Yan hii story kama mv ila m kama mm nimetoka nakitu kiukwel dah maisha Yana safari ndef kama iv japo hatuwez kuwa level moja ila na believe siku yang namm ipo
Kwenye biashara ya viatu anasema alipata mauzo ya million 400 kwa siku3 pale korogwe najiuliza hata kama ni mnada lkn hayo mapato ni mengi kwa mji kama ule
Msukuma unaweza kulaumu sana wasomi, au kulaumu wataftaji wengine kwa kuona kama wazembe lakini ukweli wa katika MAISHA KUNA KITU KINAITWA BAHATI, KIlam mmoja ana BAHATI yake katika maisha. Hata uliotafta nao maisha sio kila mmoja kayapata kama wewe, hata wasomi unao waona kama wazembe ni kwa vile wamepita njia hiyo ya utaftaji, wewe mwenyewe ungesoma ungekuwa miongoni mwao. Katika maisha kuna kutafta ndio, kuna hursal lakini suala la KUPATA utajiri lina BAHATI ndani yake. Natajiri wengi ambao hawajasoma wanao wasomi ni wazembe na wavivu lakini wanasahau kuwa ndio Diversity yenyewe ya maisha katika Jamii. Wapo ambao hawajasoma, wametafta kwa nguvu lakini hawakupata, na wapo waliosoma na bado wamekuwa matajiri.
@@GivenTobagoBahati ipo ndiyo maana watu wote sio matajiri wa mamali mafedha,matajiri ni wachache na watu wa kawaida ni wengi zaidi na watu wengi wanapambana sana sana kuliko hata huyo Msukuma lakini mafanikio hakuna.
Siamini katika bahati, Katika utafutaji wengi tunashindwa kuthubutu pia kubwa kukaa katika kitu kimoja,pia kutokimbia changamoto,ninahistolia katika utafutaji wangu Hadi hapa nilipo
Honorable Msukuma, tunakuamini sana tena Wewe utakuwa president of the country one day . We believe that President Magufuli has thought a lot . Continue to work hard for the people of tanzania 🇹🇿
Msukuma nini kimekudanganya umekula Hela za bandari kwani umepungukiwa nini walah utakufa Kama mafisadi wengine tu huna maana kabisa mkataba wa bandari
Mzee wangu uko makin sana kwa kwer sisi vijana tuna jifunza kitu baba mm najifunza zahidi natamani nikutafute unipe elimu ya akiri ninamna gan naweza kufait ningize pesa baba
Msukuma nakuchukia na viongozi wote mliounga mkataba wa hovyo ipitishwe sisi chama chetu CMM lakin hatuna viongozi ni mandunduka tuu bendera fuata upepo akiongea mmoja hata hoja ya hovyo yote yanaunga mkono yote tunawaachukia mno
Umeshabikia mkataba wa bandari kumbe mkata wenyewe wa hovyo masharit ya hovyo tatizo hamjui lungha kutafsiri mkataba Kwa hiyo mnasomewa na mtu akimaliza ndo anawaidisia
Hapana uhalisia wa Jimbo kwa mbunge mje muona Kama Kuna mahara kateleza ni kwenye miundo mbinu mpya shule anyway niishie hapo Ila Kuna mengi ya kuona jimbon kwake
anajikosha anajikooosha msukuma huna jipya huna akili kwanzia ulivoanza ujinga wa kutetea hata mabaya sababu tu unapewa mabillion na kitambi umwota kwa pesa za watanzania huna maana sikuhizi
huyu jamaa nilikuwa namkubali Sana ila kanikela kwenye ishu ya bandari kahongwa pesa maana tundu lisu kaisha sema ukiona mtu anaushabikia huo mkataba ujuwe hana akili ama kahongwa