Ni kuzidiwa tu kimchezo hakuna rushwa yeyote kwanza ushindi kwa mchezaji ni raha. ila kushawishi kumpa pesa ili ahame mchezaji ili ahamie tim nyingine inawezekana,
Milaji upo sahihi enjinia anasehemu zake nabaka sehemu yake,siyo enjinia enjinia enjinia wapi wewewewe,wengine kama hamuwezi kujibu kaa kimyaaaaa! halafu huyo enjinia amemaliza kesi ya wachezaji bado wazee 🤣🤣 mwambie awalipe!mnadaiwa unasema enjinia enjinia 🤣
Alosema hakuna rushwa kumbuka kweli,na yawezekana huyo ndiye mhusika mkubwa anaficha makucha, Jibu rushwa ipo na mpaka kwa marefa,hiyo imeisha sema sasa mdhibiti hiyo tabia chafu
Rushwa hipo kilaseemu chukulia mfano wa YANGA na IHEFU kabla ya wao kuchangia mzamini nabaada ya wao kuchangia mzamini ndo utapata majibu nasio IHEFUTU chukuamechizote za timu kabla awajachangia uzamini nabaada yakuchangia uzamini mechizao zilikuweje nabaada yawao kuchangia uzamini mechizao zinakuweje utapata majibu yakwamba rushwa hipo ao ahipo.
Yanga wabadilike aisee yaani wakiona mchezaji katoka kwao lazima wamshushe viwango Mayele walimponda sana na matusi juu ila cha ajabu leo Mayele ndio topscorer ligi bora kuliko ligi ya Tz Yanga weng hawajui mpira wao ni kuisifia timu yao ndo maana timu yao ikiboronga wanavamia had nyumba za viongozi huu ni ujinga
Rushwa hipo kilaseemu chukulia mfano wa YANGA na IHEFU kabla ya wao kuchangia mzamini nabaada ya wao kuchangia mzamini ndo utapata majibu nasio IHEFUTU chukuamechizote za timu kabla awajachangia uzamini nabaada yakuchangia uzamini mechizao zilikuweje nabaada yawao kuchangia uzamini mechizao zinakuweje utapata majibu yakwamba rushwa hipo ao ahipo.