Jesus said that “a man shall leave his father and mother and be joined to his wife, and the two shall become one flesh.” Jesus spoke of one man and one woman marrying. He said that marriage is made up of one man and one woman. The two make one flesh.
Swali logical tu, statistically mbona wanawake ni wengi kuliko wanaume ina maana hao wa ziada hawana haki ya kuwa na mume au hawana haki ya kuzaa wameumbwa kuishi maisha ya upweke miaka yao yote hapa duniani??
Muwe mnapunguza soundtrack maneno yasikike vizuri na pia muwe mna selection za biti mana hiyo imekaa kimichezo na sio inspiration au motivation kwa sisi maproducer tunajua na sio kuweka ma dj ambao hawajuhi maswala ya sound
Kila kitu ni safi kwake aliye safi WA Moyo,hii ni agano jipya! Na Mungu Siku zote anaangalia NIA ya kufanyika kwa jambo siyo namna jambo linavyoonekana! Mambo ya Imani Yana password zake,kuyaelewa Mzee wa UPAKO kwa mtazamo wake Yuko sawa!
Wasafi huwa tunapenda sana topic za vipindi vyenu vya mahojiano, tatizo lenu ni mnakelele sana yaani hamuachiani namna ya kuongea au kuhoji. Inakuwa kama genge la wahuni. Tungeomba mpeane interval ya kuhoji ninyi waandishi na mgeni mliyemuarika ajieleze kwa uwazi bila kuingiliwa ingiliwa.
Ufirauni ndiyo dhambi kwa Mungu ila mwanaume anapaswa kuwa na wanawake wengi ili apate uzao mkubwa. Jiulize swali, kwanini ukinunua mifugo mfano ng'ombe unachukua dume 1 na majike 5 ili upate uzao ila kwa binadamu ukweli unapotoshwa?
au labda mm sijui ila kama nachosema ni sahihi huyu jamaa atakuwa muongo na mpiga dili yesu alisema yoyote amuache mkewe na kuwa na mwanamke mwingine amefanya uzinzi hapo hakusema wake amesema mke sasa hayo anayosema usimwache mke wa kwnza ameyapatia wapi
Tena kama Yesu aliwajibu akawaambia "Musa aliwaandikia Taraka Kwasababu ya ugumu wa mioyo yenu lakini tangu hapo mwanzo Mungu aliumba mwanaume na mwamke," Note; mwanaume yaani mmoja na mwanamke yaani mmoja. Tena imeandikwa mwanaume ataachan na wazazi wake na kuambatana na mkewe, elewe neno MKEWE. Huyu Mzee wa upako anapotosha sana tuweni sana makini
@@christianmenas9528kwani wanawake ni wangapi duniani na wanaume ni wangapi duniani? Ninyi mnahesabugi wanawake ila mbele ya Mungu mwanamke ni mmoja na mwanaume ni mmoja hata muwe ma Millions ni mtu yule yule uongo umeshawaharibu kichwani😂😂😂😂
@@MrTop-wj7no Kwa hiyo sehemu zote Mungu anazotumia idadi kwenye maandiko huwa anakosea? Mungu hajui idadi? Hiyo nitafakari yako na ipo sahihi ila kwa kilichoandikwa wewe umekosea. Kwani hawezi kusema kusema wazi?
Safi sana Mzee wa Upako, Nimeamini kweli unasoma na kutafiti mambo ya Biblia. kwa asiyefahamu, haya yameandikwa katika machapisho ya "The Alphabet of Ben Sira" katika tamaduni za kiyahudi kati ya 700-1000CE (Early jewish literature). Kwenye Biblia; Mwanzo 1 " Mungu akawafanya mtu Mume na Mtu Mke"...., Mwanzo 2 " Mungu akamfanya Eva...". Unaona kabisa kuwa kuna kipengele cha taarifa hazipo, na hakuna uhusiano kati ya Mtu Mke na Eva sababu kilichotolewa kwa Adamu ni Ubavu na sio (Mtu Mke).
