Dunia itajadili sana usawa wa mapenzi,upendo na huruma juu ya wanandoa na maisha yao kama watu hawatarudi kwenye usawa aliouweka Mungu na kusoma maandiko kwamba Mungu ametufumia mfumo gani kwenye kuishi kwenye maisha ya ndoa basi hilo jambo halitopata suluhu Abadan.. tena msahau hasa kupata suluhu.. kwa sababu alietuumba anatujuwa zaidi kuliko tunavyojijuwa..
Asante kwa kumleta aunt sadaka,ila topic ya uwazi naomba umlete tena ndoa nyingi zinateteleka sababu ya siri ambazo zikiripuka ni kama bomu eg kuficha watoto.
Uyo mtu atakuwa hajipendi hawazi future yake ya Mbele ukijikubali huwezi beba mimba mume wa mtu. Kufanya ivo maana yake umeshakata tamaa kwenye mahusiano
Time to eat time to eat😋 Hata ikipita a week sijaingia humu ni lazima nichungulia this nitakosa kiview new video za music kwanza niaangalie humu haya madini siko tayari kumiss,Gender balance thank U kamureen 🤝🏽
Vip km ulikua na mwanaume mweny mke lkn bado mahusiano yenu yalikua wazi kwa familia zote mbili kwa bahatai mbaya Mume akafariki ghafla then after one week ile familia yake ikuchafue na kukuona huna nafas kwao, Je mtoto niliezaa na kijana wao watakuja kua na mamlaka nae angalia walikaa mbali nami bila hata kumjulia hali??
Wanapanda juu nikweli ila sadaka kasema ivi mwanaueme hapaswi Ku dial na tabia ambayo sadaka katoka nayo kwao akimaanisha wazazi walishindwa kuiondoa..haina haja we mwanaume kuivmilia pia tusiogope kutafta asie jib kwa saut ya juu
Nyie wamama kila kukicha mnahangaika kutaka kujua wanaume tupoje, mtaweza?, hiyo ni siri yetu na Mungu wetu, timizeni majukumu yenu kama mama wa familia, that’s all!.
Unajuwa kwa huko tanzania hakuna demokrasi ya wanawake ndio maana wanaumeume wakayafanya hayo. Njoo huku ulaya uone kama wayafanye hayo hawatakiona cha mchapa kuni. Huku mwanamke ni kipao mbele sheria inatumika sio tanzania eti mtu akupige weee. Kasema nani.
Akili zenu zipo katika manyege Tu na ndio maana huwa munazslilishwa fanyeni kazi nyie wenzenu nchi za wenzenu wao kazi kazi Tu nyie watanzania au waafrika wengi ngono Tu kisasi nchi ziwe maskini na maisha yenu
BUT AUNT SADAKA I THINK YOU KNOW SOME WOMEN ARE NOT EASY TO BE PUNISHED IN CERTAIN WAYS RATHER THAN PHYSICAL WAY,,. DONT GET ME WRONG IM NOT ABUSIVE MAN AND NEVER BEAT MY WIFE. BUT WHAT I KNOW SOME WOMEN ARE CRAZY
This kind of statement could only,I repeat ONLY come from an abusive man. What kind of thinking is that?,so do you think being physical on someone could takeaway her craziness, are you for real? That's why some men throw all their precious lives and achievements in jail.