Тёмный

02 - MUNAQASHA WA MOMBASA || BAINA YA SHEIKH MUHAMMAD BACHU NA SAID OMAR ABDALLAH 

Al Haajar TV Kenya
Подписаться 18 тыс.
Просмотров 180 тыс.
50% 1

#alhaajartvkenya #kenya #mombasa
SHARE, COMMENT & SUBSCRIBE
Instagram: Alhaajartvkenya
Twitter: Alhaajartvkenya
Facebook: Alhaajar Ke
RU-vid: Alhaajartvkenya
© Al Haajar TV Kenya 2023

Опубликовано:

 

11 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,7 тыс.   
@muuhhb4787
@muuhhb4787 11 месяцев назад
Wallah walio muelewa BACHU jinsi anavyoelewesha vzr na ewe ukaelewa vzr anachokizungumza plz like apa 👍
@awadhally1052
@awadhally1052 11 месяцев назад
Masha Allah
@jambojambosafaris
@jambojambosafaris 11 месяцев назад
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@shukridawood5139
@shukridawood5139 11 месяцев назад
Walio muelewa wote baadhi ni watu ambao wanapinga Maulid., lakini huo munaqasha uliwekwa na MADA ya Uongo katika barzanji na wakawekeana masharti yakua watumia Wana vyuoni peke yake kuthibitisha MADA ama Wana vyuoni walitoa hukmu Gani katika Hadith....hii tayari ilikua mtego Sheikh Bachu asingeweza ku ukwepa sababu ya kwanza ni maneno yake ndo yalitumiwa kuwekwa MADA hio Kwa kusema katika MIHADHARA MINGI kua Barzanji ni Muongo ama kile kitabu Sasa Waka amua watumie NENO lile la Uongo na pili hakuna mwana chuoni yoyote aliwahi kutoka hukmu ya urongo kwenye barzanji ange maliza library nzima asinge pata ndipo aligundua ni MANENO yake yeye kusema ni urongo na si Wana vyuoni ndo akashidwa kujibu...,
@user-qm4qd8yk2x
@user-qm4qd8yk2x 11 месяцев назад
lakini wewe ndugu yangu @shukrdawood mada asli yake ni yale maswali ya Tanga urongo na shirki ndani ya barzanji na kwa ushahidi wa maneno yangu angalia kwa umakini sana mandalizi ya munaqasha shekh aboud alisema Nini?na shekh Abu Ahmad alisema Nini? ndio utajua ni upande upi uligeuza mada tafadhali angalia clip kuanzia 13 to 15 angalia na usikize viziri kwa hivyo said akufaa kumuliza bachu urongo WA Jafar barzanji laaa alifaa kujibu hayo maneno ayatole Aya au Hadith lakini kuuliza swali eti ni wanazuoni Gani wahadith wanamhukumu mtu(barzanji)akitumia maneno hayo huitwa mrongo. hio pia ni kama kuuliza ni wanazuoni Gani wa hadith wanamhukumu mtu(barzanji)akitumia maneno hayo Huwa mkweli mpaka hapa utaona said aliuliza swali la kitoto pili watu waupande wa twariqa walikwepa mada asli ambayo ilikuwa nikujadili urongo wa hio mistari lakini sio kumjadili mtu(barzanji)
@ahmedsalehe9489
@ahmedsalehe9489 11 месяцев назад
@@jambojambosafaris jibu liko wazi
@uzmanoorani6727
@uzmanoorani6727 11 месяцев назад
Ustadh. Said Omar..alhamdulillah tutasoma maulidi..Kwa maisha yetu yote.. hakuna mwenye atatubadilisha..sisi na mtume pamoja hadi jannah.. Ameen
@abdallahmasaza4840
@abdallahmasaza4840 11 месяцев назад
😂😂😂 mswiba
@mubarakaibrahim5715
@mubarakaibrahim5715 11 месяцев назад
Wewe soma tu. Kwsababu we ni mtu wa bidaaa
@khalidtechnology367
@khalidtechnology367 11 месяцев назад
Ila ukumbuke malipo kwa mungu utayakuta
@user-po8dd2ch5l
@user-po8dd2ch5l 8 дней назад
shenzy kabisa wewe pumbav
@abubakarallykalyuku9618
@abubakarallykalyuku9618 11 месяцев назад
Poole na Jazzaka'Allah khaira Sheikh Muhammad Bachu kwa kuelezea hurongo wa maneno yanayo patikana katika Barazanji.... Allah akulipe kheri kumtetea mtume
@alhilalymediapro
@alhilalymediapro 11 месяцев назад
Allah Akuhifadhi Na akulinde sh Muhammad Bacho na akufufuwe na Mtume ﷺ Kwa Juhudi hizi unazo fanya Ujira umefikie sheikh Wetu Marhuum nassor Bacho rahimahullah
@awadhally1052
@awadhally1052 11 месяцев назад
Isha Allah
@user-zl5mt6lk4n
@user-zl5mt6lk4n 11 месяцев назад
Allahumma amin yarablghalamin
@mubarakaibrahim5715
@mubarakaibrahim5715 11 месяцев назад
Sheikh muhamamdi nasoro bachu. Allah akuongoze. ila pia nilikuwa nakushauri ndugu yangu. Usifanye tena mdaharo na hawa watu wa bidaaa wasioelewa wajanja ktk din uelewa wao umeishia hapo ni vichwa mchunga
@leomwaki9366
@leomwaki9366 11 месяцев назад
allaah amhifadhi my akhil kariim ust. muhammad nassor bachu. kafanya la maana kumaliza mujadala Kwa heshima ya ELIMU maana huyu mtetezi wa barazanji anataka kuaminisha watu katika kitu ambacho si sawa
@hemedimsuya7024
@hemedimsuya7024 11 месяцев назад
Barakallah fik ,, Muhammad bachu Allah akufishe katika kalimatuh Laillaha ilallah,, jazakallah kheir nakufatilia vizur tangu munaqasha wa Tanga nimejifunza mengi xna Jazakallah kheir
@user-yt3op9xi3k
@user-yt3op9xi3k 11 месяцев назад
Bachu ipo haja yakwenda kusomeshwa na sh said
@user-yt3op9xi3k
@user-yt3op9xi3k 11 месяцев назад
Acha kuruka ruka
@user-yt3op9xi3k
@user-yt3op9xi3k 11 месяцев назад
