Тёмный

#EXCLUSIVE 

PTVTANZANIA online
Подписаться 508 тыс.
Просмотров 229 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

8 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 428   
@dorothmtenga5934
@dorothmtenga5934 3 года назад
Unayoyasema ni ya kweli mtumishi wa mungu sasa baba naamini una imani kubwa mimi nnakuomba unipe basi hata kagari kamoja mimi ni mzee kaweze nipeleka kanisani na hospitali mungu akubariki sana
@mariaclaver7721
@mariaclaver7721 3 года назад
Unatumia jina la yesu kupata utajiri na kuwadanganya wagonjwa na dhaifu kwa imani zao ole wao.
@rosendanshau2751
@rosendanshau2751 3 года назад
Saidia watu wenye makanisa madogo sapoti mabati hata kiwanja.fanya hiyo uwe na taji.usisifire nagari tu. Saidia baba
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 2 года назад
😁thubutu
@mwamakaassely2260
@mwamakaassely2260 3 месяца назад
Mvuta bangi huyu
@jonathanjocksonmushi9518
@jonathanjocksonmushi9518 3 года назад
Amina napokea na pia tukutane mbinguni badaye Mungu n mwema
@georgepalanjo1476
@georgepalanjo1476 3 года назад
AMINA mi mwenyewa mzee was upako uliniombea nna michuma mpka mingine nimegawa na nahauna masharti yeyote na mzee wa upako hadai fidia ukifanikiwa
@dennislyatuu7259
@dennislyatuu7259 3 года назад
Nipe moja bac, hata baiskel yakwenda chuo
@kingwatabata4230
@kingwatabata4230 3 года назад
Wewe ndio mchungaji wetu unatutia moyo sana unatufundisha namna ya kupambana na maisha💪
@josephineerasto2868
@josephineerasto2868 3 года назад
Pole
@mwamakaassely2260
@mwamakaassely2260 3 месяца назад
Tunakunywa naye konyagi sana huyu mwamba, siyo mchoyo wa pombe
@agaaah6697
@agaaah6697 3 года назад
Sasa dimond kanunua juzi Tanzania nzima wanajua wakat mzee wa upako anayo na tulikuwa hatujui 🔥🔥
@EREVUKATV
@EREVUKATV 3 года назад
Watu wengine ndg yangu akil hawana ... We acha tu
@geofreyfelix86
@geofreyfelix86 3 года назад
Mzee wa upako ni miongoni mwa wachungaji ambao nawakubali sana kinywa chako kinanena maneno yenye HEKIMA sana
@user-ot2io4cy6w
@user-ot2io4cy6w 3 года назад
Huyu Mchungaji bhana anaongeaga point sana af utani mwingi😀😀😀
@richardmollely2933
@richardmollely2933 Год назад
hongera sana mzee wa upako hiyo ni sawa kabisa mtumishi wa Mungu pokea upako zaidi
@bevingtonjumaa7028
@bevingtonjumaa7028 3 года назад
Wito...Uaminifu na unyenyekevu. This very true
@esthermoraa6648
@esthermoraa6648 3 года назад
Hizo sote ni pesa za waumini,, sadaka 🙏🙏🙏🙏🙏
@tumainsawe6960
@tumainsawe6960 3 года назад
Sisi tunaotoa hatuumi mbona unateseka?
