Тёмный
No video :(

MWANAMKE ALIYELIMA EKA MOJA YA VIAZI NA KUPATA FAIDA MILIONI 8 AHOJIWA, DC NJOMBE AWAPELEKA BBT 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 21 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

20 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 96   
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 месяца назад
MashaAllah 🙏🙏🙏🙏ukimtanguliza Mungu atakuinua in the most unexpected way.
@EmmanueliZani-ur9bi
@EmmanueliZani-ur9bi 3 месяца назад
Hiyo kazi inafaa sana. Asante.
@user-mw7xl2zc8f
@user-mw7xl2zc8f 3 месяца назад
Huyu ndo DC Sasa sio yule tunamuona ktk mbio za mwenge tu👏👏🤝
@japhetlinus3891
@japhetlinus3891 3 месяца назад
Jaman simuwaambie wabunge na mawazir walime jaman..akat mm nmelima Mara tatu Njombe nanimekula hasar
@MoinaminaAmina-qh1jb
@MoinaminaAmina-qh1jb Месяц назад
Hongereni kina mama na vijana kwa juhudi ya mnao zifanya kwa kutafuta hela kwa uhalali najasho kuliko kufuatilia mashetani ya maframason kwa kutafuta. utajiri washetani bila kutoka jasho
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 3 месяца назад
kaeni tu mjini na kupiga mizinga ya MB kufuatilia Umbea mitandaoni, fursa ziko nyingi huku shambani
@manchalijob9600
@manchalijob9600 3 месяца назад
Tatizo ra africa hiri uongo mwingii jpm ndio arikuwa ananyooshaa sasa wewe kopa jichanganye ire kwako waone wenyeji utapata ukweli
@DominicKani-ri9le
@DominicKani-ri9le 3 месяца назад
Rorya BBT mumefika wajameni wengine tuko tayari.ugumu ni mkuu wetu wa wilaya usani umezidi mama president mbadilishe hakumfai huku mpereke mjini
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 2 месяца назад
Mkuu wenu wa wilaya ni nani
@sharifamsuri
@sharifamsuri 2 месяца назад
hicho kiazi kinachukua muda gani kuanzia kupandwa hadi kuvuna?
@salmabasil385
@salmabasil385 3 месяца назад
Na hiyo fursa Unaingiaje je lazima uwe ni mkazi wa njombe au?
@Zanga93
@Zanga93 3 месяца назад
Amna ni wewe tu kuwekeza
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 3 месяца назад
Nipo mkoa wa Njombe mimi ni ngumu saana kuamini
@kelvinliheta9769
@kelvinliheta9769 3 месяца назад
Uwamini nn sasa
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 3 месяца назад
Usieamini ni mvivu
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 3 месяца назад
Kwa sisi tunaolima ni ngumu kuamini
@lakasid3860
@lakasid3860 3 месяца назад
​@@MiriamAbdallahkwaiyo wewe unalima ila hupati faida sio
@user-uu6pg2pi2p
@user-uu6pg2pi2p 3 месяца назад
Hyo ni kwelii jamanii ukikifuatilia vemaa inatoa Sana hyoo
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 3 месяца назад
Siyo kweli
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 3 месяца назад
Kwa Hela Moja Nina mashaka
@trueman9641
@trueman9641 3 месяца назад
Kwanini?
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ 2 месяца назад
Watu wanafanya wanafanikiwa nyie mmekaa mnapiga porojo hapa Ndiomaana watanzania na waafrika wengi ni masikini haswaa
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 13 дней назад
​@@OchoaHomeDecor_Kuna kaka yangu amenishawishi na kilimo hiki kwa maelezo yake ukifuata utaratibu mzuri na Mwenyezi Mungu akikufanyia wepesi mafanikio yapo
@flaviankiria8251
@flaviankiria8251 21 день назад
Nnaeneolangu hekamoja hapa kisarawe pwani mnaweza kunisaidiaje kulima hivyo viazi?
@mariamsemwa226
@mariamsemwa226 3 месяца назад
Hapa tumepigwa nakitu kizito kwa eka moja milion 8 😂🙌nabei zenyewe hazielewekagi
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 3 месяца назад
Labda Mungu alitaka tu kumuinua kiumbe wake angalau kidogo kwa hiyo akamuonyesha hiyo neema
@mamodelmam
@mamodelmam 2 месяца назад
Jaribu kuwa na mawazo chanya. mwenyew kashakwambia faida yake ndo iyo! ww ulokaa nyumbn kwako unataka ubishane nae. Aya endelea kusema wamekupiga
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ 2 месяца назад
Hayo ni mawazo mgando Mtu alie shambani anakwambia uhalisia na unakataa Unataka tukuamini wewe uliekuwa youtube... Hilo ni tatizo Hata ukipata milioni 3 kwa hekari moja kama ukilima hekari 10 tayari una milioni 30 Shida iko wapi?
