Mimi ni mwanaume lakini Mama kamufedhehesha mmeake hii siyo kabisa Makosa kaumbiwa Mwanadamu, naombeni mtunzeni siri zenu Maana Baada ya hapa ni aibu ya Family na migogolo kila sku.Mambo yenu malizieni chumbani huku ni kuwafaidisha watu wasiohusika.
Wanawake Jeshi kubwa: hata huyu mama naye amejidhallilisha na kudharilisha watoto wao; Bint naye Bado kamwegemea kifuani bos wake;Hawa hawataachana kamwe kwa kuwa huyu bosi Ni mwislamu amwoe tu awe mke halali wasiendelee kuzini ameonja asali hawezi kimwacha kamwe watabadili tu sehemu ya kukutania hata nje ya mij watakwenda najua kwa huyu Bint kazi ndio basi hapo watapata uhuru wa ktosha kufanya ufuska wao dawa moja tu waoane japo najua bi Mkubwa hataisha kinyongo naye
Jamani wanaume hua wanaboa sana,, lakini siwezi kumuaibisha Mume wangu kiasi hiki, kwanza baba wa watu kama ana Bp si unamuua jaman😢 kiukweli mmekosea kwa kumzalilisha
Jamani eleweni hiyo ni movie, watu wanashuti. Hizo ni drama wasituchezee hawa. Na kama ingekuwa ni kweli, basi hapo wote ni makahaba, hakuna mwenye uhalali wa mume. Maana angekuwa ni mke wake kweli, asingeweza kutengeneza tukio la hivyo.
Zaina nakupongeza sana kwa ujumbe ulioandika kama moyo wako ni mdogo yanini uliita watu? Kitu dani cha ajabu hapo? Ndio maana lilikuepo fumanizi. makosa tumeumbiwa wanadam
Akina sarah ndivyo walivyo niwahuni balaa uku tabora kuna madam mmja ni mwalim ameolewa ila anachanganya maafisa elim waalim na waratibu ni mchafu balaa
Mhh nikujizalilisha mwenyewe angefanya siri tu amfukuze bint wakazi basi maisha yaendeleee sasa mzee akigoma sikutaki tena au akaendelea na bint ovyooo
Uyo Mke wake ni kama amajidhalilisha mwenyewe sasa iyo fumanizi ya nini si angekaa wakayajenga kwakuwa alishitukia mapema ila kashindwa kajiona bisho mpaka aweke kwenye Media ale chuma hicho 😂😂✅️✅️
Dada wa kazi tamvua huyo alikuq anajibuludiash2 na anakupotezea mda muwe mnatafut rizik zenu hamjui wenzen wametoka wapi jaman ona mwanaum anavoshangaa hiii dunia hii bc2 hat me nimeumia jamn
ni igizo.mwanaume wa kifrika hawezi kufumaniwa na mke wake kisha akawa mpole.ingekuwa kweli hao kinadada wangekula kichapo na hapohapo angesema sio yeye wanamsingizia
Ht wtt wao hawatapenda, wakiona baba yao kadhalilishwa hivi mitandaoni. Huy baba ana makosa. Lkn mama una makosa zaidi. Sbb aibu ya mumeo ni ya kwako. Mngeyamaliza wenyewe. Hii ni aibu kubwa.
Mmmh🤨🤨 hii ni story ya uongo iliyotungwa ili watizamaji azani kama ni ukweli. Wengine wanatakaga kiki kwenye vyombo vya habari. Wameshindwa kuigiza films, ila wanaona wafanye hivi 😏😏😏.