Tatizo unaruka wakati ww ndio ulimwita muongo mwana chuon
@user-yt3op9xi3k
@user-yt3op9xi3k 11 месяцев назад
Ww kwel punguwan Hadi baba Yako hakuwa na elm
@user-yt3op9xi3k
@user-yt3op9xi3k 11 месяцев назад
Ww una teremshiw wahay
@user-ir5ec5jn3w
@user-ir5ec5jn3w 11 месяцев назад
Muhammad Nassoro Bachu Salaf Saleh❤❤❤May Allah preserve you! #Blessed_Salaf
@shadyayussuf341
@shadyayussuf341 11 месяцев назад
huy shekh wa mombas hana lolote kashindwa maan kakaa kam kahifadhishwa hy maneno anayo ya sema shekh wang muhammad bacho allah akulioe kila la khery fidunia walakhira❤❤
@oscarkulundu3848
@oscarkulundu3848 11 месяцев назад
Mwenyezi Mungu akuzidishie Ilmu na hikma sheikh Muhammad Bachu Masha-Allah, Allahuakbar, Maulidi ni Bidhaa leo imebainika wazi
@khadijaali299
@khadijaali299 11 месяцев назад
Masha'Allah lakuwwata Illah Billah, Allah akuhifadhi Sheikh Muhammad Bachu
@habibuchwinyaaisaidi
@habibuchwinyaaisaidi 11 месяцев назад
mashaaAllah Shukran shk Bachu Hawo ni tarika ...قال تعالي "و إذا خاطبهم الجاهلية قالوا سلاما"Nashkuru Shk Bachu Shk saidi Ana khoofu
@hilalalhabsi2047
@hilalalhabsi2047 11 месяцев назад
BAADA YA KUJIKOJOLEA MAMBRUI NA KUKIMBIA SUALI 🤣🤣🤣
@Mina-rb8kx
@Mina-rb8kx 11 месяцев назад
Allah akujalie kila lenye kheri na akuepushie kila lenye shari sheikh wangu sheikh Muhammad nasor bachu barakallah fiiik mashallah shikh
@alitom6069
@alitom6069 11 месяцев назад
Muhamad bacho twakuelewa Mashaallh allh akulinre uzidi kuchuilimisha Allh akuhifadhi mimi mkenya lakini nakuunga mkono ✋✋✋✋
@awatifomar5185
@awatifomar5185 11 месяцев назад
Tuko pamoja jirani
@shaaden-
@shaaden- 11 месяцев назад
🤲 Allah akujalie uhai mrefu wenye manufa akuepushe namaradhi khatari akuwekee wepesi kwenye maisha yako uondoke duniani Allah akiwa radhi na ww sheikh wangu Bachu. Chukuwa 🌸💐 yako❤❤❤
@jambojambosafaris
@jambojambosafaris 11 месяцев назад
Sheikh gani anaemtukana na kumpinga babake mbele za watu mwanchuoni bachu sio yeye huyo mohamed mwenye kibri
@Banly-FamilyMombasa
@Banly-FamilyMombasa 11 месяцев назад
Huyo sheikh abubakar ndio alimsomeshaa saidiii since mdogooo . Na pia nimesoma kwao. Lakini bwana ukweli maulidiii nimeona ni giza nimetoroka alhamdullilah
@ramadhanjuma8217
@ramadhanjuma8217 11 месяцев назад
🎉🎉
@rahmaoman5122
@rahmaoman5122 11 месяцев назад
🎉🎉🎉
@habibasalim3092
@habibasalim3092 11 месяцев назад
Ustadh Muhammad Nasor bachu May Allaah preserve you young man ,our Akhy who willing to connect people to the creator
@hilalalhabsi2047
@hilalalhabsi2047 11 месяцев назад
MANDONGA
@user-lg4hp2jr9o
@user-lg4hp2jr9o 11 месяцев назад
@hilalalhabsi2047
@hilalalhabsi2047 11 месяцев назад
BAADA YA KUJIKOJOLEA MAMBRUI BAADA YA KUJIKOJOLEA MAMBRUI NA KUKIMBIA KUULIZWA 🤣🤣🤣
@jambojambosafaris
@jambojambosafaris 11 месяцев назад
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@aboumuqbil2529
@aboumuqbil2529 11 месяцев назад
Wallahi thumma wallahi mnaqasha wa wa tanga sabas kidogo sana alituteteresha lakini mnaqasha huu yena kapewa ijazaaa aaa badooooooo. MUHAMMAD ALLAH AKUJAZE AFYA KIUKWELI UMEJITAHIDI KWENYE ILOOOOOO
@zeitunMohammed
@zeitunMohammed 11 месяцев назад
ولا تقطع كل خلاف مهين
@SamMus-qn1pu
@SamMus-qn1pu 11 месяцев назад
Kwa jina alie muweza na muomba mola awahifadhi woootee watu wa sunnah
@SamMus-qn1pu
@SamMus-qn1pu 11 месяцев назад
Aaa sabas yy mwenyewe kit ilikua chachomaaa
@badrumulinda7349
@badrumulinda7349 11 месяцев назад
Mungu ambariki sheikh Bachu ,hapa tuko ulaya, sheikh said Katupotezeya mda wetu.
@musafirbaba2100
@musafirbaba2100 11 месяцев назад
Allahu akbar ☝️ Allah akulinde sheik Muhammad bachu hakika sisi twataka haqii hatutak makundi
@awadhally1052
@awadhally1052 11 месяцев назад
Kwel insha Allah
@jamilahjamilah4157
@jamilahjamilah4157 11 месяцев назад
Mm cji kitu ila naona hapa kuna mshekeli bachu kauliza swali kajibiwa hapo na yy akarundishiwa swali kwanini asijibu hilo swali ana kwepa kwa nn wakati dini imetuelekeza age jibu tuu mm hapo sijui tusikie anafundishwa nn yy maamuma mnafurahi kitu kisicho patiwa majibu bachu arundi ajibu swali kama anajua na km hajui aseme na ss tupate faida atacho fundishwa eti mijitu inampa pongezi ajibu alight ulizwa taabu ya yy mawahabi niwabishi sijui mmelishwa nnbaadla ya kutagaza dini mmekalia maulidi biidaa nje wanaosema na bii issa mungu watafundishwa na nani acheni kila mtu afate anacho amini tuuangaalie nje yupo kwenye allaa illaa haillaalah muhammad rasuulu llaah basi marumba
@fahimabdallah5271
@fahimabdallah5271 11 месяцев назад
Kiboko yao hawa ni sheikh abdallah humeid, sheikh Muhammad bachu mungu akujaze kila la kheir kwa kazi unayofanya.
