Kila Chocho Ya Jicholauswazi Imekutana Uso Kwa Uso Na Nabii TITO na Amefunguka Wapi alikuwa Kipindi Ambacho Yupo Kimya Na Amefunguka Kwann Ameokokoka Upya,Bila Kusahahu Sakata La Askofu Kakobe Alitolea Ufafanuzi Fuatilia Exclusive Hii.
Yesu anarudi wapendwa Tubu na kumrudia ukaishi maisha matakatifu na uache uovu wako. Itakua ni vilio na kusaga meno kwa watakaoachwa.Jina La Bwana Libarikiwe.Amen
Katumika kuuchafua uokovu lakini Mungu si mwanadamu anasamehe naamini yesu atazidi kumbadirisha Trueee Yesu Ni Munguuu na kwa kukiri huku atasaidiwa na Krsto
Imeandikwa dhambi zako zikiwa nyekundu kama damu Yesu atakubadilisha zitakua nyeupe kama theruji.Bwana akuongoze kwa Roho wake.Jina LA Bwana Libarikiwe.Yesu anarudi upesi sana Tubuni ns kuamini Injili.
Sijui niseme nn maana najionea maumivu tu ndani ya moyo..Tito anaongea sawa..ila bado ukimuangalia anahitaji maombi sana yaukombozi...ananitia uchungu sana kwannacho kiona ndani yake... Mungu hashindwi naomba akutengeneze Ameen
uyu nabii titi sutashangaa sana watu wakimkuta mbinguni ameingia aiseee. I love this man and may God pour out His grace and Spirit upon Him. He has qualities of a good believer of Christ
Dalili mojawapo ya kuokoka ni kuyaweka wazi matendo yote ya kale au ya giza,mfano sauli alivyofanya.ila pia ndugu tito tulia ujifunze kisha ingia kazini.
Ndugu tito naamini umeokoka ukikaza mwendo utaokoa wengi kama ulivyookolewa,vile nakupongeza Yesu yu pamojanawe u mejielezea vizuri bila roho wa mungu sii kaz rahis kujielezea
David Matthew shetani pia abatambua uwepo wa Mungu lakini haimpi haki ya kuuona ufalme wa mbinguni huyu Ni shetani clip umeisikia kidogo sikiliza vizur
Tito nakusii ukumbuke maneno ya mtumishi wa Mungu, bishop Gawanywa, alikuambia usitoke kuhubiri mpaka utakapo maliza mafunzo, achana na media,mungu alikumbushe kwa hilo,