Тёмный

BABA AVUNJA NYUMBA ZAKE 2 ILI WATOTO WAKE WASIISHI, ADAI WALITAKA KUMUUA "WALINIFUNGIA NDANI" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 142 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

11 июл 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 550   
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 2 года назад
Hongera sana baba! Majitu hayataki kutafuta vyao
@heyumi2340
@heyumi2340 2 года назад
safi sana sana
@shemelaruhinda6113
@shemelaruhinda6113 2 года назад
Safi mzee
@ziadamashallah447
@ziadamashallah447 2 года назад
Safi maamuzi mazuli pole sana
@GMD820
@GMD820 2 года назад
Wangoja wazazi wafe
@ishipalemypasco2567
@ishipalemypasco2567 2 года назад
Umeona eeh.unalikuta limtu zima mindevu kama osama ila kutoka hom halitaki
@hamsikrasheedi1796
@hamsikrasheedi1796 2 года назад
Alhamdulillah 😢daah pole sana mzee hakika kuzaa siyo kupata kama leo hii mtu unataka kumuuwa baba yako kwaajili ya mali alizo zitafuta yeye mwenyewe kweli dunia imekwisha 😢😢
@happylynguya3464
@happylynguya3464 2 года назад
Hakika kuzaa sio kupata, kwa hili lililotokea.
@veronicajoseph2675
@veronicajoseph2675 2 года назад
Eti jamn imagine ivi mtu ajenge nyumba yake kwa pesa zake wewe mugombanie kwer ivi watu wakoje
@user-hb7mq8lg9e
@user-hb7mq8lg9e 4 месяца назад
Laana Hii...
@fatmasalim8293
@fatmasalim8293 2 года назад
Subhanallah maskini baba wa watu mungu akusaidie nyie watoto mtizameni baba yenu imani hamna wallahi
@leilahhassanomary7189
@leilahhassanomary7189 2 года назад
Jaman kuzaa sio kupata ! so sad 😢
@succesjabari4618
@succesjabari4618 2 года назад
Da nimekupenda bure wewe baba!......much respect 🙏 👏
@welcometoeat165
@welcometoeat165 2 года назад
Afu lile Toto lilikua lnahojiwa lkadai halijui knachoendelea kumbe wao ndo wauwaji wapuuz kabisa! Safi mzee kwa uamuz wakatafute vyao
@itNeza
@itNeza 2 года назад
Mzee Heshima Yako Kabisa. ❤️
@olivajoseph1697
@olivajoseph1697 2 года назад
Congratulations baba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nanyie watoto mmekuwa mijitu mizima mtoke hapo ndani
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 2 года назад
Subhanaallah mungu wangu tusitili yaarabi na vizazi vyetu yaarabi. Mungu akusamehe kwa hilo neno ulio sema wewe NI maskini jeuri mwenyezi mungu hapendi neno hilo ingawa wewe NI mwisilam
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 2 года назад
Safi sana ,baba umeweza..ila ungeziuza zote halafu ukahama mkoa/nchi ukaenda zako mbali kula bata na bebez🤣🤣🤣🤣
@misswilson7135
@misswilson7135 2 года назад
Jaman😂😂😂😂
@frankub8107
@frankub8107 2 года назад
From MALAWI 🇲🇼 home Burundi 🇧🇮 yani mwenyew nawez fany hivy
@kuschprince3216
@kuschprince3216 2 года назад
Mzee alichukua hatua/uamzi mkali mno! Hata hivyo,nyumba ni yake. Hiyo iwe fundisho kwa watoto makatili/fedhuli wanao subiri kurithi kwa nguvu mali za wazazi wao.Nahofia watamuandama,walaaniwe wote na wasipate afueni mpaka ahera,washenzi hawa!!
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 2 года назад
Asilimia 90 ndivyowalivyo. Halafu itakuwa watoto wakiume ndio wakorofi sana
@maisarah6819
@maisarah6819 2 года назад
@@user-po8hz7xw9j mtihan kwel
@veronicajoseph2675
@veronicajoseph2675 2 года назад
Kabisaaaa yaniii
@aishambise6529
@aishambise6529 2 года назад
Kwel baba pole pia mm yamenikuta hayo fukuza kabisa wakajipage na vyao umewakuza bas inatosha watajuta Sana 🇰🇪🇰🇪 mzazi ni nguzo kuu lakini hawajui nyoo
@maisarah6819
@maisarah6819 2 года назад
@@aishambise6529 hawajui kwamba tupo tuliokosa Cha kurisi isipokua majina ya ukoo.
