Тёмный

FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA GANZI, DALILI NA MATIBABU YAKE. 

MUHIMBILI MLOGANZILA TV
Подписаться 3,3 тыс.
Просмотров 82 тыс.
50% 1

FAHAMU UGONJWA WA GANZI, DALILI NA MATIBABU YAKE

Опубликовано:

 

5 ноя 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 145   
@Mundi-oz7os
@Mundi-oz7os 8 месяцев назад
Somo zuri sana limetolewa na wataalamu wanaojua kazi yao. Hongereni sana
@joycekomba9476
@joycekomba9476 8 месяцев назад
My brother.....Asante kwa elimu nzuri sana best.
@victorsamaytu3487
@victorsamaytu3487 8 месяцев назад
Good teaching material, continue teacher
@fawzialmaashari9857
@fawzialmaashari9857 8 месяцев назад
Asante docta kwa kutufundisha vzr,,,ubarikiwe sana
@EditaTairo-sv1ls
@EditaTairo-sv1ls 8 месяцев назад
That's my Doctor. Dr. Brighton Mushengezi mwenye maakili yake na customer care nzuri sana. I really appreciate
@ManaseBuhanza-cl1lc
@ManaseBuhanza-cl1lc 7 месяцев назад
Magoshwa wa corona kuingia africa kwa matokea kwenye hali ya kuungua dharula na nk
@ManaseBuhanza-cl1lc
@ManaseBuhanza-cl1lc 7 месяцев назад
Ufaransa takiribani wananchi 197500 kupatwa na COVID(19) tamuko lasmi raisa atoa angalizo kwa wananchi
@faithfaith-zr6gz
@faithfaith-zr6gz 7 месяцев назад
Nimekuelewa Sana dokta,Dah! Maana hii ganzi inanisumbua mpk nahisi kuchanganyikiwa.
@faithfaith-zr6gz
@faithfaith-zr6gz 7 месяцев назад
​@@ManaseBuhanza-cl1lcwe nawe vp? Atukuelewa mbn?!
@MariaSengo-cn5bx
@MariaSengo-cn5bx 5 месяцев назад
Editha kama una namba yake tafadhali nupatie
@abdallahhuseinkabale7534
@abdallahhuseinkabale7534 10 дней назад
Mie nikikaa muda kwa kukalia miguu nikija kuinuka kwanza nahisi damu nyingi inashuka chini na pumzi inaenda kwa kasi ...lakini pia nikiwa nimekalia miguu ndani ya dakika 20 hivi mguu mmoja unakua umeshika ganzi ..nini shida wajuzi
@MATHAYOMUHULU-jt9sq
@MATHAYOMUHULU-jt9sq День назад
Somo zuri sana mganga, toa namba zako basi za simu tuweze kupata misaada wako kwa urahisi
@JosephatJoseph-eo8xj
@JosephatJoseph-eo8xj 8 месяцев назад
Naomba sawa doctor
@frankmunisi9148
@frankmunisi9148 2 дня назад
Naomba no doctor!! Ast
@julianapatrick7911
@julianapatrick7911 7 месяцев назад
Blessed dr
@Nahdiya-nr3de
@Nahdiya-nr3de 8 месяцев назад
Asanteni sana kwakunifahamisha
@stewartdyamvunye-wz6rn
@stewartdyamvunye-wz6rn 4 дня назад
Maswali ya kuzungukazunguka sana na tunapata takwimu na historia vya kutosha. Vema. Ila nilitamani na ingekuwa mwafaka zaidi kama daktari angetoa historia, takwimu nk kwa kifupi halafu angeenda moja kwa moja kuelezea dawa, vyakula vya kutumia na mzoezi gani au kwa njia ipi. Ama haya hakutaka kuyafafanua vizuri ili twende kwa wingi kwenye kliniki yake! Kwa wengine Mloganzila mtihani kufika, mbali na nauli tu mtihani hata kabla ya kugusa gharama za matibabu!