Hivi utakua na akili timamu kweli kuamini kitabu kilichoandikwa kati ya mwaka 700 na 1000 AD kuhusu kuumbwa kwa Adamu? Na wala siyo early Jewish literature kwa sababu vitabu vyote vya Agano la Kale vime predate hiki kwa zaidi ya miaka 1,000! Tena kimeandikwa Uarabuni! Haupo serious wewe!😂😂😂😂
@@joshuamassawe2474 Ndio. Hapo ni sawa na mimi kukuuliza: Mbona wewe unaenda ibadani kumsikiliza mtumishi aliezaliwa juzi tu hapa, na sio myahudi na unaamini mafundisho yake?? Unaakili yimamu kweli?? Ndugu, kama wewe unasoma biblia tu, basi unaufaham finyu sana kuhusu biblia yenyewe. Mwisho wa yote, utafiti ni jambo la mtu binafsi. kama wewe huamini Baki hivyo. Sio lazima kwako!
@@joshuamassawe2474 Haujaelewa, ndio shida. Ndo maana Mzee kasema "inatakiwa uwe na mawazo huru kuelewa mambo,sio uje na akili ya kimapokeo utabaki gizani". Nashauri ni vizuri utafiti mambo kwa kina kwanza kabla hujajibu. -Nimemaanisha Chapisho limeandikwa kati ya kipindi hicho lakini ndani yake limerejea mambo ya kale ikiwemo Kipindi cha Adamu. -Ni sawa na biblia ilivyorejea mambo ya Uumbaji Lakini haijaandikwa siku Adam anaumbwa. Hoja yako ni sawa na kuuliza : Hivi unaendaje ibadani kumsikiliza Mtumishi ambae ambae ni waJuzi tu, wala sio myahudi na hajawahi hata kuwaona waliomo kwenye biblia, alafu unaamini mafundisho yake??? Hivi unaakili timamu kweli?? Haupo Serious wewe! Hoja ya Uarabuni haina mantiki. Biblia uliyonayo imetafsiriwa na kuletwa kwako na WAzungu Wamissionari. Haikuletwa na Wayahudi. Wayahudi hawakutaka hata umjue Mungu wao.
Tatizo mnasoma biblia kwa akili zenu ndogo,uumbaji wa kiroho na mwili , kwa lugha zingine imesema kuumba na kufanya, mwazo aliumba roho na ndio maana aliumba kwa kutamka lakin akaja kuufanya mwili wa adam na akampulizia pumzi ya uhai na akawa hai, kisha akamtoa eva ndani ya adamu na mwili wa eva ulifanyika kwa mbavu moja , acheni kutunga maana kwakua mmekosa maana
'Gnosticism' Hii ndo hatari ya kutokukulitumaini Neno la Mungu (BIBLIA). History of Canonization inajieleza kuhusu Biblia. By the way Yesu alifanya reference ya TENAKH ( HEBREW'S LITERATURE'S) Luke 24: 44. Lilith story inatoka kwenye "Gnosticism" roots na wala sio maandishi ya kuambatanishwa na Biblia. Ni maandishi ya jamii za siri kinyume na Biblia ili kuupinga ukweli wa Biblia. GOD IS LOVE.
@@ModesterMshama Ushuhuda ndani ya Biblia ni dhahiri ukiisoma kwa moyo wa Imani (Kusikiliza Mungu anasema nini nawe). Pia ni kitabu chenye nguvu ya kubadilisha maisha, kimebadilisha ya kwangu. Lakini ili nikusaidie zaidi. Zipo sababu hizi 1. Biblia ni kitabu cha kale kuliko vitabu vyote na wakati huohuo nikitabu cha kisasa kuliko vitabu vyote. 2. Biblia ni kitabu kinachopemdwa sana na ni kitabu kinachochukiwa sana pia. Chunguza - Vita ngapi zimepiganwa dhidi ya Biblia - Ni mara ngapi watu wamejaribu kuitokomeza Biblia. - Ni watu wangapi wamepoteza maisha kwaajili ya Biblia. 3. Ni kitabu cha pekee ambacho kimechukua muda mrefu zaidi kukiandika. 4.Kitabu pekee kilichoandikwa na waandishi wengi (takriban 40), wasomi kwa wasio wasomi kwa wakati tofauti tofauti na kutoka mahali tofauti tofauti lakini ujumbe wao unapatana (Harmonious message) Ingawa waandishi hawakujua kama wanaandika Biblia na wala hawakushauriana. IKO SIKU UTAKUBALI TU, KUWA BIBLIA NI UJUMBE KUTOKA KWA MUNGU.
