Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
Walio muelewa wote baadhi ni watu ambao wanapinga Maulid., lakini huo munaqasha uliwekwa na MADA ya Uongo katika barzanji na wakawekeana masharti yakua watumia Wana vyuoni peke yake kuthibitisha MADA ama Wana vyuoni walitoa hukmu Gani katika Hadith....hii tayari ilikua mtego Sheikh Bachu asingeweza ku ukwepa sababu ya kwanza ni maneno yake ndo yalitumiwa kuwekwa MADA hio Kwa kusema katika MIHADHARA MINGI kua Barzanji ni Muongo ama kile kitabu Sasa Waka amua watumie NENO lile la Uongo na pili hakuna mwana chuoni yoyote aliwahi kutoka hukmu ya urongo kwenye barzanji ange maliza library nzima asinge pata ndipo aligundua ni MANENO yake yeye kusema ni urongo na si Wana vyuoni ndo akashidwa kujibu...,
lakini wewe ndugu yangu @shukrdawood mada asli yake ni yale maswali ya Tanga urongo na shirki ndani ya barzanji na kwa ushahidi wa maneno yangu angalia kwa umakini sana mandalizi ya munaqasha shekh aboud alisema Nini?na shekh Abu Ahmad alisema Nini? ndio utajua ni upande upi uligeuza mada tafadhali angalia clip kuanzia 13 to 15 angalia na usikize viziri kwa hivyo said akufaa kumuliza bachu urongo WA Jafar barzanji laaa alifaa kujibu hayo maneno ayatole Aya au Hadith lakini kuuliza swali eti ni wanazuoni Gani wahadith wanamhukumu mtu(barzanji)akitumia maneno hayo huitwa mrongo. hio pia ni kama kuuliza ni wanazuoni Gani wa hadith wanamhukumu mtu(barzanji)akitumia maneno hayo Huwa mkweli mpaka hapa utaona said aliuliza swali la kitoto pili watu waupande wa twariqa walikwepa mada asli ambayo ilikuwa nikujadili urongo wa hio mistari lakini sio kumjadili mtu(barzanji)
Poole na Jazzaka'Allah khaira Sheikh Muhammad Bachu kwa kuelezea hurongo wa maneno yanayo patikana katika Barazanji.... Allah akulipe kheri kumtetea mtume
Allah Akuhifadhi Na akulinde sh Muhammad Bacho na akufufuwe na Mtume ﷺ Kwa Juhudi hizi unazo fanya Ujira umefikie sheikh Wetu Marhuum nassor Bacho rahimahullah
Sheikh muhamamdi nasoro bachu. Allah akuongoze. ila pia nilikuwa nakushauri ndugu yangu. Usifanye tena mdaharo na hawa watu wa bidaaa wasioelewa wajanja ktk din uelewa wao umeishia hapo ni vichwa mchunga
allaah amhifadhi my akhil kariim ust. muhammad nassor bachu. kafanya la maana kumaliza mujadala Kwa heshima ya ELIMU maana huyu mtetezi wa barazanji anataka kuaminisha watu katika kitu ambacho si sawa
Barakallah fik ,, Muhammad bachu Allah akufishe katika kalimatuh Laillaha ilallah,, jazakallah kheir nakufatilia vizur tangu munaqasha wa Tanga nimejifunza mengi xna Jazakallah kheir
huy shekh wa mombas hana lolote kashindwa maan kakaa kam kahifadhishwa hy maneno anayo ya sema shekh wang muhammad bacho allah akulioe kila la khery fidunia walakhira❤❤
🤲 Allah akujalie uhai mrefu wenye manufa akuepushe namaradhi khatari akuwekee wepesi kwenye maisha yako uondoke duniani Allah akiwa radhi na ww sheikh wangu Bachu. Chukuwa 🌸💐 yako❤❤❤
Huyo sheikh abubakar ndio alimsomeshaa saidiii since mdogooo . Na pia nimesoma kwao. Lakini bwana ukweli maulidiii nimeona ni giza nimetoroka alhamdullilah
