Тёмный
No video :(

MUSUKUMA ASIMULIA HISTORIA YAKE NA MAGUFULI! KUTOKA KWENYE UDEREVA TAXI HADI KUINGIA KWENYE SIASA 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 159 тыс.
50% 1

MUSUKUMA ASIMULIA HISTORIA YAKE NA MAGUFULI! KUTOKA KWENYE UDEREVA TAXI HADI KUINGIA KWENYE SIASA

Опубликовано:

 

5 июл 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 154   
@godfreychaba9673
@godfreychaba9673 Год назад
Nimejifunza katika maisha hakuna kukata tamaa, JPM from tax driver to president, hard work , uadilifu, nidhamu,
@MartinyMaryogo-nt6xg
@MartinyMaryogo-nt6xg Год назад
kbsa yan daaah hata mm naptia changamoto sasa ila nmepata faraja sana kwa haya
@onesmopambila5369
@onesmopambila5369 3 месяца назад
​❤❤❤❤😅qqqqqq ❤
@user-lo1ub5sv1t
@user-lo1ub5sv1t Год назад
Msukuma hongera Mungu akupe maisha marefu na vijana tunajifunza k2
@idanysedrc1200
@idanysedrc1200 Год назад
Kuna kitu nimekipata kutoka kwake jamaaa ni genius sana
@damiannaftal773
@damiannaftal773 Год назад
Yan hii story kama mv ila m kama mm nimetoka nakitu kiukwel dah maisha Yana safari ndef kama iv japo hatuwez kuwa level moja ila na believe siku yang namm ipo
@domsalimited3375
@domsalimited3375 Год назад
Upo vizuri sana baba angu hujadanganya historia yako
@fatimahants1526
@fatimahants1526 Год назад
Msukuma hana moyo wa uchoyo juu ya mapito yake, na ni elimu kubwa kwa watanzaniya
@erickrubanda
@erickrubanda Год назад
King msukuma namkubali sana
@rajabumshana8167
@rajabumshana8167 Год назад
Kwenye biashara ya viatu anasema alipata mauzo ya million 400 kwa siku3 pale korogwe najiuliza hata kama ni mnada lkn hayo mapato ni mengi kwa mji kama ule
@MayalaMasesa-gl9tz
@MayalaMasesa-gl9tz Год назад
hujasikia sio viatu kasema vocha na sigara zinamauzo mpaka sasa watu wanauza mamilioni
@francisbenard9
@francisbenard9 Год назад
Tatizo wanao host hawapo sereous tungeyajua mengi....
@leganmichael6148
@leganmichael6148 Год назад
Msukuma unaweza kulaumu sana wasomi, au kulaumu wataftaji wengine kwa kuona kama wazembe lakini ukweli wa katika MAISHA KUNA KITU KINAITWA BAHATI, KIlam mmoja ana BAHATI yake katika maisha. Hata uliotafta nao maisha sio kila mmoja kayapata kama wewe, hata wasomi unao waona kama wazembe ni kwa vile wamepita njia hiyo ya utaftaji, wewe mwenyewe ungesoma ungekuwa miongoni mwao. Katika maisha kuna kutafta ndio, kuna hursal lakini suala la KUPATA utajiri lina BAHATI ndani yake. Natajiri wengi ambao hawajasoma wanao wasomi ni wazembe na wavivu lakini wanasahau kuwa ndio Diversity yenyewe ya maisha katika Jamii. Wapo ambao hawajasoma, wametafta kwa nguvu lakini hawakupata, na wapo waliosoma na bado wamekuwa matajiri.
@GivenTobago
@GivenTobago Год назад
siamini bahati work the fuck hard bro
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi Год назад
@@GivenTobagoBahati ipo ndiyo maana watu wote sio matajiri wa mamali mafedha,matajiri ni wachache na watu wa kawaida ni wengi zaidi na watu wengi wanapambana sana sana kuliko hata huyo Msukuma lakini mafanikio hakuna.