Kuwatoa watu kwenye uongo waliodanganywa miaka mingi ni kazi ngumu sana. Wenye kusema Lilith story isn't biblical wanaweza sema hata story ya kitabu cha Henoko na vingine vilivyoondolewa pia sio biblical just kwa sababu havionekani "banned"
Biblia sio kama vitabu vingine vya dini vinavyosaidiwa na Hadithi na vitabu visivyo na uvuvio , mzee wa upako asidanganye watu kwa kutumia kitabu Cha Henoko
Kwa hiyo binadamu wakikubaliana ushoga ni njia ya mahusiano Mungu atayaheshimu? Kweli heri kijana maskini mcha Mungu kuliko Mzee mfalme mpumbavu. Kweli una kila sababu ya kuangalia ni wapi ulijikwaa ukaanguka ukatubu na kumrudia Mungu, ulianza kwa Roho ila unakoenda kumaliza waenda kumaliza kwa Mwili Mzee.
Hata Media anayotumia mzee wa upako ni ya wajenzi huru mnatarajia kuna habari gani hapo? Mzee wa upako unaviashiria vya kwamba mwisho wako umefika, na Mungu hatokuacha uendelee kupotosha tunaomba uzima na maisha marefu tukushuhudie.
Hayo mafundisho hayana tofauti na kusema watakatifu wanatuombea. Ni nyongeza juu ya maneno ya Mungu hivyo kosa kimaandiko. Ni sawa tu na kusema Maria alipalizwa mbinguni au Yesu hakufa ila Yuda! Ni mafundisho mapotofu. Kumbu 4:2 "Msiliongeze neno niwaamurulo wala msilipunguze, mpate kuzishika amri za Bwana, Mungu wenu, niwaamuruzo". Onyo lingine ni la Ufunuo 22:8 "Namwonya kila mtu asikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki: Mtu yeyote akiongeza humo chochote, Mungu atamwongezea mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki". Kwa hiyo jihadharini na imani potofu!
Ukisoma biblia Mwanzo 1 :27 inasema Mungu aliumba mtu mke na mtu mume. Ukienda mbere Mwanzo 2 :7 inasema Bwana mungu akamfanya mtu kwa mvunbi akampulizia pumzi ya uhai puani. Tumia akili waliombwa 1 :27 na aliyeumbwa 2 :7 ni nani na nani!?? Wenye akili tunajua ni mmoja ila mwanza 1 yalikuwa ni majumuisho kwahyo hakuna mwanamke aliyeanza kabla ya eva na hakuna mwanaume aliyeanza kabla ya adam.
Kama unaitwa mkristo chanzo cha maarifa yako LAZIMA KIWE BIBLIA Na mkisto ana pata maagizo na kanuni za mungu akiiga mfano na maagizo ya Yesu YOHANA 15:14 Visa vingi katika Biblia vimeandikwa ili kutu fundisha na viwango vya mungu vya mema na mabaya ni vikamilifu alipanga Biblia iandikwe na hakusahau jambo lolote SASA KWANINI USIULISE KWANINI YESU ALI KOMESHA kanuni iliyo katika KUMBUKUMBU LA TORATI 19:21 Kwahiyo YESU ndiye nuru ya Ulimwengu aliletwa ili kututoa wanadamu katika giza na mizigo mizito hivyo kwa kuibeba nira yake ambayo sio mzigo mzito tutapata uzima wa milele MATHAYO 19:5 USOME NA MSTARI WA 8
@@samwelishilabhi6005 1 Tim 5:23 SUV Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara. Biblia Hiyo yako inakuruhusu unywe pombe utasema Biblia kitabu cha mungu
@samwelishilabhi6005 1 Samweli 15:3 SRUV Basi sasa nenda ukawapige Waamaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyonavyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, na mtoto anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda, Biblia yako inakuruhusu uuwe mpaka mtoto anaye nyonya mpaka ngombe bado tu unatetea kitabu amacho kila siku kinabadilishwa
@@abdalahmwendafeysal9093 amdalah unawachokoza dada zako wa kikristo wanakuwa wakali tuliongelea hoja hiyo utawasikia sa si mbadili tu dini muwe waislamu!!!! Ukiwaambia watoe andiko wanakwambia ukileta mke ye anaondoka😂😂😂
@@mckobatz5861 Akasema, kwa sababu hiyo mtu atamwacha babaye na mamaye ataambatana na mkewe na hao WAWILI WAWILI WAWILI WAWILI watakuwa mwili watakuwa mwili mmoja " Mathayo 19:5
"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa." Kuna fact anaziongea huyu mzee ziko nje ya upeo wetu wa imani zetu tulizozizoea za kukaririshwa mambo na kujitia ujuaji mwingi. ila ukiitafuta imaan kwa tafakari binafsi utagundua matango pori mengi sana tuliyolishwa na wanaotulazimisha kukariri mafundisho na siyo kutufunza kuwa na tafakuri huru.
