Тёмный

HAWA ALIKUWA MKE WA PILI WA ADAMU| ADAMU ALIANZA KUUMBWA NA LILITH KABLA YA HAWA, HAKUWA MNYENYEKEVU 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 76 тыс.
50% 1

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

15 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 444   
@AnipherChambo
@AnipherChambo 3 месяца назад
Jesus said that “a man shall leave his father and mother and be joined to his wife, and the two shall become one flesh.” Jesus spoke of one man and one woman marrying. He said that marriage is made up of one man and one woman. The two make one flesh.
@WillsEnterprise
@WillsEnterprise 2 месяца назад
Swali logical tu, statistically mbona wanawake ni wengi kuliko wanaume ina maana hao wa ziada hawana haki ya kuwa na mume au hawana haki ya kuzaa wameumbwa kuishi maisha ya upweke miaka yao yote hapa duniani??
@Cultureupdates-w5r
@Cultureupdates-w5r Месяц назад
Muwe mnapunguza soundtrack maneno yasikike vizuri na pia muwe mna selection za biti mana hiyo imekaa kimichezo na sio inspiration au motivation kwa sisi maproducer tunajua na sio kuweka ma dj ambao hawajuhi maswala ya sound
@prophetgervasebenard7486
@prophetgervasebenard7486 2 месяца назад
Kila kitu ni safi kwake aliye safi WA Moyo,hii ni agano jipya! Na Mungu Siku zote anaangalia NIA ya kufanyika kwa jambo siyo namna jambo linavyoonekana! Mambo ya Imani Yana password zake,kuyaelewa Mzee wa UPAKO kwa mtazamo wake Yuko sawa!
@jonathanmwakabuku4714
@jonathanmwakabuku4714 3 месяца назад
Wasafi huwa tunapenda sana topic za vipindi vyenu vya mahojiano, tatizo lenu ni mnakelele sana yaani hamuachiani namna ya kuongea au kuhoji. Inakuwa kama genge la wahuni. Tungeomba mpeane interval ya kuhoji ninyi waandishi na mgeni mliyemuarika ajieleze kwa uwazi bila kuingiliwa ingiliwa.
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 3 месяца назад
Ufirauni ndiyo dhambi kwa Mungu ila mwanaume anapaswa kuwa na wanawake wengi ili apate uzao mkubwa. Jiulize swali, kwanini ukinunua mifugo mfano ng'ombe unachukua dume 1 na majike 5 ili upate uzao ila kwa binadamu ukweli unapotoshwa?
@AmanEskaka-zt5nx
@AmanEskaka-zt5nx 3 месяца назад
Nmekuelewa
@jaderkyser9389
@jaderkyser9389 3 месяца назад
😂😂😂
@PAMPHILCHAZO
@PAMPHILCHAZO 3 месяца назад
Una kitu broo
@EstarMichael
@EstarMichael 3 месяца назад
sawa sawa mpaka tujue ukweli wote😂😂😂😂
@jumaamohamed2815
@jumaamohamed2815 3 месяца назад
Point sana Mkuu
@thomassalvatory8303
@thomassalvatory8303 3 месяца назад
au labda mm sijui ila kama nachosema ni sahihi huyu jamaa atakuwa muongo na mpiga dili yesu alisema yoyote amuache mkewe na kuwa na mwanamke mwingine amefanya uzinzi hapo hakusema wake amesema mke sasa hayo anayosema usimwache mke wa kwnza ameyapatia wapi
@christianmenas9528
@christianmenas9528 3 месяца назад
Tena kama Yesu aliwajibu akawaambia "Musa aliwaandikia Taraka Kwasababu ya ugumu wa mioyo yenu lakini tangu hapo mwanzo Mungu aliumba mwanaume na mwamke," Note; mwanaume yaani mmoja na mwanamke yaani mmoja. Tena imeandikwa mwanaume ataachan na wazazi wake na kuambatana na mkewe, elewe neno MKEWE. Huyu Mzee wa upako anapotosha sana tuweni sana makini
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 3 месяца назад
​@@christianmenas9528kwani wanawake ni wangapi duniani na wanaume ni wangapi duniani? Ninyi mnahesabugi wanawake ila mbele ya Mungu mwanamke ni mmoja na mwanaume ni mmoja hata muwe ma Millions ni mtu yule yule uongo umeshawaharibu kichwani😂😂😂😂
@sharonyasin7521
@sharonyasin7521 2 месяца назад
Ni mtume paulo
@PeterGabriel-vm5yy
@PeterGabriel-vm5yy 2 месяца назад
​@@MrTop-wj7no Kwa hiyo sehemu zote Mungu anazotumia idadi kwenye maandiko huwa anakosea? Mungu hajui idadi? Hiyo nitafakari yako na ipo sahihi ila kwa kilichoandikwa wewe umekosea. Kwani hawezi kusema kusema wazi?
@Brandpeople
@Brandpeople 3 месяца назад
Safi sana Mzee wa Upako, Nimeamini kweli unasoma na kutafiti mambo ya Biblia. kwa asiyefahamu, haya yameandikwa katika machapisho ya "The Alphabet of Ben Sira" katika tamaduni za kiyahudi kati ya 700-1000CE (Early jewish literature). Kwenye Biblia; Mwanzo 1 " Mungu akawafanya mtu Mume na Mtu Mke"...., Mwanzo 2 " Mungu akamfanya Eva...". Unaona kabisa kuwa kuna kipengele cha taarifa hazipo, na hakuna uhusiano kati ya Mtu Mke na Eva sababu kilichotolewa kwa Adamu ni Ubavu na sio (Mtu Mke).
@joshuamassawe2474
@joshuamassawe2474 3 месяца назад
Hivi utakua na akili timamu kweli kuamini kitabu kilichoandikwa kati ya mwaka 700 na 1000 AD kuhusu kuumbwa kwa Adamu? Na wala siyo early Jewish literature kwa sababu vitabu vyote vya Agano la Kale vime predate hiki kwa zaidi ya miaka 1,000! Tena kimeandikwa Uarabuni! Haupo serious wewe!😂😂😂😂
@HomeboyTZ19
@HomeboyTZ19 3 месяца назад
No kweli ukisoma biblia yoyote kuna contradiction hapo mwanzo 1.1 kuna maadishi yana miss, uumbaji wa mwanamke umetamkwa Mara 2 kama alivyoeleza jamaa
@Brandpeople
@Brandpeople 3 месяца назад
@@joshuamassawe2474 Ndio. Hapo ni sawa na mimi kukuuliza: Mbona wewe unaenda ibadani kumsikiliza mtumishi aliezaliwa juzi tu hapa, na sio myahudi na unaamini mafundisho yake?? Unaakili yimamu kweli?? Ndugu, kama wewe unasoma biblia tu, basi unaufaham finyu sana kuhusu biblia yenyewe. Mwisho wa yote, utafiti ni jambo la mtu binafsi. kama wewe huamini Baki hivyo. Sio lazima kwako!