@nufaikafurnishers1384
@nufaikafurnishers1384 Год назад
Siamini katika bahati, Katika utafutaji wengi tunashindwa kuthubutu pia kubwa kukaa katika kitu kimoja,pia kutokimbia changamoto,ninahistolia katika utafutaji wangu Hadi hapa nilipo
@LoxloxJuma
@LoxloxJuma Год назад
Sahihi sana
@agtbss3463
@agtbss3463 Год назад
Tafuta pesa hbr za bahat tupa kule
@fatimahants1526
@fatimahants1526 Год назад
Huyu mheshimiwa msukuma history ya mapito ya maisha yana funzo ni elimu kwetu
@gervasmahungo9167
@gervasmahungo9167 Год назад
Tatizo hatoi nafasi kuwasikiliza wanahabari yeye Yuko SAWA tofauti na mbunge wetu
@fredmjema9310
@fredmjema9310 2 месяца назад
One of the best educative interview i have once met in my life
@samwelrevocatus1218
@samwelrevocatus1218 Год назад
Nilicheka sana wakati anasema alitoroka na shuka la hospitali
@user-bs8yw6pl2z
@user-bs8yw6pl2z Год назад
King just keep moving to the highest position we trust you baba
@sochriman
@sochriman Год назад
Ushuhuda makini, Dr Msukuma anafaa kuongoza nchi miaka kadhaa ijayo
@mdachiog5211
@mdachiog5211 Год назад
Kabisa me timu yake
@sochriman
@sochriman Год назад
Yeah, jamaa km vijana tutamdikiliza na kujifunza kwake ni inspiration tosha
@simonuriyo7968
@simonuriyo7968 Год назад
Me sio mwasiasa lakini nawapenda Wazalendo, Mjomba Msukuma nakukubali, Simon Uriyo Capetown SA
@kinigarm8239
@kinigarm8239 Год назад
Kumbe Masunga John aendelee Kuwa dereva Taxi Japan Tokyo.
@SammitindoJeremia-jv4qb
@SammitindoJeremia-jv4qb Год назад
Kaka wew umetisha
@Wallacenyusi3326
@Wallacenyusi3326 Год назад
Honorable Msukuma, tunakuamini sana tena Wewe utakuwa president of the country one day . We believe that President Magufuli has thought a lot . Continue to work hard for the people of tanzania 🇹🇿
@charleskaozya9924
@charleskaozya9924 Год назад
🔥🔥🔥🙌
@mugapro
@mugapro Год назад
Haitakuja kutokea, Kwa Katiba tu ya sasa, ni lazima uwe na Degree, sio hizo honorable, ya darasani, kwa miaka ua mbele itakuwa masters 😄
@yohanacharles9631
@yohanacharles9631 Год назад
@adkajisi4536
@adkajisi4536 Год назад
@@mugapro si tunabadili tu
@mosesabrahamovic996
@mosesabrahamovic996 Год назад
Siku unanyosha GGM ndpo nipokukubali nilikuwepo geita
@adsonchisongela3768
@adsonchisongela3768 3 месяца назад
Weka Nuktaaaa
@JacobNikolaus-oy2ld
@JacobNikolaus-oy2ld 3 месяца назад
Msukuma kwa kweli una moyoo wa kazi
@saydouside9468
@saydouside9468 Год назад
Msukuma bg up..na wazee wa clouds..maiki kubwa..itamchosha..