@alexkomba3100
@alexkomba3100 8 месяцев назад
I appreciate
@lilybalama6770
@lilybalama6770 7 месяцев назад
Asante sana Dr. Brighton umekuwa msaada sana kwenye maisha yangu toka nimeanza kutibiwa na wewe nina improvement kubwa sana Mungu akuweke
@allyirunde7198
@allyirunde7198 6 месяцев назад
Anapatikana wapi daktari huyu ganzi pia inanisumbua sana miguuni
@anethbideberi6617
@anethbideberi6617 Месяц назад
⁠Mloganzila
@annambele789
@annambele789 7 месяцев назад
Asante kwa somo la ganzi.
@bas2823
@bas2823 8 месяцев назад
THANKS FOR SHARING👌GOD BLESS U N ALL OF US CREATIONS OF GOD👍AMEEN🤲
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV 8 месяцев назад
Thank you too
@HajrahRamadan
@HajrahRamadan 15 дней назад
Masomo mazuri endeleeni kuchapa kazi, na huruma kwa wagonjwa iwe sehemu ya kazi zenu,ahsanteni
@leahenockmrina5381
@leahenockmrina5381 8 месяцев назад
Asante Dactari na mtangazaji
@FrankMbalamwezi-u2g
@FrankMbalamwezi-u2g 5 дней назад
Mimi mama yangu upande mmoja aufanyi kazi nilikua naomba ushauli
@user-vd5xr8je8u
@user-vd5xr8je8u 7 месяцев назад
Dr asnte kwa darasa lako Zurich mimi ni muathirika wa stroke ambayo baadae imeniachia ganzi upended ambao stroke ilipotoke yaani upended wa kulia hili nalo koje dr
@frankmunisi9148
@frankmunisi9148 2 дня назад
Nina hilo tatizo la ganzi mkono wa kushoto mpk kwenye vodole sasa ni miezi 2,siponi, naomba ushauri doctor
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 7 месяцев назад
Ahsante sana Dr.Ninakuombea upate nafasi zaidi ya kwenda kusoma zaidi ktka nchi za wenzetu ili uongeze ujuzi wako WA neurology uzidi kutusaidia 🎉
@annambele789
@annambele789 7 месяцев назад
Dr. Tunaomba na somo la misuli kukamaa na kupata maumivu
@cutebronca3517
@cutebronca3517 7 месяцев назад
Mimi tokea ninamimba imenitokea ganzi na kidole cha kati kinaganda kabsa hospitalin nilienda wakaniambia litaisha ila mbaka leo ni miaka minne sasa bado nasumbuliwa na hilo tatizo
@user-dk3ss9ts7n
@user-dk3ss9ts7n 8 месяцев назад
Utoe namba
@julianapatrick7911
@julianapatrick7911 7 месяцев назад
😢
@GeorgeMitembo
@GeorgeMitembo 13 дней назад
Doctor Mimi ni muathirika wa ganzi,ganzi imesambaa mwili mzima,na inamaumivu makali sana,nayo nimeipata baada ya kuchoma chanjo Fulani mwaka 2022 , nausikia mwili kama unaganda miguuni na baadhi ya maeneo ya mwili wangu mpk sasa, napataje msaada ili niue hiyo sumu ya chanjo iliyopo mwilini mwangu?
@user-tn7ic2ky3i
@user-tn7ic2ky3i 8 месяцев назад
Docta mimi naitji matibabu nilianza kusikia ngazi leo naanza kusikia moto mwilini na kizunguzungu ila nilipimwa sukari mwilini 5%
@ZawadyKilume
@ZawadyKilume 2 месяца назад
Ri
@user-yw1ld7jf6c
@user-yw1ld7jf6c Месяц назад
vp naitaji musa ada wenu mungaga mama yang iko nawungojwa wagazi yakicwani musaidiye nambiye dawa yenye atatumiya
@maryammadodo8837
@maryammadodo8837 8 месяцев назад
Ahsante sn Doctor kwa kutuletea somo hili .Mm binfsi naumwa hu ugonjwa inafika miaka 7 ila saivi umezidi sn zaidi nikalala usiku vidole vinaniuma sn km vitoke .na nikishika simu au kitu chochote kwa muda mrefu basi napata maumivu sn .Natesrka sn na ugoonjwa hivyo nitakuja hapo kwa ushauri na matibabu zaidi
@marysospeter2789
@marysospeter2789 8 месяцев назад
Yaan wew ndo mimi kabisaa unatesaaa sana huu ugonjwa
@thabitsaidi1507
@thabitsaidi1507 23 дня назад
Punguza uzito wa mwili wako
@user-gy5wc4co6h
@user-gy5wc4co6h 8 месяцев назад
Mimi nilipata baada ya kujifungua mwaka wa sita inaipungua taratibu
@saumuabdallah198
@saumuabdallah198 7 месяцев назад
doctor plz naomba nijib... mm miguu yang hua inapata baridi wakat mwngn ganzi inayoambatana na maumivu makali xn kwa miaka mng xx... lkn umri wng ni 26tu nn xhida tafadhali?????
