Habari ,Doctor Assnte sana kwa maelekezo kwakweli mimi kama mimi kinaweza kuniuma siku tatu adi 4 kinauma upande adi jicho kwa juu linauma kinashika adi shingo kesho yake kinaamia upande mwingine kizunguzungu kichefuchefu hamu yakula sina nakojowa mara kwa mara naomba namba nikija Tanzania nikutafute Mungu awajaliye . Asanteni kwa ushauri
Dr. Leo umeniambia maneno ya maana sana Unajua haya uliyosema ndiyo n iliyonayo mpaka nimekuwa sijielewi. Kizunguzungu, mwanga mkali, makelele na mengimengi. Kuanzia leo nimepona kwasababu nimejielewa nimaumwa nini. Asante sana Dr. kwa kutufahamisha kwa ufasaha na umakini.
Plz naomba naomba namba yako kaka nikija unisaindie WALLAH mimi nateseka San na maumivu ya kchwa upande mja paka nalia siseme yani dh 😭😭😭😭😭😭😭😭😭 huku OMANI wana nambia hakina dawa. Huwa wanasema eti siyo macho 😭😭😭😭😭😭😭