Тёмный

UTAIPENDA: MILLARD AYO NA AUNT SADAKA, CHA KUFANYA MWANAMKE AKIKUOMBA PESA AU MWANAUME AKIKUPA PESA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 38 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 123   
@homeandaway2811
@homeandaway2811 Год назад
Wasichana ishini kulingana na uwezo wenu au uwezo wa wazazi/walezi wenu, kweli kama huwezi kujitegemea baki kwenu. Aunt Sadaka asante kwa point muhimu sana, hivi vyombo vya habari Tanzania kama mpo serious na kumnyanyua mtoto wa kike Aunt Sadaka anatakiwa kuwa na kipindi somewhere kila wiki. Nyanyueni mabinti kwa saikolojia ukiongezea na imani, tutafanikiwa. VILEVILE WADADA TUTAFUTE PESA, TUFANYE KAZI NA BIASHARA KWA BIDII ZOTE HATA UKIWA MWANAFUNZI BUSINESS NDOGONDOGO ZINAWEZEKANA.HATA UPATE 20,000 KWA WIKI NI YAKWAKO.TUSAKE SANA PESA TUWEZE KUJITEGEMEA BAADA YA HAPO NDIO TUJE MEZANI NA BOYFRIENDS KUJADILI MAPENZI YA KWELI NA FUTURE. Ujumbe: GIRL CHILD, SECURE YOUR BAG, MONEY STOPS A LOT OF NONSENSE. Kwa tafsiri ya haraka: MTOTO WA KIKE, JIZATITI MFUKONI, PESA INAONDOA UPUUZI MWINGI.
@zulfasaeed7445
@zulfasaeed7445 Год назад
Had saiz nina miaka 32 sijawahi kumuomba mwanaume pesa na ndy mana napambana sana sana mama nimekuelewa sana yan nina haib mm yan kwanza ile wazaz kumuona huyu mtu kaz nashuru mungu nimepambana had saiz nipo kwenye mikono yangu wazaz wangu sijawahi kuwatia haib za ajabu
@paulloops6952
@paulloops6952 Год назад
Hongera zako
@marymolel616
@marymolel616 Год назад
Millard hongera kwa kujua vitu vizur vyakuwafikishia watu wako wa nguvu, alafu mbona siku hizi huvai kofia jaman zinakupendeza sana siku mojamoja tupia kofia
@marthaigogo18
@marthaigogo18 Год назад
Millard haupo serious.. wasanii wanaongeaga hapa interview 35-40mins huyu mama mwenye madini 16mins kweli?????
@zulfasaeed7445
@zulfasaeed7445 Год назад
Nakumbuka kuna mkaka nilpenda sana alinipenda sana ila aliniomba kinyume na maumbir nilimuacha siku yasiku aliniambia mm nolikutania sijawai muamini na nilimuacha akaja niambia ww unajua kisa unapambana una shida ndogo ndogo ndy mana jeur nimjib mm sio jeur ila siwez kufanya vitu ambavyo vitaniasili kisa nitaonekana jeur au kisa kipato changu kiniganye hiv nilipiga chin 😭
@ellydonatus9748
@ellydonatus9748 Год назад
This needed to be even 3hrs long.
@RuzoOwzy
@RuzoOwzy Год назад
Ni ndefu, sema millard ayo siku hizi anazikata kata na kuzipost. Nadhani kaona views ndo zinakuwa nyingi na watu kumfuatilia zaidi kutaka kujua mwendelezo.
