@@user-id5oc7hm4n kwani hao makolo si washapelekana mahakani mpira wa tz unavitu vya ajabu mnoo watz ni watu wasiopenda mazuri alikuja raisi tz alietaka ibadili nchi wakatokea wtz na kumpinga na hata kufurahi alipokufa ni watu wenye roho za ajabu mnoo akija mtu mwema hatumtaki
Hee huyu Juma Magoma kwani amesharudi Yanga ? Huyu si ndiyo waliyo anzisha timu yao Pan Africa yeye ni mmoja wao ? Daa inamaana amesharudi kwa kutaka kuifanya Yanga ni sehemu ya kucheza bao kama zamani ?
Mzee anamatatizo kila kukicha anachochea tu, Yanga ni kubwa kuliko yeye. Miaka yote uko Yanga ulishindwa kujenga uwanja, Hernsi anapiga kazi timu yetu iko vizuri hao wazee wanatakakupiga ela.
Sura Mbaya Hy Kunguru Hakutaki Kama Mlikuwa Na Shida Ya Pesa SI Mseme Mpewe Hersi Hamjamdjalilisha Mmejidhalilisha Nyie Wenyewe Kofia TU Inakujulisha Wewe Una Njaa
kuna watu wa ovyo jaman ka ma kweli wanaipenda yanga wasingeweza kufanya ivyo. Yanga inafanya vizuri ndo wanaitaka. kwan. dah mungu amsaidie rais wetu kama kura tupige tena. tubaki na furaha zetu
HUYO JUMA MAGOMA KWETU SISI WANACHAMA NA MASHABIKI WA YANGA AFRICA ATUWATAKI HAO WAZEE WASIO NA AKILI NANI ATAWAPIGIA KULA? KWA SASA WAO WENYEWE WAMESHA JUWA WAMEHARIBU WANAJISTUKIA KWA WALICHOFANYA AKIJA TUPENDEZA
kumekucha ukooo nyuma mwiko kesi yenu simba wanahusika na nini mi nilijuwa2 kimya kikubwa kina mshindo haya sasa uko nyuma mwikooooo mumeshatiwa mwiko wa nyuma haya utoweni sasa
kila siku munaambiwa nyuma mwiko wenye akili ni watu wa wili2 haya ilikuwa munaicheka simba kwa migogoro saiv na nyiny muna nini munamcheka mamba wakt hamjavuuka mto hususa ni nyinyi vyura mumeshajijuwa munaishi kwenye maji halafu manamcheka mamba