Gladness nakupenda sana kwani unaishi maisha yako pia ni mkweli huna makuu shogangu napenda sanaaa kazi zako hujali ustaa bali unachojali ni kutafuta pesa hongera pili muuza miguu ya kuku nakupenda sanaaa
Nakuaga nafulaha nikiangalia mahojiano na Chanel ya Millard ayo yan watu wanafungua ukwel sio kudangaya au uekti nimtu furan kwakwel mi nawapenda namuendelee kuuivyo❤️❤️❤️❤️
Acha kujidngnya dada angu ndoa huwez kua sure hat ukimchunguza mtu hawez kukuonesha tabia zake zote watu tumeolewa bt tabia alizokua anakuonesha mtu tofauti na anazokuonesha akishakuoa aise ukiwaza ivo hutaolewa dear n sure mnazini n mnaona kawaida
Ndugu MTANGAZAJI fahamu kua kuna utofauti Kati ya baba wa mtoto na MUME. Pili is right kuzaa si ndoa amchunguze baba wa mtt ili awe na hakika kama atakua mume bora kwake.
Unazaa mtoto out of maried unajuwa ni dhambi Sana hata kwa wa cristor nidhambi Raha ya mtoto awe na mume kesho utajuwa la kumwambia Mwenyezi Mungu jamani tunamchezea Mungu tunakotoka tunakujua huko tunakokwenda tunakujuwa
Imeandikwa wapi kuzaa mtoto nje ya ndoa ni dhambi, inamaana MWENYEZI MUNGU anamakosa kuruhusu watu kuzaa, kila mtoto anaekuja dunian, awe ndan au nje ya ndoa, anamakusud ya MUNGU MWENYEZI(YESU KRISTO) kumleta dunian, kama ingekuwa ni makosa bas angefungwa kizazi mpk aolewe
@@fatmafatu1128 upande wa pili upi ? Kwahyo unataka kuniambia, iliandikwa wapi kwamba mtu akizaa nje ya ndoa ni dhambi au ni makosa, ni sawa kufungua ndoa ni muhmu na sio kwamba nahalalisha hvyo, hapana, ila haijawah kuandikwa kwamba ni dhambi kuzaa nje ya ndoa, kama ingalikuwa ni dhambi MWENYE ENZI angefungwa matumbo mpk watu waoe na kuoana ndo azae, ila kila mtu anaezaliwa iwe nje au ndani ya ndoa anamakusud maalum MWENYE ENZI kumpitisha had kuzaliwa