@@rukaya-jg7hj na mtume wetu Mohammad sw..acha kuwanga Bado mapema dada..ushindwe izo hasad zako zitakurudia mwenyewe na uchawi wako..uchawi tu kuoga aahh
@@SekelaJakson-ls7ddni mtihani kweli, sema kila mtu ana mapito yake kwenye maisha na km alivyosema yeye hakupanga ila imetokea. Sisi tumezaliwa hivyo, naelewa ilivyo mtihani.
Kwa kweli haipendezi kabisa kwa mwanamke kuzaa hovyo na wanaume tofauti na kila mtoto na baba yake ,Yaani haileti picha nzuri na pia kuzaa bila ya kuwa kwenye ndoa, na watoto wake watamuona mama yao kama alikuwa hajatulia, na haileti picha nzuri kwa watoto wake kwasababu na hao watoto wanajifunza nini kutoka kwa mama yao, yaani kufanya zinaa na kuzaa hovyo na watu tofauti au kuwa kwenye ndoa?