@simpleboytz255
@simpleboytz255 Год назад
Gwajima anamiliki Hummer, helcopter na nyumba ghorofa apo unamzidi kweli
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 3 года назад
Mungu ameahidi kumtajilisha mtu yeyote anayetii Biblia inasema mkitii mtakula mema ya nchi
@matundumgweno4533
@matundumgweno4533 3 года назад
Umenena dada
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 3 года назад
Si Kweli
@witneskilinda5034
@witneskilinda5034 3 года назад
si kila mtu anayetii maagizo ya Biblia anatajirishwa! kuna watu wengi waaminifu lkn maisha hao ni magumu! hvy hatutii neno la Mungu ili tufanikiwe ktk maisha! bali tunatii maagizo ya Mungu kwa sababu ndivyo Mungu anavyotusihi! ukifundisha watu hvy eti kila mtu anayetii Neno la Mungu atatajirishwa huyo mtu akiwa mwaminifu half asitajirishwe atamwona Mungu ni tapeli na mwongo! Maandiko Matakatifu yanatuambia "Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa" Mathayo 6:33
@saidmganga3597
@saidmganga3597 3 года назад
Safi sana mzee wa upako kwa ujumbe mzuri
@ramygichero1016
@ramygichero1016 2 года назад
Nayapenda maisha yako mzee wa upako
@revocatuskakulu1854
@revocatuskakulu1854 3 года назад
Pastor ,aiseee ubarikiwe kwa kauli ya kuitwa na Mungu imenigusa kweli,Kama hujaitwa utahangaika hangaika tu na kujipa vyeo ambavyo sio unakuwa tapeli
@elibarikichengula1546
@elibarikichengula1546 3 года назад
Mzee wa upako umetisha! Tuombeane katika utumishi wa Mungu
@kennethngoleka517
@kennethngoleka517 3 года назад
Ni kweli kabisa na uzidi kubarikiwa
@jimmymathias5302
@jimmymathias5302 2 года назад
Mungu akupe miaka mingie uko vizur
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube 5 месяцев назад
Uyu mchungaji aliwahi kusema anapenda konyagi
@mbwanamungia9921
@mbwanamungia9921 3 года назад
Ujanja unamsaidia mzee wa upako
@rukizaseba5741
@rukizaseba5741 3 года назад
Mungu akubariki
@fediliaulomi4969
@fediliaulomi4969 3 года назад
Baba yangu wa imani aliniombea nipate nyumba na nikapata kweli mungu azidi kukuinua baba
@andrewkazy3727
@andrewkazy3727 2 года назад
Alikuombea ukapata nyumba bila juhudi zozote?🤣🤣🤣
@nyamogafamily4262
@nyamogafamily4262 3 года назад
Ameen
@timboxlee919
@timboxlee919 3 года назад
Uko sawa mzee wa upako,uko vzr chifu wewe hela unazo siku nyingi
@feliciangosplemusicpeter8498
@feliciangosplemusicpeter8498 3 года назад
Hongela mzee upo sawa
@williamkitigwa-ex8rt
@williamkitigwa-ex8rt Год назад
Tuna mtaka mungu na SI magari Yako baba hayo hayatusaidii
@Deonfnyoni
@Deonfnyoni 3 года назад
Mzee wa upako baba wa kiroho umenifundisha ki2 kizuri sana kwamba ukitaka kuongea na Mungu ingia sehemu 2livu chumbani na omba asante sana baba
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 3 года назад
Umeongea point sana mzee
@jaxxwade2873
@jaxxwade2873 3 года назад
I guess it is kind of randomly asking but do anybody know of a good website to watch new tv shows online ?
@pedroemmett3509
@pedroemmett3509 3 года назад
@Jaxx Wade Ehh I'd suggest Flixportal. you can find it thru google =) -pedro
@jaxxwade2873
@jaxxwade2873 3 года назад
@Pedro Emmett thank you, I went there and it seems like a nice service :D I really appreciate it!!
@manasemwakilasa5931
@manasemwakilasa5931 3 года назад
Mchungaji wa kwanza,kupiga konyagi🤣🤣🤣
@minabuelysee8
@minabuelysee8 3 года назад
Hahaha
@felisteranangisye6632
@felisteranangisye6632 3 года назад
😂😂😂😂
@doreenfrancis6977
@doreenfrancis6977 3 года назад
Mungu akusamehe
@kephadonald8974
@kephadonald8974 3 года назад
hy muongo amna lolote😂
@kingwatabata4230
@kingwatabata4230 3 года назад
Mawazo ya zwazwa ayo
@angelmwakalonge9564
@angelmwakalonge9564 3 года назад
Hongera yake
@cvanoedward3093
@cvanoedward3093 3 года назад
Nimeichukua hiyo "ukitembea na waridi utanukia"
@jaziherminiomorasmoras1715
@jaziherminiomorasmoras1715 2 года назад
Wewe ukisema Mimi ni mchungaji wa kwanza kununua benzi na jery ngwamba atakuwa wa ngapi uongo huo
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 Год назад
Mtumishi Mambo Mengi muda mchache 😂😂
@cleartzboy
@cleartzboy Год назад
Ela za wahumin daah ney aliona mbali
@emmanuelndembeka6751
@emmanuelndembeka6751 3 года назад
Daah! Hatari MUNGu atatuchoma mzee wa upako amenogewa na raha za dunia mpaka inafika mahali anasema wazungu wanataka ibadili dunia kuwa kama mbinguni huko ni kukufuru
@amanimlengwa9202
@amanimlengwa9202 3 года назад
Yaaani wewe, kote huko, katika yote hayo mazuri aliyoyaongea ya kifalme na ya maana sana ulikuwa unatafuta tu mahala utakapo hukumu tu... Umashida sana ndugu, Nadili mtazamo wako and stop being pessimist man.