@ChristopherMhagama-ls9zd
@ChristopherMhagama-ls9zd 8 месяцев назад
Asante sana kwa elimu nzuri na nyepesi nimeongeza maarifa hapa nitazidi kufuatilia kipindi
@MonyaichiJulius-sb2td
@MonyaichiJulius-sb2td 8 месяцев назад
Dr unapatikana wapi
@chikondimadalitso
@chikondimadalitso 8 месяцев назад
Ukiwa na ukimwi unakwepaje ganzi
@bettymoshi
@bettymoshi 8 месяцев назад
Tafadhali naomba namba ya simu
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV 8 месяцев назад
Asante endelea kutufatilia ili uweze kupata elimu ya afya zaidi.
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV 8 месяцев назад
@@bettymoshi Fika Hospitali ya Mloganzila kwa maelekezo zaidi Asante
@mommywarda5529
@mommywarda5529 7 месяцев назад
Asante Sana Niko Kenya Mombasa nawezaje kupatamatibabu huko ya ganzi
@user-nt3yd2gx2t
@user-nt3yd2gx2t 2 месяца назад
Naomba namba dr
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 7 месяцев назад
Jmn hata mm nimejifungua lkn na ganz mikonon tu shida nb dokta
@amostimoth2373
@amostimoth2373 8 месяцев назад
Wale ambao wamerithi huwa mnawasaidiajee
@user-be3gf5vm9c
@user-be3gf5vm9c 8 месяцев назад
Nisaidie doctor naphtali shida
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 7 месяцев назад
Kutokana NI kisukari miguu hukatwa Kwa sababu ya neuropathy ya miguu 😢😢
@victoriasasha2014
@victoriasasha2014 2 дня назад
Tunaomba namba yako doctor tuko mbali
@punnamalaba4445
@punnamalaba4445 10 дней назад
Dr kutumia vidonge vya presha miaka mingi inaweza kunisababishia ganzi ha kidole kidogo cha mwisho kushoto? Nina tatizo hilo naomba tiba
@user-dg7wf6fg2j
@user-dg7wf6fg2j 6 месяцев назад
Dr unasema jasho linatoka mwili mzima au sijakuelewa naomba ufafanuzi
@komboruga4271
@komboruga4271 8 месяцев назад
Za daktar
@Nahdiya-nr3de
@Nahdiya-nr3de 8 месяцев назад
Mm niko nao huo ugonjwa lkn sjajua kilicho nnsababisha iko kwnye mko wangu ndani y vidole viwili ndo vina ganzi
@OsmundaJonas
@OsmundaJonas 8 месяцев назад
Asante docta kwa Somo nzur mimi ninasumbuliwa na ganzi kwa miaka mitano sasa ilinipata nikiwa mjamzito ilipata mwili mzima nilipata matibabu ikaisha isipokuwa miguu mpaka Leo bado inaganzi na maumivu kwenye mifupa he naweza kupata matibabu ya kupona kabisa
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV 8 месяцев назад
Karibu Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila ukutane na wataalamu kwa uchunguzi zaidi Asante
@mariamjackob
@mariamjackob 5 дней назад
Hi! Naomba namba yako please unipe elimu ganzi inanisumbua mwili mzima
@RHOIDAKALUKWA-bw4jo
@RHOIDAKALUKWA-bw4jo 7 месяцев назад
Naomba mawasiliamo ya dokta tutampataje
@zaidarashid8649
@zaidarashid8649 7 месяцев назад
.Mimi inanzia begani Hadi vidoleni 15:40
@MariaSengo-cn5bx