@user-wd3dy4yn9o
@user-wd3dy4yn9o 8 месяцев назад
ماشاء الله
@samwelnevele7796
@samwelnevele7796 Год назад
Wee ni kiongozi wa kweli hongera
@elishamwalongo3010
@elishamwalongo3010 Год назад
Jaman mnaweza kuniunganisha na msukuma jaman please
@johnlyatuu6048
@johnlyatuu6048 Год назад
Angekuwa hai ungekubali kusema kamagufuli kakaja pale
@leemaccshaban52
@leemaccshaban52 Год назад
Msukuma anaweza ata kuwa rais uraisi siyo elimu niuwezo wa kutawala, nimbuge nae tamani kukutana nae macho kwa macho, siyo muongo
@MsAggie5
@MsAggie5 Год назад
Nadhani sheria eti uwe na degree japo moja kugombea uraisi lol
@user-kb7hw7sw8d
@user-kb7hw7sw8d 3 месяца назад
Hakuna binadamu asie kuw muongo ila inategemea unadangany vp?📲 htr xana hii
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 8 месяцев назад
Walikufukuza ila ukawa Mwenyekiti CCM Mkoa hapo ndipo ulipo wakaangia
@alfredrutaguza7506
@alfredrutaguza7506 Год назад
Tena wew chawa amwache mzee wetu apumzike kwa amani
@USbmnk
@USbmnk Год назад
Msukuma nini kimekudanganya umekula Hela za bandari kwani umepungukiwa nini walah utakufa Kama mafisadi wengine tu huna maana kabisa mkataba wa bandari
@saidnoumani7244
@saidnoumani7244 Месяц назад
Tupe ushahidi kama kahongwa...imagine upo court na hakimu anskuuliza ushahidi...acheni roho mbaya
@HajjiHassan-db1jx
@HajjiHassan-db1jx 2 месяца назад
Kwa kweli mheshimiwa congratulations yako umepabana sana sio kazi rahisi
@scopy0428
@scopy0428 Год назад
Nilichogundua kutoka kwa Mh Dkt Joseph Kasheku Musukuma kuwa Ni Mtu asiyekubali kushindwa Kirahis
@Jackylmariam-qy6qe
@Jackylmariam-qy6qe Год назад
Masud unamzuia mtu asiongee unakera bhana unapapara Sana alafu uyo bonge mkao gani uwo
@habyhabib7538
@habyhabib7538 Год назад
Maji ni uhai ukizama baharini hauponi,ila ukiwa na kiu usinywe maji,ila kufa kwa maji baharini ni umandazi,.zakuambiwa changanya na zako
@michealjoseph796
@michealjoseph796 Год назад
musukuma unajua sn father Kwa sbb unauongozi flani hivi kama wa marehemu magu nakuona unakuja kuwa kiongozi mkubwa sn
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 Год назад
UNAWEZA KUNIPA MUDA KIDOGO? (MSUKUMA VOICE)
@nzitogondwe9976
@nzitogondwe9976 Год назад
Nomaa
@chrisvictor4984
@chrisvictor4984 Год назад
kweli waliofanikiwa wote walipambana kwa nguvu zote natamani huyu jamaa na hayati magufuli wawe kwenye njiapanda cku 1 watupe madini chuma
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA Год назад
Atakuaje na magufuli ambae ameshafariki.
@user-pi2mb4nr7n
@user-pi2mb4nr7n Год назад
Uko poa sana king msukuma
@nardhismhagama6266
@nardhismhagama6266 11 месяцев назад
10:52 katika watu wasiokuwa akili wewe namba moja unasema hakuna watu bandalini ni mitambo tu harafu unasema ajila zitaongezeka hatukuelewi masanja😅
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 Год назад
Msukuma mi nakupenda Sana naomba kukuona!!
@saidimazengo9934
@saidimazengo9934 Год назад
Nipo tayari bandle liishe nikimsikiliza king maana huwa ni content tu huzungumza
@crispingerald3000
@crispingerald3000 Год назад
Uyu jama ni master kwel kwel ni mwanajesh halis watoto wamama waskilize
@abdul-rahimkadhi766
@abdul-rahimkadhi766 Год назад
Safi sana....nimejifunza mengi sana
@richardfrank9950
@richardfrank9950 Год назад
Never give up one day back to comment 💪
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 Год назад
King msukuma.mpambanaji sana
@allymusira2153
@allymusira2153 Год назад
Safi sana king
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 8 месяцев назад
Msukuma unajua kuogelea 😂
@godfreymasabwida4064
@godfreymasabwida4064 Год назад
Muongo huyu amekua diwani wa CCM kabla ya miaka hiyo.