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
Wallahi thumma wallahi mnaqasha wa wa tanga sabas kidogo sana alituteteresha lakini mnaqasha huu yena kapewa ijazaaa aaa badooooooo. MUHAMMAD ALLAH AKUJAZE AFYA KIUKWELI UMEJITAHIDI KWENYE ILOOOOOO
Mm cji kitu ila naona hapa kuna mshekeli bachu kauliza swali kajibiwa hapo na yy akarundishiwa swali kwanini asijibu hilo swali ana kwepa kwa nn wakati dini imetuelekeza age jibu tuu mm hapo sijui tusikie anafundishwa nn yy maamuma mnafurahi kitu kisicho patiwa majibu bachu arundi ajibu swali kama anajua na km hajui aseme na ss tupate faida atacho fundishwa eti mijitu inampa pongezi ajibu alight ulizwa taabu ya yy mawahabi niwabishi sijui mmelishwa nnbaadla ya kutagaza dini mmekalia maulidi biidaa nje wanaosema na bii issa mungu watafundishwa na nani acheni kila mtu afate anacho amini tuuangaalie nje yupo kwenye allaa illaa haillaalah muhammad rasuulu llaah basi marumba
Subhaanallah, kwa hakika huku ni kupoteza muda tuu, hawa watu wanaojiita twarika huwa wanataka ubishani na ushabiki tuu,, huwa hawatafuti haki,,, Allah atuongoze sote
Allah akuhifadhi ya sheykh muhammad nassor bachu. Hao matwariqah hawakuja kwa nia ya kuilimishana maana iko wazi hawana hoja ila wmekuja kiushindani na uyo sheykh said n mtoto sana kwako ki elimu. Allah akunusuru sheykh muhammad bachu na pia atuongoze sote nimejifunza hau wtu maulidi wanatumia mfumo wa paster wahepe swali na na kueka hoja ilio inje ya mada
Bachu ana hekma sana ma sha allah,aneleza vzuri tukaelewa,na hakutaka kushindana na mtu aliebobea maulidini na barzanji akaeleza vzuri sana,mm nilikuwa na shakana sasa umenitowa shaka,shukran shk bachu allah akuhifadhi amiin amiin.
Kakutoa shaka gani ndugu yangu Ktk midahalo yake yote hakuna mdahalo alioharibu kama huu Na ninakuhakikishia bachu hakusoma elimu ya hadithi lakini mambumbumbu hawawezi kuliona hilo Kwasababu alikuwa hajui chochote ktk mustalahil hadithi na anatafsiri makosa matupu 3:32:16
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
Jazzaka Allah shekh nassor bachu. Allah akuhifadh. Na sema: "Haki imekuja, na uwongo umetoka. Hakika ni uwongo, usio dhihirika." (Al-Isra [17] : 81 Maulidi ni Uzushi . Khitima uzushi. Na zefee pia ni uzushi , kuomba makakaburini uzushi. Allah atuhifadh na wazushi.
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
MashaAllah ustadh Bachu, the aim was the world to know not him to know even though he has no points he is only emphasizing one question for the whole debate, but for us viewer we have learnt a lot MashaAllah, May Allah increase your Knowlge
Shekhe Mohammed Bachu Allah akuzidishie elim na umrimrefu tuzid kunufaika ni kweli hasaa mauld ni uzush mim nimekisoma kitbu cha barazanj hakina ukweli wowote ni uzish ulio wazi
SAID KIUKWELI AMETIA AIBU AMEISHIWA HUWEZI KUJIBU ANAZUNGUSHA LUGHA TU NA ANAFANYA ISTIHIZAI. SHEIKH MUHAMMAD BACHU ALLAH AKUZIDISHIE ELMU. BARAKALLAH FII.