@MariaSengo-cn5bx 5 месяцев назад
Dr tafadhali tuwekee namba yako ya simu tuwasiliane
@AlbertKaaya
@AlbertKaaya 15 дней назад
Mm ganzi vidole vya miguu
@GregoryMnyakasha-yk7zo
@GregoryMnyakasha-yk7zo 7 месяцев назад
Naomba namba ya Dr please
@gabriellusinde9263
@gabriellusinde9263 Месяц назад
Doctor Mimi ninaganzi zaidi ya miaka mitatu nawapataje ili nipate msaada kwako
@marthadominick2212
@marthadominick2212 7 месяцев назад
Mko sehemu gani nasumbuliwa na ganzi ya mguu mmjoja
@magrethrhobi7494
@magrethrhobi7494 8 месяцев назад
Miaka yangu 47 Uzito wangu 122kg nina ganzi kwenye vidole vya Mkono wa kulia kwenye kucha..
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 7 месяцев назад
Maybe ni over wait(punguza uzito)
@user-gq4wm9gj4l
@user-gq4wm9gj4l 8 месяцев назад
Nahitaji matibabu
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV 8 месяцев назад
Tafadhali fika Hospitali ukatane na Madaktari kwa uchunguzi zaidi.
@ChristerShao
@ChristerShao 7 месяцев назад
Dr tunashukuru kutuelimisha.Tusaidie tupone.
@user-dk3ss9ts7n
@user-dk3ss9ts7n 8 месяцев назад
Sema daw
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 4 дня назад
Tuambie tutumie dawa gani Mimi apo tu
@sofiaoman5901
@sofiaoman5901 8 месяцев назад
Dactar mm nina Dalglish za ugnwa wa ganzi mkono wa kulia kuanzi began mpaka viganjani mara nying huhisi ganzimuda wa usiku mrefu kalibia na Alfajili naomba ushauli wako mm nipo Omani toka n8anze kuhusi ganzi yapat miezi 2 sasa
@fenisiasimeo2385
@fenisiasimeo2385 7 месяцев назад
Mbona wew ni kama mm jaman
@user-tr2fd6gr9l
@user-tr2fd6gr9l 28 дней назад
Ila si unatibika
@user-dg8iw1gq3h
@user-dg8iw1gq3h 2 месяца назад
Docta mimi napata Gazi miguuni nakweny vidole vyamikono naaikai kwamudamlefu inatoweka nanimeenda hosptali vimefanya vipmo mbalimbali inaonekana hakunashida kwenyehivyo vipimo kilakitu kikosawa ikiwemo hayo unayoyaelezea ambayondoyanaweza yakaperekea kupatata ganzi tafazari naomba unisaidie
@FatumaMata
@FatumaMata 2 месяца назад
Namber tafadhali
@SharifaMohammed-el3ug
@SharifaMohammed-el3ug 16 дней назад
Vyakula gani kwa mfano. Picha pia tafadhari
@user-wv3jf2de5r
@user-wv3jf2de5r 7 месяцев назад
Nina mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka7 anatatizo la ganzi nifanyeje
@user-us2lu7fn9e
@user-us2lu7fn9e Месяц назад
Mimi nimepata ganzinikiwamjamzito nimejifungua ilatatixo bado nifanye nn
@user-zv2lt8zk5k
@user-zv2lt8zk5k 8 месяцев назад
Dawa yake nini dk mimi napata ganzi mikono mizima nikilala lala na wala sina tatizo lolote kati ya uliyosema
@user-ps3oy3nx3k
@user-ps3oy3nx3k 7 месяцев назад
Tunaomba nmb ya dr kwa tulio mikoani .ahsante kea somo zuri ubarikiwe sana na wabarikiwe zaidi ni wazazi wako.wewe ndo maana halisi ya udaktari wako,ubarikiwe.