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 2 года назад
Abdalah tafuta pesa usitafute laana kwa mzazi utakuja ujutie haya maisha broo haya mie napita nshasema omba msamaha angali hai🙏🏽 🙋‍♀️🚶‍♀️
@user-hb7mq8lg9e
@user-hb7mq8lg9e 4 месяца назад
KBS🚶🚶
@macharosandra9467
@macharosandra9467 2 года назад
Vijana tufanyeni kazi, tutafute vya kwetu
@ibraahmfw1147
@ibraahmfw1147 2 года назад
A lesson , mtegemea cha Ndugu
@ishipalemypasco2567
@ishipalemypasco2567 2 года назад
Amezeeka ila ana maamuzi magumu je alipokua kijana.big up sana mzee wangu kilichobaki sasa ukiona umeezeka sana hujiwezi tena na mitoto ndo kama hio uza kula vyote vikiisha kunywa sumu ufe na vyako
@mariasambi862
@mariasambi862 Год назад
Nimecheka😃
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 2 года назад
Babu wewe ni mwanajeshi hongera. Ila ungeuza ulebata na mwanao .Asie fanya kazi na asile mbwa awo mashetani
@mariamgodfrey53
@mariamgodfrey53 2 года назад
Safi sana babu amemwaga mboga umemwaga ugali tafuteni vyenu acheni kukaa kusubiri vya urithi tafuta mtu uza viwanja vyako kapambane mbele watakuua hao watoto.
@femiaw.mgongolwa3928
@femiaw.mgongolwa3928 2 года назад
Safi sana baba.... Wewe mzee wa shoka... Wakatafute vyao...
@maisarah6819
@maisarah6819 2 года назад
Mtoto akiwa na miaka 5,7 n mwanao,akifikisha miaka 20 sio mwanao tena nimwenzio...nmejifunza kitu babaangu apa🙆
@joycenicodemus.2232
@joycenicodemus.2232 2 года назад
Hata mm nimejifunza Jambo kubwa Sana kwahuyu mzee mtoto akifikisha miaka 20 anakua mwenzio😭😭so,sad
@aminamavura6834
@aminamavura6834 2 года назад
Nimependa hiyo big ap kwa babuu
@valeriaally6584
@valeriaally6584 2 года назад
Mai sarah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwa keel
@user-hb7mq8lg9e
@user-hb7mq8lg9e 4 месяца назад
Sawa Mzee Nimekubali
@elisantemrita9490
@elisantemrita9490 2 года назад
Safi sana Mzee hongera kwakupata pia Mkwe alie kujali
@sethstiven3393
@sethstiven3393 2 года назад
Makubwa hii Dunia imeisha,,, upendo wa wengi utapoa ndo tushafka ivo
@ramadhanimkude5744
@ramadhanimkude5744 2 года назад
Allah alishatuonya, hakika Mali zenu wake zenu na watoto wenu ni mtihani kwenu.
@science_fact93
@science_fact93 2 года назад
Dah ni htr Sana aise mzee amechukua maamuzi mzr kbs waende wakatafute vitu vyao hao hawana utu kbs
@arafakiloli749
@arafakiloli749 2 года назад
Subhannahllah pole sana baba angu
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 2 года назад
Saiz uko kwa mtoto wakike iyo mitoto yakiume inakulisha kinyes kwa mtu mwenye akili utajifunza kitu watot wakike wana loh nzul
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 года назад
Ni kweli...
@jumaame37
@jumaame37 2 года назад
💪👍👌✌️Babu pamoja sana nimependa iyo.ukosahihi.
@ahmedanwar1210
@ahmedanwar1210 2 года назад
SUBHANA-ALLAH 😭😭😭😭🥺🥺🥺 twaelekea wapi vijana ALLAH AKUPE UMRI MREFUUU Mzee uzaa kila kitu
@zainayolamu6486
@zainayolamu6486 2 года назад
Safi sana mzeeeee nimekupenda bule
@laynerngole2119
@laynerngole2119 2 года назад
😭😭😥😥😥jamani watoto khaaa,unamfanyiaje mzazi mmmh 🙌,bora umebomoa tu,watafute zao
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 года назад
Sasa wewe unajenga kwasababu gani ? na je siku ukifa hiyo nyumba uliyoijenga ataishi nani ? . Sasa kwanini ubomoe nyumba uliyoijenga kwa nguvu zako kwasababu ya mtu mmoja tu
@heyumi2340
@heyumi2340 2 года назад
@@Mpakauseme hujaelewa alichoongea mzee
@rukaiyamohamed1764
@rukaiyamohamed1764 2 года назад
@@Mpakauseme sasa si wangoje mpaka pale khatma yake itakapofika ndio wachukue nyumba kwann watake kumuua mtu kwa mali zake mwenyewe 🥺🥺🥺
@maisarah6819
@maisarah6819 2 года назад
@@Mpakauseme Bora kubomoa utata uishe.make kati ya watoto 6 ametokea 1 ndio kiherehere ataka kumuua babake Kwaajili ya nyumba aliyoijenga mwenywe na nguvu zake,jaribu uvae kiatu chake kama kitakutosha au kitakuminya mguu.
