Тёмный

Faiza Ally: Mimba Ya Mwanaume Mwengine Yamkosesha Ndoa 

Dizzim Online
Подписаться 766 тыс.
Просмотров 18 тыс.
0% 0

Faiza Ally: Mimba Ya Mwanaume Mwengine Yamkosesha Ndoa

Опубликовано:

 

18 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 72   
@lilyanmongi1075
@lilyanmongi1075 День назад
Faiza uko tofauti na wasanii wote huwez kudanganya hujickii hongera sana
@farajaMezza-qn4be
@farajaMezza-qn4be День назад
Faiza upo very smart hata the way unajibu maswali❤
@nunuuali5316
@nunuuali5316 2 дня назад
Yaan Faiza uko tofuati kabisa na mastaa wote wa bongo,mambo ya uongo uongo au sifa za kijinga hunaga. Nakukubali sana
@EstarMichael
@EstarMichael 2 дня назад
😂😂hayo ndo maisha fake life inatesa sana
@catherinecharlesshirima5867
@catherinecharlesshirima5867 2 дня назад
Blessed woman❤faiza
@AminaMfinanga-nu6jl
@AminaMfinanga-nu6jl День назад
Hii interview itaishi Sana,Nimependa Sana Faiza❤
@ashamagogo-i9z
@ashamagogo-i9z День назад
kulea mtoto nakusomesha nivitu tofauti good point imenivutia
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 День назад
Faiza umeniamasisha namim nizae jaman mana nimejifunza kitu apo
@AbeleBausingi
@AbeleBausingi 2 дня назад
Dr his good man bila ata watoto ni mkaka mstarab afu mwenye huluma awez kumuacha uyo na watoto
@AminaJuma-r4y
@AminaJuma-r4y 2 дня назад
Nacho kupendea dada faiza ufeke mausha kama masta❤❤❤🎉
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 День назад
Inshallah unifanya nifikirie namim nizae mana nimejifunza kitu inshallah
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj День назад
Jichanganye
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 День назад
@@rukaya-jg7hj acha uchawi wako
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 День назад
@@rukaya-jg7hj ushindwe Kwa jina la allah
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 День назад
@@rukaya-jg7hj na mtume wetu Mohammad sw..acha kuwanga Bado mapema dada..ushindwe izo hasad zako zitakurudia mwenyewe na uchawi wako..uchawi tu kuoga aahh
@makiwainice3319
@makiwainice3319 День назад
Hongera mtoto wa mjumbe wangu pale ILAZO madukani MTAA WA UHINDINI
@sevelinamartin7752
@sevelinamartin7752 День назад
Mungu akutunze zaid kwa ajili ya watt wako,ni Baraka iliyo Kuu mnooo
@AnnitaMadaha
@AnnitaMadaha 19 часов назад
Nakupenda sana faiza,wewe ni mfano wa kuingwa unajitambua sana.
@GrolyMarcus
@GrolyMarcus День назад
Mtangazaji wa hovyo ,,hajui maswali
@ndolehamisi5567
@ndolehamisi5567 День назад
We ni mkweli saaana❤
@KissaMwaibila-xp7io
@KissaMwaibila-xp7io День назад
Kipenzi faiza❤
@salamamasaki2661
@salamamasaki2661 День назад
This girl yupo smart baba watoto mmepata mbegu nzuri❤
@user-jw8ym7du3c
@user-jw8ym7du3c День назад
Nakuwaga mvivu kusikiliza interview ila hii sijaruka kitu
@SaidAli-ti1lm
@SaidAli-ti1lm День назад
Faiza tunakupenda achana na maneno ya watu songa mbele
@habibaraphael6583
@habibaraphael6583 День назад
My love faiza
@esthermatisho2604
@esthermatisho2604 День назад
Nime, enjoy sana listening to you Faiza ❤ your smart and humble person ❤
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj День назад
Yan mtihani sana kuzaa kila mtoto na babaake mungu atunusuru wallah😢
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd День назад
Kumbe😢
@noelamilambo
@noelamilambo День назад
Ni mbaya sana yaani ukubwqni wanabaguana mno😢
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj День назад
@@SekelaJakson-ls7dd oooh mungu amuepushie tu mana watoto wqnaweza wasikuheshimu wanakuwa na maswali mengi vichwani mwao
@LoretteM-xb9ls
@LoretteM-xb9ls День назад
