Ogopa Mungu saidmansoor Kwanza swali lilikua linafaa liletwe hivi je kulingana na kauli ya ulama wa kusahilisha hadithi je kauli ya Barzanji ni ya uongo?kama ni uongo toa thibitisho na kauli ya maulama...sio venye said Ameuliza aty je Barzanji ni Muongo kulingana na hadithi munkar alio tumia? Na kama ni Muongo Toa thibitisho kutokana na Maulama.....Hatuendi hivo baba Mkweli saa zingine hadanganya...na Muongo saa zingine hasema ukweli...
Dah ila niliangalia hii clip na mwanangu akasema neno nilishtuka kidogo kuusu bachu km anajua nini kinazungumziwa alisema hv huyu mwenye madev anazungumza Sanaa Hana point za maneno yanayotakiwa kuzungumza
Ukweli kwa mtu asieegemea upande wowote, ni kuwa maulidi hayawezi kutetewa kihakika. Na alieangalia debate ajua shaykh saeed alikwama kwa nukta moja ili asisonge ukafichuka ukweli kuwa upo urongo ndani ya barzanji. Allah amhifadhi shaykh Bacho.
Huu mnakasha ili uuelewe vzr unatakiwa uwe hujasoma ila ukiwa unesoma maana yake utakua lzm ktk hizi pande mbili umeegemea upande wako na hapa huwez kuupata ukwel ila hamdulillah nimejifunza vzr sana mashallah
Mwenye alifatilia huu munaqasha amefahamu Sana ukweli uko wapi kwa mana bacu alienda vizuri Sana Ila saidi alikuwa ameshatayarishwa kwa kubaki naswali lilelile .wakati limeeshajibiwa bacu alijibu swali.Allah akuhifadhi sheikh bacu
Wacha unafiki ww kajibu swali gani wkt kakimbia kwenye kiti na sheria waliokubalina wasiende mbele mpk swali aliloulizwa ajibu 😅😅😅 Allah akuzididhie hekima na elima sheikh Sayd❤❤❤❤❤❤❤❤
Wallah kwa huu mnaqasha nmepata mafunzo. Ambaye alianza kwa majigambo ,ww ni third eleven, mm ni first eleven,nakupa doze ndogo2, akili yangu ni Mara kumi,Kisha was kimbia mbiyooooo.ukiacha mnaqasha
Hakukimbia aliona Saeed aongea Atakavo yeye si kuelimisha watu....kitu ushaambiwa Ni MUNKAR..si uwachane nacho ndio bachu akaamuwa kukiwacha...hakukimbia MUUOGOPENI ALLAH
@@aminaabdullahi-tp5knhapo kwenye munkar bachu ndo katoa hukmu ya uongo na jee kweli wanazuon ndivyo wasemavyo kua kutumia hadithi munkar unakua muongo?au kile kitu ulicho andika niuongo?hapo ndo kume mkimbiza bachu sabab alitakiwa athibitishe kwa maneno ya wanazuon kwann amuite barzanji ni muongo
Sawa si harram....Saeed angetuambia ilifikaje...ama Kwa Nini ikaitwa hadith MUNKAR bachu aliona Ni MUNKAR Na pia ki elmu umebiwa Wacha na nayo....mbona mumekuwa vinganganizi Kuna hadith sahih Na Suna teleeee hebu tuxifanyieni kazi hizo
Jamani uisilaam dini ya aki bachu analopoka sana kasema mambomachafu amelekebishwa sana akisoma anasaihishwa sana muniambe nani mwalimu au lugha kwakwe bado
Halafu dj Said anajidai Muhammad bachu anatia sakna baada kumkosoa ilo kosa moja la kiubinaadamu tu ila baadae hakuna sakna zozote Kila kitu kimewekwa mahala pake ni choyo tu na husda ila dj Said kiukweli humwezi bachu muhuddi
Kwa anae taka kuelewa kiurahisi Suali alilouliza Ustadh Said Omar Hadithi aloitowa Bachu ni munkar ni ktk vigawanyo vya Dhwaifu sasa yeye ilikuwa athibitishe mtu akitumia Hadithi Munkar ktk kitabu chake au yale maneno kupitiya kwa wanazuoni wa Mustwalahi Hadithi kuwa ni uongo. Kwa mfano Imam Ahmad Ibnu Hambal au Sheikh ibnu Taimiyah wao pia ktk vitabu vyao wamezitumia Hadithi Dhwaifu munkar kwa hivo pia hayo maneno ktk vitabu vyao itaitwa ni uongo? Bachu aliogopa kujibu kusema sijui alijuwa huko mbele kuna kichapo. Elimu hana ndio mpaka leo amepotea haonekani tena na kelele na hamasa zake kimnyaaa
KWAKWELI NIMEMENDA MJADALAA LAKINI NIMESIKITISHWA SANA NAMAKELELE YA MASHEKHEE SASA MWAZOZANAA SASA HIZO NIKELELEE TUU TABIAGANI HIYOO ??? KUWENI WASTARABU SIKUNYINGINE SISI TANZANIA TUNA MIJADALA LKN SIYOO HIYOO ISIYOO NA STAHAAA
Kazi Yako kutukana tu mtu anaweza kupewa utajiri akautumia vibaya na elimu vivohivyo elimu ya sifa elimu ya majivuno majivuno mkubwa ww umepatikana huna hekma kabisa
bachu yupo sahihi kabisi,huyu saidi ababaika hatumuoni na swali la kimsingi mwenye akili ashaelewa haki iko wapi,mana maneno ya bachu yapo wazi kabisa,sijui huyu saidi hajaelewa nini zaidi yaubishi tu.
Jamaa alibanwa kisawasawa kabisa siku hii🤣🤣 naamini hii siku ilikuwa mbaya sana kwake, Nabaada yakubanwa akaona kuwa hapa kuna kina kirefu chabahari akaanza kupungu speed anaposoma kiarabu nasio kawaidayake 🤣🤣
Mojawenu basi aje kutetea islam katika mjadala na wakristo. Unaweza toa vedio kualika Ndacha au mwingine kwenye mjadala… Mtume wenu alirogwa, ninyi nyote mnapoteza muda
Ninachowasifia mawahabi wao hawajui neno kushindwa hata wakishindwa kweli.. Nyuso zao ni kavu mbele ya hadhara hata wakionyeshwa ukweli wa mambo ulivyo
@@akbarosman3892Kama kusoma Hadithi ndio hivi na hamujui zitumikavyo basi kuna mtihani mkubwa. Kuna dharura mukasome tena hizi Hadithi na Qur’an sio kwa vibaya 🙏