@AbubakarMohammed-w4e
@AbubakarMohammed-w4e Месяц назад
Hakuna kiboko mbele ya mtume Mohammad s.a.w
@qassimsothe7808
@qassimsothe7808 11 месяцев назад
Tunashuhudia tukiwa marsabit tumejua ukweli sh... Muhammad bacho uko sawa kabisa 💯💯💯🙏👍🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@khamismajlo9333
@khamismajlo9333 11 месяцев назад
Bonge la elimu inaletw na kijana mdogo Muhammad bachu mashallah shekh nasor bachu kaleta kijana
@dancanmusakhionganyo4270
@dancanmusakhionganyo4270 Месяц назад
Allah
@rashidsalim1759
@rashidsalim1759 11 месяцев назад
Subhaanallah, kwa hakika huku ni kupoteza muda tuu, hawa watu wanaojiita twarika huwa wanataka ubishani na ushabiki tuu,, huwa hawatafuti haki,,, Allah atuongoze sote
@SofiaAbubakar-uy7bo
@SofiaAbubakar-uy7bo 11 месяцев назад
Alaaaaa sisi ni wanibishi
@habibasalim3092
@habibasalim3092 11 месяцев назад
Alafu wanajaribu kumtishia
@swafiaismail-ji1op
@swafiaismail-ji1op 11 месяцев назад
Allah akuhifadhi ya sheykh muhammad nassor bachu. Hao matwariqah hawakuja kwa nia ya kuilimishana maana iko wazi hawana hoja ila wmekuja kiushindani na uyo sheykh said n mtoto sana kwako ki elimu. Allah akunusuru sheykh muhammad bachu na pia atuongoze sote nimejifunza hau wtu maulidi wanatumia mfumo wa paster wahepe swali na na kueka hoja ilio inje ya mada
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 11 месяцев назад
Mashallah tabaraka llah 🥰 Bachu nakupongeza saana 🤗 hao wengine ni watu wabidaa sijapenda walivyo maliza na Maulidi 😢 Subhanallah 🤔
@SamMus-qn1pu
@SamMus-qn1pu 11 месяцев назад
Wajinga waangamiaa
@mafiatv5479
@mafiatv5479 11 месяцев назад
Acha usenge, huyo naecho alijibu hapo hilo swali
@farahadan5587
@farahadan5587 11 месяцев назад
Mowliid bidaa akuna daliili hadhisi ni munkar
@alisaidi6358
@alisaidi6358 11 месяцев назад
mawlid hayana shida bro
@alisaidi6358
@alisaidi6358 11 месяцев назад
​@@farahadan5587na youtube nayo dalili ni ipi
@alimarsahussein-ls7fm
@alimarsahussein-ls7fm 11 месяцев назад
MashaAllah shk Mohammed bachu kwa kutufahamisha dini na penda sana darsa zako
@swafiirbulbul819
@swafiirbulbul819 11 месяцев назад
Maashaa Allah.. Sheikh Muhammad Bachu.. Allah akupe kheri .. Tutakuja Zanzibar kupiga Goti in Shaa Allah. ❤
@habibasalim3092
@habibasalim3092 11 месяцев назад
Aameen
@saidgawawa8519
@saidgawawa8519 11 месяцев назад
MashAllah tabarakah Allah,sheikh bachu Allah akuzidishie elmu ,akupe na afya njema uzidi kuelimisha ummah .amiin ya Rabb 🤲🤲
@ayah844
@ayah844 11 месяцев назад
Amiiiiin
@habibasalim3092
@habibasalim3092 11 месяцев назад
Aameen
@user-rb8ir9co9k
@user-rb8ir9co9k 11 месяцев назад
Aamin
@issaahmad1264
@issaahmad1264 11 месяцев назад
Bachu ameshindwa kujibu!!!
@awadhally1052
@awadhally1052 11 месяцев назад
Amiin
@khaleedthande6457
@khaleedthande6457 11 месяцев назад
Allah akuhifadhi sheikh muhammad nassor bachu
@hilalalhabsi2047
@hilalalhabsi2047 11 месяцев назад
MANDONGA ANAITWA SKUIZI, SIO BACHU TENA🤣🤣🤣
@yusraahmed1783
@yusraahmed1783 11 месяцев назад
Bachu ana hekma sana ma sha allah,aneleza vzuri tukaelewa,na hakutaka kushindana na mtu aliebobea maulidini na barzanji akaeleza vzuri sana,mm nilikuwa na shakana sasa umenitowa shaka,shukran shk bachu allah akuhifadhi amiin amiin.
@saidessry9942
@saidessry9942 11 месяцев назад
Kakutoa shaka gani ndugu yangu Ktk midahalo yake yote hakuna mdahalo alioharibu kama huu Na ninakuhakikishia bachu hakusoma elimu ya hadithi lakini mambumbumbu hawawezi kuliona hilo Kwasababu alikuwa hajui chochote ktk mustalahil hadithi na anatafsiri makosa matupu 3:32:16
@maimunasalim7946
@maimunasalim7946 11 месяцев назад
Mtihani huu wanazungusha uku na uku lakini hawataki kuthibitisha uwongo wao shekh Muhammad bachu mungu akulinde
@jambojambosafaris
@jambojambosafaris 11 месяцев назад
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@babauna3458
@babauna3458 11 месяцев назад
Jazzaka Allah shekh nassor bachu. Allah akuhifadh. Na sema: "Haki imekuja, na uwongo umetoka. Hakika ni uwongo, usio dhihirika." (Al-Isra [17] : 81 Maulidi ni Uzushi . Khitima uzushi. Na zefee pia ni uzushi , kuomba makakaburini uzushi. Allah atuhifadh na wazushi.
@SamMus-qn1pu
@SamMus-qn1pu 11 месяцев назад
Nataman ingekua mimi yani
@leomwaki9366
@leomwaki9366 11 месяцев назад
amiin
@sadikihamad9770
@sadikihamad9770 11 месяцев назад
Aaaamin
@rashidbuzubona6577
@rashidbuzubona6577 11 месяцев назад
Mbona nyote mnaungana kumtetea ndugu yenu bachu inamaana hakuna hata Moja aliloshindwa?
