Kamahulifanya hayo Mambo hunasema humehokoka hujuwe Kuna familiha hulizizulumu jitokeze kwenye hayo maheneho na hikiwezekana Kama hitakupendeza huzipehata kifutajasho kamahumezifanyia marego haiza hulizijengea na iyonyumba bdo ipo hujuwe bdo siho haki yako zitoe hata kwa yatima
Mhmm ndugu yangu Mungu hayupo hivo Kama hivo sasa waliokuwa makahaba alafu wameokoka waanze kwenda kwenye ndoa za watu ambazo walikuwa wanaiba waume zao Mungu akishakusamehe amekusamehe kikubwa usirudie tena dhambi.Alafu jitahidi kuandika kiswahili kizur pakuweka u usituwekee hu😅😅