@ynyynyyny
@ynyynyyny 2 года назад
Safi sana mzee, keep it up
@kulwarahmu5031
@kulwarahmu5031 2 года назад
Safi Sana babu nimecheka 😁Bora ulivyoivunja iyo nyumba wakome
@emariusrush3285
@emariusrush3285 2 года назад
kumbe hii story inachekesha ???
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 2 года назад
Asante Sana mzee bomoa na uwanja uza
@muharamimpawane4667
@muharamimpawane4667 2 года назад
Mzee yupo sahihi sana uyo Abdallah msenge sana uwezi kufosi kulithi kitu kinguvu au kutaka kufanya mauwaji ya baba yke
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 2 года назад
Ama kweli tuko siku za kiama hizi😪. Pole sana mzee wetu.
@isabelanjesa8117
@isabelanjesa8117 2 года назад
Anaegombania Mali za wazazi ana akili finyu sana
@winnesakara6957
@winnesakara6957 2 года назад
Duuuuu mungu wangu
@ashuramussa2011
@ashuramussa2011 2 года назад
Hongera baba
@zuwenaalamin8985
@zuwenaalamin8985 2 года назад
Baba kwanza pole.ila kwenye kula mavi umetupiga. Na kitu kizito kichwani🤣🤣🤣🤣🤣.na ghafla amekuwa mwandishi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka lkn pole baba angu
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 2 года назад
Allah Akusimamie Baba yetu....In sha Allah.
@vibetz9991
@vibetz9991 2 года назад
Safi mzee
@floramarinyo3517
@floramarinyo3517 2 года назад
Uza baba Julie pesa wakatafte uko madam mpenzi wako alishafariki hahaha
@yunislemnge5558
@yunislemnge5558 2 года назад
Babu uko.vizuri safin sana mitoto haitaki kufanya kazi
@saleheheda4537
@saleheheda4537 2 года назад
Dah! Pole Sana Mzee
@naomimiddleton1989
@naomimiddleton1989 2 года назад
Hongera sana mzee wangu kwa maamuzi hayo wacha watafute Mali zao wangeweza hata kukuua
@hadijahassan6467
@hadijahassan6467 2 года назад
Mzee anaongea Kwa uchungu,jmn huyo kaka badala ya kutafuta vya kwake unakaa unawaza vya baba
@azizaabeid2055
@azizaabeid2055 2 года назад
Daa inahuzunisha jamani kweli unamfungia ndani Mzee wako afe kwa ajili ya Mali nyie watoto kwa kweli. Hamna huruma kabisa Mzee ni sawa kabisa ulivyobomoa uza nyengine kula nyengine pelekeka sadaka misikitini hawa watoto wanamna hii hata ukifa sidhani km hata duwaa watakusomea wakatili mno mama Samia msaidie huyu baba ulinzi hawa watoto wasije tuma watu wakamuua bure
@christinachriss9231
@christinachriss9231 2 года назад
Uamuzi mzuri Sana watafute vyao,pumbavu wanangoja urithi Safi Sana baba
@janethmichael4690
@janethmichael4690 2 года назад
Mimi ninavyotamani baba yangu angekuwa hai daah rest in peace my daddy engineer Michael 😢I still remember you six years now Ni Kama Jana ungekuwa hai akika ningekutuza baba tunakukumbuka and tunakupenda Sana ❤️❤️
@user-jl9ko3nl9o
@user-jl9ko3nl9o 3 месяца назад
safi sana
@NeemaMateleka
@NeemaMateleka 2 месяца назад
Pole sana wanakichezea kwa sababu kipo kikitoweka he watajajutia
@africa7479
@africa7479 2 года назад
mariam mungu akulindeeeeee
@zulekhakhassun730
@zulekhakhassun730 2 года назад
Subhanallah,,,YaaRabbi Subhanallah
@kimaronemes5689
@kimaronemes5689 2 года назад