@Brandpeople
@Brandpeople 3 месяца назад
@@joshuamassawe2474 Haujaelewa, ndio shida. Ndo maana Mzee kasema "inatakiwa uwe na mawazo huru kuelewa mambo,sio uje na akili ya kimapokeo utabaki gizani". Nashauri ni vizuri utafiti mambo kwa kina kwanza kabla hujajibu. -Nimemaanisha Chapisho limeandikwa kati ya kipindi hicho lakini ndani yake limerejea mambo ya kale ikiwemo Kipindi cha Adamu. -Ni sawa na biblia ilivyorejea mambo ya Uumbaji Lakini haijaandikwa siku Adam anaumbwa. Hoja yako ni sawa na kuuliza : Hivi unaendaje ibadani kumsikiliza Mtumishi ambae ambae ni waJuzi tu, wala sio myahudi na hajawahi hata kuwaona waliomo kwenye biblia, alafu unaamini mafundisho yake??? Hivi unaakili timamu kweli?? Haupo Serious wewe! Hoja ya Uarabuni haina mantiki. Biblia uliyonayo imetafsiriwa na kuletwa kwako na WAzungu Wamissionari. Haikuletwa na Wayahudi. Wayahudi hawakutaka hata umjue Mungu wao.
@afropatriot7769
@afropatriot7769 3 месяца назад
Tatizo mnasoma biblia kwa akili zenu ndogo,uumbaji wa kiroho na mwili , kwa lugha zingine imesema kuumba na kufanya, mwazo aliumba roho na ndio maana aliumba kwa kutamka lakin akaja kuufanya mwili wa adam na akampulizia pumzi ya uhai na akawa hai, kisha akamtoa eva ndani ya adamu na mwili wa eva ulifanyika kwa mbavu moja , acheni kutunga maana kwakua mmekosa maana
@makaranga997
@makaranga997 3 месяца назад
'Gnosticism' Hii ndo hatari ya kutokukulitumaini Neno la Mungu (BIBLIA). History of Canonization inajieleza kuhusu Biblia. By the way Yesu alifanya reference ya TENAKH ( HEBREW'S LITERATURE'S) Luke 24: 44. Lilith story inatoka kwenye "Gnosticism" roots na wala sio maandishi ya kuambatanishwa na Biblia. Ni maandishi ya jamii za siri kinyume na Biblia ili kuupinga ukweli wa Biblia. GOD IS LOVE.
@ModesterMshama
@ModesterMshama 3 месяца назад
Wewe ni kipi kinachokufanya uamini Moja Kwa Moja biblia?
@makaranga997
@makaranga997 3 месяца назад
@@ModesterMshama Ushuhuda ndani ya Biblia ni dhahiri ukiisoma kwa moyo wa Imani (Kusikiliza Mungu anasema nini nawe). Pia ni kitabu chenye nguvu ya kubadilisha maisha, kimebadilisha ya kwangu. Lakini ili nikusaidie zaidi. Zipo sababu hizi 1. Biblia ni kitabu cha kale kuliko vitabu vyote na wakati huohuo nikitabu cha kisasa kuliko vitabu vyote. 2. Biblia ni kitabu kinachopemdwa sana na ni kitabu kinachochukiwa sana pia. Chunguza - Vita ngapi zimepiganwa dhidi ya Biblia - Ni mara ngapi watu wamejaribu kuitokomeza Biblia. - Ni watu wangapi wamepoteza maisha kwaajili ya Biblia. 3. Ni kitabu cha pekee ambacho kimechukua muda mrefu zaidi kukiandika. 4.Kitabu pekee kilichoandikwa na waandishi wengi (takriban 40), wasomi kwa wasio wasomi kwa wakati tofauti tofauti na kutoka mahali tofauti tofauti lakini ujumbe wao unapatana (Harmonious message) Ingawa waandishi hawakujua kama wanaandika Biblia na wala hawakushauriana. IKO SIKU UTAKUBALI TU, KUWA BIBLIA NI UJUMBE KUTOKA KWA MUNGU.
@sadalahitambujr1863
@sadalahitambujr1863 3 месяца назад
Kitheologiaaaa Kabisa umemjibu hayo anayoyasema Mzee n maneno ambayo hayavuviwa kutumika so the story of Lilith is not biblical
@mckobatz5861
@mckobatz5861 3 месяца назад
Kuwatoa watu kwenye uongo waliodanganywa miaka mingi ni kazi ngumu sana. Wenye kusema Lilith story isn't biblical wanaweza sema hata story ya kitabu cha Henoko na vingine vilivyoondolewa pia sio biblical just kwa sababu havionekani "banned"
@barakalawrence742
@barakalawrence742 3 месяца назад
Biblia sio kama vitabu vingine vya dini vinavyosaidiwa na Hadithi na vitabu visivyo na uvuvio , mzee wa upako asidanganye watu kwa kutumia kitabu Cha Henoko
@saadomari7150
@saadomari7150 2 месяца назад
Sawa, lakini habari za Lilith chanzo chake sio bible moja kwa moja ila ni machapisho ya wayahudi.
@rajabomary5280
@rajabomary5280 2 месяца назад
Kumbuka Wao ndio wanaofahamu haya mambo kiundani kuliko wewe na mimi kinachotusumbua tunapenda kudanganywa kwa sasa dunia ipo wazi sana
@SALMINSAID-fb9ub
@SALMINSAID-fb9ub Месяц назад
Mnatuchanganya sasa 😂
@MathayoSuwi
@MathayoSuwi 2 месяца назад
Anaweza kuwa tapeli lakoni wakristo wenzangu huo niukweli lilith ndyowakwanza kabla ya hawa
@tomswai1912
@tomswai1912 2 месяца назад
Kwa hiyo binadamu wakikubaliana ushoga ni njia ya mahusiano Mungu atayaheshimu? Kweli heri kijana maskini mcha Mungu kuliko Mzee mfalme mpumbavu. Kweli una kila sababu ya kuangalia ni wapi ulijikwaa ukaanguka ukatubu na kumrudia Mungu, ulianza kwa Roho ila unakoenda kumaliza waenda kumaliza kwa Mwili Mzee.
@SolomoniRingia
@SolomoniRingia 2 месяца назад
Kweli kabisa kaka
@eliamtinda7222
@eliamtinda7222 2 месяца назад
Huyu Mzee hajawahi hata kuokoka ujue ila ni sasa ndo amejifunua alivyo!