@margaretholland5139
@margaretholland5139 7 месяцев назад
Tunaomba namba ya Dr. Brighton mkombozi wa watu.
@hadijasharifu1463
@hadijasharifu1463 8 месяцев назад
Nikishika cim ndo naskia gazi nikiacha ganzi inaisha tatizo linamiez 6 sasa naachaga hata mwez nakua mzima nikishika tu ganzi
@julianapatrick7911
@julianapatrick7911 7 месяцев назад
Namba ya mawasiliano dr
@user-of3dr6th3x
@user-of3dr6th3x 8 месяцев назад
Unapatikana wapi no yako
@EditaTairo-sv1ls
@EditaTairo-sv1ls 8 месяцев назад
Yupo Mloganzila
@niceadolph1154
@niceadolph1154 7 месяцев назад
Mbona wengine wanasema tatizo ni uzito kwa sababu unakuta mtu hana tatizo lolote la ki afyab
@user-qy5yi6tm7d
@user-qy5yi6tm7d 8 месяцев назад
Pia mimi niko nalo nikilala mikono napata ganzi.naomba usaidizi.tunaomba no.ya Dr.
@user-bw5ts8nq2z
@user-bw5ts8nq2z Месяц назад
Namba ya Dr waganzi
@benterkioko7168
@benterkioko7168 8 месяцев назад
Pia mimi ninangojea tiba la gesi na tiba yake please doc na ganzi pia
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV 8 месяцев назад
Kuhusu matibabu fika hospitali ufanyiwe uchunguzi zaidi. Asante
@pilikafuku5468
@pilikafuku5468 8 месяцев назад
Naomba utoe somo la gesi tumbon na dawa yake
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV 8 месяцев назад
Asante ushauri wako tunaufanyia kazi
@user-be7id1fw5e
@user-be7id1fw5e 8 месяцев назад
Dawa ya ganzi ni ipi
@magrethkyarubota6588
@magrethkyarubota6588 7 месяцев назад
@@user-be7id1fw5e miira cell inatibu kabisa tatizo hilo
@user-yw1ld7jf6c
@user-yw1ld7jf6c Месяц назад
sasa munipenidawa nimusayidimama
@user-yo8lb3wf6m
@user-yo8lb3wf6m 8 месяцев назад
Naomba ushauri umu ndani Jamani nna tatizo la ganzi katika meno kinywa kizima naitaji dawa wapi ntapata ,mana tyr dawa natmia ila sjui feki au vp
@user-zj9yc3ge9s
@user-zj9yc3ge9s Месяц назад
mimi pia ni muhamga vp umepata tiba gani rafiki
@freefromhunger
@freefromhunger 7 месяцев назад
Shule inaongea
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 7 месяцев назад
Neuropathy 😢
@magrethkyarubota6588
@magrethkyarubota6588 7 месяцев назад
Miira cell ni kiboko ya hayo yote
@ZawadyKilume
@ZawadyKilume 2 месяца назад
J e
@zainabuhamisi576
@zainabuhamisi576 8 месяцев назад
Mimi ganzi inanisumbua Miko na miguu naomba jipatie dawa
@divine9779
@divine9779 8 месяцев назад
Naitaji mawasiliano ya doctor
@ceciliagilbert973
@ceciliagilbert973 8 месяцев назад
Nisaidie dk Mimi vidole.vya mikono napata gazi
@user-of2qt8nk7w
@user-of2qt8nk7w 8 месяцев назад
Dawa ya ganzi,ni ipi?
@evaamon1360
@evaamon1360 7 месяцев назад
Hakuitaja dawa. Akikujibu uniambie
@user-gq4wm9gj4l
@user-gq4wm9gj4l 8 месяцев назад
Mnapatikana wapi?
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV 8 месяцев назад
Tunapatikana Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila ipo Mkoa wa Dar es Salaam wilaya ya Ubungo Karibu
@davidlelo6192
@davidlelo6192 8 месяцев назад
Tunaomba no mimi nikila nyama naphtali gazi kidole gumbachamkono namagoti miguu inawaka moto
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV 8 месяцев назад
Tafadhali fika hospitali uonane na Madaktari kwa Matibabu zaidi
@user-ht2ze2kd3o
@user-ht2ze2kd3o 8 месяцев назад
Habari ,huduma ya kutoa makovu inapatika?
