Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE... Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Irene asante sana kutuletea Mwl huyu aliyejitoa maisha yake ( sacrificial giving ya elimu). Hakika huduma ya Ualimu nimeiona kazini. Huduma hii ikue sana na idumu. Great, great!
Kipindi kitam bana mi naona awe official huyu kaka katika (Sns fix you) kwakweli anaelezea mada na zinatugusa na kutufundisha,mimi binafsi najifunza kitu na nachukua mengi kutoka kwake i appreciate asante sana ubarikiwe Irene kwakutuletea watu kama hawa ❤
kipindi kizuri mnoooo, madini mpaaka basi...asante saana SnS, asante Kamugisha, Asante guest Mr. Timothee Kyala, I really appreciate the interview...entertainment and learning at the same time...
Hiki ni kipindi Bora sana na huyu mwalimu ni mtu mzima. Nawapongeza sana sns kwa kipindi hiki. Ki ukweli ndoa yangu Ina imarika kwa mafundisho haya ni muhimu sanaa. Mbarikowe sanaa
Sio kwa ajili ya vijana tu ata sisi watu wazima,ni mesisimka sana Timo Mungu akutetee milele,AILIN wewe ni Mama bora sana wa kizazi iki,maswali na majibu yote nimeyapata,
Napenda mafundisho kwa kuwa ni muwazi na anakupa uzoefu wake mwenyewe kitu ambacho wengi hawaongelei bali wanaficha na kuunda nadharia ambazo kimsingi hazipo
Mungu wangu sijawai kukutana na Maneno mazito kama haya,nipo njiani kuvunja ndoa yangu,tayari yupo baraza la usukuishi la kata naomba ni ya hiyo kaja,AILIN ongera sana ,