​@@SekelaJakson-ls7ddni mtihani kweli, sema kila mtu ana mapito yake kwenye maisha na km alivyosema yeye hakupanga ila imetokea. Sisi tumezaliwa hivyo, naelewa ilivyo mtihani.
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry День назад
Hakuna shida yoyote inategemea jinsi ya baba alivyo na tabia yake. Mama kuzaa na baba tofauti hakuna shida lqbda kwako wewe tu.
@totonata5384
@totonata5384 2 дня назад
Faiza ni mfano bora wa kuigwa kwani wasanii wabongo huishi kwa kunyanganyana mabwana.
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 День назад
Kanenepa kapendeza
@mwantumkombo3014
@mwantumkombo3014 День назад
Lv u bebe❤
@shamilafaraj5146
@shamilafaraj5146 2 дня назад
A very true woman❤
@SuzanaMpunji
@SuzanaMpunji День назад
Uzungu mwingi Faiza
@esthermatisho2604
@esthermatisho2604 День назад
Ningekuwa Tz ningekuja kusapoti end of the month,bless you and the kids ❤
@glammummy
@glammummy 20 часов назад
❤❤❤yuko humble sanaaa dada Faidha
@zariadunia6328
@zariadunia6328 2 дня назад
Mama Sasha wangu❤❤❤
@AzaAzamhmod
@AzaAzamhmod 17 часов назад
Kweli maisha mungu ndio ANAPANGA❤❤❤
@EmmyNamoyo
@EmmyNamoyo День назад
Faiza ❤
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 День назад
Faiz ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@chunanachu2529
@chunanachu2529 2 дня назад
I love faiza.....
@SelinaChares
@SelinaChares День назад
Hiy Dada ni mweli sanaaaa mungu ambariki
@GraceTemba-nx3mw
@GraceTemba-nx3mw 2 дня назад
Godbless you my sis
@happymaimu4330
@happymaimu4330 14 часов назад
Kumbe una akili😂😅 very intelligent
@agriparose3942
@agriparose3942 22 часа назад
Faiza anaishi uhalisia sio kajala,
@infodigtechforcommunityemp4103
Goood❤❤❤❤
@LuluAquai
@LuluAquai 2 дня назад
Anajua kujibu maswali
@AzaAzamhmod
@AzaAzamhmod 17 часов назад
Ila faiza yuko smart sana ktk kujbu maswali😂
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd День назад
Faiza nampendaga sijui ye why kanoblock insta dar😢
@divahcruz
@divahcruz День назад
nimependa jibu la mwisho apon, very smart❤
@vincej9275
@vincej9275 День назад
Faiza chizzy tuu.
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 День назад
Ntangazaji ni mmbea kuliko umbea wenyewe du kiboko tuoneshe na wewe Maisha yako
@sporttz15
@sporttz15 День назад
eti mimba ya mwanaume mwingine kuna neno sahihi kwa hiyo sentensi hamtaki kusema
@mcdonaldchrispinus8997
@mcdonaldchrispinus8997 2 дня назад
Saut bwana inakua ndogo …ila dada yuko pwa sana
@alsam4881
@alsam4881 13 часов назад
Kwa kweli haipendezi kabisa kwa mwanamke kuzaa hovyo na wanaume tofauti na kila mtoto na baba yake ,Yaani haileti picha nzuri na pia kuzaa bila ya kuwa kwenye ndoa, na watoto wake watamuona mama yao kama alikuwa hajatulia, na haileti picha nzuri kwa watoto wake kwasababu na hao watoto wanajifunza nini kutoka kwa mama yao, yaani kufanya zinaa na kuzaa hovyo na watu tofauti au kuwa kwenye ndoa?
@merryfortune6555
@merryfortune6555 День назад
❤❤❤
@berthammasi7302
@berthammasi7302 2 дня назад
Positivity ❤
@RoseMsariki
@RoseMsariki 2 дня назад
I see me in faiza
@HappyMasawe-m7e
@HappyMasawe-m7e 2 дня назад
💕
@FaudhiaMchunga
@FaudhiaMchunga 2 дня назад
Faiza
@Farajahelene23031
@Farajahelene23031 День назад
Mama sugu
@elizajoseph7209
@elizajoseph7209 День назад
❤❤❤❤❤
@keyla3641
@keyla3641 2 дня назад
❤❤❤❤
Далее
BABA YANGU KIPOFU Full Episode /38/ #love
26:23
Просмотров 260 тыс.
Как мы играем в игры 😂
00:20
Просмотров 545 тыс.
Huba Leo Jumatano Full HD video
22:15
Просмотров 18 тыс.
SALIM KIKE NDIO  MMILIKI WA CROWN FM
18:28
Просмотров 30 тыс.
Как мы играем в игры 😂
00:20
Просмотров 545 тыс.