@oscarmushi3212
@oscarmushi3212 2 месяца назад
Walianza kwa roho wanamaliza ktk mwili
@davidjustin880
@davidjustin880 2 месяца назад
Hata Media anayotumia mzee wa upako ni ya wajenzi huru mnatarajia kuna habari gani hapo? Mzee wa upako unaviashiria vya kwamba mwisho wako umefika, na Mungu hatokuacha uendelee kupotosha tunaomba uzima na maisha marefu tukushuhudie.
@SolomoniRingia
@SolomoniRingia 2 месяца назад
Kweli kabisa
@SolomoniRingia
@SolomoniRingia 2 месяца назад
Kweli kabisa
@hezronmlwale7416
@hezronmlwale7416 2 месяца назад
Maswali mazito na majibu mepesi kutoka kwa tapeli wa injili. 😢😢
@SolomoniRingia
@SolomoniRingia 2 месяца назад
Kweli kaka
@victoriousgospels
@victoriousgospels 2 месяца назад
tapeli kweli kweli. ukweli anaujua hataki kuweka wazi kwani kashapotoka.
@AbrahBuraheze
@AbrahBuraheze 2 месяца назад
hawez kujibi hilo swali kwa ufasaha jibu kwa ufupi hana na hawez kutowa jibu lenywe
@DottoVales-m7p
@DottoVales-m7p 2 месяца назад
😂😂😂
@oscarmahanga6004
@oscarmahanga6004 2 месяца назад
Huna unacho kijua katika hili
@eatlawe
@eatlawe 2 месяца назад
Hayo mafundisho hayana tofauti na kusema watakatifu wanatuombea. Ni nyongeza juu ya maneno ya Mungu hivyo kosa kimaandiko. Ni sawa tu na kusema Maria alipalizwa mbinguni au Yesu hakufa ila Yuda! Ni mafundisho mapotofu. Kumbu 4:2 "Msiliongeze neno niwaamurulo wala msilipunguze, mpate kuzishika amri za Bwana, Mungu wenu, niwaamuruzo". Onyo lingine ni la Ufunuo 22:8 "Namwonya kila mtu asikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki: Mtu yeyote akiongeza humo chochote, Mungu atamwongezea mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki". Kwa hiyo jihadharini na imani potofu!
@SamwelJoseph-yk3cw
@SamwelJoseph-yk3cw 2 месяца назад
Kuoa wake wawili watatu wanne, haikuwa hivyo tangu zamani,, kwani MUNGU aliumba mtu mume na mtu mke.
@faridaltamimi7454
@faridaltamimi7454 2 месяца назад
BANGI WEWE
@augustinemainde
@augustinemainde 2 месяца назад
Mi nampenda Adela awe ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@StevenMunugwa
@StevenMunugwa 2 месяца назад
Mzee anasema Ukweli usiosemwa na Dini
@samuelmwaipopo1302
@samuelmwaipopo1302 Месяц назад
Ukisoma biblia Mwanzo 1 :27 inasema Mungu aliumba mtu mke na mtu mume. Ukienda mbere Mwanzo 2 :7 inasema Bwana mungu akamfanya mtu kwa mvunbi akampulizia pumzi ya uhai puani. Tumia akili waliombwa 1 :27 na aliyeumbwa 2 :7 ni nani na nani!?? Wenye akili tunajua ni mmoja ila mwanza 1 yalikuwa ni majumuisho kwahyo hakuna mwanamke aliyeanza kabla ya eva na hakuna mwanaume aliyeanza kabla ya adam.
@ellytech9757
@ellytech9757 2 месяца назад
Vitabu vingine ndiyo vitabu gani? Vya lini? Vya kina nani?
@abdulikaku5080
@abdulikaku5080 2 месяца назад
Tumepigwa sana. Nimelia sana baaada ya kusikiliza😢😢😢
@SagangaKapaya
@SagangaKapaya 2 месяца назад
Umepigwa nini?
@samwelishilabhi6005
@samwelishilabhi6005 2 месяца назад
Kama unaitwa mkristo chanzo cha maarifa yako LAZIMA KIWE BIBLIA Na mkisto ana pata maagizo na kanuni za mungu akiiga mfano na maagizo ya Yesu YOHANA 15:14 Visa vingi katika Biblia vimeandikwa ili kutu fundisha na viwango vya mungu vya mema na mabaya ni vikamilifu alipanga Biblia iandikwe na hakusahau jambo lolote SASA KWANINI USIULISE KWANINI YESU ALI KOMESHA kanuni iliyo katika KUMBUKUMBU LA TORATI 19:21 Kwahiyo YESU ndiye nuru ya Ulimwengu aliletwa ili kututoa wanadamu katika giza na mizigo mizito hivyo kwa kuibeba nira yake ambayo sio mzigo mzito tutapata uzima wa milele MATHAYO 19:5 USOME NA MSTARI WA 8
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 2 месяца назад
@@samwelishilabhi6005 1 Tim 5:23 SUV Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara. Biblia Hiyo yako inakuruhusu unywe pombe utasema Biblia kitabu cha mungu
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 2 месяца назад
@samwelishilabhi6005 1 Samweli 15:3 SRUV Basi sasa nenda ukawapige Waamaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyonavyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, na mtoto anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda, Biblia yako inakuruhusu uuwe mpaka mtoto anaye nyonya mpaka ngombe bado tu unatetea kitabu amacho kila siku kinabadilishwa
@victoriousgospels
@victoriousgospels 2 месяца назад
Hili swala ni rahisi sana kutambua aache uongo. turudi kwenye taratibu za Kikuhani na KUHANI NI NANI LEO?
@anko_mussa
@anko_mussa Месяц назад
Akuna mungu wala dini akil za wakoloni izo
@Sheba4651
@Sheba4651 2 месяца назад
Mmoja anakua mama tu acheni hizo, imani mila za wazungu, hata mababu zetu kabla ukoloni walikuwa hata na 11
@Kiganja
@Kiganja 3 месяца назад
Mahojiano ni mazuri shida iko kwa watangazaji wanashindana kuongea. Muwe mnapeana nafasi na kutenga muda wa kumsikiliza mnae muhoji.
@piusjoachim5843
@piusjoachim5843 3 месяца назад
Hasa kwny mada makini km hii
@wemakingdaily1462
@wemakingdaily1462 3 месяца назад
Wengi hawajasomea uandishi wa habari wameletwa hapo sababu ya uchawa
@BartholomewMbelle
@BartholomewMbelle 3 месяца назад
​@@wemakingdaily1462sahihi kabisaaa
@mamawadudu48
@mamawadudu48 3 месяца назад
Huyu mzee abatumia ujinga wa watu ili apate wanaume wengi kanisani kwake. Inasikitisha sana.
