Kuanzia mita 1300kitoka usawa wa bahari, maeneo haya yanakuwa na ukanda wa baridi, uwezekano wa kuzalisha viazi upo, ukihitaji nichek kwa masenjer fb kwa jina la Florian Chunga
Malezo mengi ila point za msingi mnaruka sijui kwanini? Unasema mbolea ya kupandia halafu huitaji ni ipi unasema mbolea za kukupizia halafu huitaji ,hebu acheni huo upuuzi kama umeamua kutoa elimu basi jikite kwenye mambo ya msingi na sio bla blaa