@user-ot2io4cy6w
@user-ot2io4cy6w 3 года назад
Kila mtu anaenda kwa Mchungaji anayemuamini yeye. Wewe kama utaona unaibiwa acha kwenda huko hujalazimishwa na mtu.
@matundumgweno4533
@matundumgweno4533 3 года назад
Hahahhaahhaha fact
@tumainsawe6960
@tumainsawe6960 3 года назад
Akili kubwa sana wewe
@zakiamseka9698
@zakiamseka9698 3 года назад
Kabisa
@muniradaudi440
@muniradaudi440 3 года назад
Yani gari ina tv 4 jmn M ungu tuonee n sisi hawa Watu ulowaenuwa wapee ujasiri watusaidiyee na sis
@vicentthomas5279
@vicentthomas5279 3 года назад
Kwani mbona Ibrahimu alibarkiwa utajiri
@alainebengasaligo7447
@alainebengasaligo7447 3 года назад
Ngoja nikuhulize pasta kati y'a kuomba mungu wama babu nakuomba mungu wa isaka nayakobo kati yahawa wa 2 nani anahomba vizuri mbele yamacho y'a bwana
@chrismassawe326
@chrismassawe326 3 года назад
Ukitaka kujua na kumjua Mungu wa kweli nitafute nikupe ufaham bure utakusaida
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 года назад
@@chrismassawe326 0788327252 naomba unibp nkupgie unipe akili na maarifa
@chrismassawe326
@chrismassawe326 3 года назад
@@gosbertmuta5421 0718338222
@monicalaizer7596
@monicalaizer7596 Год назад
Sema watu wapone😄😄😄
@Dr.frankrichard
@Dr.frankrichard 2 года назад
Amen Mungu ni Mwema na mwaminifu
@blantonthecrazyart3124
@blantonthecrazyart3124 3 года назад
Maneno yako ya na baraka sana
@martinbruno9071
@martinbruno9071 3 года назад
Nimecheka sana,ila good point.
@JosephSimiyu
@JosephSimiyu 2 года назад
Barikiwa mtumishi
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 2 года назад
Mzee msimuonee, mbona wengine hawatozi hizo sadaka wakanunuwa magari kama yake? Wivu tuu, wivu tuu. Mzee paaa tuu upo sahihi
@angeljasson4376
@angeljasson4376 3 года назад
Namkubali sana mtumishi
@dannyboytz6198
@dannyboytz6198 3 года назад
Duh noma
@mustaphamkawa5052
@mustaphamkawa5052 3 года назад
Piga ela za maboya then katambe.....hahahaa kwel kila mtu ana njia zake za kujipatia kipato
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 года назад
Mustapha sana usemavyo wajinga ndiyo waliwao
@highvoltages4169
@highvoltages4169 3 года назад
Hela za maboya kama wale maboya wa misikitiini waliopigwa hela na Dr.Sule
@saimonijonas4356
@saimonijonas4356 3 года назад
Maisha ni imani.Ishi vile unavyo amini,ndipo utakapo fanikiwa.Mtu anaamini kupitia mchungaji nitakutana namatokeo mema ya maisha yake wacha aamini.Wapo wanaoamini bila kwenda kwa waganga hawawezi kufanikiwa.Naukiangalia mganga hata kiatu kizuri hana anakuambia utapata gorofa wakati yeye yupo nyumba ya nyasi.Maisha ni imani.
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube 5 месяцев назад
​@@highvoltages4169we umejuaje dokta sule au we muislamu ??
