Jamani mnaosema wahehe wanakula mbwa muache, mmesikia? Wanaotania Ni wivu wao wa ushujaa wa wahehe unawasunbua ndiyo wanaamua kushusha hadhi kwa kutunga wahehe wanakula mbwa, tunaomba waache usemi huo
Historia nzuri lakini wachache walihamia sawa si wansongezeka na kupanuka? Tujulishe kabla ya Vita ya pili walikuwa wapi! Au walitokea wapi! Nahitaji kujua baba, naomba namba yako kwa nia njema
Basi Ni mhehe maana alichanganyika si kishelisheli tu, Ila Asante historia nzuri Sana naomba namba niulize wahehe walitoka wapi? Ila sema asili Ni mhehe aliyechanganya ushelisheli, maana alizaa na mtu wa hapo
Unajua wanasema wahehe wanajinyonga kwasababu Mkwawa alijiua basi, lakini ukweli wahehe hawajinyongi, kila kabila Lina wajinga wanaojinyonga, Mkwawa alijishuti kwa sababu ya msingi