Sasa unaweza kujiunga na SnS VIP Family ili kupata mambo mengi exclusive kwaajili yako tu. Bonyeza link hii ili kujiunga na kufahamu zaidi kuhusiana na SnS VIP Family membership / @simulizinasauti
Hii kwa mambo ya kiroho ni mapepo.mapepo hata ni addiction kama kwa madawa ya kulevya.pia ni uzinifu sawa na uzidifu mwingine.kimbia hilo people saana when you fill like to do it fikiria mambo mengine kwa kichwa kama kusoma neno la Mungu etc.
Atumie supplement flani hv zinaitwa Maca root ni nzuri sana ziko interms of capsule after 30 days kila siku awe anatumia 2capsules ataona mabadiliko aaache kujinyonga for three months kwanza
Mm ninachojua mwanaume akiwa na UOGA anamaliza haraka, akiwa amepania sana anawahi kumaliza, akiona kitu kikam-bore pia atawahi kumaliza.... Na ukijichuwa unsjisikia kichwa kugonga au sometime sambamba na kuchoka sana..... Hivyo wahuni tujitahidi kupambana na kuepuka hii kitu japo inanadiwa kama kitu kisichoachika kirahisi.
Mwambieni anitafute tuongee mimi nitamsaidia ili tujue afanye nini naamini atapona bila dawa. Kama yuko tayari aweke no yake ya simu ya whatsp. Mimi niko nje ya nchi. Furaha yangu ni kuona furaha ya wana ndoa na amani yao.
Mimi nishampigia nyeto huyu dada mtangazaji aisee macho yake nimenunua sabuni na vikopo vya mafuta ya mgando.kawada huwa sabuni nawaibia wapangaji wenzangu kumbe nina kazi nazo binafsi.
Dr. Issack maroo ni mgodi unaotembea ilitakiwa muutumie kweli kweli naona kama mtangazaji alikosa maswali mhimu ya kumuuliza sijajua kwa nini hii interview asingeifanya sky mwenyewe.
Mimi nimeshakua mraibu wa kujichua yaani aje mwanamle yeyote lazima cha kwanza nipige self.nikimuoma dada mzuri tu lazima nimpigie nyeto.Hapa huyu mdada mtangazaji tu keshaniumiza tayari namtafutia sabuni.ila sipotezi performance yangu pia kwa mwanamke nampelekea moto kama kawaida kule kunako mpaka maji aite mma.Ila kujichua siachi
Kuna demu nimekutana nae apo namwambia vipi sasa twende geto et ananimbia nipe 30000 apo daaha na hali ivyo ngumu ivi nikaenda chapu nikajichukulia sheria mkononi nikalala zangu
Doctor naona hautibu tatizo naona maelezo yako kama yanawahamasisha vijana waendelee na huu upuuzi.Kumbuka hili ni tatizo la kiroho sio kisayansi unaweza kutibiwa na bado ukaendelea.Sababu mojawapo ni kuwa unapojichua unakuwa unashiriki ngono na mapepo na zile mbegu unazotoa ndio zinaenda kuzaa watoto wa kishetani kuzimu,hivyo unaweza kuacha na kutibiwa lakini bado ukarudia rudia huu huu uchafu ni ngumu kuacha ,mpaka ufanyiwe maombi makali sana na sadaka ya utengano ya kuvunja agano hilo.Bila hivyo utatapeliwa sana na waganga
@@JoelChande Sana Tu kujichua hakufanyi kupungua nguvu za kiume ,jichue Kwa afya Kwa wiki mara moja sio mbaya mzee ... Me Niko nawatoto WA tano na ulikua mchezo wangu
Me nilikua nakumosha , nilianza kujichua nilipomaliza darasa la Saba mpaka nilipofika miaka 25 ... Na sanyingine nilikua hata mara tano Kwa siku na kuna wakati nilikua na double.... Unaijua daboling wewe Mzee . Yani unapiga afu unaona hujatosheka unapika tena Una tulia baadae tena , lkn nikaja nikaacha na inawezekana Tu
Punyeto inasaidia tusiwape watoto wa watu mimba mtaani me nikianza tu kujihususisha tu na mahusiano nampa huyo binti mimba saizi nina watoto watatu kila mtoto na mama yake mimba wadada wametoa wengi tu na mimi hii hali siipendi nimeona bora tu kupiga nyeto