@musaalfani9303
@musaalfani9303 Год назад
Story tamu hii
@emmamga5495
@emmamga5495 Год назад
Suala la kudogodesha mtu ni kiswahili cha bara hata si waha tunatumia mfano ka magufuli
@amosmacompyuta1015
@amosmacompyuta1015 Год назад
Mimi nimepanga kwake
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 Год назад
Jamani niunganishe nae🤣🤣
@robertphilip385
@robertphilip385 Год назад
Mbunge wa ndiyo hajui chochote kaziyake ndiyooooo
@idrisamngagi284
@idrisamngagi284 Год назад
muandishi unambana MH
@nisilueno
@nisilueno Год назад
Nakuelewa sana msukuma
@RobertChacha-hb9re
@RobertChacha-hb9re Год назад
Kumbee😮😮
@GivenTobago
@GivenTobago Год назад
msukuma ni mkweli namkubali sana
@moriscollins4494
@moriscollins4494 Год назад
Lazima watu wazungumze wapumue....
@mudisemi2397
@mudisemi2397 Год назад
🎉🎉
@isackdeo2439
@isackdeo2439 Год назад
msukuma up vzr kaka
@timboxlee919
@timboxlee919 Год назад
Huyu ni mwarabu Sasa
@ngasajulius8797
@ngasajulius8797 Год назад
Uskumani amnaga mtoto wa mama Wala wezi ni kazi tu..
@Jackylmariam-qy6qe
@Jackylmariam-qy6qe Год назад
Yani kweli
@annasolomon9855
@annasolomon9855 Год назад
Ni kweli
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Год назад
Kwa nn asitoe kabla
@user-fi6sh5qd2p
@user-fi6sh5qd2p Год назад
Afu havimbi wala nini
@albertlongino657
@albertlongino657 Год назад
Msukuma binafsi nakukubari sana.
@nestorylongino9111
@nestorylongino9111 Год назад
Wajina
@saidabdillahi8107
@saidabdillahi8107 Год назад
Profesa Msukuma mmoja katika Watanganyika wachache wenye akili haogopi rangi ya mtu kabila la mtu wala dini ya mtu
@user-kb7hw7sw8d
@user-kb7hw7sw8d 3 месяца назад
Hajalogwa huyoo😅
@user-xj4uc8gf4u
@user-xj4uc8gf4u Год назад
😅😅😅😅😅 kamakufuli
@steventogolai3865
@steventogolai3865 Год назад
Mzee wangu uko makin sana kwa kwer sisi vijana tuna jifunza kitu baba mm najifunza zahidi natamani nikutafute unipe elimu ya akiri ninamna gan naweza kufait ningize pesa baba
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb Год назад
Piga kazi
@abdulikilala5902
@abdulikilala5902 Год назад
Msukuma nakuchukia na viongozi wote mliounga mkataba wa hovyo ipitishwe sisi chama chetu CMM lakin hatuna viongozi ni mandunduka tuu bendera fuata upepo akiongea mmoja hata hoja ya hovyo yote yanaunga mkono yote tunawaachukia mno
@aishaalbalushaishabalush8291
nikweli hata mimi nimelichukia sana
@user-by7ie6yy5n
@user-by7ie6yy5n Год назад
Namkubali Sana huyu kiongozi
@user-bu9wj5pi3t
@user-bu9wj5pi3t Месяц назад
Kumbe jamaa kaanzia korogwe nyumbani
@ramakazina170
@ramakazina170 Год назад
Mzee baba ml 500 kwenye kiloba mh tena za kuuza viatu jamani?. Unajua ml ambazo sio mpya ni zigonhasa.