Swali logical tu, statistically mbona wanawake ni wengi kuliko wanaume ina maana hao wa ziada hawana haki ya kuwa na mume au hawana haki ya kuzaa wameumbwa kuishi maisha ya upweke miaka yao yote hapa duniani??
so mi napinga naye kwenye issue ya mke wa pili based on new testament not old on the issue of lilith he might be right based on Gen 1:27 means God created male and female on his image so it means men and women were created same day on God's image the question is who is that woman because on Gen 2:18 it shows aganin woman was created from Men's ribs so its little contradiction so many might have but i think best people to explain this are Romain Catholic priests
@@SultanAkram-ou8nt ans based on data not politics read dont listen mada za vijiwen right ready and do research then you will understand otherwise you will be slave of religion because there is religion where people dont understand what is said there they just crem it without understanding that is big problem
Mwanzo 1 27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba. 28 Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi. 29 Mungu akasema, Tazama, nimewapa kila mche utoao mbegu, ulio juu ya uso wa nchi yote pia, na kila mti, ambao matunda yake yana mbegu; vitakuwa ndivyo chakula chenu; 30 na chakula cha kila mnyama wa nchi, na cha kila ndege wa angani, na cha kila kitu kitambaacho juu ya nchi, chenye uhai; majani yote ya miche, ndiyo chakula chenu; ikawa hivyo.
Asante kwa neno hili wale wanaobisha kwamba Lilith hakuumbwa pamoja na Adam watuambie hapo kwenye "mwanaume na mwanamke aliwaumba" huyu mwanamke ni nani aliyeumbwa? Maana tumeambiwa Hawa alitolewa kwenye ubavu wa Adam
Kuna kitabu cha enock ambaye na babu wa baba ake na nabii nuhu inasemekana hicho ndio kitabu chenye siri nyingi kiasi kwamba walioandaa haya maandiko walikitoa kisiwepo
Lakini kuliondokea manabii wa uongo katika wale watu, kama vile kwenu kutakavyokuwako waalimu wa uongo, watakaoingiza kwa werevu uzushi wa kupoteza, wakimkana hata Bwana aliyewanunua, wakijiletea uharibifu usiokawia. 2 Petro 2:1
Anachosema mchungaji kunakaukwel .. mana apo mwanzo kuwa na wake wengi iliruhusiwa ..soma again la kale ...mfano Ibrahim tu ..utajua. lakn walirusiwa kwa agizo la kutokuachana
Shida ipo hapo "kwenye dini yetu"humo kuna mapokeo ya kila aina lakini ukiwa mwamini haya yote hayatakusumbua maana alisema mtaifahamu kweli nayo kweli itawaweka huru
Lilith aliweka kiburi coz wote ni quality moja Sasa iweje unitawale Lilith akalaaniwa.then akaumbwa hawa kupitia Adam ndio Adam akasema huyu ni Bora coz ametokana na Mimi atanitii finally mwanamke ni mwanamke tu hawa nae akamtia changalamacho Adam wakala tunda wakafukuzwa kwenye Bata wakaletwa huku tupambane na maisha haya ya uchawi fitna majungu roho mbaya kuuana kusalitiana na kila balaa Yani wanawake Wana shida Toka mbinguni sio hiku duniani tu
Wewe kwa Biblia hujui kuisoma na kuielewa? Soma Neno la Mungu likuongoze maisha yako. Maana lazima tukue akili tuweze kuchambua neno linaro tufaa tuchukue, lisiro faa tuliweke pembeni ili tuwe salama katika Imani yetu ya Kristo Yesu.