@fredrickmatiku7783
@fredrickmatiku7783 Год назад
Vipindi kama hivi vinatakiwa viwepo sana kusaidia kuelimisha jamiii Hongera sana Millard na team yako hapo hata makampuni yapo tayali kudhamini kuweka mzigo pesa good content audience watu wengi wanafuatilia kipindi kizuri sana
@نجمةموبيبي
@نجمةموبيبي Год назад
Aunt Sadaka, bila kumlaumu kwanza bint tuwalaumu wazazi kwanza, wazazi wakiskia to uko dar na unaishi kwako na hajui kazi unayofanya ndo kwanza anaitisha pesa kila mwezi tena anaweza mwambia vp hujapata chochote huko uturushie
@HermentMrema-fw1kp
@HermentMrema-fw1kp Год назад
Shida haiwezi ikahalalasha umalaya kwa njia yeyote ile. Kulipiwa kodi ni kujiuza
@macrinasalaho2093
@macrinasalaho2093 Год назад
Ahsanteee aunt Sadaka kwa kupigilia pin,This is My always principle in life 😘😘
@mugoliciroyi5088
@mugoliciroyi5088 Год назад
Mungu ibariki Tanzania kwa vizazi na vizazi vyao sababu Mimi ni Mu congomani Ila na faidika ki maisha psychologia ku pitiya vipindi vya mitandao vya wa 🇹🇿 Tz na na amini ni wengi wana faidika Kama Mimi ,Mungu aibariki media za tanzania na wafanya kazi wema 🙏Mungu abariki mama yetu Aunty sadaka ❤
@rumanyikachange
@rumanyikachange Год назад
Huyu Mama namuheshimu sana 👑👑
@husseinismailseme6727
@husseinismailseme6727 Год назад
Siwezi kukubali kumruhusu mtoto wangu alipiwe ada na mtu yeyote , nitafanya chochote ilihali mtoto wangu asome
@mbunah255
@mbunah255 Год назад
I love that spirit mana wazee wengine wa hovyo kwa kwel😂
@emmanuelstephens1891
@emmanuelstephens1891 Год назад
Maaan!💯💯💯
@stevenobunde9345
@stevenobunde9345 Год назад
@@mbunah255 saaaaaana!!!!
@AbdulkarimNestori
@AbdulkarimNestori Год назад
Pamoja sana mzee
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 Год назад
Ongera sana kumbe unajuwa maana ya kua baba
@saysophyfarm1780
@saysophyfarm1780 Год назад
Millard mbona kama umetuacha njiani, come back with aunt Sadaka please! Sijawahi choka kumsikiliza Aunt Sadaka and even Millard, so you two are my favorite, please tuletee kipande kingine cha madini. Our girls need to learn from Aunt Sadaka
@AmCool_
@AmCool_ 11 месяцев назад
Tunahitaji zaidi Millard. Moe mama airtime, arudi tena na tena akiwa na mada tofauti tofauti.
@rehemangowi-zk6qu
@rehemangowi-zk6qu Год назад
Mama umejua ,,uko vizuri na mungu akubariki .Tunaona kwenye jamii zetu wapo mabinti wenzetu hadi wanajiingiza kwenye vifungo vya ndoa ilhali hampendi huyo mwanaume sababu kuu ni kuomba pesa na kupewa pesa ,,mwisho wa siku hata hiyo ndoa haiwez kudumu pale pesa ikikosekana so sad😢
@aikt.
@aikt. Год назад
Mama nimekuelewa sana . Nadhani unastahili kua mshauri wa taifa kwa girls haswa hawa premature
@khatijakhatija6172
@khatijakhatija6172 Год назад
Mashaallah mama umeongea maneno mazima hayo wanawake tujue thamani yetu
@samkoka3
@samkoka3 Год назад
Aisee aunt kichwa snaa h
@nichorousjohn1659
@nichorousjohn1659 Год назад
Mama umejua kunipa funzo pia Asante sana kwakutukumbusha majukumu yetu Asante sana millard
@MisosimitamuC
@MisosimitamuC Год назад
Asante sana aunt Sadaka. Somo limeingia .
@agriparose3942
@agriparose3942 Год назад
Sipendi nilipe kodi janaume lijijie tu ndani kwangu bila haya
@raymondmjebe2412
@raymondmjebe2412 Год назад
Dahh Kuna maisha tunaishi lakini naamini ni Kwa sababu ivyo nachoamini mimi ni nguvu za mungu zinaitajika tunaposhikana mikono Ili kufikia malengo. Maisha ni tofauti sana ivyo mungu atusaidie
@leandrymmassy9916
@leandrymmassy9916 Год назад
Naomba interview na SAID SALIM BAKHESA pia ANGELINA NGALULA
@samkoka3
@samkoka3 Год назад
Naomba aunt apewe kipndi kirefu zaidi ana madini mingi snaa anajibu vizur snaa
@alexmushi6017
@alexmushi6017 Год назад
