Тёмный

FAHYMAH Afunguka RAYVANNY Kubadili DINI/PAULAH/MKE wa PILI niko TAYARI/DINI inaruhusu 

Rick Media
Подписаться 860 тыс.
Просмотров 363 тыс.
50% 1

Mpenzi wa Rayvanny Fahymah amefunguka kuhusu Mpenzi wake Rayvanny kubadili Dini (kuwa muislamu, kuoa mke zaidi ya mmoja
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Fahymah #Rayvanny

Развлечения

Опубликовано:

 

22 авг 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 269   
@sesiliajoseph211
@sesiliajoseph211 11 месяцев назад
Kama umegundua hiyo nyumba ni Ile anayoigizanayo JB na watoto wake kwenye huba em tugongeni like apa jomonnn
@AbiTech96
@AbiTech96 11 месяцев назад
Kabisa
@natechovee
@natechovee 11 месяцев назад
Bora ametreat mpenzi wake vizuri
@ummullaqsa974
@ummullaqsa974 11 месяцев назад
Nilijua nmeon peke yng😂😂😂
@jenifajosephat1161
@jenifajosephat1161 11 месяцев назад
Hio nyumba ni jiran yangu kabisa kibada
@mwanaidkhamis
@mwanaidkhamis 11 месяцев назад
Hakusema yake hata hivo so relax
@shamilamgata7754
@shamilamgata7754 2 месяца назад
Nimeangalia comments za watu wengi wana wivu mara oh litamkuta jambo mara anajimaliza jaman ukipata nafasi ya kuringa we ringa tu acha nidham za uongo za kufikiria watu watasemaje mnaboa mjue fanyeni kitu mnataka big up fayma love you 💓💓
@franciskajessy4468
@franciskajessy4468 11 месяцев назад
Mdogo wangu Unajielewa sana,Mungu akulinde ulee mtoto wako na mwenzako,nakupenda utaki drama,nakupenda 🇺🇸🇹🇿
@MercyMutinda-h9c
@MercyMutinda-h9c 19 дней назад
My favourate❤❤❤much love mamaaa❤❤
@mariamkika5652
@mariamkika5652 11 месяцев назад
Nakupenda xan fahima lakn ucjimalize dada atakuja kumuoa mwengine utalia wew
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 11 месяцев назад
Kashasema sheria wanne, anajikubal, hapingi uke wenza Sasa anajimaliza vipi
@Vikkikilonzo
@Vikkikilonzo 10 месяцев назад
​@@nahlahassan-fd6leNa mbona aliondoka mara ya kwanza basi after Ray kucheat😂si angekaa tu juu amekubali
@user-yo3yy7fx1i
@user-yo3yy7fx1i 11 месяцев назад
Congratulations Amazing voice❤❤❤ Media
@EsterLoputu
@EsterLoputu 7 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤
@ayshahussen7452
@ayshahussen7452 11 месяцев назад
Kazuri sana❤
@user-eq2nq6os7v
@user-eq2nq6os7v 10 месяцев назад
Congratulations ❤❤
@aminaomari-9573
@aminaomari-9573 11 месяцев назад
Ache wivu fahym ni mzuri ❤
@kadino_jc
@kadino_jc 11 месяцев назад
Hana wuziri wowote😅
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 11 месяцев назад
Mzuri sana mashallah❤
@user-zh8gh9qy5i
@user-zh8gh9qy5i 10 месяцев назад
​@@kadino_jcwivu nayo itawaua
@FridaUdoba-iw2jx
@FridaUdoba-iw2jx 10 месяцев назад
Sema mkorogo anaoga
@NairatHassan-nm2dg
@NairatHassan-nm2dg 11 месяцев назад
mwezenu nimeipenda sauti yamtangazaji ipo kama ya strng wngu kibibi👈🏻😘😘😘 😂😂😂
@tumpeernest9690
@tumpeernest9690 11 месяцев назад
Afu kweli
@weveeernest9911
@weveeernest9911 11 месяцев назад
Hacheni wivu muache fahma ale raha na mpenzi wake.