@@abdallahomar79 tegesha sikio lako from 2:12:12 kwa makini..Na ukitaka kusikiliza Afadhali sikiza Asubuhi na mapema kichwa yako itakuwa safii utaweza kufahamu kuliko baadaye kichwa yako itakuwa kina moshi wa bangi😂😂😂😂
Sheikh umemaliza kazi umesomesha vzr sana🎉,jukumu la kuwabadilisha kuwacha uzushi baada ya kuonesha ukweli ni la Allah,mwenye kutaka na amini na mwenye kutaka basi ayakataee,Hukmu atahukumu Allah.
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
Just guys tuchukue elimu na tupate elimu tumjue allah❤❤ vizazi vinategemea uwepo wenu tuswali swala tanoo na tumche allah na tuish ktk misingi ya lailaa hailla llah na tuishi ktk misingi ya imaan huku ni kupotezana na huu ni ujingaa na upuuzi wa kupoteza vizazi
Wallahy hakika sheikh Said umetupotezea mda maana kila ukiongea unasema “swali langu liko pale pale” kama Bachu ilikuwa hajui basi ingelijibu ww…. Kisha hilo sio swali hilo wallahy Said umetupotezea mda sanaa
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
Mashallah shekh muhamad bachu Allah akuhifadhi daimaa hao watu wa maulid niwabishi sanaa ndio maana akabaki kwenye point yake Moja hawajuleta mtu alioshiba elim bachu upo vizur
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
Tatizo mnaofuatilia mjadala mwafuatilia kiushabiki hamzingatii hoja wala mada, kwasababu hapo mada sio maulidi yafaa au haifai bali mada ni urongo uliopo kwenye kitabu cha Barazanjy. Hivyo acheni ushabiki kuweni waadilifu katika kufuatilia mada inavyozungumzwa
Naam Maa_Shaa_Allah mimi kama mzaliwa na mkaazi wa Mombasa, manhaj yngu ni Salafiy na mtume s.a.w twampenda kwa kupitia Sunnah zake...❤❤❤❤ Amma ba3d, Shukran kwake Allah Subhānahu wa Ta'āla na Alhamdulillaah kwa sheikh Muhammad Nassor Bachu kwa JIHAD YA MUNAQASHAA. Japo ilikua ni nukta mmoja kwa masaa yote, sisi kama ahlu salafffiyu tunaelewa kwa HUJJAH/HOJA iko bayaaana. Allah Akuhifadhi sheikh Mohammad Bachu na wote wenye kupeperusha bendera ya Sunnah,,
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
Shukran Sana bachu, wewe ni mtu wa hujja na dalilimashallah. Hawa ni Kama vikaragosi, Hawana mbele Wala nyuma. Wao walishapanga kuharibu,Lakini uliwaweza. Hana ilimu hata kidogo Hiyo ustadh said.Tanga wamejiaibisha na wame shindwa na hapa ni hivo hivo.Allah Akupe umri mrefu uzidi kutuilimisha. Barakallah fik.
Kuna swali sheikh Bachu hakukijibu. Amenukuu hadithi na akanukuu wanawazuoni kuwa hii ni munkar. Akaulizwa swali: Ikiwa mtu akinukuu hadithi ya munkar ni wapi wanawazuoni wa hadithi wanasema huyo mtu ni muongo? Hajatoa jawabu!
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
Wallai billahi tallahi... haqqi upande wa Dj saidi wanaijua ila hawataki kufuata. Nimegundua kua mawlid ni chama tuu hicho wanaopoteza watu wasiojua dini. Alhamdhulilah nimeling'amua hilo. 3:15:30. صاخ الديك وطلع الصبح واستيقظ الناس
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
AAMIN, MAANA HUYU MANDONGA KATUAIBISHA HUKU MAMBRUI, ASIENDE TENA MAMBRUI MAANA KULE HATOKI MTU SALAMA. TUMEPINDULIWA CHALIIII MAWAHABI NA WASHENZI HAWA WA MAULIDI, HATA MTAANI NAONA AIBU KUTOKA, LAKINI TUJIKAZENI KUJISIFU TUMESHINDA HIVYO HIVYO 🤣 JAPO TUMEPIGWA BAO ZITO ILI WAFUASI WETU WASIJE KUHAMA SANA WA KAINGIA USUFI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
Sheikh Muhammad Bachu May Allah preserve him, came prepared and backed his claims up with evidences. But on the other hand the pro mawlid guy was just waffling and will not answer direct questions.