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 года назад
Sadaka za watu hizo hongera sana
@elinajamsuya948
@elinajamsuya948 2 года назад
Tapeli ww akunamtumishi apo usimchezee mungu
@danielmpole9508
@danielmpole9508 3 года назад
Kazi njema ya Bwana Mungu
@nataliakenny5029
@nataliakenny5029 3 года назад
Alieskia chai jaba na nungaembee anipe like😂😂😂😂😂
@ntakirutimanapierre2345
@ntakirutimanapierre2345 3 года назад
Sasa uyu anamzidi rwanjima?
@ebenezermachange1073
@ebenezermachange1073 3 года назад
Amen
@josephsira1584
@josephsira1584 3 года назад
Hongera mzee wa upako
@joshymalinyo6057
@joshymalinyo6057 3 года назад
Mzee anamambo ya muhimu asee
@emma96tv55
@emma96tv55 3 года назад
huyu jamaa ana siri moja na diamond
@kiri5807
@kiri5807 3 года назад
ndio zao hizo .
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 3 года назад
Sio wakawaida minazifam pesa zamajin
@alainebengasaligo7447
@alainebengasaligo7447 3 года назад
inawezekana itakuaje mtumishi wamungu ashindane na msani wakidunia kisa kahuza gari labei kali
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 года назад
Ndo maana wanatunishiana misuri
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 года назад
@@michaelsamson9663 Asante
@maximusfrancois5004
@maximusfrancois5004 3 года назад
Mzee wa upako ww jembe kweli SASA umesomesha watoto wangapi yatima? Hio ndio sifa. Maendereo pia ni mema Sana. Bado ndege Mzee wetu.
@festuschunya7067
@festuschunya7067 3 года назад
Ni kweli habari hiyo!!ya maandiko!!
@khadijavassardanis3178
@khadijavassardanis3178 3 года назад
Safiii mzee
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 3 года назад
Wazungu Hawawezi kumfikia Mungu, na kamwe Hawawezi kufanya hii Dunia Iwe mbinguni. Hapo unakosea
@gloriatoo22
@gloriatoo22 3 года назад
Amekosea wapi..wewe ndio haujamuelewa ndugu...
@tumainsawe6960
@tumainsawe6960 3 года назад
@@gloriatoo22 good
@mussamabawa2973
@mussamabawa2973 2 года назад
Big up mzee wa Upako
@geraldlyimo2859
@geraldlyimo2859 3 года назад
Japo sio muumini wake nimemwelewa ila wenye wivu hawatamsikiliza barikiwa
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 2 года назад
Chanzo chako cha mapato ni nn?
@shanisshow1864
@shanisshow1864 3 года назад
Jamani cardilac hata kwa magari luxury haipo ila watz bhana ya marekanin yapo kila kona ni family car wala waru mashuhuru hawalinunui ... jamani shida kweli ... ila mbarikiwe jamani
@musasalim7042
@musasalim7042 3 года назад
we unalo ?
@zedymoris8576
@zedymoris8576 3 года назад
Kwenu Tz ziko ngapi?
@thehunter5920
@thehunter5920 3 года назад
Kwani umeambiwa ni Marekani hapa?
@emariusrush3285
@emariusrush3285 3 года назад
Wewe ni mkundu (Benz,range,buggati, Lamborghini Cadillac Escalade CTS, Ferrari, McLaren, Hummer, Tesla na Aston Martin one ndio magari ya kifahari duniani (, Google bei ya Cadillac Escalade CTS toleo la 2021 uone bei yake)
@iamstivin.
@iamstivin. 3 года назад
haipo Cadillac...hauko serious ww
@sylvesterjose3286
@sylvesterjose3286 3 года назад
Majigambo na mbwembwe za magari ya kifahari.... Huo msururu wa magari yaliyopaki kwenye garage inakusaidia nini?
@clausemsemwa297
@clausemsemwa297 3 года назад
Tumekua WAJINGA
@fadhilikawambwa1586
@fadhilikawambwa1586 3 года назад
SIJUI WANAFUATA MILA YA NABII GANI?
@prophetmlokozi4633
@prophetmlokozi4633 3 года назад
😅😅😅 Haleluya
@amirikoshuma3039
@amirikoshuma3039 3 года назад
Basi sawa
@bernardmasangula9358
@bernardmasangula9358 3 года назад
Kwa mara ya kwanza hamjanidanganya nyie ptv waongo ongo.
