Kuna maswali mengi inawezekana umekuwa ukijiuliza kuhusu Utengenezaji wa fedha, utaratibu wake ukoje? usalama je? AyoTV imempata Afisa Mwandamizi Mkuu wa benki kuu ya Tanzania, Patrick Fata kwenye huu ufafanuzi
Kuna moja amesema yachapishwe mahela mengi ili vyuma vilegee, unafikiri kuwa na mahela mengi ndiyo uchumi? Ujue kuwa mahela yanavyozidi kuchapishwa mengi, na bidhaa nazo huzidi kupanda. Kukiwa na uwezekano wa kila mtu kuwa na milioni mojo mfukoni kirahisi basi ujue andazi moja litakuwa si chini ya laki nane au tisa. Sasa faida ya milioni ni nini? Cha msingi bidhaa ziongekeke kwa wingi sana hata watu wakinai kuziona. Mfano, kila mtu akiwa na gunia si chini ya tano za mahindi nyumbani mwake, basi unaweza kukuta gunia moja la mahindi linauzwa kwa shilingi elfu moja tu, kwa sababu hakuna anayehitaji; si kila mtu anayo?. Hiyo ndiyo hali ya thamani ya pesa, siyo kujaza tu mahela mengi wakati didhaa bado hazipatikani, bado utanunua kilo moja ya unga kwa shilingi milion moja, si una hela bwana, sasa faifa ya kuwa na hela yote hiyo iko wapi? Ninawaza tu.
duuh..wanaotegenezaa hela wao wanalipwa nini ?...au unaweza waambia wachapishe 1000 then unachukua 500....jero nyingine unawalipa .....nipo nawaza tu..
Acheni blaa blaa tengenezeni fedha acheni utani kushinda kushinda! Tafuteni jinsi ya kutengeneza fedha acheneni na hayo mambo ya mashindano na mambo ya kuwasifia sifia wageni lini mtajiamini?
ujinga tu... siye tutashindwaje kuchapisha pesa zetu....? twawaachia makampun ya nje yanatuundia manoti mabovuuu...! yakitumika siku chache yamechakaaa.....!
NAAMINI AWAMU HII YA KAMANDA WETU MAGUFULI ITAWEZEKANA TU KUWA NA KIWANDA CHA KUTENGENEZEA HELA HAPA HAPA TZ KWA KUWA CHUMA TUNACHO MADINI AINA MBALIMBALI YAPO UWEZEKANO UPO WA KUWA NA KIWANDA CHETU.