kwa mtu mwenye akili anajua nitakachosema... huyu dogo ni genius saaana hata kwenye kujibu maswali magumu.. i like him. i wish kila celebrity angekuwa hivi! he is gorgeous
Nilijua tu lazima mtajitokeza watoto wangu wa KAMBO ona sasa hasara yake 😳 mnatoa povu ya OMO kwa BABA yenu na nipo hapa kujuwa idadi yenu huu mtego mzuri sana na lazima mtaongezeka tu 🤣🤣😛😛🏃🏃🏃