Тёмный

NONGWA ZA MSIMU (EP 02) | Mashabiki wacharuana ishu ya wachezaji kuuza mechi na kiwango cha Feitoto 

Azam TV
Подписаться 2,7 млн
Просмотров 33 тыс.
50% 1

Azam TV

Спорт

Опубликовано:

 

9 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 78   
@johnurio9151
@johnurio9151 17 дней назад
Miraji huwa nakukubali sana ila Kuna kipindi unashindwa kuwa mkweli, mechi ya Yanga na Simba ni wazi Simba walizidiwa
@ahmedmpimbi9684
@ahmedmpimbi9684 16 дней назад
Achana nao, nyakati zimebadilikia ila wao wanaishi nyakati zilizopita.
@malietamaliet
@malietamaliet 17 дней назад
miraji nakuelewa sana we ni shabik ata kama ujawai maybe kusomea uchambuzi ila kuna wachambuzi unawazidi wengi hapa bongo chukua maua🎉🎉 yako
@huseinbusaba5064
@huseinbusaba5064 17 дней назад
🤝🤝🤝🤝
@kazembeally1619
@kazembeally1619 17 дней назад
Mpira ni namba kama utazikataa namba bas mtakuwa mnapiga kelele.position ya namba kumi kazidiwa namba 8 bado ajawai kifikiwa namba ya mudathiri.
@ZakariaSimon-gp1gr
@ZakariaSimon-gp1gr 17 дней назад
Wanauza mech wachezaji tena
@user-bj6lx9ss6n
@user-bj6lx9ss6n 17 дней назад
Daaah Mashabiki wayanga Mbona Wapombalisana na soccer Wanaongeasana Kimapenzi ya team yao.
@omarymwenebatu
@omarymwenebatu 17 дней назад
Shida ya mashabiki wa yanga huwa si waelewa kisoka.
@MoshiMrisho-e6m
@MoshiMrisho-e6m 12 дней назад
😂😂mashabiki wa yanga 😂😂daah akiliamnakabisa pole alafu mpira amjui kabisa
@josiacharles2778
@josiacharles2778 13 дней назад
Swali la yanga kajibu vizuri miraji kuliko wenye yanga yao.😂
@husseinmassawa7186
@husseinmassawa7186 16 дней назад
Kwa anayejua ball, ata madrid asa hivi akija akiambiwa achague kati ya fei na ki ataenda kwa ki tu😅
@l.marley_2542
@l.marley_2542 9 дней назад
Naipenda sana Yanga ila tshabalala Bora kuliko kibabage
@MoiseMishenyimateranya
@MoiseMishenyimateranya 12 дней назад
Mada nizuri Saana kabisa fei Toto nimuzuri
@sajigwelunogelominga2446
@sajigwelunogelominga2446 17 дней назад
Mzee Chembela kaongea ukweli mtupu,huyo Gody na wenzeke wanaleta ushabiki
@Kabeya410
@Kabeya410 17 дней назад
Mgosi alikamatwa na pesa kutaka kuhonga mtibwa na alifungiwa
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 17 дней назад
Kipindi kizuri sana hichi. Siku moja nitakuja nina mambo mengi sana ya kuongea.
@jamesmwita2995
@jamesmwita2995 13 дней назад
Huyo baba mtangazaji anafurahisha sana anavouliza maswali
@saidjuma-j3r
@saidjuma-j3r 14 дней назад
Feisal mtu jamaniii Oooh😂😂😂😂😂😂
@osimtawa5392
@osimtawa5392 17 дней назад
Mzeee said 😅😅😅😅😅😅
@jimmymnuano7165
@jimmymnuano7165 17 дней назад
Ni kuzidiwa tu kimchezo hakuna rushwa yeyote kwanza ushindi kwa mchezaji ni raha. ila kushawishi kumpa pesa ili ahame mchezaji ili ahamie tim nyingine inawezekana,
@ElizabethLukosya-lv2vf
@ElizabethLukosya-lv2vf 11 дней назад
Feitoto akienda yanga anacheza pia Simba anacheza Azam anacheza kila tim hapa mpeni 🥀🥀yake acheni chuki utoporooooo
@WilfredSaidi-st3tn
@WilfredSaidi-st3tn 11 дней назад
2nataka part3 dodi🎉🎉
@slowclimbertothetop4572
@slowclimbertothetop4572 15 дней назад
Nakusikilizaga sana Miraji ila leo umepuyanga mzee. Rushwa ngumu sana kwa mpira wa sasa. Mchawi wa Simba ni Simba wenyewe
@hassansalum2572
@hassansalum2572 13 дней назад
Rushwa ipo popote wewe mpira wa bongo asa mechi hizi kubwa Rushwa tupu
@CikeTanzania
@CikeTanzania 17 дней назад
Siunaona kabisa mchezaji anasema mwenyewe aliambiwa asifunge ili asajiliwe.
@emasonindowo5321
