Gari ni Chombo cha usafiri sio cha starehe...ukipata ajali ndio utajua.... Zaidi ni comfortability tu ya Gari kwa kutegemea umbali wa safari na ndio maana raisi ana magari ya town caravans' cars na gari za masafa ya mbali
Dotto Kwa sababu yeye Ni dalali wa magari Sio ajabu....Ila Hao wengine wamezidi ulimbukeni na ushamba ....mzungu hana ujinga wa kumiliki magari mengi akiwa hata ana Pesa vipi na wasanii wa ulaya wao wanakua na magari mengi ili baadae iwe kama vintage Yard
Tatizo Doto watu wanampendea uongo wake tu na kujisifu hela lkn hamna chochote maigizo tu hayo ukimaliza interview unarudisha hela za watu hizo daaaah. Unasema Mazda gari lako lkn hakuna hata plate number mamyake
@@NgengeMkeni-uo5hq, More, than him!!! For eg: Kila asubuhi nikiwa kaunta, nalazimika kutoa pesa taslimu zaidi ya milioni mia mbili ili kuwalipa wasafirishaji wa malori ya trela. Ni lazima iwe siri kubwa, iliyotunzwa vizuri na sio hiyo.
Wanaume watanzania wanaongea sana kuliko wanawake, hapa Kenya huwezi ongea vile huyu jamaa anajisifia utapigwa risasi mapema sanaa💔💔💔. Tajiri haonekani mtandaoni ama kwenye media , matajiri wanaogopa kuonekana, nashangaa vile watanzania wanapenda kujionesha wakijisifu vile wanavyo hela. Njoo hapa Nairobi uone matajiri, utajidharau kaka.
Asa nyi si mnatamaa Tz watafutaji ukiwa na pesa Yako ni Yako hakuna MTU ataitamani kikubwa kupambana Kila mtu awe na chake nyi Kenya piganen io mibunduki Kwa tamaa zenu