MCHUMBA WA RAYVANNY FAYVANNY KWA MARA YA KWANZA AMEFUNGUKA CHANZO CHA UGOMVI WAKE NA PAULA KAJALA KUMBE CHANZO ALIKUWA RAYVANNY TAZAMA FULL ENTRVIEW HAPA #manaratv #rayvanny #fayvanny #diamondplatnumz #harmonize
Serekar kemeeni huu upuuzi wa hawa wadada wanao udhakilisha utanzania itungwe sheria ya kuvaa uchi hawa madanguro wanaojiita wasanii, eti ndo kioo cha jamii duuuuh ina lilaah wa inailaaih rajuuni
Hapo umenifurahisha umejibu vizuri ulipo ulizwa kuhusu Paula hukutaka kumsema mwenzio vibaya huo ndo uzungu nimependa ukiwa hvyo na chengine punguza pozi na maringo mpenzi Kwa ukiwa hivyo wateja wko ni washabiki maneno mabaya pia ya zarau punguza
@@mariamkibindo1741 Anahisi aibu huyo hehehe mshipa wa aibu ashautoa huyo ndio maana anakwenda uchi ,mpaka hawara au mzinifu mwenziwe anamwita mume wake tena bila kigugumizi
Nani kafa kwani ...... Shenzi kabisaaa hiyo mineno ya mtu kufa yanahusiana nini hapo mwanamke ni maua na maua yenyewe ndio hayo lazima mwanamke atamanishe mwanaume upoooo hapo mfyuuu kwendraaaa
Halafu ndugu nikufahamishe jambo moja ukishauriwa kuhusu kujisitiri usiite ni ushamba eti sababu wewe huwez kujisitiri muhim kumuomba Mwenyezi mungu akuepushie mabalaa ya aina zote.mf kuacha maziwa waz,kichwa waz na mengineyo.
Wewe shangazi mkome Paula wewe ambae Rayvany anakupenda mbona ajalivalisha Pete ya uchumba Na mesha kuzalisha mtoto Na Bado anatamba nawengine wanawake nikwambiye Abari yabure shangazi Rayvany Bado anampenda paula ndo Abari iyooooo
Post lkn usiseme maneno ya kuonyesha kumzarau mtu Ambae hafanyiwi au hapati Kuna watu wanamaisha magumu ukianza kuwaonyesha sifa za pesa Kisha ukasema maneno yasiyo mazuri ya mafumbo watu lazima watachukia huo km ushauri jitahidi kuwa pic