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 11 месяцев назад
❤❤❤❤
@jacobkhisa7537
@jacobkhisa7537 22 дня назад
Huyu mtoi wa Paula ni wa Rayvany, mm huku Kenya nimepea Dem fulani mimba but tukakuja tukakosa Alf akaenda kwa boy mwengine anadangaya huyo boy ety ni mimba yake.. but alitoka kwangu alikuwa mimba juu ya kukosa aliniambia nisiwai sema Ety mtoto ni wangu juu pia mm nko na mke mwengine nilikubali😢🎉❤
@CelineQ-zy4ex
@CelineQ-zy4ex 7 месяцев назад
Mammy hiyo make up apana ata natural u are very beautiful banaa
@mwezzireen17
@mwezzireen17 11 месяцев назад
Fayma I love Yu❤️❤️❤️❤️🤣🔥🇰🇪
@user-cg6sq4qy5l
@user-cg6sq4qy5l 11 месяцев назад
Mh! Nilijua kavaa papasi mavazi mengine ila juu ngu ipo vizuri ila chini lakini hongera zako mwana❤❤❤
@aishaz1
@aishaz1 11 месяцев назад
Pia mimi nikadhani hivyo😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 11 месяцев назад
😂😂😂
@VailetPatrick
@VailetPatrick 10 месяцев назад
🤣😂🤣😂🤣🤣nikajua pampas namim nguo nyingne wazungu tunaomba poo
@DukaDanga
@DukaDanga 3 месяца назад
Kí​@@aishaz1
@neemajoseph6204
@neemajoseph6204 11 месяцев назад
Waoooooh fayma fayma ilove tooo
@nishimwetania9012
@nishimwetania9012 11 месяцев назад
Mimi nilichogundua fayma zamani alikua anajiamini sanaaa Kama rayvanny hawezi muacha ju alikua anampenda sanaaa nakwasasa anajilekebisha anajalibu kua mtu mwema sema tu namuoneya huruma ju moyo wakwanza ukishabadili haubadiliki tena kasha honja inje nakashafanyiw mzuli kabla sasa apo ata achwa tu
@asifiwewisayi8580
@asifiwewisayi8580 10 месяцев назад
Umeongea point
@marionowira4912
@marionowira4912 11 месяцев назад
Good job mama jay but io lipstick yakh ijakutokea
@sidikassim6759
@sidikassim6759 11 месяцев назад
penden lugha znu za kiswahili sio kujifnya wazungu pndeni lugha ynu
@philipsaidi8614
@philipsaidi8614 10 месяцев назад
Fay loves you so much ❤❤❤❤❤❤
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 11 месяцев назад
hujapendeza ww Albino michubuo nenda huko
@veelmng7746
@veelmng7746 11 месяцев назад
very good girl
@Rahmajohn-ix3lh
@Rahmajohn-ix3lh 10 месяцев назад
Mungu awajaalie
@Mambo-ct7tw
@Mambo-ct7tw 5 месяцев назад
Happy Valentine dada fayvanny
@user-fp3ow9jt5h
@user-fp3ow9jt5h 5 месяцев назад
Hongera
@juliusmakachala
@juliusmakachala 21 день назад
🎉🎉
@johanjoha5262
@johanjoha5262 11 месяцев назад
Kafanana na umber Lulu
@user-vn1fq2pz4e
@user-vn1fq2pz4e 9 месяцев назад
Fahyma vizur sana nimependa
@GabbySultana-xu5pi
@GabbySultana-xu5pi 11 месяцев назад
Huyuu dada ni mzurii ilaa make up anazotumiaa ndoo issue😢
@nancyg8664
@nancyg8664 10 месяцев назад
Shida kope ndefu mno,zingepungua kidogo angependeza zaidi
@damianmcba9525
@damianmcba9525 11 месяцев назад