@oboteobote1696
@oboteobote1696 2 года назад
Si anipatie moja mimi
@bensoneleutely9506
@bensoneleutely9506 3 года назад
Asante sana Baba
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 3 года назад
Anamzidi ngwajiboy kwa mbalii sana huyu hakuwahi kuwaza ubunge
@shayopaterini8678
@shayopaterini8678 3 года назад
Umenifurahisha saana kwa mamiss hapo
@paulmwakilembe4573
@paulmwakilembe4573 3 года назад
Mungu anakuona amina
@kataninyido401
@kataninyido401 2 года назад
Hatar Sana
@gipsonsteven6449
@gipsonsteven6449 3 года назад
Mmmmh ni noumaaaaaaa
@mpetafrank7195
@mpetafrank7195 3 года назад
Mzeee wa upako umetisha mzee Ila Napendaga sana ukianza ku unguruma vyenye vipindi vyako
@lameckmichaelmagazi6345
@lameckmichaelmagazi6345 3 года назад
Sasa diamond ajilinganishe na wachungaj? Hawawatu wanapesa
@dullahoroond5241
@dullahoroond5241 3 года назад
Nataman ungekuwa muislamu siku moja kabla haujaondoka Duniani
@geofreyfelix86
@geofreyfelix86 3 года назад
Kwani uislam na UKRISTO zote ni IMANI yako ndo kawa MKRISTO
@yonathanimachinga3435
@yonathanimachinga3435 Год назад
Kujitapa si tabia ya kiungu , naona kila siku kujitapa na mali tu tutaziacha Dunian tengeneza njia ya mbinguni
@alainebengasaligo7447
@alainebengasaligo7447 3 года назад
kwahiyo unatuambia kisacha ufalme wa sahuli kunyanganywa na bwana ilikua kwasababu akusali ? ebu heleza vizuri apopasta na nikitabu gani kinasema ivyo
@josephlymo7177
@josephlymo7177 3 года назад
Wemnafiki
@mgangmasoudi6795
@mgangmasoudi6795 3 года назад
Nenda zako na wewe kiswahi chenyewe hujui eti heleza vizuli sema elezea vizuli wawapi wewe we unamjua vizuli mzee wa upako
@mgangmasoudi6795
@mgangmasoudi6795 3 года назад
@@josephlymo7177 kama wewe tatizo lenu wakiristo ndio hulo
@mgangmasoudi6795
@mgangmasoudi6795 3 года назад
@@josephlymo7177 kama wewe tatizo lenu wakiristo ndio hulo
@alainebengasaligo7447
@alainebengasaligo7447 3 года назад
@@mgangmasoudi6795 na mjua binadamu km mimi kwani yy kafanya nini chajabu mtumishi wamungu apashwi kushindana na mtu asiye kubali kristo kua bwana na mokozi wake km pasta aliposti gari lake nikwasababu wanasema gari la mondi nilabei kali uyo wenu wa upako naye akaposti
@mussaameir5230
@mussaameir5230 3 года назад
Hivi watumishi wa Mungu kwa nini mnakosa Hekima? hivi kweli mtumishi wa mungu atajitokeza katika mitandoa na kuzumgumza mambo ya anasa tu " mtumishi unahojiwa na mada ya gari kweli!! "
@matukutajuma156
@matukutajuma156 3 года назад
LUKUSEKELO NAKUEKEWA SANA KAKA
@mrematvbabakoku8336
@mrematvbabakoku8336 3 года назад
Safi sana baba yake na nabii shila mwanao nabii shila atasubiri hapa na mbagala
@justineisacki8740
@justineisacki8740 3 года назад
Dah jamni mh
@shabanikarotta9373
@shabanikarotta9373 3 года назад
Mazinge ana kuita hhhh
@Zaikadena
@Zaikadena 3 года назад
Kwel ni neema kwa mungu hakuna kinacho shindikana
@alfredibrahim756
@alfredibrahim756 3 года назад
Mzee kapotea mambo ya kujisifia magari na uchungaji wapi na wapi kweli kweli tunapigwa kwanza mchungaji renji la milioni 300 la nn wakati kuna washirika wanakosa hata 10000 ya matibabu hawana mi ndo makanisa haya siyaamini kabisa
@liberatusmassawe5601
@liberatusmassawe5601 3 года назад
Kila kitu kina sehemu yake, kama una pesa so mbaya kukaa vizuri. Vitu vizuri Ni vya kwako pia.