@emasonindowo5321 11 дней назад
Huu ni uongoo mbona Kuna mwaka yanga alichukua point nne kwetu simba na nyuma mwiko ajachukua ubingwa😂😂😂
@bakanga1410
@bakanga1410 14 дней назад
ww dodi mwendesha kipindi na waongozwaji wote isipokuwa miraji na dosi ni wanafiki na wapuuz sana hakuna mwanamichezo hapo wala mpira hawajui
@PaulMuasya-z8c
@PaulMuasya-z8c 17 дней назад
Timu nzuri hii
@omarymwenebatu
@omarymwenebatu 17 дней назад
Inamana akuna shabikiyeyote wa yanga ambae anaweza akamkubali FEI.
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p 17 дней назад
Fei anacheza mana alikua anakueka nnje azizik
@ramadhanrashidmthailand9553
@ramadhanrashidmthailand9553 14 дней назад
Huyo gody anaonekana hajui kabisa mpira anachojua yeye ni yangatu maana hata kwenye ukweli anabisha
@user-ui4vt9vl6h
@user-ui4vt9vl6h 12 дней назад
Mm yanga ila uy God mpl aujui
@ToshNester
@ToshNester 14 дней назад
Hiki kipindi kizuri sana.
@IddiHassan-mr3sb
@IddiHassan-mr3sb 14 дней назад
Asiwazingue kwani wskubwa wa wanafumgwa je jela mishahara yao kiasi gani
@jumaiddy441
@jumaiddy441 17 дней назад
Hawa wapuuzi hata chama walisema hana namba yanga leo imekua sherehe na lazima atacheza
@chiddmullo3241
@chiddmullo3241 10 дней назад
Oya milaji salut Sanaa kaka
@jumaiddy441
@jumaiddy441 17 дней назад
Huyu utopolo mbona kiherehere sana haitwa kanyanyuka hamuoni mwenzake miraji japo kashika mic lakini katulia tuli
@drallan6879
@drallan6879 11 дней назад
waulizeni yanga kuhusu rushwa;huko majaliws penati ilitolewa njee ya kumi na nane
@hassankumba6938
@hassankumba6938 12 дней назад
Rushes si lazima iwe fedha. Unaweza kuwa Zawadi au taktıma ya namna moja au nyingine.
@ElizabethLukosya-lv2vf
@ElizabethLukosya-lv2vf 11 дней назад
Milaji upo sahihi enjinia anasehemu zake nabaka sehemu yake,siyo enjinia enjinia enjinia wapi wewewewe,wengine kama hamuwezi kujibu kaa kimyaaaaa! halafu huyo enjinia amemaliza kesi ya wachezaji bado wazee 🤣🤣 mwambie awalipe!mnadaiwa unasema enjinia enjinia 🤣
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 13 дней назад
Huyo wa Azam bwege kweli
@enoshmhemakapaya
@enoshmhemakapaya 9 дней назад
Aiseeee yanga hakuna akili jamn yaan mnabisha hadi kwa fei dubbhh yanga chuki zimewajaaaa
@ElizabethLukosya-lv2vf
@ElizabethLukosya-lv2vf 11 дней назад
Alosema hakuna rushwa kumbuka kweli,na yawezekana huyo ndiye mhusika mkubwa anaficha makucha, Jibu rushwa ipo na mpaka kwa marefa,hiyo imeisha sema sasa mdhibiti hiyo tabia chafu
@abelimaganga417
@abelimaganga417 17 дней назад
Apo anayejua mpira ni miraji tu wengne wanapiga kelele tu mpeni miraj Mike Apo awafundishe mpira
@bone102
@bone102 16 дней назад
Yanga wengi wanaonyesha hawajui mpira
@abelimaganga417
@abelimaganga417 16 дней назад
@@bone102 kabsa hawajui kazi kubisha tu
@abelimaganga417
@abelimaganga417 17 дней назад
Kweli nimeamin utopolo wenye akili ni wawili angalia Apo wote mzeee chembela pekee ndo anaelewa mpira hao wengne ni vilaza kabsa
@asmaSheha
@asmaSheha 17 дней назад
Angalau ss utopolo wenye akili wawili nyie makolo nyote nimambumbumbu
@abelimaganga417
@abelimaganga417 17 дней назад
@@asmaSheha unaujua mpira wew au unabwabwaja tu kama umewekewa msumari wa Moto kwenye tako
@ahmedmpimbi9684
@ahmedmpimbi9684 16 дней назад
Acha matusi​@@abelimaganga417
@sakinasakina1286
@sakinasakina1286 11 дней назад
god bwege tuu kaona simba
@user-ee8tm4du8h
@user-ee8tm4du8h 14 дней назад
Uyo anaongelea uxhabiki