Sura baya alafu unatafuta kumgombanisha abigail chams na rafiki zake
@Bakarirajabu-cg3kn
@Bakarirajabu-cg3kn Месяц назад
❤❤❤ asanteni
@dinaalenga9408
@dinaalenga9408 9 месяцев назад
Faima mrembo❤❤❤❤❤
@AishaRamadhan-xg8bo
@AishaRamadhan-xg8bo 11 месяцев назад
Not to worry if I have missed it but I will also send the money to your bank account in person as soon as possible as I am currently on
@fellymwaka-sl1vo
@fellymwaka-sl1vo 11 месяцев назад
this girl is amazing ❤❤
@user-de3jj7yz5m
@user-de3jj7yz5m 11 месяцев назад
Mwana dada anapenda baby daddy sana
@natechovee
@natechovee 11 месяцев назад
Kabisa
@DatuDatu-rr4oj
@DatuDatu-rr4oj 2 месяца назад
Nakupendagafaivani mwanamme kujiamini
@Jostany
@Jostany 11 месяцев назад
Nakubari😂
@user-gk6mr3qc5r
@user-gk6mr3qc5r 9 месяцев назад
Faymaah mrembo sana❤❤❤
@NaomiMandi
@NaomiMandi 14 дней назад
fey mzuriii❤❤❤❤
@patriciacarlo7236
@patriciacarlo7236 11 месяцев назад
❤❤❤
@mrsanna7820
@mrsanna7820 11 месяцев назад
Oooh fay tulia sijui nini nini 😂😂we umetulia kwanza ndiyo umshauri 😂😂😂ukipendwa onesha 😂break up pia onesha😂😂dunia kuna raha na kulia na bado tunaishi😂
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 11 месяцев назад
Teeenaa
@tabiangonyani3526
@tabiangonyani3526 11 месяцев назад
Mtu kazeeka lakini linavaa chupi njenje
@OfficialMicky-nv4re
@OfficialMicky-nv4re 10 месяцев назад
Apo nani kazeeka mbona una2changanya au ulikua una coment Sehem nyingne
@programtz
@programtz 10 месяцев назад
😅😅😅
@zulfakibwana2330
@zulfakibwana2330 11 месяцев назад
Fai we love you❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-rb9og9uh6q
@user-rb9og9uh6q 8 месяцев назад
Faihiyma chui❤❤
@user-mf4bc8sf5f
@user-mf4bc8sf5f 3 месяца назад
FAHMAH napenda unavyoongea ❤😊
@kevinr7552
@kevinr7552 11 месяцев назад
❤❤❤ Happy birthday @rayvnny
@marynjeri4494
@marynjeri4494 11 месяцев назад
Fayma mrembo natural achane na makeup kabsa
@user-tt6jt8pz5m
@user-tt6jt8pz5m 11 месяцев назад
Hapa ndio NAAMINI FAHMA ANATUMIA MKOROGO😂😂MHM ATISHA. PAULA NAMPENDA SANA NI ZILE MAMBO ZAKE. FAHMA ANAJIKWEZA SANA. VIJITU VIFUPI NI SHIDAA😂😂😂
@nipherjoseph8561
@nipherjoseph8561 10 месяцев назад
Daaah ila wabongo sisi😂😂😂
@FlorenceKerubo-xw6lx
@FlorenceKerubo-xw6lx 11 месяцев назад
Fayma❤❤❤❤
@yusrairakoze3966
@yusrairakoze3966 11 месяцев назад
Fahima nikwambiye tuuuu utuliye mana matukiyo tunayasubiri mana wewe unajuwa kujimaliza afu unajifanya uko mwenyewe subiri yetu macho
@perisnekesa8117
@perisnekesa8117 11 месяцев назад
Pepoo shtn
@mrsanna7820
@mrsanna7820 11 месяцев назад
​@@perisnekesa8117😂😂
@bettymasitsa9504
@bettymasitsa9504 11 месяцев назад
Anajifanya tu
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 11 месяцев назад
Wewe ni Mungu??