@alfredibrahim756
@alfredibrahim756 3 года назад
@@liberatusmassawe5601 unatetea wapigaji endelea kupeleka sadaka bwana atakubariki
@alfredibrahim756
@alfredibrahim756 3 года назад
@@liberatusmassawe5601 unatetea wapigaji endelea kupeleka sadaka bwana atakubariki
@siyabongakzn9864
@siyabongakzn9864 3 года назад
Fungu la Kumi na Sadaka za Siri.... Hela ya Wajinga huliwa na Welevu...
@siyabongakzn9864
@siyabongakzn9864 3 года назад
Antony Mungu anakuona.
@salehyussuf1157
@salehyussuf1157 2 года назад
Hela zakondoo hahha
@yasinamiri7649
@yasinamiri7649 3 года назад
Kwa mjibu wa bibilia juu ya wachungaji 50 6 yeremia watuwangu wamekua kondoo walio potea wachungaji wao wamewapoteza
@jaziherminiomorasmoras1715
@jaziherminiomorasmoras1715 2 года назад
Subiria moto tu mtu wangu
@leganmichael6148
@leganmichael6148 3 года назад
Huwa namuielewa sana Mzee wa upako, huwa anazungumza uhalisia wa mambo
@evelinelema3395
@evelinelema3395 3 года назад
Watu wa Mungu mnatakiwa kumfollow Imani mcimbwa RU-vid harakka kabla hamjachelewa
@muniradaudi440
@muniradaudi440 3 года назад
Wew baba mazali n tajiri tusaidiye na sisi n maskini jmn😭😭😭😭
@JJ-fb9jp
@JJ-fb9jp 3 года назад
Hahaha
@happynesbaemuhappynes8813
@happynesbaemuhappynes8813 3 года назад
Hahaha hatariii
@valencyminde5246
@valencyminde5246 3 года назад
Ww sio maskini muda wako bado
@winnysyombuandambuki5475
@winnysyombuandambuki5475 3 года назад
Tulilieni ufalme wa mungu kuliko ufalme wa duniani
@christophersikaonga8714
@christophersikaonga8714 3 года назад
Morning sasa mtumishi hujui gari lako
@cosmaslunyembeleka251
@cosmaslunyembeleka251 2 года назад
Hapa kazi tu na kazi liendelee
@davianofficial6972
@davianofficial6972 3 года назад
Tutkula mema ya nchi Neno lishasema
@mwendelebenitho5008
@mwendelebenitho5008 3 года назад
Namashaka sana nahuyu mchungaji kwann anamchukia sana daimond🤔🤔🤔
@eliaspeter2864
@eliaspeter2864 2 года назад
Ivi mzee wa upako ni mtumishi??au ni mzee wa porojo??mie uwa simuelewagi kwakweli
@jitulakalemastr7636
@jitulakalemastr7636 3 года назад
Kwa pgo izo siwzi kujiingiza kwnye mateka wakilokole
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 года назад
Hakuna mlokole ataeingia mbnguni ispokua mkristu pekee alieamini akabatzwa na kuokoka
@amishmuu2104
@amishmuu2104 3 года назад
Mpe mzee upako nagari sio utajiri.ila kwa lumbukeni ndio utatangaza👏👏👏
@tumainsawe6960
@tumainsawe6960 3 года назад
Acha wivu ndugu utakuua
@happinessmwenda2773
@happinessmwenda2773 3 года назад
TUNAOMBA UWE MUHUBIRI WA KWANZA KUSAIDIA MASIKINI HAPO UTAKUWA UMETENDA NENO JEMA.
@samxx411
@samxx411 Год назад
Yeah wewe umesema, mie muislam lkn nasupport ulichosema
@EGONLEONCE
@EGONLEONCE 10 месяцев назад
The Dr bishop mzee was upako naitwa askof. Egon. Israel. Niko tabora mjini naba msada was pesa kiasi Niko hoi nakodi eneo LA ibada kiwanja hiki. Kinauzwa. Milioni. Sits. Nimelipa million moja tu
Далее