@rashidbuzubona6577
@rashidbuzubona6577 11 месяцев назад
Mbona munaushabiki zungumzeni kweli
@KiluaFilm
@KiluaFilm 11 месяцев назад
Bachuu Hoyeeee MashaAllah | Hawaa Jamaa Wa Twarika Hawana Hoja
@habibasalim3092
@habibasalim3092 11 месяцев назад
😅😂😂,hawana lolote amenakia kuenuka enuka na kumtishia bachu 😅😅
@jambojambosafaris
@jambojambosafaris 11 месяцев назад
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@user-nm3tq2cv2r
@user-nm3tq2cv2r 11 месяцев назад
MashaAllah ustadh Bachu, the aim was the world to know not him to know even though he has no points he is only emphasizing one question for the whole debate, but for us viewer we have learnt a lot MashaAllah, May Allah increase your Knowlge
@RayaRaya-d1h
@RayaRaya-d1h 11 месяцев назад
Shekhe Mohammed Bachu Allah akuzidishie elim na umrimrefu tuzid kunufaika ni kweli hasaa mauld ni uzush mim nimekisoma kitbu cha barazanj hakina ukweli wowote ni uzish ulio wazi
@AhmedAlbaity84
@AhmedAlbaity84 11 месяцев назад
SAID KIUKWELI AMETIA AIBU AMEISHIWA HUWEZI KUJIBU ANAZUNGUSHA LUGHA TU NA ANAFANYA ISTIHIZAI. SHEIKH MUHAMMAD BACHU ALLAH AKUZIDISHIE ELMU. BARAKALLAH FII.
@abdallahomar79
@abdallahomar79 11 месяцев назад
Tupe ushahidi Ya kwamba hyo maneno Ya barzanji ni ya uongo ndo tuamini ni uongo
@MuhammadMuhammad-lq2um
@MuhammadMuhammad-lq2um 11 месяцев назад
Kumuita mtu sio fast 11 sio istihizai kwako?waona said tu hebu jiongeze
@shuaibsaid515
@shuaibsaid515 11 месяцев назад
​@@abdallahomar79 urongo umetajwa angalia mjadala sio kukurupuka😂😂😂
@Themkool-eh2ow
@Themkool-eh2ow 11 месяцев назад
​@@abdallahomar79 tegesha sikio lako from 2:12:12 kwa makini..Na ukitaka kusikiliza Afadhali sikiza Asubuhi na mapema kichwa yako itakuwa safii utaweza kufahamu kuliko baadaye kichwa yako itakuwa kina moshi wa bangi😂😂😂😂
@Teralkum
@Teralkum 11 месяцев назад
Allahumma amiin❤
@ahmedmohd2836
@ahmedmohd2836 11 месяцев назад
Sheikh umemaliza kazi umesomesha vzr sana🎉,jukumu la kuwabadilisha kuwacha uzushi baada ya kuonesha ukweli ni la Allah,mwenye kutaka na amini na mwenye kutaka basi ayakataee,Hukmu atahukumu Allah.
@jambojambosafaris
@jambojambosafaris 11 месяцев назад
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@yusuffadhil6195
@yusuffadhil6195 11 месяцев назад
Allah akuhifadhi sheikh Bachu, hawakuwezi hata kidogo
@user-ir5mv4ux4i
@user-ir5mv4ux4i 11 месяцев назад
Just guys tuchukue elimu na tupate elimu tumjue allah❤❤ vizazi vinategemea uwepo wenu tuswali swala tanoo na tumche allah na tuish ktk misingi ya lailaa hailla llah na tuishi ktk misingi ya imaan huku ni kupotezana na huu ni ujingaa na upuuzi wa kupoteza vizazi
@saidfhamad
@saidfhamad 11 месяцев назад
Wallah mimi naacha Maulid kwaajili ya Allah 😢😢 Sijaona ushahidi wa ukweli wa Maulid Tanga mpaka Kenya 😢
@wardah-mb6kb
@wardah-mb6kb 11 месяцев назад
Kwel hata hawajasema ukwel wametuacha njia panda kikubwa tuswal swala Tano Kwa Iman nakumwamin allah
@yahayaidarusi
@yahayaidarusi 11 месяцев назад
Siku zote hizo ndo wataka ujulie kwenye minakash we jahri kweli
@saidfhamad
@saidfhamad 11 месяцев назад
​@@yahayaidarusiAllah ndio anajua zaidi ila nasubiria ushahidi wa Maulid kufaa!!
@sadikihamad9770
@sadikihamad9770 11 месяцев назад
Tunanye yenye uhakika ndugu tuachane na huu ubabaishaji wa maulid 😂😂😂
@mbarakomarmbarak5863
@mbarakomarmbarak5863 11 месяцев назад
Acha lakini ujue bachu ameshindwa kujibu
@Lamapacha001
@Lamapacha001 11 месяцев назад
Wallahy hakika sheikh Said umetupotezea mda maana kila ukiongea unasema “swali langu liko pale pale” kama Bachu ilikuwa hajui basi ingelijibu ww…. Kisha hilo sio swali hilo wallahy Said umetupotezea mda sanaa
@mahamoodomar3790
@mahamoodomar3790 11 месяцев назад
Jazakallah Bachu, Allah akupe kheri nyingi dunia na akhera, Hakuna anayeza kutetea batwili wanababaisha tu
@hajiurio9274
@hajiurio9274 11 месяцев назад
Allah akulipe kila la kheri Bachu kazi ni kufikisha khiyari ya mtu kufuata,haiwezekani kizazi hiki kijue ya kheri kuliko Maswahaba .