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 11 месяцев назад
Wale wali kuwa ni Matapeli 😂😂😂
@annievibes8794
@annievibes8794 10 месяцев назад
Fahyma kanenepa❤
@sophymasoud2058
@sophymasoud2058 11 месяцев назад
Nmempenda mtangazaji
@zahraamin2910
@zahraamin2910 11 месяцев назад
Mi piaa❤
@aikakessy3229
@aikakessy3229 11 месяцев назад
Mfyuuu Kwa uzur gan lbd mbona wa kawaida sana
@saidaidaprincess
@saidaidaprincess 10 месяцев назад
A we paula ni kiboko mrembo mbele ya huyu dada hata waseme nini aghhhhh❤❤❤
@user-yz9ep1rc5g
@user-yz9ep1rc5g 9 месяцев назад
Lakini ana domo sana
@user-kk7ck1ph7c
@user-kk7ck1ph7c 10 месяцев назад
Nawapenda Sana nyie watu nimependa mlivyo ludiana Tena
@eppiemodest
@eppiemodest 10 месяцев назад
Mbona mdomo wa Faymah umechongoka kwa juu. What's the matter!!
@omytifa6403
@omytifa6403 11 месяцев назад
Mtangazaji anajua
@johanjoha5262
@johanjoha5262 11 месяцев назад
Kama shetani mtuu
@nancyg8664
@nancyg8664 10 месяцев назад
Sio kwa ubaya...fahma ni mzuri ila iyo makeup kawa kama mzee.
@sidikassim6759
@sidikassim6759 11 месяцев назад
subr uolewe ndio uite mume wko kw haki yko pnguza wivu na hasira binti hasra ztkuponza
@zenahmugo1974
@zenahmugo1974 11 месяцев назад
Wivu gani Sasa, nyinyi ndo mna wivu tu, watu huitana mume na mke na wiki mbili Sasa ndo itakua Hawa Wana mtoto
@Vikkikilonzo
@Vikkikilonzo 10 месяцев назад
​@@zenahmugo1974mtoto si kitu kama hajakuoa bado si Mume wako
@lareineminah1353
@lareineminah1353 10 месяцев назад
Dah huu jmn🥲🥲🥲Mungu amsimamiye...
@fridhausmeju-gi6po
@fridhausmeju-gi6po 11 месяцев назад
Alafu uyu mbona..ajamzidi..paula .
@joycejackson2320
@joycejackson2320 11 месяцев назад
Nguo hizi mwanangu jitahidi sana wewe ni mama sasa!!
@purityvesh171
@purityvesh171 11 месяцев назад
Huyu hamwezi paula😢ana jisura baya kweli😅😅je akitoa makeup😮😂😂
@zenahmugo1974
@zenahmugo1974 11 месяцев назад
Hilo lisura libaya Lina maisha kulko ww purity wacha wivu msichana 😂😂😂
@purityvesh171
@purityvesh171 11 месяцев назад
@@zenahmugo1974 😂😂😂nimewacha kapsaaa
@MakulaAamaal-uu7eu
@MakulaAamaal-uu7eu 11 месяцев назад
​@@zenahmugo1974asantee beine😂😂😂
@vumi8371
@vumi8371 10 месяцев назад
🙄🙄🙄bora yako ww unasura nzuri
@user-eh6fs8zq1d
@user-eh6fs8zq1d 10 месяцев назад
Ata Paula ukiangalia kishalia wala sio msuri ni wakawaida
@user-uo6bo3ph6g
@user-uo6bo3ph6g 11 месяцев назад
Fahyma kwa Paula wa kawaida sanaaa,Paula mrembo sanaaaa hyu angekuwa mweusi angefanana na bi chau😂😂😂😂😂
@EzzyK438
@EzzyK438 11 месяцев назад
Uko sahihi afande 😅
@tatusalumu946
@tatusalumu946 11 месяцев назад
Wivu tu iyo 😏
@user-uo6bo3ph6g