@mckobatz5861
@mckobatz5861 3 месяца назад
Mbona wamama mmemjia juu mzee wa upako jameni😂😂😂 yupo sawa kabisa hapo turuhusiwe tu
@abdalahmwendafeysal9093
@abdalahmwendafeysal9093 3 месяца назад
Toa andiko lililokataza kuoa zaidi ya mke mmoja, andiko hupingwa kwa andiko
@abdalahmwendafeysal9093
@abdalahmwendafeysal9093 3 месяца назад
Toa andiko lililokataza kuoa zaidi ya mke mmoja, andiko hupingwa kwa andiko
@mckobatz5861
@mckobatz5861 3 месяца назад
@@abdalahmwendafeysal9093 amdalah unawachokoza dada zako wa kikristo wanakuwa wakali tuliongelea hoja hiyo utawasikia sa si mbadili tu dini muwe waislamu!!!! Ukiwaambia watoe andiko wanakwambia ukileta mke ye anaondoka😂😂😂
@LodvolaLameck-jl5vs
@LodvolaLameck-jl5vs 2 месяца назад
​@@mckobatz5861 Akasema, kwa sababu hiyo mtu atamwacha babaye na mamaye ataambatana na mkewe na hao WAWILI WAWILI WAWILI WAWILI watakuwa mwili watakuwa mwili mmoja " Mathayo 19:5
@thetztyger7452
@thetztyger7452 2 месяца назад
"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa." Kuna fact anaziongea huyu mzee ziko nje ya upeo wetu wa imani zetu tulizozizoea za kukaririshwa mambo na kujitia ujuaji mwingi. ila ukiitafuta imaan kwa tafakari binafsi utagundua matango pori mengi sana tuliyolishwa na wanaotulazimisha kukariri mafundisho na siyo kutufunza kuwa na tafakuri huru.
@julianamwamgogwa
@julianamwamgogwa Месяц назад
Hee mzeeee acha uongo
@WillsEnterprise
@WillsEnterprise 2 месяца назад
Swali logical tu, statistically mbona wanawake ni wengi kuliko wanaume ina maana hao wa ziada hawana haki ya kuwa na mume au hawana haki ya kuzaa wameumbwa kuishi maisha ya upweke miaka yao yote hapa duniani??
@willmjuma5354
@willmjuma5354 2 месяца назад
Sasa Lilith alifukuzwa akaenda wapi..???
@SuzyCaesar
@SuzyCaesar 2 месяца назад
Labda ndo yule nyoka
@thomassalvatory8303
@thomassalvatory8303 3 месяца назад
so mi napinga naye kwenye issue ya mke wa pili based on new testament not old on the issue of lilith he might be right based on Gen 1:27 means God created male and female on his image so it means men and women were created same day on God's image the question is who is that woman because on Gen 2:18 it shows aganin woman was created from Men's ribs so its little contradiction so many might have but i think best people to explain this are Romain Catholic priests
@SultanAkram-ou8nt
@SultanAkram-ou8nt 2 месяца назад
new kai andika nani jombaa .tumia hata akili yako ya kuzaliwa wewweee
@thomassalvatory8303
@thomassalvatory8303 2 месяца назад
@@SultanAkram-ou8nt ans based on data not politics read dont listen mada za vijiwen right ready and do research then you will understand otherwise you will be slave of religion because there is religion where people dont understand what is said there they just crem it without understanding that is big problem
@renatusmtakyawa594
@renatusmtakyawa594 3 месяца назад
Mwanzo 1 27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba. 28 Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi. 29 Mungu akasema, Tazama, nimewapa kila mche utoao mbegu, ulio juu ya uso wa nchi yote pia, na kila mti, ambao matunda yake yana mbegu; vitakuwa ndivyo chakula chenu; 30 na chakula cha kila mnyama wa nchi, na cha kila ndege wa angani, na cha kila kitu kitambaacho juu ya nchi, chenye uhai; majani yote ya miche, ndiyo chakula chenu; ikawa hivyo.
@mckobatz5861
@mckobatz5861 3 месяца назад
Asante kwa neno hili wale wanaobisha kwamba Lilith hakuumbwa pamoja na Adam watuambie hapo kwenye "mwanaume na mwanamke aliwaumba" huyu mwanamke ni nani aliyeumbwa? Maana tumeambiwa Hawa alitolewa kwenye ubavu wa Adam
@gracelema2374
@gracelema2374 3 месяца назад
Hii story naijua na kunamastory mengine mengi amby wanadai et bibilia haijaandika...ni kutoka ancient books
@dahero160
@dahero160 3 месяца назад
Kuna kitabu cha enock ambaye na babu wa baba ake na nabii nuhu inasemekana hicho ndio kitabu chenye siri nyingi kiasi kwamba walioandaa haya maandiko walikitoa kisiwepo
@prosperjuma905
@prosperjuma905 3 месяца назад
Lakini kuliondokea manabii wa uongo katika wale watu, kama vile kwenu kutakavyokuwako waalimu wa uongo, watakaoingiza kwa werevu uzushi wa kupoteza, wakimkana hata Bwana aliyewanunua, wakijiletea uharibifu usiokawia. 2 Petro 2:1
@julianamwamgogwa
@julianamwamgogwa Месяц назад
Mzee Waupako kwisha habali
@jesusismyeverything1630
@jesusismyeverything1630 2 месяца назад
Yesu wangu
@carolicarlos8699
@carolicarlos8699 2 месяца назад
Ibrahimu hakuwa mkristo.leta nifano ya Kianzia Yesu ndioe kielelezo chetu.chochote kabla ya Yesu kwenye hii mada haituhusi wakristo.
@abdallaabdulrahman8319
@abdallaabdulrahman8319 3 месяца назад
Haya zamu yenu sasa Wakristu kumbe wake 2 sio zambi wala wamjakatazwa kuoa basi tushirikiane kupunguza wimbi la Singo mama.