@jambojambosafaris
@jambojambosafaris 11 месяцев назад
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@omarsongz4422
@omarsongz4422 11 месяцев назад
Said Omar huna elimu kwenye hili,maulid hayafai kalas..Muhammad Bachu Allah akuzidishie In sha Allah
@fatmasuleiman6991
@fatmasuleiman6991 11 месяцев назад
Mashallah shekh muhamad bachu Allah akuhifadhi daimaa hao watu wa maulid niwabishi sanaa ndio maana akabaki kwenye point yake Moja hawajuleta mtu alioshiba elim bachu upo vizur
@user-vg2fb5nq6w
@user-vg2fb5nq6w 11 месяцев назад
Shekh bachu ni mfasaha sana na mtulivu sana katika kutetea haqqi allah akufungulie kifua chako shekh bachu
@musakibwana4596
@musakibwana4596 11 месяцев назад
yeah, mtulivu kwenye dharau na kiburi
@shabaniabubakar7262
@shabaniabubakar7262 11 месяцев назад
Ibara zamshinda
@jambojambosafaris
@jambojambosafaris 11 месяцев назад
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@Zahra_Media255
@Zahra_Media255 11 месяцев назад
Tatizo mnaofuatilia mjadala mwafuatilia kiushabiki hamzingatii hoja wala mada, kwasababu hapo mada sio maulidi yafaa au haifai bali mada ni urongo uliopo kwenye kitabu cha Barazanjy. Hivyo acheni ushabiki kuweni waadilifu katika kufuatilia mada inavyozungumzwa
@is_haaqbimany3430
@is_haaqbimany3430 11 месяцев назад
Mohammed bachu Allah akuweke sheikh wetu MashaAllah
@atefswaleh1367
@atefswaleh1367 11 месяцев назад
Naam Maa_Shaa_Allah mimi kama mzaliwa na mkaazi wa Mombasa, manhaj yngu ni Salafiy na mtume s.a.w twampenda kwa kupitia Sunnah zake...❤❤❤❤ Amma ba3d, Shukran kwake Allah Subhānahu wa Ta'āla na Alhamdulillaah kwa sheikh Muhammad Nassor Bachu kwa JIHAD YA MUNAQASHAA. Japo ilikua ni nukta mmoja kwa masaa yote, sisi kama ahlu salafffiyu tunaelewa kwa HUJJAH/HOJA iko bayaaana. Allah Akuhifadhi sheikh Mohammad Bachu na wote wenye kupeperusha bendera ya Sunnah,,
@basmabasma6287
@basmabasma6287 11 месяцев назад
Sheikh bachuuu ma shaa Allah .Allah yahfadhak.ameen
@SamMus-qn1pu
@SamMus-qn1pu 11 месяцев назад
Allah atuekeee
@user-rb8ir9co9k
@user-rb8ir9co9k 11 месяцев назад
@@SamMus-qn1pu Aamin
@user-rb8ir9co9k
@user-rb8ir9co9k 11 месяцев назад
Aamin
@jambojambosafaris
@jambojambosafaris 11 месяцев назад
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@azizashaaban870
@azizashaaban870 11 месяцев назад
Mashallah tabarakallah shelkh Nassor bachu may allah s.w.t protect you and muslim ummah always the truth hurt every one.jazakallahul kheir yaa sheikh.
@user-mi1yv5gi3x
@user-mi1yv5gi3x 11 месяцев назад
Shekh Muhammad Bachu Allah akujaze kher kwa jitihada yako kwa ya kuwaelesha hao masuf Kwakweli hawa jamaa wanahila nyingi tuuuu!!
@abuahmado
@abuahmado 11 месяцев назад
Allah yihdeeh....anauliza swali baatil, halafu anaact kama mtoto hataki kuendeleya. Kama mtoto aliyegoma mpaka apewe peremendi.
@fatmamahdi7847
@fatmamahdi7847 11 месяцев назад
Shukran Sana bachu, wewe ni mtu wa hujja na dalilimashallah. Hawa ni Kama vikaragosi, Hawana mbele Wala nyuma. Wao walishapanga kuharibu,Lakini uliwaweza. Hana ilimu hata kidogo Hiyo ustadh said.Tanga wamejiaibisha na wame shindwa na hapa ni hivo hivo.Allah Akupe umri mrefu uzidi kutuilimisha. Barakallah fik.
@imranabdallahsaid6770
@imranabdallahsaid6770 11 месяцев назад
Sasa maswala ya kutukanana yatoka wapi tusipo ji heshimu ulifkiri dini zengine zitatuheshimu
@muhsinmwambule9435
@muhsinmwambule9435 11 месяцев назад
Kuna swali sheikh Bachu hakukijibu. Amenukuu hadithi na akanukuu wanawazuoni kuwa hii ni munkar. Akaulizwa swali: Ikiwa mtu akinukuu hadithi ya munkar ni wapi wanawazuoni wa hadithi wanasema huyo mtu ni muongo? Hajatoa jawabu!
@ramadhanyusuf2401
@ramadhanyusuf2401 11 месяцев назад
Kinacho nifurahisha ni kwamba kijana wa Bachu ameshkilia hoja hapo hapo hatutoki😅
@SamMus-qn1pu
@SamMus-qn1pu 11 месяцев назад
Tumuombee allah atuhifadhi na mashekhe wetu
@SamMus-qn1pu
@SamMus-qn1pu 11 месяцев назад
​@@muhsinmwambule9435wewe kipofu na nikiziwii
@successpathnetwork
@successpathnetwork 11 месяцев назад
Wallah bado hajatokea wa kufanya mjadala huu na sheikh Bachu...
@zanzibarspice8686
@zanzibarspice8686 11 месяцев назад
Sheikh Bachu Nimekufahamu na Kukuelewa Kwanz ulivunja hoja ya msingi wa Swali lake kama halina hoja wala uhai wa kielimu
@husseinamani9818
@husseinamani9818 11 месяцев назад
Huyu Saidi ni tapeli mpotoshaji ubishi tu Haqi ipo wazi kabisa. Sheikh Bachu Allah akubariki sana.
@user-fy4op1sw2f
@user-fy4op1sw2f 11 месяцев назад
Ma shaa allah Sheikh Said Mungu akuzidishie elimu na akuruzuku fahamu shukran sheikh
@abuyusuf-it5rm
@abuyusuf-it5rm 11 месяцев назад
Ana elimu gani si afadhali yule majazi alijitetea mwamletea bachu watoto wakufunga nepi
@saidsheha1336
@saidsheha1336 11 месяцев назад
Kwa kipi hhhh😅😅😅
@KubwaKuliko-dk4bm
@KubwaKuliko-dk4bm 11 месяцев назад
Saidi ana elim ya ubishi
@mafiatv5479
@mafiatv5479 11 месяцев назад
​@@KubwaKuliko-dk4bmna hyuo bacho ana nini
@KubwaKuliko-dk4bm
@KubwaKuliko-dk4bm 11 месяцев назад
@@mafiatv5479 ndugu yangu ust said anatete kiubishi anlojua ni uongo na hapingi hilo bali anakubali
@amaribrahim6561
@amaribrahim6561 11 месяцев назад
Tumeelimika alhamdulilah sheilh Bachu mungu atakulipa kwa kutaka ukweli ubainike na wenye kukataa ukweli mungu awaongoze na atuongoze sote
@jambojambosafaris
@jambojambosafaris 11 месяцев назад
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@sabahikhamisabdulla4361
@sabahikhamisabdulla4361 11 месяцев назад
Shukran ya Akhi Bachu, bidaa haiwezi kusimama mbele ya haki. Mada ni UWONGO WA BARZANJE na si uwongo wa Mtunga kitabu.