Dah hao watoto wa kiume wamekosa subra kabisa ona sasa dada yao anaenda kula mavumba na mumewe kiulani baada kuuzwa hiyo nyumba na ikiwezekana washtakiwe kwa jaribio la kuua..huyo mzee ana akili nyingi sana ni legend
@seinabelimi2296
@seinabelimi2296 2 года назад
safi mzee baba vzr sana wakatafute yao pumbavuuuu kbsa tna shenzi kbsaa sio watoto hao bali barazulii hao kenge wahid majan ya chai taka taka
@peterbaton1729
@peterbaton1729 2 года назад
Safi Sana Mzee Jitu lishakuwa Baba Zima bhado linategemea Wazee Safi Sana Mzee
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 2 года назад
Hahahahahaaaaa nimechekaa kafanya vizuri
@deusdedithjoseph7588
@deusdedithjoseph7588 2 года назад
Aiseeee pole sana mzee
@mrishohashimujumajuma8539
@mrishohashimujumajuma8539 2 года назад
Kazzee nimekuerewa xana mtafute ela kazi kamali tu
@chifumapro5066
@chifumapro5066 2 года назад
Yesu kristo 🙏🙏 pole San
@muddymiusic1624
@muddymiusic1624 2 года назад
Mzee upo sawa
@zaitunisinamenye1799
@zaitunisinamenye1799 2 года назад
Umefanya vizuri mzee
@yasalaam590
@yasalaam590 2 года назад
Subhanallah
@abumoyo840
@abumoyo840 2 года назад
Mtihani kweli kweli
@ilovejesus666
@ilovejesus666 2 года назад
Mzee anavituko 🤣🤣🤣😂😂 ety anavuta sauti kama anasoma habari 😂😂😂😂😂😂
@ZenaMsumagilo
@ZenaMsumagilo 2 месяца назад
Saluti kwako baba,........... Umejua kuwashikisha adabu nyang'au wakubwa hao waliokosa haya hata hofu ya MUNGU hawana
@trifoniambilo2400
@trifoniambilo2400 2 года назад
Pole sana Babu ,,kuzaa sio kupata uwiiii jaman
@selemanshechonge5456
@selemanshechonge5456 2 года назад
Safi babu vijana tuchape kazi
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 года назад
😢Mtihani sana ninavyo angaika kujenga IYO Nyumban huk! omani muscat Alfu badaee watoto waje kunifanyia hvy 😭
@bennyjohn1412
@bennyjohn1412 2 года назад
Pole Sana Baba kwa Kula Mavi Bora yawe Mavi tuu
@fransiscaliberati4220
@fransiscaliberati4220 2 года назад
Pole Sana baba yangu
@Zahrazahra-ue7bp
@Zahrazahra-ue7bp 2 года назад
Fanya araka mzee tena ningekuepo ningekusaidia kutafuta mteja💯💯💯
@emmanuelchamba08
@emmanuelchamba08 2 года назад
Baba pole sana.... Daaah
@mahmoudhamisi673
@mahmoudhamisi673 2 года назад
Sukupingi mzee iddi big up Sana atafute kama ulitafuta wewe
@simiondaniel6010
@simiondaniel6010 2 года назад
Pole mzee wetu
@mwitaagness455
@mwitaagness455 2 года назад
Hizi nyumba ni nzuri nazijua, angeniuzia mimi hlf mim nikae nae
@maswamills3161
@maswamills3161 2 года назад
Kanunue tu Bado zipo.
@maisarah6819
@maisarah6819 2 года назад
Jamani 🤣🤣🤣🤣 uishi na uyu babu 🤣🤣🤣🤣
@mwitaagness455
@mwitaagness455 2 года назад
@@maisarah6819 wewe umewaza mbali, kwan huez kumchukua mtu ukamtumnza , ndo nilichomaanisha maee..
@bentali5773
@bentali5773 2 года назад
Subhanalia
@petermboje5839
@petermboje5839 2 года назад
Mzee yupo sawa mafala hao watafute zao
@samilhafidh6071
@samilhafidh6071 2 года назад
Masikini allah akufanyie wepes
@joycetairo8933
@joycetairo8933 2 года назад
Kusema ukweli mtoto wa kike ana huruma sana juu ya wazazi wake. Mimi ninaweza fanya chcht ili mradi tu baba na mama yangu wasilie au kuteseka. Mungu atusaidie tunafundishwa Mungu wa pili duniani Ni wazazi.