APEWE MAUA YAKE HUYU AUNT, NIME PENDA KADONDOSHA NONDO MUHIMU SANA, VIJANA UPWIRU UNA WASUMBUA NDY MAANA MAFANIKIO HUWA NI HADITHI KWA WASIO NA FOCUS
@linuslucas425
@linuslucas425 Год назад
My role model millard ayo
@Dantaata
@Dantaata Год назад
sema uzuri sasa hv siogopi kuombwa hela hata siku ya kwanza,, ukiomba km siridhiki hapo hapo nakataline
@ireneassey2022
@ireneassey2022 Год назад
Umeongea kwel madam juz tu kuna dada kauliw na mwanaume wake kwa kukosa kujua thaman yake mwanaume ana mdangany anamtumia lkn alikua ana nia nae njema alipo kuja kujitambua akakataa kuenda nae next time aka mvizia kwao aka muua ni tatizo kweli 😢
@shamhamood755
@shamhamood755 Год назад
Very nice topic
@Kiirumba
@Kiirumba Год назад
This what we call real Aunt ❤️‍🩹💯
@shamhamood755
@shamhamood755 Год назад
Kweli kabisa aunt sadaqa
@Misskavalau
@Misskavalau Год назад
Millard we need part 2
@Tygaspark
@Tygaspark Год назад
bro Millard Hiyo b mkubwa yuko sahihi sana... 100%
@amanmaleko3085
@amanmaleko3085 Год назад
Mama yupo vinzur 👍
@shamhamood755
@shamhamood755 Год назад
You are really lady
@jumambuma1101
@jumambuma1101 Год назад
Umeongea vizuri Mama
@charlesjaphet79
@charlesjaphet79 Год назад
Mama asant Sana nimekuhelewa Sana ww ndo mama
@danielthomasmsigwa31
@danielthomasmsigwa31 Год назад
Uchafu na upumbavu umehalalishwa...!
@consomosha
@consomosha Год назад
Powerful conversation
@SaraChanjarika-zp5ct
@SaraChanjarika-zp5ct Год назад
Yaani hii nimependa sanaaa ili mabinti zetu wasiharibiwe,watambue thamani yao
@liesharehema5193
@liesharehema5193 Год назад
Umepajuaje malangali kwetu aunt sadaka
@dayana5513story
@dayana5513story Год назад
About kuomba pesa girls punguzeni inamaana ulipokua single ulikua unaishi je girls lizikeni ulicho nacho kumbukeni akuna vya bule
@VeronicaSalvertory
@VeronicaSalvertory Год назад
Asante Sana aunt swadaka
@tatutumbi4640
@tatutumbi4640 Год назад
Nakuunga mkono Aunt Sadaka. Pigilia hapo hapo, vijana wanatukosea sana.
@vickyadrian1503
@vickyadrian1503 Год назад
THANK YOU AUNT SADAKA VIJANA WETU WAMEKUWA MR AVAILABLE NA MADAM AVAILABLE
@boscokikoti
@boscokikoti Год назад
MAMA HUYU AKAJENGEWE SANAMU PALE MAKUMBUSHO
@elidiustudoy2640
@elidiustudoy2640 Год назад
Vido upo makin atari 📌📌
@emmanuelstephens1891
@emmanuelstephens1891 Год назад
Part 3:46 - 4:22 😢😢😢
@yakobolusasu1821
@yakobolusasu1821 Год назад
Yaan nimemwelewa wanaume wanamakosa tena mara 2 maan mwanaume ni kichwa hajui kuwa na sauti kwa family
@nichorousjohn1659
@nichorousjohn1659 Год назад
Millard naomba hii nada kuhusu hili umuite tena Aunt nimependa sana nakufuatilia nipo congo
@stevenobunde9345
@stevenobunde9345 Год назад
Mbona hata wanaume pia wanaomba omba peso!
@noelmelkior3401
@noelmelkior3401 Год назад
Huyu mama huwa namuelewa Sana
@chidybwax8080
@chidybwax8080 Год назад
Paula unasukia huko
@Masokabya08
@Masokabya08 Год назад
una akili sana mama mungu akubariki.
@gilbertprudence3563
@gilbertprudence3563 Год назад
ni ngumu anachoongea huyu Mama Kwa hii dunia et kwetu Hakuna pesa za kunisomesha itokee mwanaume ananipenda na ananisaidia nampenda pia nikatae msaada wake mtapiga Kelele Sana
@benomdaile7081
@benomdaile7081 Год назад
Kweli kabisaaa kaisha chelewa dunia ipo mbele zaidi ya hayo anayo yaongea huyu mama ni vigumu sanaaa
@wishjrtz
@wishjrtz Год назад
Maza ana logic
@EsperanceNimubona
@EsperanceNimubona Год назад
Asatamama
@EsperanceNimubona
@EsperanceNimubona Год назад
Nimejifunsamama
@dostovan5142
@dostovan5142 Год назад
Mama aongezwe mda, mbona wasani waongeaga pumba hapo mda mwingi
@Amplifiedtz
@Amplifiedtz Год назад
MILLARD TIME IS NOT ENOUGH
@OmanOman-ky2oo
@OmanOman-ky2oo Год назад
👌❤❤❤
@Masokabya08
@Masokabya08 Год назад
tuna muomba mama arudi tena tafadhali somo nzuri sana ubarikiwe sana mama.