@hemedmtunguja9788
@hemedmtunguja9788 Год назад
Huyu mjanja mjanja tu
@thomasmeseyeki7712
@thomasmeseyeki7712 9 месяцев назад
Role model msukuma namkubali sana
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 Год назад
Umeshakula pesa za bandari Sasa unapiga domo, kwendraaa
@mariethamjema1557
@mariethamjema1557 Год назад
Huyu kipanya ananiuzi anavyomzuiya Mh 😒
@jeremialyati6092
@jeremialyati6092 Год назад
Hapana chezea mwanasiasa
@myself4128
@myself4128 Год назад
Umelipwa Kiasi gani ile Trip ya Dubai??? manaake DP world wamekupa hela umejiharishia! Tulidhania Una Uzalendo lakini Bure kabisa
@ChachaWambura-kj1hj
@ChachaWambura-kj1hj Год назад
We ni mwamba
@b1vevo
@b1vevo Год назад
Genius Mr minds
@sirajbakari104
@sirajbakari104 Год назад
Maisha yanasiri san
@user-kb7hw7sw8d
@user-kb7hw7sw8d 3 месяца назад
Exactly bro, that's why there is day and night
@JacobNikolaus-oy2ld
@JacobNikolaus-oy2ld 3 месяца назад
Uwakika xana 😢😢
@ibrahimurichard377
@ibrahimurichard377 Год назад
Masudi try to contro your hands,huyo ni mheshimiwa mbunge
@enoszaka-tx8qw
@enoszaka-tx8qw Год назад
eti kamagufuli 😂😂😂😂
@edwinmalugu3477
@edwinmalugu3477 Год назад
Hawa watoto akina marioo wanaruka ruka tu wananunua gar
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 Год назад
Tanzania ukiwa fisadi na kichwani zero unakuwa staa, huyu sawa na Haji Manara!
@user-pl3du3jf8s
@user-pl3du3jf8s Год назад
Jpm
@yasinjumahamis6267
@yasinjumahamis6267 11 месяцев назад
😅😅😅😅.watoto.wanaluka.luka2.wananunua.voki
@user-zn7vw3pj6p
@user-zn7vw3pj6p 8 месяцев назад
Nimuhimu kujifunzakwako
@abdulikilala5902
@abdulikilala5902 Год назад
Umeshabikia mkataba wa bandari kumbe mkata wenyewe wa hovyo masharit ya hovyo tatizo hamjui lungha kutafsiri mkataba Kwa hiyo mnasomewa na mtu akimaliza ndo anawaidisia
@user-rz2yu1dw8c
@user-rz2yu1dw8c Год назад
Hapana uhalisia wa Jimbo kwa mbunge mje muona Kama Kuna mahara kateleza ni kwenye miundo mbinu mpya shule anyway niishie hapo Ila Kuna mengi ya kuona jimbon kwake
@aishaalbalushaishabalush8291
anajikosha anajikooosha msukuma huna jipya huna akili kwanzia ulivoanza ujinga wa kutetea hata mabaya sababu tu unapewa mabillion na kitambi umwota kwa pesa za watanzania huna maana sikuhizi
@sundayyohana-qx3ys
@sundayyohana-qx3ys Год назад
Masaliti wewe siyo msukuma wamagufuri wa sasa
@athuimansaid7279
@athuimansaid7279 Год назад
Mbona unazurumu watu
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 Год назад
Ww kakuzulumu ngapi
@jumannehamadi2282
@jumannehamadi2282 Год назад
huyu jamaa nilikuwa namkubali Sana ila kanikela kwenye ishu ya bandari kahongwa pesa maana tundu lisu kaisha sema ukiona mtu anaushabikia huo mkataba ujuwe hana akili ama kahongwa
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 Год назад
Mpende tu,unahakika kahongwa??¿
@emilyKassiano-oo5iy
@emilyKassiano-oo5iy Год назад
Mumeuza bandari zetu
@Swahili_land001
@Swahili_land001 Год назад
Mwamba sana huyu
@abdulikilala5902
@abdulikilala5902 Год назад
Ww ni mbwaaaaa tu mjinga sana ww
@jonessalum6325
@jonessalum6325 Год назад
We boya kweli ya chukie maisha yako yakimasikini ujipate
@user-mv4qb2xk7f
@user-mv4qb2xk7f Год назад
Huyu mwamba sana
@habyhabib7538
@habyhabib7538 Год назад
Siasa majitaka ,takataka,
@edgarbiz63
@edgarbiz63 Год назад
😂
@elishaobadia8829
@elishaobadia8829 Год назад
Kwenye ishu ya bandari unafel na usinishawishi chochote😢
@aklanhassan2917
@aklanhassan2917 Год назад
Wewe unajua nini kuhusu bandari? 😢
Далее