@mckobatz5861
@mckobatz5861 3 месяца назад
Amdalah 😂😂😂😂
@abdalakambangwa2074
@abdalakambangwa2074 3 месяца назад
inaskitisha sana mchungaji hana elimu kuhusu neno la Mungu kiasi hikon😢😢😢
@shabanjuma7102
@shabanjuma7102 3 месяца назад
Wewe ndio hauna elimu, wewe umekariri, Hilo swala la Lilith lipo kwenye biblia ila wewe ndio hujasoma
@SalumuAlly-d9q
@SalumuAlly-d9q 3 месяца назад
Unatumia jina la kiislamu toa kwanza hilo jina andika la kwako usijifanye mwislamu kumbe ndo nyie walewale
@shabanjuma7102
@shabanjuma7102 3 месяца назад
@@SalumuAlly-d9q kwahiyo unataka niitwe nani kama hutaki nitumie jina langu, legeza ubongo upokee maarifa usijifanye unajua Kila kitu kumbe vingi hauvijui
@danielpeter8085
@danielpeter8085 2 месяца назад
Anachosema mchungaji kunakaukwel .. mana apo mwanzo kuwa na wake wengi iliruhusiwa ..soma again la kale ...mfano Ibrahim tu ..utajua. lakn walirusiwa kwa agizo la kutokuachana
@edwinmanji74
@edwinmanji74 2 месяца назад
Shida ipo hapo "kwenye dini yetu"humo kuna mapokeo ya kila aina lakini ukiwa mwamini haya yote hayatakusumbua maana alisema mtaifahamu kweli nayo kweli itawaweka huru
@GombaRecords
@GombaRecords 3 месяца назад
Lilith aliweka kiburi coz wote ni quality moja Sasa iweje unitawale Lilith akalaaniwa.then akaumbwa hawa kupitia Adam ndio Adam akasema huyu ni Bora coz ametokana na Mimi atanitii finally mwanamke ni mwanamke tu hawa nae akamtia changalamacho Adam wakala tunda wakafukuzwa kwenye Bata wakaletwa huku tupambane na maisha haya ya uchawi fitna majungu roho mbaya kuuana kusalitiana na kila balaa Yani wanawake Wana shida Toka mbinguni sio hiku duniani tu
@methodemmanuel4658
@methodemmanuel4658 2 месяца назад
Leta andiko au references zinazoeleweka nami nijifunze.
@paulokivuyo1921
@paulokivuyo1921 2 месяца назад
Yupo sahihi sana
@LisaLeonard-b5e
@LisaLeonard-b5e 3 месяца назад
Mimi sina tena imani na dini yoyote asaiv 😢😢😢
@mpokimwakabuku8471
@mpokimwakabuku8471 3 месяца назад
Dini ya kweli ipo!
@victorguapo7827
@victorguapo7827 3 месяца назад
Sali imani yako itakuponya
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 3 месяца назад
Wewe kwa Biblia hujui kuisoma na kuielewa? Soma Neno la Mungu likuongoze maisha yako. Maana lazima tukue akili tuweze kuchambua neno linaro tufaa tuchukue, lisiro faa tuliweke pembeni ili tuwe salama katika Imani yetu ya Kristo Yesu.
@geofreyfrank3149
@geofreyfrank3149 2 месяца назад
Kaka dini ni uongo wa shetani mwenyewe. Soma Mwanzo 22:1 Inapingana na Yakob 1:12.
@mpokimwakabuku8471
@mpokimwakabuku8471 2 месяца назад
@@geofreyfrank3149 Nimepitia hayo maandiko kaka,na kwa kweli Hayapingani.unahitaji tu kufafanuliwa kwa sababu maandiko hayapingani bali yanapatana!
@ChristantusNyambo
@ChristantusNyambo 2 месяца назад
Fundisho hili la eva kuwa mke wa pili wa Adamu ni uwongo mkubwa sana sana na ni elimu ya kufikilika sana,chanzo ni mpinga Kristo na yameenezwa kutumia mitandao tu vitabu vya asiri havisemi hivyo.vimegushiwa .vitabu vyote vya kikatoriki,na kipentekoste ,hilo jina sio kweli
@MaikoRashku
@MaikoRashku Месяц назад
Wewe mlevi Kweli, unasema kwamba watu wakikubaliana Jambo lolote MUNGU analieshimu !. Kwa hiyo hata wale waliokubaliana kufirana MUNGU anaeshimu ?. Wewe Antony acha kupotosha ,
@ZionEmanuel-ne8ob
@ZionEmanuel-ne8ob 2 месяца назад
Hapa nimeelewa kumbe uzao wa adamu kwa mwanamke Lilith upo na uzao wa hawa upo ndio maana kuna mambo yapo tofauti sana.
@mwankunjatyson
@mwankunjatyson 3 месяца назад
Muwe mnasema na hivyo vitabu ni vitabu gani au hiyo mistari ya huyo Lilith
@Brandpeople
@Brandpeople 3 месяца назад
Kitabu kinaitwa "The Alphabet of Ben Sira" kiko katika tamaduni za kiyahudi kati ya 700-1000CE (Early jewish literature), ndio haya yameeelezewa. Kwenye Biblia; Mwanzo 1 " Mungu akawafanya mtu Mume na Mtu Mke"...., Mwanzo 2 " Mungu akamfanya Eva". unaona wazi kabisa kuwa kuna kipengele cha taarifa hazipo, na hakuna uhusiano kati ya Mtu Mke na Eva sababu kilichotolewa kwa Adamu ni Ubavu.
@mwankunjatyson
@mwankunjatyson 3 месяца назад
@@Brandpeople Ni kwanini hapo Mwanzo 1:26 tunasema ni Adamu akati haijaandikwa Adamu imeandikwa tuu Mume na Mke alafu sisi tunasema mume ni Adamu na huyo Lilith akati Biblia haijasema hivyo. Lakini huo ni utangulizi tu katika ufafanuzi wa uumbaji mtu wa kwanza ni Adamu na Hawa.Ukiniambia kama hivyo unavyosema unatakiwa kunambiya pia huyo mume alikua nani hapa pa Mwanzo 1:26 sababu hatuoni majina
@jacobnduya798
@jacobnduya798 3 месяца назад
Neno Lilith halipo kwenye bibilia lkn ukisoma vzr kitabu cha mwanzo sura ya Kwanza na kuendelea utagundua kuwa Adam aliumbwa kwa udongo na mke. hapo lkn siyo rahisi kujua. Lilith ipo kwenye hadithi ya maandiko ya wahahudi.
@mwankunjatyson
@mwankunjatyson 3 месяца назад
@@jacobnduya798 Kama ni hivyo bas Adamu sio wa kwanza maana Bibilia imesema aliumbwa mtu mume na mke hapa hayakutajwa majina lakini sisi tunaunda huyu mke alikua Lilith na huyu mume alikua nani sasa maana Mwanzo 1:26 haijasema
@Brandpeople
@Brandpeople 3 месяца назад
@@mwankunjatyson Ndio maana nimekupa "Source" ili usome kwa uelewa zaidi Mr. Mwankunja. Ukifuatilia utaona hadi majina ya Malaika watatu(3) waliotumwa kumrudisha Lilith Kwa Adamu baada ya kuamua kuondoka. Hata chanzo cha Lilith kuonekana amekosa Utii kwa Adamu kimeainishwa. Na pia maelezo kuwa Lilith ni nani na yuko wapi sasahivi/Leo hii. Kuna mambo mengi, kifupi kuelezea hapa kila kitu itakuwa ngumu maana kila jambo litazaa maswali mengine zaidi.