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 13 дней назад
Nani anaeongelea ushabiki zaidi ya huyo godi yanga
@user-ui4vt9vl6h
@user-ui4vt9vl6h 12 дней назад
Mm yanga ila god mpla ajui kbs daah
@user-xz2vl8up5e
@user-xz2vl8up5e 17 дней назад
noma sana
@kaizerabilahi5958
@kaizerabilahi5958 17 дней назад
Uto muna mkataa fei kisa hayupo kwenu ila angekuwepo mungemsifia tu
@HassanRamadhanPashua
@HassanRamadhanPashua 17 дней назад
Fei ni kiraka watu hawaelewi Azizi sio kiraka
@mussahamad404
@mussahamad404 17 дней назад
Fei anadharauliw kwasababu hana passport ya nje
@HassanRamadhanPashua
@HassanRamadhanPashua 17 дней назад
@@mussahamad404 passport ya nnje ni ipi hio
@ChenchiKing
@ChenchiKing 17 дней назад
Hii Team Uwaga Nahikubali Kinoma Yanii🎉❤🎉🇹🇿
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb 17 дней назад
Unawatee Kwa sababu ww niyanga
@omarymwenebatu
@omarymwenebatu 17 дней назад
Rushwa hipo kilaseemu chukulia mfano wa YANGA na IHEFU kabla ya wao kuchangia mzamini nabaada ya wao kuchangia mzamini ndo utapata majibu nasio IHEFUTU chukuamechizote za timu kabla awajachangia uzamini nabaada yakuchangia uzamini mechizao zilikuweje nabaada yawao kuchangia uzamini mechizao zinakuweje utapata majibu yakwamba rushwa hipo ao ahipo.
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 13 дней назад
Exactly brooo❤❤❤
@BibeLunangela
@BibeLunangela 17 дней назад
Hakuna rushwa niku zidiwa
@KhalfanSeleman
@KhalfanSeleman 10 дней назад
Polisi wanalipwa shilingi ngapi waambie trafki wote hawategemei mshahara
@user-hi6hf2wt1u
@user-hi6hf2wt1u 14 дней назад
😂😂😂😂😂😂 kimeumana
@bone102
@bone102 16 дней назад
Yanga wabadilike aisee yaani wakiona mchezaji katoka kwao lazima wamshushe viwango Mayele walimponda sana na matusi juu ila cha ajabu leo Mayele ndio topscorer ligi bora kuliko ligi ya Tz Yanga weng hawajui mpira wao ni kuisifia timu yao ndo maana timu yao ikiboronga wanavamia had nyumba za viongozi huu ni ujinga
@ahmedmpimbi9684
@ahmedmpimbi9684 16 дней назад
Hakuna mtu anadhushwa kiwango, kwa Mikson, Chama na Sakho walishushwa viwango walipoenda nje?
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p 17 дней назад
Xavi mtupu
@leeobite2507
@leeobite2507 11 дней назад
CJamuona mikoi kisugu hApo
@allymtunge5530
@allymtunge5530 16 дней назад
Utopolo akilizao bhna Pascal msindo ana cheza yanga ana mtoa kibabage zimbwe anacheza, kibu d anacheza yule max amtoi kibu
@bone102
@bone102 16 дней назад
Yanga weng hawajui mpira wanapenda kusifia Timu badala ya kuongea mpira ushabiki maandaz sana
@ahmedmpimbi9684
@ahmedmpimbi9684 16 дней назад
​@@bone102sawa nyie mna wachezaji wengi wazuri
@malietamaliet
@malietamaliet 17 дней назад
😂😂😂😂tungoje kidg tutasikia uyo mama Azam wamempa nyumba kisa kumuongelea fei tungoje miez 2 tu
@saidabdul832
@saidabdul832 12 дней назад
Eti huyu ni mwalimu kajaaa chuki
@DanielChaula
@DanielChaula 14 дней назад
😂😂😂
@omarymwenebatu
@omarymwenebatu 17 дней назад
Rushwa hipo kilaseemu chukulia mfano wa YANGA na IHEFU kabla ya wao kuchangia mzamini nabaada ya wao kuchangia mzamini ndo utapata majibu nasio IHEFUTU chukuamechizote za timu kabla awajachangia uzamini nabaada yakuchangia uzamini mechizao zilikuweje nabaada yawao kuchangia uzamini mechizao zinakuweje utapata majibu yakwamba rushwa hipo ao ahipo.
Далее
🎙СТРИМ на 4 МИЛЛИОНА🍋
3:12:45
Просмотров 1,3 млн
QVZ PREMYER LIGA
00:18
Просмотров 2,1 млн
Я ВЕРНУЛСЯ 🔴 | WICSUR #shorts
00:57
Просмотров 2,4 млн