@Wida_de_boss
@Wida_de_boss 11 месяцев назад
Mashallah sheikh bachu Allah akupe uwelewa zaidi inshallah na sheikh said Allah akupe umelewa zaidi inshallah.
@yusufathman2478
@yusufathman2478 11 месяцев назад
Wallai billahi tallahi... haqqi upande wa Dj saidi wanaijua ila hawataki kufuata. Nimegundua kua mawlid ni chama tuu hicho wanaopoteza watu wasiojua dini. Alhamdhulilah nimeling'amua hilo. 3:15:30. صاخ الديك وطلع الصبح واستيقظ الناس
@SamMus-qn1pu
@SamMus-qn1pu 11 месяцев назад
Sana akhy tue mskin na familia zetu
@jambojambosafaris
@jambojambosafaris 11 месяцев назад
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@yusufathman2478
@yusufathman2478 11 месяцев назад
@@jambojambosafaris swali lilijibiwa kitambo tena kitaalamu
@mody-guyngido2792
@mody-guyngido2792 11 месяцев назад
Long live Sheikh Bacchu Allah Akuhifadhi Na Akuzidishie elimu
@abdikadirgodana7528
@abdikadirgodana7528 11 месяцев назад
Aameen
@habibasalim3092
@habibasalim3092 11 месяцев назад
Aameen
@user-rb8ir9co9k
@user-rb8ir9co9k 11 месяцев назад
Aamin
@hilalalhabsi2047
@hilalalhabsi2047 11 месяцев назад
AAMIN, MAANA HUYU MANDONGA KATUAIBISHA HUKU MAMBRUI, ASIENDE TENA MAMBRUI MAANA KULE HATOKI MTU SALAMA. TUMEPINDULIWA CHALIIII MAWAHABI NA WASHENZI HAWA WA MAULIDI, HATA MTAANI NAONA AIBU KUTOKA, LAKINI TUJIKAZENI KUJISIFU TUMESHINDA HIVYO HIVYO 🤣 JAPO TUMEPIGWA BAO ZITO ILI WAFUASI WETU WASIJE KUHAMA SANA WA KAINGIA USUFI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@HusseinAli-bu9ej
@HusseinAli-bu9ej 11 месяцев назад
Mashallah sheikh bashu
@zeinabibrahim382
@zeinabibrahim382 11 месяцев назад
Allah akuhifadh sheikh Mohammad Bachu
@issackkhalifali1220
@issackkhalifali1220 11 месяцев назад
Watu ya maulidi hawana masikio ya kusikia ilmu ,,,sheikh bachu ulimwengu mzima wamekufahamu ,,Allah akuhifaidki
@jambojambosafaris
@jambojambosafaris 11 месяцев назад
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@user-nb2tb9zk5i
@user-nb2tb9zk5i 11 месяцев назад
Mashalla wote niwasomi nimefurai sana Allah awape afya na ngufu inshallah ❤❤❤
@MusatwahiruOmari
@MusatwahiruOmari 11 месяцев назад
Hakika
@nasserabdallah5750
@nasserabdallah5750 11 месяцев назад
اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى اله وصحبه أجمعين❤
@yusufkhanna
@yusufkhanna 11 месяцев назад
Mwenyezi Mungu akuhifadhi sheikh Muhammad bachu
@user-rb8ir9co9k
@user-rb8ir9co9k 11 месяцев назад
Aamin
@rubugahassan3057
@rubugahassan3057 11 месяцев назад
Allah azidi kukuhifadhi sheikh wetu Muhammad Bachu kwa kutudhihirishia wazi kuwa maulidi ni bidaa iliyokua wazi.
@habibasalim3092
@habibasalim3092 11 месяцев назад
Aameen
@awatifomar5185
@awatifomar5185 11 месяцев назад
ALIE NA AKILI SHEIKH BACHU AMESHAKUELEWA NA TUKO NYUMA YAKO ALLAH AMUSIMAMIE HAKKI, NA BATIL IKAE UPANDE
@SamMus-qn1pu
@SamMus-qn1pu 11 месяцев назад
Sawasaw
@theatremovies7585
@theatremovies7585 11 месяцев назад
Simple amejibu shekh bachu mimi nimsomi na hio sijasoma sawa ni said ilkua ajibu ulazima wa sijui wanimi
@khamisimoshi5947
@khamisimoshi5947 11 месяцев назад
Munaqasha wa Tanga ulikua vizuri na umetulia kuliko huo wa kenya mombasa vurugu tupu
@marianali7951
@marianali7951 11 месяцев назад
Sheikh Muhammad Bachu May Allah preserve him, came prepared and backed his claims up with evidences. But on the other hand the pro mawlid guy was just waffling and will not answer direct questions.
@is-haqmf8513
@is-haqmf8513 11 месяцев назад
I swear to God. Let's call them out for every kind of innovation. May Allah grant Bachu steadfastness in this. He's helping the Ummah.
@SstStockings
@SstStockings 11 месяцев назад
@marianali7951 Stop being an illiterate sheep, sh Bachu couldn't even answer the very first question, sh bachu literally stated himself, for him weak hadiths which are not sahih can be considered as sahih I mean astaghfirullah, And InshaAllah I'll also start praying mawlid now by the will of Allah. The ppl of mawlid have more knowledge than this so called self proclaimed sh bachu may Allah guide him to the righteous path, no scholar ever uses a weak hadith. If he wanted he could've used a sahih hadith but his statement shocked us also more, this guy is a paid agenda from the israel.
@naahla19
@naahla19 11 месяцев назад
Wallah he is helping this ummah big time. May Allah preserve him indeed Aameen. WELL DONE M.BACHU MAASHA ALLAH YOU R SO GOOD IN BOOKS!!
@SstStockings
@SstStockings 11 месяцев назад
@@naahla19 by stating weak hadith's, as a reference proves his illiteracy, he's actually helping alot. {in misguidance}
@habibasalim3092
@habibasalim3092 11 месяцев назад
Aameen Allaahumma Aameen
@alimukabana1484
@alimukabana1484 11 месяцев назад
Nilikuwa mpiga maulidi lakini sasa natubu na rasmi narudi upande wa haqqi.
