
@nasibuahmedy2438 7 месяцев назад
Tatizo Doto watu wanampendea uongo wake tu na kujisifu hela lkn hamna chochote maigizo tu hayo ukimaliza interview unarudisha hela za watu hizo daaaah. Unasema Mazda gari lako lkn hakuna hata plate number mamyake
@Baron_Kigume
@Baron_Kigume 7 месяцев назад
Acha makasiriko. Tafuta Hela
@nasibuahmedy2438
@nasibuahmedy2438 7 месяцев назад
@@Baron_Kigume Sema unataka shingap nikutumie
@Baron_Kigume
@Baron_Kigume 7 месяцев назад
@@nasibuahmedy2438 Ninajitosheleza. Silalamiki hovyo na kuanza Ku-Diss hustle za wanaume wenzangu. Ninaheshimu wapambanaji
@roseannandambo8695
@roseannandambo8695 7 месяцев назад
Utani utani tupinge utani na doto magari?
@laurentmupira1280
@laurentmupira1280 8 месяцев назад
Tukizichange kwenye dollars za Marekani, hamna kitu!!!! Ni ugari tu, na mboga za majani.
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 8 месяцев назад
Ila zakwakweeeeee
@NgengeMkeni-uo5hq
@NgengeMkeni-uo5hq 8 месяцев назад
We unazooo😂
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 8 месяцев назад
Mtumwa wa mayahudi
@davcodavid8651
@davcodavid8651 8 месяцев назад
Acha bwana wewe zake lkn
@laurentmupira1280
@laurentmupira1280 8 месяцев назад
@@NgengeMkeni-uo5hq, More, than him!!! For eg: Kila asubuhi nikiwa kaunta, nalazimika kutoa pesa taslimu zaidi ya milioni mia mbili ili kuwalipa wasafirishaji wa malori ya trela. Ni lazima iwe siri kubwa, iliyotunzwa vizuri na sio hiyo.
@KingSillah-gx5nv
@KingSillah-gx5nv 7 месяцев назад
Wanaume watanzania wanaongea sana kuliko wanawake, hapa Kenya huwezi ongea vile huyu jamaa anajisifia utapigwa risasi mapema sanaa💔💔💔. Tajiri haonekani mtandaoni ama kwenye media , matajiri wanaogopa kuonekana, nashangaa vile watanzania wanapenda kujionesha wakijisifu vile wanavyo hela. Njoo hapa Nairobi uone matajiri, utajidharau kaka.
@wilsonthomas9176
@wilsonthomas9176 7 месяцев назад
Nchi yenu c haina aman
@nasibuahmedy2438
@nasibuahmedy2438 7 месяцев назад
Ushasema huko kwenu Kenya ila tambua huku ni Tanzania nchi huru. Alafu huyu Doto magari wala sio tajiri au umepagawa na hicho kibunda kidogo cha hela
@MCNgakungaJunior
@MCNgakungaJunior 7 месяцев назад
Million moja siyo utajiri.Hao unaowaona wanaongea sana riziki yao iko mdomoni.Hivyo lazima waongee sana.
@zakariadesha2707
@zakariadesha2707 7 месяцев назад
Kenya wanaumehawana pesa Tanzania tulishazoeya kutumiya pesa mtanzania wahaliyachini hakosikumiliki MILIONI kwanziya 5 kwahio kwetu tunaona kwawaidatu
@allendaniel3172
@allendaniel3172 7 месяцев назад
Asa nyi si mnatamaa Tz watafutaji ukiwa na pesa Yako ni Yako hakuna MTU ataitamani kikubwa kupambana Kila mtu awe na chake nyi Kenya piganen io mibunduki Kwa tamaa zenu
@user-hi1xf3je6l
@user-hi1xf3je6l 7 месяцев назад
Mmezingua kwa mzawa mwenye dar yke
@oyay2821
@oyay2821 8 месяцев назад
@babalevo waitwa huku
@andrewmmbaga1665
@andrewmmbaga1665 7 месяцев назад
😂😂😂
Далее
D3 Ваз 2107 Не умри от зависти!
18:57
MCH HANANJA ATOA SOMO KWA GEN Z WA KENYA, MUNGU HAPENDI
29:22
D3 Ваз 2107 Не умри от зависти!
18:57