Huyu siyo mwandishi kamili ndo anajiongeza tu kwenye fani ambayo hakuisomea ndo maana unaona kama maswari yake hayana mtililiko mzuri, ila tumpongeze anachokifanya nikizuri tu
Babalevo ukitakaka kuwa bora kwenye tasnia hii inabidi ujifunze kwa aliye bora zaidi yako hebu jaribu kumuangalia Salim Kikeke akiwa anauliza maswali maswali unauliza mazuri lakini unayaharibu ww mwenyewe kabla ya kujibiwa unakuwa na haraka haraka sijui ya nn.Tengeneza maswali vzr kabla ya kumuhoji then turushie kipande kipande hata cha dk 15 hadi unamaliza hata kama ulimuhoji kwa saa nzima utapata views na like na comment za kutosha unacheka cheka tuu
Yaani huyu jamaa asifanye kazi ya media kabisa yaani tunasikiliza stori nzuri lakini jamaa anaingilia kabla ajamaliza kueleza pangilia mwaswali na kusubiri amalize
Ukiwa na kazi selikalini,,,, iwe: Police, Mp, Accountant , In-short Ukiwa na kazi ndani ya selikalini,,,, tofauti na kubeba zege mara garden boy,,I hope mmenielewa,,,,,swali,,,,: kwa bongo ukisikika la lugha ya nje ya nchi kazi hauna,,,je,! Hii ikoje Marekani
North Korea ndipo anapopatikana Kim Jong a.k.a Kiduku na South Korea ndipo Marekani inaurafiki nao kwenye kila kitu. So nadhani mmechanganya kidogo ila South Korea ndipo soja wetu alipokwenda na kula Bata kama anavyosema ila North Korea Mmarekani hajakanyaga
Baba levo interview ni nzuri sana lkn unacheka cheka kabla haja maliza kukujibu usharukia lingeni, kiherehere punguza also, LASTLY usifanye interview kama unakunywa POMBE