Fundisho hili la eva kuwa mke wa pili wa Adamu ni uwongo mkubwa sana sana na ni elimu ya kufikilika sana,chanzo ni mpinga Kristo na yameenezwa kutumia mitandao tu vitabu vya asiri havisemi hivyo.vimegushiwa .vitabu vyote vya kikatoriki,na kipentekoste ,hilo jina sio kweli
Wewe mlevi Kweli, unasema kwamba watu wakikubaliana Jambo lolote MUNGU analieshimu !. Kwa hiyo hata wale waliokubaliana kufirana MUNGU anaeshimu ?. Wewe Antony acha kupotosha ,
Kitabu kinaitwa "The Alphabet of Ben Sira" kiko katika tamaduni za kiyahudi kati ya 700-1000CE (Early jewish literature), ndio haya yameeelezewa. Kwenye Biblia; Mwanzo 1 " Mungu akawafanya mtu Mume na Mtu Mke"...., Mwanzo 2 " Mungu akamfanya Eva". unaona wazi kabisa kuwa kuna kipengele cha taarifa hazipo, na hakuna uhusiano kati ya Mtu Mke na Eva sababu kilichotolewa kwa Adamu ni Ubavu.
@@Brandpeople Ni kwanini hapo Mwanzo 1:26 tunasema ni Adamu akati haijaandikwa Adamu imeandikwa tuu Mume na Mke alafu sisi tunasema mume ni Adamu na huyo Lilith akati Biblia haijasema hivyo. Lakini huo ni utangulizi tu katika ufafanuzi wa uumbaji mtu wa kwanza ni Adamu na Hawa.Ukiniambia kama hivyo unavyosema unatakiwa kunambiya pia huyo mume alikua nani hapa pa Mwanzo 1:26 sababu hatuoni majina
Neno Lilith halipo kwenye bibilia lkn ukisoma vzr kitabu cha mwanzo sura ya Kwanza na kuendelea utagundua kuwa Adam aliumbwa kwa udongo na mke. hapo lkn siyo rahisi kujua. Lilith ipo kwenye hadithi ya maandiko ya wahahudi.
@@jacobnduya798 Kama ni hivyo bas Adamu sio wa kwanza maana Bibilia imesema aliumbwa mtu mume na mke hapa hayakutajwa majina lakini sisi tunaunda huyu mke alikua Lilith na huyu mume alikua nani sasa maana Mwanzo 1:26 haijasema
@@mwankunjatyson Ndio maana nimekupa "Source" ili usome kwa uelewa zaidi Mr. Mwankunja. Ukifuatilia utaona hadi majina ya Malaika watatu(3) waliotumwa kumrudisha Lilith Kwa Adamu baada ya kuamua kuondoka. Hata chanzo cha Lilith kuonekana amekosa Utii kwa Adamu kimeainishwa. Na pia maelezo kuwa Lilith ni nani na yuko wapi sasahivi/Leo hii. Kuna mambo mengi, kifupi kuelezea hapa kila kitu itakuwa ngumu maana kila jambo litazaa maswali mengine zaidi.
Hizo biblia zimewadanganya mengi sana wakristo kwani waandishi wa kirumi ndo walibadili maandiko ya Mungu na mkakaririshwa yaliyo nje ya amri za Mungu kama leo hii walivyoandika biblia ya mashoga na hayo yalifanyika wakati yesu kashaondoka duniani wakaingiza ukristo ambao yesu na manabii wote hawatambui.