@marianali7951 Stop being an illiterate sheep, sh Bachu couldn't even answer the very first question, sh bachu literally stated himself, for him weak hadiths which are not sahih can be considered as sahih I mean astaghfirullah, And InshaAllah I'll also start praying mawlid now by the will of Allah. The ppl of mawlid have more knowledge than this so called self proclaimed sh bachu may Allah guide him to the righteous path, no scholar ever uses a weak hadith. If he wanted he could've used a sahih hadith but his statement shocked us also more, this guy is a paid agenda from the israel.
Sheikh Bachu ni mzuri wa kuongea. Sheikh Saidi si mzuri wa kuongea. Kuna swali la msingi aidha hawakuelewana wote wawili au mmoja hakumuelewa mwenzake. Sheikh Bachu amesema Imam Barzanji ni muongo na akatoa ushahidi wa hadithi ya kuwa hadithi aliyoiweka ni Munkar. Akaulizwa swali; ni wapi wanawazuoni wa hadithi wakisema hii hadithi ni Munkar huyo mtu ni muongo? Licha ya Sheikh Said kuzunguka sana lakini Sheikh Bachu ilimfaa amuelewe na ajibu hilo!
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
Wanawake walipiga twari kumkaribisha mtume kwa maishairi mazuri na mtume alkua akijulishwa ilmu ghaib na Allah subhanallah wataala sasa kama ingekua jambo baya au jambo ambalo wanaume pia wasifanye wafanye wanawake pekee angeliliweka wazi skuio kua msipige matwari kunisifia au wapige wanawake tu wanaume wasipige ila alifurahia bwana wetu mtume Muhammad swalla llahu aleihi wasalam sasa tunaamini tunapomsifia maulidini na kuikumbuka sku yake ya kuzaliwa tunaamini Allah na mtume wake wanafurahia
Sasa kule umesema alikaribishwa ndio hakupinga huku wasema mambo ya kuzaliwa ,je km alifurahia ndio alitowa go ahead akasema basi ikifika mwezi au siku yangu yakuzaliwa pia nipigieni twari?
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
Mbinu za kivita zile, na ndio maana huanza Kwa kumkera mpinzani wake kwa maneno ya kejeli.. Hana hekma kabisa.. Na kama hekma huna basi huna elimu ya dini.. Sababu elimu ya dini imezungumza vizuri kuhusiana na hekma na elimu ya mtu isimtie kiburi kujiona yeye zaidi..
Na ndio ni competition kwasababu huyo bachu siku zote kwenye mimbali yake anapenda kuwasema watu via na kisa alikua anataka mdahalo km huu sasa kapata alichokuwa anakitaka dawa imemuingie hasa
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
Furaha yangu ni twarika wamekubali yalio kuemo katika barzanji ni uongo sasa wataka jee na barzaji mwenyewe nimuongooo lakini maulidi barzanj ni uongo wamekubaliii
Masha Allah sheikh Bachu! Hakika umeeleweka na huyu kijana hakuwa level yako siku nyingine wasikuletee Mtu aliyekaririshwa maana Hana hoja kabisa amebakia Mimi sitooooki 😂 Swali langu lipo pale pale
@@mvumboomar6907 hizi ni hoja dhaifu ni zile habari ww umevaa kanzu nyeusi Me nimevaa nyeupe😂, watu wa ubwabwa hamna hoja ya kutetea maulid isipokua mumesimamia kwenye hadith dhayf ya sifa zilokuwemo kwenye barazanji, leteni uhalali wa maulid uliyopo katika Qur an au sunna za mtume s a w hilo suali kwako
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
M.a Mohamed Bachu may Allah increase you in knowledge, and may Allah guide and grant him understanding our brother Said. KAZI yake tu nikubishana na wala sijafaidika kwake Hata kidogo wallahi. Ilmi ndigo ni hatari kweli