Mie nikikaa muda kwa kukalia miguu nikija kuinuka kwanza nahisi damu nyingi inashuka chini na pumzi inaenda kwa kasi ...lakini pia nikiwa nimekalia miguu ndani ya dakika 20 hivi mguu mmoja unakua umeshika ganzi ..nini shida wajuzi
Maswali ya kuzungukazunguka sana na tunapata takwimu na historia vya kutosha. Vema. Ila nilitamani na ingekuwa mwafaka zaidi kama daktari angetoa historia, takwimu nk kwa kifupi halafu angeenda moja kwa moja kuelezea dawa, vyakula vya kutumia na mzoezi gani au kwa njia ipi. Ama haya hakutaka kuyafafanua vizuri ili twende kwa wingi kwenye kliniki yake! Kwa wengine Mloganzila mtihani kufika, mbali na nauli tu mtihani hata kabla ya kugusa gharama za matibabu!
Dr asnte kwa darasa lako Zurich mimi ni muathirika wa stroke ambayo baadae imeniachia ganzi upended ambao stroke ilipotoke yaani upended wa kulia hili nalo koje dr
Mimi tokea ninamimba imenitokea ganzi na kidole cha kati kinaganda kabsa hospitalin nilienda wakaniambia litaisha ila mbaka leo ni miaka minne sasa bado nasumbuliwa na hilo tatizo
Doctor Mimi ni muathirika wa ganzi,ganzi imesambaa mwili mzima,na inamaumivu makali sana,nayo nimeipata baada ya kuchoma chanjo Fulani mwaka 2022 , nausikia mwili kama unaganda miguuni na baadhi ya maeneo ya mwili wangu mpk sasa, napataje msaada ili niue hiyo sumu ya chanjo iliyopo mwilini mwangu?
Ahsante sn Doctor kwa kutuletea somo hili .Mm binfsi naumwa hu ugonjwa inafika miaka 7 ila saivi umezidi sn zaidi nikalala usiku vidole vinaniuma sn km vitoke .na nikishika simu au kitu chochote kwa muda mrefu basi napata maumivu sn .Natesrka sn na ugoonjwa hivyo nitakuja hapo kwa ushauri na matibabu zaidi
doctor plz naomba nijib... mm miguu yang hua inapata baridi wakat mwngn ganzi inayoambatana na maumivu makali xn kwa miaka mng xx... lkn umri wng ni 26tu nn xhida tafadhali?????
Asante docta kwa Somo nzur mimi ninasumbuliwa na ganzi kwa miaka mitano sasa ilinipata nikiwa mjamzito ilipata mwili mzima nilipata matibabu ikaisha isipokuwa miguu mpaka Leo bado inaganzi na maumivu kwenye mifupa he naweza kupata matibabu ya kupona kabisa
Dactar mm nina Dalglish za ugnwa wa ganzi mkono wa kulia kuanzi began mpaka viganjani mara nying huhisi ganzimuda wa usiku mrefu kalibia na Alfajili naomba ushauli wako mm nipo Omani toka n8anze kuhusi ganzi yapat miezi 2 sasa
Tunaomba nmb ya dr kwa tulio mikoani .ahsante kea somo zuri ubarikiwe sana na wabarikiwe zaidi ni wazazi wako.wewe ndo maana halisi ya udaktari wako,ubarikiwe.
Daktari naomba mnisaidie niko oman ninashida mikono yangu inakufa ganzi haswa vidole nashindwa hata kufanya kazi nilipima kiskar nikaambiwa sina jaman nateseka naomba mniandikie dawa inayo weza kutuliza au kama kunauwezekano wa kunitumia dawa huku nchini oman naomben jamani
Nadhani mngeweka number ya dokta maana wengine tuko Mbali ili tupate msaada zaidi tu ateseka kwakweli Sie wakujifungua ganzi za mikono na vidoleee why ??