@MwanjiNzala-mo5ni
@MwanjiNzala-mo5ni Месяц назад
Sijui.hiyo.ekari. imetoa. Gunia.300 labda
@Chuma-vk4jg
@Chuma-vk4jg 2 месяца назад
@hekimaluvanda5337
@hekimaluvanda5337 3 месяца назад
Kumekucha 🎉🎉🎉🎉
@ezrakiduko6135
@ezrakiduko6135 24 дня назад
Wanaofeli wanakurupuka bila kutumia watalaam
@AizackKalenge-ro5rc
@AizackKalenge-ro5rc Месяц назад
Dada Utasaidiaje nyumbani kwenu uliko toka -Rungwe,Wewe ni mkuu wa wilaya wa mfano,Kwanini usipate Uwaziri?
@johson575
@johson575 3 месяца назад
😊😊😊
@AishaBethod
@AishaBethod 3 месяца назад
Mm hilo nimeliona nikweli
@JumaMigezo
@JumaMigezo 2 месяца назад
DC kasema heka 1 inatoa gunia 180 adi 200 uyu mama ambae ni mkulima anasema heka 1 inatoa gunia 120 mpaka 130 😂😂
@justice607
@justice607 3 месяца назад
Ingia shambani huitengeneze hiyo mill. 8😅😅
@rehemaothuman3764
@rehemaothuman3764 Месяц назад
Tunapataje namba za wausika amcosi au madame hapo
@celestinermantenga2463
@celestinermantenga2463 3 месяца назад
Hata hivyo kwa mkuu wa wilaya umepata hasara, aliye nacho huongezewa.
@ivomhagama9796
@ivomhagama9796 3 месяца назад
Inawezekana ama isiwezekane kupata faida ya million nane,ikiwa bei ikawa juu elfu hamsni ni kweli ila ikiwa elfu 30.ni faida kidogo.ikiwa elfu 20 kipeto umepigwa.
@veromwanji
@veromwanji 2 месяца назад
Niulizeni Mimi
@ivomhagama9796
@ivomhagama9796 2 месяца назад
@@veromwanji haya nakuuliza nambie ndugu
@ivomhagama9796
@ivomhagama9796 2 месяца назад
@@veromwanji Au nipe namba unielezee vizuri
@MwanjiNzala-mo5ni
@MwanjiNzala-mo5ni Месяц назад
Hat kama.bei 50 labda angesema matzo jumla.m8.ila sio.faida.
@RenaldaMunishi509
@RenaldaMunishi509 Месяц назад
​@@MwanjiNzala-mo5nimbona hata huyo mama kasema faida mil 8 hadi9? Kwahyo na yeye anatudanganya?
@KisendiNyanda93
@KisendiNyanda93 3 месяца назад
Millard nawe umefikia huku???
@charlesolomi9514
@charlesolomi9514 3 месяца назад
Wakilima wote ivo gunia itafika 50,000
@aminiajabiri2949
@aminiajabiri2949 3 месяца назад
Na mimi nataka naomba namba ya sim
@alextercisio
@alextercisio 3 месяца назад
Hii viazi Kenya ndio tunalima na uwa na pesa sana uku huitwa shagi ..but hiyo bei yenu eti sijui millioni ngapi sijui pesa ya Tz iko aje labda niabiwe .. Kenya hii ngunia moja ni 4000ksh ~35dollars
@Soon815
@Soon815 3 месяца назад
Huku ni 20 dollars
@lakasid3860
@lakasid3860 3 месяца назад
Sasa nyie huko kwenu bei ndio ipo juu huku gunia moja ni 15 mpaka 20 dollars
@MagrethNjavike-hy2en
@MagrethNjavike-hy2en 3 месяца назад
Inawezekana sangita inazaa sana
@omarymkwizu9366
@omarymkwizu9366 3 месяца назад
Hii kitu imekua na upendeleo Sana wengi tumeachwa.
@user-uu6pg2pi2p
@user-uu6pg2pi2p 3 месяца назад
Sio porojo au uongoo ni UKWELIII,, nipo niombee hapa
@omanoman2044
@omanoman2044 3 месяца назад
Mungu wangu nipe namba tutafutane huko njombe tulime wallah
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 3 месяца назад
​@@omanoman2044unadanganywa kwa heka moja yaani mita sabini kwa sabini hapana
@saidimwanyiro5147
@saidimwanyiro5147 3 месяца назад
Unalima??
@maishabakari2919
@maishabakari2919 3 месяца назад
Naomba namba yako ya simu
@joyceKingu
@joyceKingu 3 месяца назад
Dada umefanya la maana kufanya hiyo project.
@KeisiMwasanyika
@KeisiMwasanyika 2 месяца назад
Tuhungeni na sisi tupo njombe msanyo uku lugalawa
@tatujamadary8028
@tatujamadary8028 2 месяца назад
Je nilitaka mbegu nitaipataje
@CasmirKiwale
@CasmirKiwale 3 месяца назад
Watu walime
@devothakassimu8289
@devothakassimu8289 3 месяца назад
Tunaomba mtufikie mkoa wa songwe, wilaya ya ileje, umalila
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 3 месяца назад
Viazi vyenyewe ni vitamu, vina unga???