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV 8 месяцев назад
Ndio inapatikana Karibu tukuhudumie
@user-ht2ze2kd3o
@user-ht2ze2kd3o 8 месяцев назад
@@MUHIMBILI_MLOGANZILATV asante Sana ni bei gn
@nasrafadhili7408
@nasrafadhili7408 8 месяцев назад
Dokta namazoezi ukifanya wakati ujaumwa yanaweza kusaidia usipate
@user-gd8cx2ig9p
@user-gd8cx2ig9p 8 месяцев назад
Doctor mimi nasumbuliwa na ganzi kwenye mikono, mfano nikiegemeza mkono sehemu Kama dk 10 mkono unapata ganzi, tafadhali nisaidie, niko chalinze
@emmanuelmwakyoma5746
@emmanuelmwakyoma5746 8 месяцев назад
Namba yako ya simu tafadhari
@luganomwaigomole7441
@luganomwaigomole7441 8 месяцев назад
DAKTARI VIPI KUHUSU MATUMIZI YA KARAFUU..
@evaamon1360
@evaamon1360 7 месяцев назад
Je wanasema karafuu nodaea ua ganzi?
@ExcitedOyster-bs9mx
@ExcitedOyster-bs9mx 2 месяца назад
Daktari naomba mnisaidie niko oman ninashida mikono yangu inakufa ganzi haswa vidole nashindwa hata kufanya kazi nilipima kiskar nikaambiwa sina jaman nateseka naomba mniandikie dawa inayo weza kutuliza au kama kunauwezekano wa kunitumia dawa huku nchini oman naomben jamani
@annakattoa7502
@annakattoa7502 3 месяца назад
Nadhani mngeweka number ya dokta maana wengine tuko Mbali ili tupate msaada zaidi tu ateseka kwakweli Sie wakujifungua ganzi za mikono na vidoleee why ??
@NeemaJohn-vs5ik
@NeemaJohn-vs5ik 8 месяцев назад
Thanks.kwamafundisho.ila.tunaomba.namba.zenu
@janejohn1083
@janejohn1083 8 месяцев назад
Tunaomba nambayako kunandugu zetu wanatatizo hilo
@user-bw5ts8nq2z
@user-bw5ts8nq2z Месяц назад
Namba ya dr
@morjanoman5181
@morjanoman5181 8 месяцев назад
Mnapatikana wapi?
@WinfridaKalinga
@WinfridaKalinga 8 месяцев назад
Doctor naomba namba yako tafadhali
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV 8 месяцев назад
Tunapatikana Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila ipo Mkoa wa Dar es Salaam wilaya ya Ubungo.
@felixndereba3695
@felixndereba3695 8 месяцев назад
Am in Kenya doctor, please give your contact for consultation or treatment.. please.
@mohamedisalimu
@mohamedisalimu 8 месяцев назад
Dr hujaongelea kwa upande wa wajawazito.. hali hii inawatokea sana
@selinajoakim2773
@selinajoakim2773 7 месяцев назад
Jaman dr mawasiliàno
Далее
#MuhimbiliTV  Fahamu zaidi kuhusu ugonjwa wa kisukari
28:31
Вопрос Ребром: Сергей Бурунов 2
1:03:47
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
Просмотров 12 млн
Приметы
01:00
Просмотров 265 тыс.
DOTA 2 - КЛАССИКА
19:17
Просмотров 280 тыс.
Umuhimu wa Figo: Importance of your Kidneys
6:17
Просмотров 2,7 тыс.
FAHAMU KUHUSU KIPIMO CHA CT SCAN
20:26
Просмотров 1,1 тыс.
MAUMIVU YA MGONGO, CHANZO ,DALILI NA TIBA
19:17
Просмотров 21 тыс.
Вопрос Ребром: Сергей Бурунов 2
1:03:47