@cynthiacycy4459
@cynthiacycy4459 11 месяцев назад
Haki ipi
@swafiirbulbul819
@swafiirbulbul819 11 месяцев назад
@@cynthiacycy4459 Haki ya upotevu wa Maulid na Mibarazanje 😅🤣
@ausatmwangi6464
@ausatmwangi6464 11 месяцев назад
Hapa nicheke tu kwa kuwa mawahabi na kupandikiza mapropaganda kama huyu aliyesilimishwa na Bachu kuacha maulid 😂😂😂nicheke tena
@khadijakhamis3480
@khadijakhamis3480 11 месяцев назад
MASHAA ALLAH KARIBU KWENYE HAQQ
@cynthiacycy4459
@cynthiacycy4459 11 месяцев назад
Ach ni nyamaze mimi
@fatmamahdi7847
@fatmamahdi7847 11 месяцев назад
Mashallah sheikh nassor bachu. Allah akulinde .
@alisaidi6358
@alisaidi6358 11 месяцев назад
amin amlinde na ampe ilmu asikimbie tena
@user-rb8ir9co9k
@user-rb8ir9co9k 11 месяцев назад
Aamin
@basmabasma6287
@basmabasma6287 11 месяцев назад
Ameen
@saidswaleh7742
@saidswaleh7742 11 месяцев назад
BARAKHALLAHU FIYKUM AL AKHY SHEIKH WANGU MUHAMMAD BUCHU
@swafiirbulbul819
@swafiirbulbul819 11 месяцев назад
Sheikh Bachu Maashaa Allah.. ... Yupo vyema
@qasemindho3746
@qasemindho3746 11 месяцев назад
Allah Amhifadhi sheikh Mohammed bachu BarakaAllahu fiicafiyatik wa fii cilmik....
@basmabasma6287
@basmabasma6287 11 месяцев назад
Sheikh bachuu Allah yahfadhak.ameen U nailed it
@muhsinmwambule9435
@muhsinmwambule9435 11 месяцев назад
Sheikh Bachu ni mzuri wa kuongea. Sheikh Saidi si mzuri wa kuongea. Kuna swali la msingi aidha hawakuelewana wote wawili au mmoja hakumuelewa mwenzake. Sheikh Bachu amesema Imam Barzanji ni muongo na akatoa ushahidi wa hadithi ya kuwa hadithi aliyoiweka ni Munkar. Akaulizwa swali; ni wapi wanawazuoni wa hadithi wakisema hii hadithi ni Munkar huyo mtu ni muongo? Licha ya Sheikh Said kuzunguka sana lakini Sheikh Bachu ilimfaa amuelewe na ajibu hilo!
@habibasalim3092
@habibasalim3092 11 месяцев назад
Aameen
@jambojambosafaris
@jambojambosafaris 11 месяцев назад
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@khadijaabdalla4673
@khadijaabdalla4673 11 месяцев назад
Kwa nini hujibu wewe shkh Said 😢😢😢😢😢😢
@Hassan_Bamatraf
@Hassan_Bamatraf 11 месяцев назад
Muhammad bachu barakallahu fik.. Allah akuhifadhi
@Noorahjaffar143
@Noorahjaffar143 11 месяцев назад
Iam so proud of you sheikh bachu.
@sinawsinaw6201
@sinawsinaw6201 11 месяцев назад
Subhaanallaah allaah waisilamu tusomeni 😢😢allaah atujaalie kwa hilo
@alf8177
@alf8177 11 месяцев назад
KAMA TWAENDA MAULIDINI KUMSIFU BARZANJY BASI SAID KASHINDA NA KAMA TUNAKWENDA KUNSIFU MTUME BASI BACHU KASHINDA 🎉🎉
@oldmanmpitanjia2805
@oldmanmpitanjia2805 11 месяцев назад
Kubwa sana hii.. safi👏👏
@user-eb5db8ip7s
@user-eb5db8ip7s 11 месяцев назад
Wanawake walipiga twari kumkaribisha mtume kwa maishairi mazuri na mtume alkua akijulishwa ilmu ghaib na Allah subhanallah wataala sasa kama ingekua jambo baya au jambo ambalo wanaume pia wasifanye wafanye wanawake pekee angeliliweka wazi skuio kua msipige matwari kunisifia au wapige wanawake tu wanaume wasipige ila alifurahia bwana wetu mtume Muhammad swalla llahu aleihi wasalam sasa tunaamini tunapomsifia maulidini na kuikumbuka sku yake ya kuzaliwa tunaamini Allah na mtume wake wanafurahia
@abdulkarimabdallah9536
@abdulkarimabdallah9536 11 месяцев назад
Mpuuz mkuubwa ww
@user-cg3hp1si2c
@user-cg3hp1si2c 11 месяцев назад
Ungeisoma silsikatul ahadithi dhwaifa ya shiekhe al bani jngefahamu ya kwamba hiyo sik hujja
@abdallahmasaza4840
@abdallahmasaza4840 11 месяцев назад
Sasa kule umesema alikaribishwa ndio hakupinga huku wasema mambo ya kuzaliwa ,je km alifurahia ndio alitowa go ahead akasema basi ikifika mwezi au siku yangu yakuzaliwa pia nipigieni twari?
@KASSIMFUNDSIMU
@KASSIMFUNDSIMU 9 месяцев назад
Hatusemei maulid tunasemea maneno ya barzanj
@FahadAbdallah-nv9wz
@FahadAbdallah-nv9wz 11 месяцев назад
Mashaallah sheikh bachu ni simba allah amlinde InshaAllah
@awadhally1052
@awadhally1052 11 месяцев назад
Insha Allah
@tyronemofekeng7152
@tyronemofekeng7152 11 месяцев назад
Elimu ya Bachu ni kubwa sana kwa huyu kijana. Bachu sheikh wamgu watu wenye elimu ndogo wasikupotezee muda
@jambojambosafaris
@jambojambosafaris 11 месяцев назад
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@abdirahmanshawkani
@abdirahmanshawkani 11 месяцев назад
Maulidi itabaki kuwa BIDAA mbaka kiama
@AA-yr7sr
@AA-yr7sr 11 месяцев назад
Hamumuwezi Bachu hatakidogo well dane Kwa kuwanyosha🖤🖤🖤🖤👋🏿
@issaahmad1264
@issaahmad1264 11 месяцев назад
Bachu hajui kabisa
@user-rb8ir9co9k
@user-rb8ir9co9k 11 месяцев назад
@@issaahmad1264 hujui ww labda
@shabaniabubakar7262
@shabaniabubakar7262 11 месяцев назад
nonesense
@ShakilaMohammad-i1d
@ShakilaMohammad-i1d 11 месяцев назад
Allah akuhifadhi shekhe bachu
@Captainome
@Captainome 11 месяцев назад
SAIDI wa mambrui rudi ukasome kaka umekana vitabu menza mzima umeshindwa kutetea hoja ama kweli batwil haikubatiki.tabia za kufata mashekh na mavilemba vingi upate elimu kutengeme baraka hakuna piga goti soma.