@gogozitodumelannzi5
@gogozitodumelannzi5 3 месяца назад
huyu mama napafahamu kwake nitamuuliza
@jacobmichael1896
@jacobmichael1896 3 месяца назад
Mbengu inapatikana wapi?
@DANYMHEMA-zo3cq
@DANYMHEMA-zo3cq 3 месяца назад
Kipimo vp au
@WilbertChambilo-yl1kc
@WilbertChambilo-yl1kc 3 месяца назад
Acheni porojo hizo jmn kaah
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 3 месяца назад
Kwa heka moja faida milioni 8 hapana tumepigwa na nondo kichwani
@anoldjose7793
@anoldjose7793 3 месяца назад
@@MiriamAbdallah umeona ee😂😂
@ayoubmwangonji2357
@ayoubmwangonji2357 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂 matapeli
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 3 месяца назад
@@anoldjose7793 kwa mimi mkulima haingii akilini, kwa heka moja yaani mita sabini Kwa sabini sio kweli
@godfreymushi6966
@godfreymushi6966 3 месяца назад
Hhaaaa haya 😂😂😂
@ZawadiKazungu-qp8uw
@ZawadiKazungu-qp8uw 2 месяца назад
Na Kenya Je
@EliauMtishbi-os5ky
@EliauMtishbi-os5ky 3 месяца назад
Wapeni Vijana mikopo ya kuanzia
@gabriellaizer9925
@gabriellaizer9925 3 месяца назад
Acha uongo Mheshimiwa tafadhali
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 3 месяца назад
Mita sabini kwa sabini jamani au zaidi hii si kweli
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 3 месяца назад
Hivyo viazi ndani ni vya njano au vyeupe???
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft 2 месяца назад
Vyeupe
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 2 месяца назад
@@EddahBure-te7ft Hivyo wala chipsi hawavipendi sana.Wanapenda viazi vya njano ndani.
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft 2 месяца назад
@@shyfettymtunda4619 eti eeh bas mm bora kiazi nione kikubwa tu ndo napenda sijui kama vina njano au laa ngoja ntaanza kuchunguza
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft 2 месяца назад
Mm nlichogundua hapa ni kua huyo mkuu hiyo ml 8 hivyo viazi hakuuzia hapa Tz ameenda kuuza nje na ndio mana wakulima wenyeji wanakataa kama sio kweli kwasbb wao wanauzi hapa hapa ✍️
@muniraahmed624
@muniraahmed624 3 месяца назад
Naijua hii😂😂😂
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 3 месяца назад
🥴🥴🥴🥴🥴🤐🤐😷😷
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in 3 месяца назад
Panya kweli nyie
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 3 месяца назад
Huu ni uhuni
@walinaziontime7300
@walinaziontime7300 3 месяца назад
Hizo Bei ni nyundoo 🤣🤣🤣🤣 mnajitangazia biashara
@ayoubmwangonji2357
@ayoubmwangonji2357 3 месяца назад
😂😂😂😂😂
@japhetlinus3891
@japhetlinus3891 3 месяца назад
Jaman simuwaambie wabunge na mawazir walime jaman..akat mm nmelima Mara tatu Njombe nanimekula hasar
@CasmirKiwale
@CasmirKiwale 3 месяца назад
Ilikuaje bro..niandikie mawasiliano yako
@CasmirKiwale
@CasmirKiwale 3 месяца назад
Ilikuaje kaka.. niandikie mawasiliano yako
@CasmirKiwale
@CasmirKiwale 3 месяца назад
Niandikie mawasiliano yako
@japhetlinus3891
@japhetlinus3891 3 месяца назад
Jaman simuwaambie wabunge na mawazir walime jaman..akat mm nmelima Mara tatu Njombe nanimekula hasar
@Madam255
@Madam255 3 месяца назад
Kupata hasara haimanishi kwamba hautafanikiwa kwa. Mara nyingine
@japhetlinus3891
@japhetlinus3891 3 месяца назад
@@Madam255 . Shida iliyopo hapo Ni kwamb huyo aliehojiwa kahojiwa wakat Bei ya kiaz imepanda,naakat mwez uliopita tumeuza viaz 35 had 30 ..unasemaje Kuna faid na kuwashaur klwatu wawekeze kwa wing na wakat unajua chakul kikiwa king lazima kishuke Bei..
@celestinermantenga2463
@celestinermantenga2463 3 месяца назад
8mil. Inapendeza sana.
Далее
Ekari moja yaweza kukupa magunia 150 ya viazi mviringo
11:17
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Просмотров 6 млн
СЛАДКОЕЖКИ ПОЙМУТ😁@andrey.grechka
00:11
ЛИЗА - СПАСАТЕЛЬ😍😍😍
00:25
Просмотров 1 млн
UKWELI ULIOFICHIKA NA IRENE UWOYA EPSD 2
42:15
Просмотров 6 тыс.
KILIMO CHA VIAZI MVIRINGO
24:45
Просмотров 27 тыс.
Jinsi  ya kupata kuku  wengi wa kienyeji
10:46
Просмотров 341 тыс.
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Просмотров 6 млн