@user-uo6bo3ph6g 11 месяцев назад
Ndiomana ukaitwa tatu maana akil zko km namb tatu😃😃😃😃😃
@Shuu.A
@Shuu.A 11 месяцев назад
Paula uzuri hana me up tu na kulivuta domo lol
@user-uo6bo3ph6g
@user-uo6bo3ph6g 11 месяцев назад
Kwan hyo hapak makeup??😃😃😃😃
@leylamohamed9939
@leylamohamed9939 11 месяцев назад
Yaani Anafanya interview kama Kalewa, Hayuko Sawa.. Kama Kachoka.. Acha kuongea Kiingereza Fahyma unatuchosha achana na Kiingereza mdogo wangu
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 11 месяцев назад
Ila nyie zile pic za insta nyie mh 😂 ila haviwez kuendana maana zile edit kibaooo ila hii live no edit mdomo mpana sura pana jaman akaaa
@dishonibusima6042
@dishonibusima6042 9 месяцев назад
Some kidogo kapendez
@user-is3uf8dy3q
@user-is3uf8dy3q Месяц назад
Ila faima inaonesha paula anakutesa sana huwezi ongea midia usimtaje pau
@adelaphilip8089
@adelaphilip8089 11 месяцев назад
Naomba nipokee simhmhmh😅😅😅😅
@happinesskitali164
@happinesskitali164 11 месяцев назад
Fahyma mbona anakua mweupe sana
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 11 месяцев назад
Mkorogo
@binthkhamis8042
@binthkhamis8042 11 месяцев назад
Mtt wa JB hiyo
@muanashaswaleh5110
@muanashaswaleh5110 11 месяцев назад
Shangazi uzee una karibia
@leylamohamed9939
@leylamohamed9939 11 месяцев назад
Huyu Mtangazaji naye Kibada napo ni Mbali???? Ushamba tuu wa Makazi ya Nje ya Mji mnashangaa sana.. Fahyma ni wa kawaida tu sema weupe unambeba basi na hvi nguo za uchi na kujiongeza makeup anaonekana kanoga
@user-lw1hi9hf3c
@user-lw1hi9hf3c 4 месяца назад
Umependez
@missdee6687
@missdee6687 11 месяцев назад
Comment section mna wivu na roho mbaya wachawi nyinyi
@arabicfey-ii6dn
@arabicfey-ii6dn 10 месяцев назад
🤣🤣🤣
@user-vc4xc7xg7j
@user-vc4xc7xg7j 11 месяцев назад
Ana kithembe dah
@joycefuraha2218
@joycefuraha2218 10 месяцев назад
Mmmh kama weupe ndioo huo wacha tu nibaki na weusi wangu
@hyvonenyakamba206
@hyvonenyakamba206 11 месяцев назад
Weupe bila mvuto,,hyo sura yke n y makeup natural n wa kawaida
@MakulaAamaal-uu7eu
@MakulaAamaal-uu7eu 11 месяцев назад
Haujui chochote wewe fahyma mzur bila make up
@victoriamatei7757
@victoriamatei7757 11 месяцев назад
Umemuona fyama Leo wewe mtoto mzuri hata mbila makeup mtoto natural 😊
@franfraaan2325
@franfraaan2325 11 месяцев назад
But faima plz acha kuvaa nusu uchu yaani uchi kabisa vaa kaa nandy
@beatricesamwel8951
@beatricesamwel8951 11 месяцев назад
Acha naye atese kwa zamu lake paula hanalake tena
@sidikassim6759
@sidikassim6759 11 месяцев назад
mi spndi mswahili kujifnya mzngu kwni hmuezi kuongea kiswahili kwny kaz znu wa wndshi wa hbari w sku hzi kz hpo