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 2 года назад
Mzee pole ,kikubwa ni kuwa Mali ulivyo ipata ndivyo itakavyo ondoka na ndivyo itakavyo kutesa lakini pia inaonyesha Mzee anaroho mbaya
@nyabahailani3169
@nyabahailani3169 2 года назад
Safi sana mzee
@saidaramadhan2099
@saidaramadhan2099 2 года назад
Mwenyezimungu baliki watoto wa kike wazidi kuwa na mapenzi na wazazi wao
@dayanafelly1488
@dayanafelly1488 2 года назад
🤣🤣🤣 Heshima yako mzee wangu
@heyumi2340
@heyumi2340 2 года назад
mzee ana akili sana pongezi kwake
@hussenhemed1050
@hussenhemed1050 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 2 года назад
Wazeee kama hawa ndio tunawahitaji wawanyoooshw watoto kqmq hao
@maisaaalawy8064
@maisaaalawy8064 2 года назад
Safi sana baba
@deborachedieliy8501
@deborachedieliy8501 2 года назад
Maziz upo vzuri wajenge yakwao
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 2 года назад
Huyu mzee hanywi bia kweli nikamchomee na nyama kwa mworombo watoto wa siku hizi ukimuona mvivu tu analala hovyo ujue anapanga plani ya kukuua ni kuwafukuza tu mzee heshima yako
@marychris8224
@marychris8224 2 года назад
Yani mzee anastahili pongezi💪
@zabiyafahmikhamis4873
@zabiyafahmikhamis4873 2 года назад
Mmh Mungu akikosesha watoto basi shukuru sana mana hujui ana kunusuru na nini ,, haya sasa ona balaa hili
@marthapeter8246
@marthapeter8246 2 года назад
Kabisa
@josephinangomba.7816
@josephinangomba.7816 2 года назад
Mungu atusaidie
@martinlema4192
@martinlema4192 2 месяца назад
Masawe namwomba Mungu akubariki!
@magrethpoulpoul8585
@magrethpoulpoul8585 2 года назад
Mzazi Huawi mtoto ila mtoto anauwa mzazi. Kuzaa so kupata 😥kizazi kibaya sana hiki
@petermboje5839
@petermboje5839 2 года назад
Uko sawa mze
@mariamtitu9332
@mariamtitu9332 2 года назад
Fanyeni kazi vijana
@omaryonga1776
@omaryonga1776 2 года назад
Wengi tunatamani baba zetu waendelee kuishi tupate busara zao na pia baba zetu waliotangulia mbele ya haki warudi .... lakini wengine ndio wanataka kuwauwa jamani....
@balkissMuhammad-sk1ic
@balkissMuhammad-sk1ic 8 дней назад
Subhanallah 😢
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 2 года назад
DUNIA IMEISHA WATOTO WAMEKUWA WANYAMA WAOVU KULIKO HATA SIMBA!! TUNAOMBA ALLAH ATUNUSURU NA VITIMBI VYAO!! POLE SANA MZEE WETU,!INATIA HUZUNI!!
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 2 года назад
Watoto Ni wema.. Ila ikitokea wamekuwa wanyama kimbia.. kajifiche. Na watoto wanaofanya hayo inawezekana Ni wale waliopendwa saana na mzazi.
@abasishabani1151
@abasishabani1151 2 года назад
Daaaaaaah hatari vijana sisi
@asiakheir8684
@asiakheir8684 2 года назад
Mungu wanguuu!!!
@aishaabrahaman9957
@aishaabrahaman9957 2 года назад
Mtoto wangu wa kikeeee nilikula maviiiiii mzee ana swaga adi rahaa
@dynamicpreschoolschool434
@dynamicpreschoolschool434 2 года назад
Mzee uza Kila kitu..kama uliponunua mwenyewe...watoto wanunue zao
@neemaiman1402
@neemaiman1402 3 месяца назад
Saf sana Mzee.
@aishakhamis2996
@aishakhamis2996 2 года назад
Vizur Sana mzazi
@ashooraashoora1180
@ashooraashoora1180 Год назад
Subhaanallah liadhim
Далее
I Built 3 SECRET Rooms In School!
33:34
Просмотров 10 млн
Why Starbucks Is Struggling
12:06
Просмотров 481 тыс.
24 podcast: Sme v kaviarni - Olympijský špeciál
1:29:48
Why Tensions Between Italy and EU are Rising Again
8:56