@is-haqmf8513
@is-haqmf8513 11 месяцев назад
إن الباطل كان زهوقا
@user-fi4pj8dx1v
@user-fi4pj8dx1v 11 месяцев назад
JazaakaLLAAHU kheiran yaa habiib sheikh Muhammad bachu.
@kayali6543
@kayali6543 11 месяцев назад
Bachu sounds more confident and knows what he is talking. The other side he is just making it to look as a competition
@yoboy787
@yoboy787 11 месяцев назад
Fr bro
@athumanmohamed9155
@athumanmohamed9155 11 месяцев назад
Mbinu za kivita zile, na ndio maana huanza Kwa kumkera mpinzani wake kwa maneno ya kejeli.. Hana hekma kabisa.. Na kama hekma huna basi huna elimu ya dini.. Sababu elimu ya dini imezungumza vizuri kuhusiana na hekma na elimu ya mtu isimtie kiburi kujiona yeye zaidi..
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 11 месяцев назад
Na ndio ni competition kwasababu huyo bachu siku zote kwenye mimbali yake anapenda kuwasema watu via na kisa alikua anataka mdahalo km huu sasa kapata alichokuwa anakitaka dawa imemuingie hasa
@hilalalhabsi2047
@hilalalhabsi2047 11 месяцев назад
USHABIKI MUHIMU NA KUJIPA MOYO, ILA BACHU KAFA KWA STAILI YAKE 🤣🤣🤣
@hilalalhabsi2047
@hilalalhabsi2047 11 месяцев назад
@@athumanmohamed9155 BACHU ALIKUJA NA MIPASHO ALIFIKIRI MAMBRUI NI WATU WA MIPASHO 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@user-ch4vp9oj7e
@user-ch4vp9oj7e 11 месяцев назад
Haqi nishaiona walillahil hamd bachu masha allah allah akuzidiahie
@jambojambosafaris
@jambojambosafaris 11 месяцев назад
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@KubwaKuliko-dk4bm
@KubwaKuliko-dk4bm 11 месяцев назад
Furaha yangu ni twarika wamekubali yalio kuemo katika barzanji ni uongo sasa wataka jee na barzaji mwenyewe nimuongooo lakini maulidi barzanj ni uongo wamekubaliii
@MerabaqshAbdulaziz
@MerabaqshAbdulaziz 11 месяцев назад
Mawahabi Lini Mutakubali mumeshinda.Pia Haya hamuna.Hamuendi Kwa ilmu yenyu zaidi ni Ufedhuli.Mumuogope Allah.Munatumiwa na Mayahudi kugawanya imma.
@saraadamu7468
@saraadamu7468 11 месяцев назад
Ustadh said bachu yuko sahihi mbona hutaki kukubali bachu Allah akuhifadh
@hudheifaali8702
@hudheifaali8702 11 месяцев назад
Mshllh muhamad nasor bachu mungu akupe umri mrefu chuzidi kuyilimika haki iwe nihaki na upotevu mungu au onroshe inshllh songa mpele bachu shkh langu
@user-ym5ui3ov1m
@user-ym5ui3ov1m 11 месяцев назад
Mwisho nimeelewa vizuri.bachu upo sahihi sana
@issaahmad1264
@issaahmad1264 11 месяцев назад
Amaa kweli wahabia hamutaelewa mpaka munakufa!! Kwanza bachu ibara hajui kuzisoma makosa matupu!!
@user-nh2wt4yd7w
@user-nh2wt4yd7w 11 месяцев назад
Mashallah sheikh Muhammad Bachu Allah akuhifadhi
@is_haaqbimany3430
@is_haaqbimany3430 11 месяцев назад
Said na masheikh wake Allah awazinduwe masikin
@Safinatulshifaa
@Safinatulshifaa 11 месяцев назад
Allah akuhifadhi sheikh wabishi na umeonyesha elimu
@ramsoshausi9455
@ramsoshausi9455 11 месяцев назад
Masha Allah sheikh Bachu! Hakika umeeleweka na huyu kijana hakuwa level yako siku nyingine wasikuletee Mtu aliyekaririshwa maana Hana hoja kabisa amebakia Mimi sitooooki 😂 Swali langu lipo pale pale
@sadikihamad9770
@sadikihamad9770 11 месяцев назад
😂😂😂😂 Hawana hoja 😢
@mvumboomar6907
@mvumboomar6907 11 месяцев назад
Mawahabi hta kiarabu maskini hamujui alafu eti mlisoma sudani mwenyekiti ywakosea mbele za watu hajui hta lugha maskini
@Mina-rb8kx
@Mina-rb8kx 11 месяцев назад
Kweli kabisa
@salumbaa7378
@salumbaa7378 11 месяцев назад
@@mvumboomar6907 hizi ni hoja dhaifu ni zile habari ww umevaa kanzu nyeusi Me nimevaa nyeupe😂, watu wa ubwabwa hamna hoja ya kutetea maulid isipokua mumesimamia kwenye hadith dhayf ya sifa zilokuwemo kwenye barazanji, leteni uhalali wa maulid uliyopo katika Qur an au sunna za mtume s a w hilo suali kwako
@jambojambosafaris
@jambojambosafaris 11 месяцев назад
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@hamzaadan5659
@hamzaadan5659 11 месяцев назад
M.a Mohamed Bachu may Allah increase you in knowledge, and may Allah guide and grant him understanding our brother Said. KAZI yake tu nikubishana na wala sijafaidika kwake Hata kidogo wallahi. Ilmi ndigo ni hatari kweli
Далее
SHEIKH MUHAMMAD IS'HAKA AWARIPUA WATU WA TWARIQA
1:24:46
NILIACHA UJADIDAH NI UVUNDO, Sheikh Muhammad Bachu
19:32