@mayasattar8229
@mayasattar8229 10 месяцев назад
Limbukeni mbwa hao
@SALIMTV-vo7es
@SALIMTV-vo7es 11 месяцев назад
Afanya mchezo na dini hawa wameshafanya uzinifu wanazidi kufanya uzinifu tu
@sifauseni6900
@sifauseni6900 11 месяцев назад
Wewe muache ajimalize tu itamkuta yakumkuta 😢😢😢😂😂😂😂😂😅😅😅
@shamilamgata7754
@shamilamgata7754 2 месяца назад
Kashazoea ukipata nafasi ya kuringa ringa bhana sio unaogopa watu watasemaje acheni nidham za uoga
@user-xz3on7fu1r
@user-xz3on7fu1r 7 месяцев назад
penda san❤ fayma
@Mellynoela-of5sr
@Mellynoela-of5sr 11 месяцев назад
Fahyma kwenye mavaz umekosea sn daah
@FridaUdoba-iw2jx
@FridaUdoba-iw2jx 10 месяцев назад
Picha na alivyo tofauti
@Rejina-tv5iu
@Rejina-tv5iu 2 месяца назад
Wewe dada saraha
@elizabethmwau4386
@elizabethmwau4386 11 месяцев назад
Hii SI Ile nyumba ya JB yawa
@user-jd4nw4km6n
@user-jd4nw4km6n 9 месяцев назад
Mh mavazi mengine jaman hii ni chupi au macho yangu 😂😂
@KanyinyiSaid
@KanyinyiSaid 2 месяца назад
nilicho kiona we maridadi unajipenda mnoo
@PATRICIALEILA-yx3ec
@PATRICIALEILA-yx3ec 11 месяцев назад
Hapo kwa mavazi 😏😏😏
@MawazoJustin-fw2ws
@MawazoJustin-fw2ws 2 месяца назад
Mavazi jamani ata kama jichunge wemke siokila mtu ahone paja la m'me wako jichunge
@strawberryrachii12-xh5bq
@strawberryrachii12-xh5bq 11 месяцев назад
😂😂hii nyumba fai kaona asipitwe nayo baada ya huba na nandy kutangulia
@user-fo5my5pe3b
@user-fo5my5pe3b 11 месяцев назад
Mbona namuona mbaya leo
@mjaweathman6519
@mjaweathman6519 11 месяцев назад
Pia Mimi nadhani katumia make ya wazungu😂😂😂😂
@mjaweathman6519
@mjaweathman6519 11 месяцев назад
Make up ya wazungu
@joycemuhoja4729
@joycemuhoja4729 4 месяца назад
Hizo nguo unazovaa alafu wewe ndio unaangaika na Rayvan siku ya Valentine Subili na yeye akufanyie
@RehemaMnyangida-yo6zj
@RehemaMnyangida-yo6zj 11 месяцев назад
Mbona tako la mbinuko halipo
@husnabilali3099
@husnabilali3099 10 месяцев назад
Faymah ni mweny busara San lkn some time mavazi yake ndio yanamtoa kweny leli
@Munirawamunira-wf9lf
@Munirawamunira-wf9lf 10 месяцев назад
Wakawaida sana mdomo mkubwa tu kwakweli lulu mzuri na anaonekana mdog mikorogo inazeesha pore
@jackymmbando7550
@jackymmbando7550 10 месяцев назад
Nikupe siri wacha kuongea sana kwanza kwa mambo ya mafanikio yako ziiipuuu na kuongea atii napendwa miyeee utawachwa tena 🤔 😂😂😂😂😅😅
Далее
Qalpoq - Kichkina tabib (hajviy ko'rsatuv)
30:41
Просмотров 285 тыс.
skibidi toilet 76 (full episode)
08:11
Просмотров 10 млн
Jua kali leo usiku jumapili 21-7-2024         4k
19:14
Просмотров 36 тыс.
У Котика Отняли Игрушку 🥺
0:15