@RastaSuma
@RastaSuma 2 месяца назад
Hizo biblia zimewadanganya mengi sana wakristo kwani waandishi wa kirumi ndo walibadili maandiko ya Mungu na mkakaririshwa yaliyo nje ya amri za Mungu kama leo hii walivyoandika biblia ya mashoga na hayo yalifanyika wakati yesu kashaondoka duniani wakaingiza ukristo ambao yesu na manabii wote hawatambui.
@floraashery224
@floraashery224 2 месяца назад
Mzee anajua sana apewe maua yake angali hai
@phakundigervas1360
@phakundigervas1360 2 месяца назад
Haya ndio maua yake _ asipotubu atakufa katika uangamivu na upotofu WA kile alichokiumbs kwa fikra zake!
@samuelmwaipopo1302
@samuelmwaipopo1302 2 месяца назад
Huyu mnyakyusa mwenzangu leo namvua vyeo. Mwanzo sura ya kwanza inaelezea kwa mukhtasar juu ya uumbwaji wa ulimwengu na mwanadamu mwanzo 1:27 ... Alimuumba mtu mume na mwanamke.... Lakini ukija mwanzo 2:7 inaelezea kwa undani jinsi binadamu/Adam alivyoumbwa. So mwanzo 1 ni synopsis ya siku za mwanzo. Hakuna sehemu. Au unataka kutuambia adam aliumbwa mwanzo 1:27 kisha akaumbwa na adam mwengine mwanzo 2:7. 😂😂😂😂 Sadaka zenu letu kwangu nilie chips naona huyu mzee mshamuungisha sana.😂😂😂😂
@rodrickshio8346
@rodrickshio8346 3 месяца назад
Mzee wa upako anadanganya sana,akasome 1 wakorntho 7 :1 -9 atapata logic ya kwann mke mmoja, mtume Paulo anatuambia kwa sababu ya zinaa ni heri mwanaume au na mke mmoja na hivyo hivyo kwa mwanamke
@wemakingdaily1462
@wemakingdaily1462 3 месяца назад
Yupo sahihi
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np 3 месяца назад
Mzee wa upako tuthibitishie kwenye maandiko
@bensonelisa3225
@bensonelisa3225 3 месяца назад
Hvo vitabu vingine vimepatia wapi hzo habari ambazo hata kwenye bibilia hazipo!!?
@oscarmushi3212
@oscarmushi3212 2 месяца назад
Mwanzo 3 20 Adamu akamwita mkewe jina lake Hawa; kwa kuwa yeye ndiye aliye mama yao wote walio hai. Mke halali wa Adamu ni Hawa
@KelvinJackson-xq5eu
@KelvinJackson-xq5eu 2 месяца назад
Mungu akusamehe maana hata hao unao waongoza utawapeleka motoni
@KudrahPembe
@KudrahPembe 3 месяца назад
Nyinyi studio mnapiga mikelele swali aulize mmoja mumwache anaejibu ajibu mara mcheke cheke
@RashidMbwile
@RashidMbwile 2 месяца назад
Upo kujionyesha sura yako ilivyo sasa
@daudimlamka1239
@daudimlamka1239 3 месяца назад
mnakera na background music , yaani inakeraaa
@MichaelMathew-j3f
@MichaelMathew-j3f 3 месяца назад
Bwana Yesu aliwajibu mafarisayo akiwaambia, hamkusoma yakwamba yeye aliyewaumba mwanzo, aliwaumba mtu mme na mtu mke, na kwasababu hiyo mtu atamwacha babaye na mamaye kisha ataambatana na mkewe na hao wawili watakuwa ni mwili mmoja. Bwana Yesu hakusema mtu ataambatana na wake zake, alisema mke wake, yaani akimaanisha mke mmoja. Na ndo maana hadi leo ndoa ya kikristo ni mke mmoja tu. Mzee wa upako mwambie akasome maandiko kwa upya. Afu siku hizi amekuwa mwongo tu.
@ModesterMshama
@ModesterMshama 3 месяца назад
Tangia uanze kusoma biblia,umeona wapi Ibrahim aliambiwa kuwa umezini baada ya kuwa na mwanamke mwengine tofauti na Sara? Huo unaitwa utawala wa fikra
@ModesterMshama
@ModesterMshama 3 месяца назад
Sisi tunaishi katika tamaduni za kirumi bila kujijua,maana hata ubarikio wa ndoa haukuwa unafanyiwa makanisani ili ionekane yenye baraka bali ilikuwa ni makubaliano kati ya familia na familia
@ModesterMshama
@ModesterMshama 3 месяца назад
Rumi ndiyo ilianzisha kufunga ndoa makanisani
@Fgldesigns
@Fgldesigns 3 месяца назад
Alisema hivyo kwakuwa mtu anaoa mmoja mmoja huwezi kuoa wengi kwa muda mmoja
@Manyoniartsonlinetv6441
@Manyoniartsonlinetv6441 3 месяца назад
ngu hakumba mwanaume na mwamke bali aliumba mwanaume tu badae akalete msaidizi akuumbwa elewa
@MapenziMalanda
@MapenziMalanda 3 месяца назад
Mzee wa uwongo kitabu Cha bibilia hakina mbadala kime jitosheleza, nasio kusoma kwa akili unavyo sema, bibilia huwezi kuielewa bila ya msaada wa Roho wa Kristo. Sasa wewe Roho wa Kristo huna.
@shubebunyesi542
@shubebunyesi542 3 месяца назад
hapo ndipo wakristo mnapoigwa yaani bibilia ili usome uwe na roho, roho manake malaika hv nynyi malaika haji tu atakipindi icho cha manabii wlikuwa hawaji tu mpaka watumwe na aliye waumba na siokila mtu ilikuwa kwa baadhi tu ya walengwa leo hii usome uwe na roho tkt dunia hii ya leo ya ushetani hakuna wakuongzwa au kutokewa na malaika kwa uchamungu gani mliokuwa nao mtu anaweza kupata ishara na hii inatokana na kiwango cha juu cha uchaMungu lkn sio malaika hamkeni hakuna cha roho wala nn
@tabletennis6296
@tabletennis6296 3 месяца назад
Jaman sio kwa ubaya ila hawa oscar wao ni wachambuzi wa kitu gan? Mpira wachambuzi wao Matukio ya kijamii wao Siasa wao Uhalifu wao Mbona imekaaje hiii?