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Aunt sadaka 🌹
@ahmuhally4430
@ahmuhally4430 Год назад
Huyu Aunty Sadaka ni Geneous
@dostovan5142
@dostovan5142 Год назад
Hiki kizazi cha amapiano ni kigumu sana kuelewa kina Frida hao
@testerjeff-f2n
@testerjeff-f2n Год назад
mama utaenda mbinguni naona kabisa alaf huyo dada ni kolo wa hapo studio ana support ujingaaa anjaribu kumbishia hata mama yake 😂
@franklaurent4042
@franklaurent4042 Год назад
Mama anywe soda Bariiiiiidi ntalipa mimi
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Год назад
Aunt sadaka kaolew?
@frankomart5801
@frankomart5801 Год назад
Mama anaongelea Maadili . Afu kuna kitu kinaitwa UMASIKINI . Kabla ya kuondoa UMASIKINI hakuna mapenzi , wa Maadili , kujielewa Wala chochote. Mama hajaijua shida uyu .
@neemamartine7630
@neemamartine7630 Год назад
Anaongea mambo mawili tofauti... Umasikini na maadili...
@samiahJoseph
@samiahJoseph Год назад
hapo ni kujitambua na kujilinda ukabiliane vp na hisia zako ili usishawishike mpaka utakapoolewa
@joyce55727
@joyce55727 Год назад
Jmn mbona kipindi kifup mno wap sehem ya pili❤❤❤❤
@millardayoTZA
@millardayoTZA Год назад
inakuja soon Jo
@adriafurahamatemu6080
@adriafurahamatemu6080 Год назад
​@@millardayoTZA kipindi ni kizuri sana. Kama vipi aongezewe mda jamani. We like to hear more about mahusiano. And kwa ushauri tu, kama itapendeza unaweza collect maswali kwa wasikilizaji au hata wadau wa kipindi ile kuwe na mengi ya ku discuss. Thanks. 🎉
@nicospack3893
@nicospack3893 Год назад
​@@millardayoTZA milard huyo mama inatakiwa dk 40 ai lisaa
@elisantemrita9490
@elisantemrita9490 Год назад
Hao wanawake wakutongozwa hawapo ,, ndotatzo kubwa Lililopo Binti anajitongozesha nawanafosi ngono mpaka unaona ni kipepo flani
@saidimpako5186
@saidimpako5186 Год назад
hawataki mameno wanataka pesa ndio shida
@saidimpako5186
@saidimpako5186 Год назад
kwanin mwanaume amefanywa ni chanzo cha mapato
@FARIDASHABAN-kz5mt
@FARIDASHABAN-kz5mt Год назад
Part 2 jamn
@jumaramadhani7457
@jumaramadhani7457 Год назад
Mama huyu ajegewe sanamu lake pale makumbusho jmn
@PatrickMuna-u6l
@PatrickMuna-u6l Год назад
Sio Kwa Dunia ya sasa Untie Sadaka.... Now days watu wanakutana kwenye daladala halafu hawajui wanakokwenda wanaenda kufanya nini, so wakikubaliana tu kwenye daladala wanashuka popote wanamalizana
@jescamichael3901
@jescamichael3901 Год назад
Jamna mbona malangali iringa @aunt sadaka
@liesharehema5193
@liesharehema5193 Год назад
Namimi nikasema mfano umekuwa kwetu malangali tu au ndo kubaya Sana au haaaa
@kulture_jah
@kulture_jah Год назад
mh....ukwel mama yangu🦾🦾
@MajiTakaMaji
@MajiTakaMaji Год назад
Naona watangazaji mmeishiwa pozi mnagunaguna tuu😂😂😂
@sakinamixpambe2602
@sakinamixpambe2602 Год назад
Swadakta
@samiahJoseph
@samiahJoseph Год назад
namuunga mama kabisa
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj Год назад
Nimecheka😂🤣 etitunaomba pesa sana
@asiaahmedy8944
@asiaahmedy8944 Год назад
Jmn 😂m na baki kumuangalia tu Millard kwa maana anavyoyauliza maswali kwa uzoefu htr Sanaa😂😂
@millardayoTZA
@millardayoTZA Год назад
😀😀
@paschalpeter4540
@paschalpeter4540 Год назад