Huyu mnyakyusa mwenzangu leo namvua vyeo. Mwanzo sura ya kwanza inaelezea kwa mukhtasar juu ya uumbwaji wa ulimwengu na mwanadamu mwanzo 1:27 ... Alimuumba mtu mume na mwanamke.... Lakini ukija mwanzo 2:7 inaelezea kwa undani jinsi binadamu/Adam alivyoumbwa. So mwanzo 1 ni synopsis ya siku za mwanzo. Hakuna sehemu. Au unataka kutuambia adam aliumbwa mwanzo 1:27 kisha akaumbwa na adam mwengine mwanzo 2:7. 😂😂😂😂 Sadaka zenu letu kwangu nilie chips naona huyu mzee mshamuungisha sana.😂😂😂😂
Mzee wa upako anadanganya sana,akasome 1 wakorntho 7 :1 -9 atapata logic ya kwann mke mmoja, mtume Paulo anatuambia kwa sababu ya zinaa ni heri mwanaume au na mke mmoja na hivyo hivyo kwa mwanamke
Bwana Yesu aliwajibu mafarisayo akiwaambia, hamkusoma yakwamba yeye aliyewaumba mwanzo, aliwaumba mtu mme na mtu mke, na kwasababu hiyo mtu atamwacha babaye na mamaye kisha ataambatana na mkewe na hao wawili watakuwa ni mwili mmoja. Bwana Yesu hakusema mtu ataambatana na wake zake, alisema mke wake, yaani akimaanisha mke mmoja. Na ndo maana hadi leo ndoa ya kikristo ni mke mmoja tu. Mzee wa upako mwambie akasome maandiko kwa upya. Afu siku hizi amekuwa mwongo tu.
Sisi tunaishi katika tamaduni za kirumi bila kujijua,maana hata ubarikio wa ndoa haukuwa unafanyiwa makanisani ili ionekane yenye baraka bali ilikuwa ni makubaliano kati ya familia na familia
Mzee wa uwongo kitabu Cha bibilia hakina mbadala kime jitosheleza, nasio kusoma kwa akili unavyo sema, bibilia huwezi kuielewa bila ya msaada wa Roho wa Kristo. Sasa wewe Roho wa Kristo huna.
hapo ndipo wakristo mnapoigwa yaani bibilia ili usome uwe na roho, roho manake malaika hv nynyi malaika haji tu atakipindi icho cha manabii wlikuwa hawaji tu mpaka watumwe na aliye waumba na siokila mtu ilikuwa kwa baadhi tu ya walengwa leo hii usome uwe na roho tkt dunia hii ya leo ya ushetani hakuna wakuongzwa au kutokewa na malaika kwa uchamungu gani mliokuwa nao mtu anaweza kupata ishara na hii inatokana na kiwango cha juu cha uchaMungu lkn sio malaika hamkeni hakuna cha roho wala nn
Jaman sio kwa ubaya ila hawa oscar wao ni wachambuzi wa kitu gan? Mpira wachambuzi wao Matukio ya kijamii wao Siasa wao Uhalifu wao Mbona imekaaje hiii?