@barakadugange2156
@barakadugange2156 3 месяца назад
We ulitaka wakuchambulie nini kat ya hivyo ulivyotaja
@christiannyamamba9089
@christiannyamamba9089 2 месяца назад
Now kina lilith wanarudi kwa kasi
@Bilioneabichwa331
@Bilioneabichwa331 2 месяца назад
Pombe sio chai
@davidsika5292
@davidsika5292 3 месяца назад
Mwanzo sura ya 1:26-27 nin summary ya uumbaji wa binadamu lakini sura ya pili inaelezea vizuri sura ya kwanza soma mwanzo 2:5 na kuendelea utaelewa vizuri
@EmmanuelKamaka
@EmmanuelKamaka 2 месяца назад
Stor yenu mhh Ongezapicha zawazungu.kichefuchefu tadyari mnapotosha ukuu.wamwfricana uumbaji.wa MUNGU
@benjo_brighter
@benjo_brighter 2 месяца назад
Hii story niliwahi kuisikia mahali.
@costantinochimwaga4467
@costantinochimwaga4467 3 месяца назад
MWANZO 1:26 HADI 28 NI HABARI KW UFUPI KUHUSU KUUMBA WANADAMU NA JUKUMU LAO. LAKINI KWENYE MWANZO SURA YA 2, MUNGU ANATAJA HATUA ZA KUWAUMBA,NA MENGINE MACHACHE. MSTARI WA 7 ADAMU ANAUMBWA,BAADA YA KUANDAA BUSTANI, MSTARI WA 15 ANAMWEKA ADAMU HUMO. MSTARI WA 18 ANAMWAMBIA MPANGO WAKE YULE ALIYEKUWA ANAMSAIDIA KAZI KWAMBA ANAKUSUDIA KUMPA ADAM MSAIDIZI(Adam hakuwa anajua hilo) MSTARI WA 21 HADI 24 NI MCHAKATO WA KUUMBWA KWA HAWA. NA KUHUSU MUNGU ANA MAONI GANI KUHUSU NDOA,TAFADHALI,SOMA MATHAYO 19:4 HADI 9 (KUMBUKA ANAYESEMA MANENO HAYO NI YESU KRISTO)
@ommymehmed8880
@ommymehmed8880 2 месяца назад
Acheni kupotosha
@dihnoclever1816
@dihnoclever1816 2 месяца назад
Huyo lilith alitokea wapi Mbona biblia inasema mtu wa kwanza kuumbwa ni adamu Hakuwepo mtu mwingine Hata alipo letewa hawa?
@princemosha4566
@princemosha4566 2 месяца назад
FINALLY
@martinjohn7854
@martinjohn7854 2 месяца назад
KUMBE MZEE WA UPAKO ANA WAKE WENGI SASA?
@omarimhd7716
@omarimhd7716 2 месяца назад
Baba levo atakikuchaguliwa mke
@OscarDongo
@OscarDongo 3 месяца назад
Dah! Watu mna siri!? Hivi kumbe mwamba (Adam) alikuwa na EX wake kabla ya hawa!? Mnatukoroga kwa kweli........
@alanmwijarubi
@alanmwijarubi 2 месяца назад
Mwanaume akiwa na wake wawili au zaid, je kunakuwa na miili mingapi? Maana tumeambiwa mke na mume wanakuwa mwili mmoja.
@HASSANBAKARI-q9c
@HASSANBAKARI-q9c 3 месяца назад
Ila oska malaya sana 😊😊;;(baba wa imani ibrahimi ana wake wawili wewe ni nani)
@ezrakiduko6135
@ezrakiduko6135 2 месяца назад
Mwanaume kuwa na mwanamke ni tujitoa sadaka
@maryammussa2835
@maryammussa2835 3 месяца назад
Huyo Mzee cjui wa upako mjinga Adam na Hawa ndiyo binadam wa kwanza kuumbwa,, yeye km anataka kuzini azini,, laaa km anataka mke zaidi ya mmoja mwambieni asilim
@mckobatz5861
@mckobatz5861 3 месяца назад
😂😂😂 yaani nilipoona tu hii comment nikapata taswira ya kuwa huyu lazima ni mwanamke hata kabla sijasoma jina lako yet nakuta waitwa Maryam😂😂😂 mwacheni bhana mzee wa upako hapo yupo sawa kabisa nasi inabidi tuandamane turuhusiwe bhana hii mke mmoja ni ya akina Costantino walipotaka kuzuwia wingi wa wakristo
@ModesterMshama
@ModesterMshama 2 месяца назад
@@maryammussa2835 Sheria ya mke mmoja ilianzia wap?
@wadauwasizoni
@wadauwasizoni 3 месяца назад
Mpuuzi huyu anadanganya watu harafu anajisifu anajua biblia. Wajanja niwengi sana dunia hii ya leo kuwa macho mkristo Yesu anarudi
@joachimluhamo3042
@joachimluhamo3042 3 месяца назад
Huyu mchungaji kila siku anaendelea kuchanganyikiwa ni andiko gani linasema adam alikuwa na wake wawili ? Nakumbuka kuna siku aliwai kusema Yesu ni mtu wa kawaida leo anasema adamu alikuwa na mwanamke anaithwa lilithi kwa andiko gani
@kingmtetezi6670
@kingmtetezi6670 3 месяца назад
Kwani yesu hakua mtu wa kawaida? Yesu mwenyewe kasema ni mtu
@fabianbenardngatunga2713
@fabianbenardngatunga2713 2 месяца назад
Kuowa wake wengi ni tamaa za kibinadamu
@profs.a5412
@profs.a5412 3 месяца назад
Lilith kwenye bible Hilo jina halipo , na anacho kizungumza nii vitabu vya mediavel, wameandika hvyo vitabu , kwenye bible hakuna kisa chaa kusema Lilith hakumtii Adam😂
@FrancesJunior-e9f
@FrancesJunior-e9f 2 месяца назад
Acha uongo mzee babu!