​@@millardayoTZA mbon fupi hivi 😊
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 Год назад
😂😂😂💯
@abdulkadershabani4570
@abdulkadershabani4570 Год назад
Sio kwichukichu mmbmh😅
@shabanfitnesstv3977
@shabanfitnesstv3977 Год назад
Sex ni kama petrol kwenye gari, so bila petrol gari haitembei, Likewise kwa mpenzi bila sex, mapenzi hayaendi,
@anethjoseph4542
@anethjoseph4542 Год назад
Mie naomba kujua umri sahihi wa Kua na Boy friend lakini pia hamjui hawa mabinti wanakutana na nini hasa hawa wa vyuo vya kati huko duniani hakuna maisha marahisi hasa kwa nyakati tulizonazo ikiwepo na Tanzania , wazazi wengi wanapambana lakini nilichogundua hawa wanafunzi wengi wanaingia katika shida kwababu wanakua wameaga kwao wanakuja kusoma na wakifeli wazazi wengi Hawawatiii moyo wa kuwaendeleza kwa kuwalipia ada ili wafikie wanachokitarajia hivyo wanafunzi wengi hawawaambii wazazi ukweli kua wamefeli hivyo wanaanza jitafutia kwasababu wakisema wamefeli wazazi wengi wanaona ni bora mtoto aludi nyumbani , sasa hicho kitemdo kinafanya hasa mabinti kujiingiza katika mifumo isiyosahihi ya maisha kwa sababu anapambana huku akificha siri ili tu kuogopa kurudi kijijini maana wanahisi kama malengo yanaweza yakafia huko village @ Sadaka antie ongea na wazazi paza sauti wazazi wengi ni chanzo cha watoto wao kutofika kwenye malengo yao kwasababu yao , na sio wanapenda ila ni kulingana na maisha ambayo yaliyopo sasa hivi , waangalie hasa namna ya kuwasaidia hawa watoto ambao wanalazimika kufanya pia vitu visivyosahihi ili kutaka kufika katika malengo yao
@mohamedsung4891
@mohamedsung4891 Год назад
Pale pale kutojitambua" Pale pale kutojikubali''
@BabaBalingasi-hp6gd
@BabaBalingasi-hp6gd Год назад
Wanawake ni wa kupigwa kila saa kila muda kila saa kila wakati kila wiki kila mwezi kila mwaka... Wanawake ni washenzi kabisa.. Tutawapiga mpaka Yesu arudi
@jescajulius8023
@jescajulius8023 Год назад
Ni wako siyo sisi acha makasiriko
@BabaBalingasi-hp6gd
@BabaBalingasi-hp6gd Год назад
@@jescajulius8023 wewe utapigwa tu. Muda siyo mrefu
@jescajulius8023
@jescajulius8023 Год назад
@@BabaBalingasi-hp6gd uzuri nmeshajiweka mbali na viumbe kama nyie,niko huru na mambo yangu
@BabaBalingasi-hp6gd
@BabaBalingasi-hp6gd Год назад
@@jescajulius8023 hahaha usiogope. Kama hauna kiburi wala hautopigwa.
@jescajulius8023
@jescajulius8023 Год назад
@@BabaBalingasi-hp6gd siko nayo,naomba kuuliza mbona unanyamaza akiwa anakusema anasema mbona unanyamaza ko naongea na bubu? Ukiongea na pia ni kosa sa ufanye aje????? Nijibu
@PatrickMuna-u6l
@PatrickMuna-u6l Год назад
@ Vido.........Mwamba umetisha......Anakupungunzia Mzigo, hahahahahahahahahahh
@machinefannatic99
@machinefannatic99 Год назад
huyu bibi anaongea sana naona hajui tupo kizazi cha nyoka madada wanajiuza kushoto kulia ni kupiga tigo tu siku hizi hakuna cha mapenzi ni pesa tigo tu mbele kwa mbele..
@shamhamood755
@shamhamood755 Год назад
Wewe mtoto wa kike jiamini kama wewemzuri
@preciouspeter6126
@preciouspeter6126 Год назад
Aunt❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Далее
AUNT SADAKA: HII NDIO SIRI YA KUTOTESWA NA MAPENZI
32:33
MAMBO SITA MUHIMU KAMA KIJANA UNATAKIWA KUYAFUATA.
15:51