Mwanzo sura ya 1:26-27 nin summary ya uumbaji wa binadamu lakini sura ya pili inaelezea vizuri sura ya kwanza soma mwanzo 2:5 na kuendelea utaelewa vizuri
MWANZO 1:26 HADI 28 NI HABARI KW UFUPI KUHUSU KUUMBA WANADAMU NA JUKUMU LAO. LAKINI KWENYE MWANZO SURA YA 2, MUNGU ANATAJA HATUA ZA KUWAUMBA,NA MENGINE MACHACHE. MSTARI WA 7 ADAMU ANAUMBWA,BAADA YA KUANDAA BUSTANI, MSTARI WA 15 ANAMWEKA ADAMU HUMO. MSTARI WA 18 ANAMWAMBIA MPANGO WAKE YULE ALIYEKUWA ANAMSAIDIA KAZI KWAMBA ANAKUSUDIA KUMPA ADAM MSAIDIZI(Adam hakuwa anajua hilo) MSTARI WA 21 HADI 24 NI MCHAKATO WA KUUMBWA KWA HAWA. NA KUHUSU MUNGU ANA MAONI GANI KUHUSU NDOA,TAFADHALI,SOMA MATHAYO 19:4 HADI 9 (KUMBUKA ANAYESEMA MANENO HAYO NI YESU KRISTO)
Huyo Mzee cjui wa upako mjinga Adam na Hawa ndiyo binadam wa kwanza kuumbwa,, yeye km anataka kuzini azini,, laaa km anataka mke zaidi ya mmoja mwambieni asilim
😂😂😂 yaani nilipoona tu hii comment nikapata taswira ya kuwa huyu lazima ni mwanamke hata kabla sijasoma jina lako yet nakuta waitwa Maryam😂😂😂 mwacheni bhana mzee wa upako hapo yupo sawa kabisa nasi inabidi tuandamane turuhusiwe bhana hii mke mmoja ni ya akina Costantino walipotaka kuzuwia wingi wa wakristo
Huyu mchungaji kila siku anaendelea kuchanganyikiwa ni andiko gani linasema adam alikuwa na wake wawili ? Nakumbuka kuna siku aliwai kusema Yesu ni mtu wa kawaida leo anasema adamu alikuwa na mwanamke anaithwa lilithi kwa andiko gani
Lilith kwenye bible Hilo jina halipo , na anacho kizungumza nii vitabu vya mediavel, wameandika hvyo vitabu , kwenye bible hakuna kisa chaa kusema Lilith hakumtii Adam😂
A prominent idea within secular culture is that the Bible has been edited and portions of text were taken out. One such example cited by feminists is the character of Lilith. According to the story, Lilith was the first wife of Adam and was made from the dust of the earth like him. She claimed equal status with him and refused to lie under him because of it. Lilith fled the garden of Eden and refused to come back when three angels tried to persuade her to do so. She was then cursed to be the mother of demons and would seek to kill Adam’s sons. Adam, now having no wife, was given the more submissive Eve who would listen to and obey him.😊
BIBLIA imehakikishwa;Haihitaji vitabu vya ziada kuielezea au kuifuata; Neno la Mungu ni kamilifu ktk kuwaongoza;kuwafundisha,kuwaadibisha watu ktk haki ya Mungu👉Mithali 30:5-6. Uongo unamuumbua chief Mwantebe,anaongopa na nafsi inamsuta kabisa.😂😂 Ole wenu waandishi na Mafarisayo wanafiki!Kwa kuwa mnawafungia watu UFALME wa mbinguni;ninyi wenyewe hamwingii,Wala wanaoingia hamwaachi waingie👉Mathayo 23:13 Lilith is on among the fallen angels:Lilith were not Eve:Mwantebe is deceiving the world. Be careful we are living in the End times; demonic doctrines are every where;👉1Timoth 4:1-2.
Natamani siku moja wasafi wamualike bishop ngonyani fundi wa maandiko , alielezee hili sio hawa wachungaji njaa wasiojielewa afu bible ishaweka wazi na kusema tuzipime roho zidanganyazo na mafundisho ya kishetani
Mim sijui tu mbona watu huamini hawa watu wanajiita wachungaji. Mnadanganywa kabisa na wote mnachukulia kama mchezo. Wew mwenye unajiita mzee wa upako it's better utubu kitu unapotosha watu hapo otherwise the LORD will deal and rebuke you..
Akuna kitabu kinacho sema mtu awe na mmoja hiyo ni mipango tu ya watu furani kuupotosha ukweri hata sayansi ina kataa mke kua na zaid ya mume mmoja ila ina kubari mme kua na wake wengi zaidi maana yake mungu ndie alie amua piga ua na hata wewe unae pinga vil vimada vya nin baada ya mkeo fuata haqi acha kufata mbinu za wahuni waliozo panga
Yaani huyu baba bwana, huyo lilith ameandikwa wapi????mbona mnapenda sana kuonekana mnajua kuliko Mungu sasa???kwaio mnaenda beyond alicho andika Mungu?kwamba vingine amesahau kuatuambia au??mzee mzima km huyu lusekelo hata busara hamna, hajui hata kwanini Mkristo anaoa mwanamke mmoja hajui???eti ndio viongozi wetu ptuuuuuuu