@KudrahPembe
@KudrahPembe 3 месяца назад
Na Hilo li baba levo halijui kutangaza saiti lake Lina rafuzi ya ki muha muha,limetoka mda mrefu kigoma lakin bado linasound kimuha
@HappyAgilityPuppy-lg8wg
@HappyAgilityPuppy-lg8wg 3 месяца назад
tunaomba andiko
@MaalimShabani
@MaalimShabani 3 месяца назад
Mwanzo 18
@GodfreyRichard-v4f
@GodfreyRichard-v4f 3 месяца назад
Baba Levo eti akuchagulie cha hovyo😂😂😂😂😂😂😂😂
@GoodFred-e7s
@GoodFred-e7s 2 месяца назад
Leo ndio nimesikia kuwa haha ni mke wa pili
@Tundumaboyhumble_95
@Tundumaboyhumble_95 2 месяца назад
Naomba unisaidie kitabu kinachoongerea kuhusu Adam na wake zake
@ibrahimabdallah4858
@ibrahimabdallah4858 3 месяца назад
A prominent idea within secular culture is that the Bible has been edited and portions of text were taken out. One such example cited by feminists is the character of Lilith. According to the story, Lilith was the first wife of Adam and was made from the dust of the earth like him. She claimed equal status with him and refused to lie under him because of it. Lilith fled the garden of Eden and refused to come back when three angels tried to persuade her to do so. She was then cursed to be the mother of demons and would seek to kill Adam’s sons. Adam, now having no wife, was given the more submissive Eve who would listen to and obey him.😊
@thomassalvatory8303
@thomassalvatory8303 3 месяца назад
so ifs true alikuwa na watoto na watoto wake ndio mademons au
@sheilaally9490
@sheilaally9490 3 месяца назад
this is not biblical view,
@victorguapo7827
@victorguapo7827 3 месяца назад
@@thomassalvatory8303yes alkua na watoto na waliuwawa na methuselah
@thomassalvatory8303
@thomassalvatory8303 3 месяца назад
@@victorguapo7827 where do you get this share refences
@thomassalvatory8303
@thomassalvatory8303 3 месяца назад
proof
@hamisinano4709
@hamisinano4709 3 месяца назад
Ukiangalia kwenye move ya deval kingdom ya Steven kanumba Lilith ametajwa saana kama msaliti kwenye vitabu vya roho ya unabii
@draffael1
@draffael1 3 месяца назад
Uncharted waters!!!
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
@Mahershalalhashbazi-kf6xi 2 месяца назад
BIBLIA imehakikishwa;Haihitaji vitabu vya ziada kuielezea au kuifuata; Neno la Mungu ni kamilifu ktk kuwaongoza;kuwafundisha,kuwaadibisha watu ktk haki ya Mungu👉Mithali 30:5-6. Uongo unamuumbua chief Mwantebe,anaongopa na nafsi inamsuta kabisa.😂😂 Ole wenu waandishi na Mafarisayo wanafiki!Kwa kuwa mnawafungia watu UFALME wa mbinguni;ninyi wenyewe hamwingii,Wala wanaoingia hamwaachi waingie👉Mathayo 23:13 Lilith is on among the fallen angels:Lilith were not Eve:Mwantebe is deceiving the world. Be careful we are living in the End times; demonic doctrines are every where;👉1Timoth 4:1-2.
@isayaambose219
@isayaambose219 29 дней назад
Wewe umesikia wapi amesema Lilith ndio Eve??? Those are two different creature's... mnajifanya mnaweza kuifuata torati kumbe ni wanafiki tuuu 😈😈😈😈😈
@daudireuben5675
@daudireuben5675 3 месяца назад
Watangazaji mna haraka yaan subirn kwanza😂😂😂
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 3 месяца назад
Natamani siku moja wasafi wamualike bishop ngonyani fundi wa maandiko , alielezee hili sio hawa wachungaji njaa wasiojielewa afu bible ishaweka wazi na kusema tuzipime roho zidanganyazo na mafundisho ya kishetani
@dlfam1510
@dlfam1510 2 месяца назад
Mim sijui tu mbona watu huamini hawa watu wanajiita wachungaji. Mnadanganywa kabisa na wote mnachukulia kama mchezo. Wew mwenye unajiita mzee wa upako it's better utubu kitu unapotosha watu hapo otherwise the LORD will deal and rebuke you..
@yasinrasheed5743
@yasinrasheed5743 2 месяца назад
Soma wewe biblia vizuri usimuite MTU muongo bila ushahidi wewe mwenyewe ukristo umeukuta babu zako walikuwa wapagani
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 3 месяца назад
Safi kabisa anaebisha aje atuoneshe wapi BIBLIA inasema usiowe mke mwengine😂😂😂
@hatibumohamedi3471
@hatibumohamedi3471 3 месяца назад
Akuna kitabu kinacho sema mtu awe na mmoja hiyo ni mipango tu ya watu furani kuupotosha ukweri hata sayansi ina kataa mke kua na zaid ya mume mmoja ila ina kubari mme kua na wake wengi zaidi maana yake mungu ndie alie amua piga ua na hata wewe unae pinga vil vimada vya nin baada ya mkeo fuata haqi acha kufata mbinu za wahuni waliozo panga
@sharifahabsi5004
@sharifahabsi5004 3 месяца назад
Anajua sanaaa huyu mzeee🎉🎉
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 2 месяца назад
Hapo sioni akisoma maandiko ya bibilia naona maneno sijui huyo mzee anatumia kitabu gani hapo
@Assay-gn1wv
@Assay-gn1wv 3 месяца назад
Yaani huyu baba bwana, huyo lilith ameandikwa wapi????mbona mnapenda sana kuonekana mnajua kuliko Mungu sasa???kwaio mnaenda beyond alicho andika Mungu?kwamba vingine amesahau kuatuambia au??mzee mzima km huyu lusekelo hata busara hamna, hajui hata kwanini Mkristo anaoa mwanamke mmoja hajui???eti ndio viongozi wetu ptuuuuuuu
@SifaelMpagike-gt1gz
@SifaelMpagike-gt1gz 2 месяца назад
Hahahahaahahaha hatuna mtumishi hapo mbona unaongea uongo hadharan 😥😥😥😥jamani duuu habari sana.
@Luckychap-dk9kb
@Luckychap-dk9kb 3 месяца назад
Huyu jamaa anapotosha hakukuwa na mwanamke mwingne kabla ya hawa
@menastiem8637
@menastiem8637 3 месяца назад
Mwisho wa ufahamu wako ISIWE mwisho wa Watu kujua
Далее
Это было очень близко...
00:10
Просмотров 1,9 млн
Слушали бы такое на повторе?
01:00
When Khabib dropped Conor McGregor 👀 #nocommentary
00:59
Ong Bak | Fight Club Scene
15:05
Просмотров 75 млн
HISTORIA YA WAARABU NA ISRAEL
3:34:15
Просмотров 60 тыс.
The Story Book : Ukweli Uliojificha Kuhusu BANGI
41:40
The Story Book : Usiyoyajua Kuhusu Jua
26:54
Просмотров 968 тыс.
А что бы ты сделал? @LimbLossBoss
0:17
Цыганка помогла мужику #shorts
0:38