Тёмный

MO DEWJI AZUNGUMZIA KUHUSU KUTEKWA KWAKE 

BBC News Swahili
Подписаться 608 тыс.
Просмотров 1,5 млн
50% 1

Mfanyabiashara maarufu wa Tanzania Mo Dewji amezungumza katika mahojiano maalum na BBC kuhusu kutekwa kwake mwaka 2018

Опубликовано:

 

30 окт 2019

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 456   
@jeremiahjulias2002
@jeremiahjulias2002 Год назад
Brother Mohamed Dewij you are Man of God 🙏 Mungu azidi kukupigania, una hofu ya Mungu pia una Roho ya upendo ndani Yako.....! Nimejifunza mengi kupitia wewe, let me change my life...! Mungu akubariki 🙏🙏
@modestalois2535
@modestalois2535 2 года назад
Nchi ilielekea pabaya sana,ni aibu kubwa sana,pole Mh Mo Dewji,poleni Watanzania waliopitia dhahama hizo,Mungu awape amani tena
@patientlazaro6930
@patientlazaro6930 3 года назад
Mo Dewji pole ndugu yangu,. Umeongea point sana na umeongea vizuri nashukuru umeelezea huu mkasa maana kunawazushi walizua habari mbaya. Thanks sana
@upendomgombozi1239
@upendomgombozi1239 Год назад
Mungu akuongezee maisha marefu Mo. Leo ndo naiona simulizi yako japo muda mrefu ulishapita imeniumiza sana, mtegemee mungu yeye ni kilikitu kwako
@gumatohuka8827
@gumatohuka8827 4 года назад
Hii,.ni maisha tunaoishi.,mshukru mwenyezi Mungu amekutoa kwa hatari ya maishani.,siyo wote wanabahti kama hiyo., So it's a miracle.
@mtafyaemmanuel66
@mtafyaemmanuel66 4 года назад
Mimi Mch EmmanuelMtafya Niko Tunduma,namshukuru sana Mungu kumuokoa mo Dowji ,Nimesikiliza ushuhuda wake nimeogopa lakini ashukuliwe Mungu pekee.
@abdulparesh4899
@abdulparesh4899 4 года назад
Tumekopa gari kutoka kwako gari moja tu nimetoka kwenye udereva wa mabasi Sasa namalizia Deni lako niwe huru Asante Sana bro
@ashuashu3843
@ashuashu3843 4 года назад
M.mungu akunusuru haya na mengine.😭😭 baba yangu Humaid Abdullah Humaid mkazi wa Itigi mjini mkoa wa Singida ni marehemu Allah mjaalie makazi mema huko aliko ampe pepo ameen.Alipofariki baada ya week tu walifukua kaburi lake na sijui nini walichofanya Allah ndio anajua zaid😭😭 lkn wakazi wa Singida na Manyoni na Itigi walishirikiana kwa pamoja kwa kumuombea dua marehemu kwa yale alietendewa.Watu wa singida ni watu wema sana.
@safiaothman1098
@safiaothman1098 3 года назад
Mwenyezi Mungu Subhannahu Wata'ala atakulipia leo hapa Duniani na Kesho Akheyra, Aamiin. Namwomba Allah Subhannahu Wata'ala akuepushe na balaa nyinginezo, Aamiin.
@alicenoah5407
@alicenoah5407 5 месяцев назад
Pole sana .Mungu ndiyo mwanzo wetu na mwisho wakila amtegemeae
@zaudiarirunguru6877
@zaudiarirunguru6877 4 года назад
Pole Sana dua zako ni funguo ya Kila mlango upitao hata uwe na rok ngum mungu anafungua Allah pekee anatosha
@halimasaid4977
@halimasaid4977 4 года назад
MASHALLAH mashallah Allah akuzidishie iman mwanzo hadi mwisho wa dunia
@70SIXER7
@70SIXER7 4 года назад
Pole sana Kaka...inauma Sanaa wanadamu wengine kucheza na Amani yako hivyo!..unaombewa na wengi Sanaa!...na utaishi Maisha marefu Sanaa!
@samsonlizyborn7541
@samsonlizyborn7541 4 года назад
Pole sana kaka nikuomba bila kukoma
@momylaviel
@momylaviel 5 месяцев назад
Baada ya yote uliyoyapitia bado unaishi Mungu akupe maisha marefu
@arcusiusngonyani8639
@arcusiusngonyani8639 Год назад
Kwa kweli tulikuwa tunakuombea Sana Sana sana hasa Mimi nilikuwa nawaza juu ya mzunguko wa pesa ulivyo Tz halafu watu wanakuja kutupunguzia mabosi wetu. Sisi tunaomba kila siku Mungu Atushushie mabosi wawe wengi kwenye nchi yetu halafu watu wanakuja kuwasumbuasumbua dah!!! Ilinipa tabu Sana lakini tunamshukur Mungu wamekuacha huru mwenyezi Mungu azidi kukulinda siku zote.
@SuperKayaya
@SuperKayaya 2 года назад
Pole kabisa. Bado na sikiya uchungu ndani ya sauti yako. Pole tena Bingwa.
@precioussambale1964
@precioussambale1964 4 года назад
Huyu jamaa ni humble Sana, anamwita Salim boss
@nadiaahmada7092
@nadiaahmada7092 3 года назад
Kuitwa boc sioboc wewe unaeitwa boc. Ndoboc hataumuingizie buku nihela
@carolinenjiro41
@carolinenjiro41 3 года назад
Mungu Ni mwema Sana, wakati wowote, pole MO
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 4 года назад
Very interested pole Sana bro mungu yu pamoja nawe siku zote
@legrandmsangi8405
@legrandmsangi8405 3 года назад
Daah so sad.. lkn Mungu ni mkubwa siku zote, humlipa mtu kulingna na nia yke. Una nia nzr na watanzania, Mungu amejaalia ukatoka salama salmin
@user-gf6fp5cg8o
@user-gf6fp5cg8o 4 месяца назад
Mo kwakweli unabusala kubwa na mungu yupamojanae pole sana moyoni naumia kiukweli hao wa2 wabaya mungu awaangamize
@vuvuzelajordankhasindu2963
@vuvuzelajordankhasindu2963 4 месяца назад
Pole sana kwa hayo yote. Inatisha kanisa ila keep up, keep doing it brother. Peace.
@jilbertdanifordbutemba917
@jilbertdanifordbutemba917 Год назад
Ata Mimi nakupenda moo maana kuna siku uliongea kitu Cha iman ukagusa moyo wangu.
@michaelstanley9898
@michaelstanley9898 4 года назад
Aisee nomaah nimependa Moh alivyojibu jamaa ni smart enough
@tahiraabdul1701
@tahiraabdul1701 4 года назад
Pole sana Shehe wangu Mohamed Dowji,alhamdulillah
@abdularuffin9308
@abdularuffin9308 3 года назад
Pole sana mo deuji allah amekulinda hakika ulimtengemea alllah ndiyo kakuokoa
@officialkamdudu
@officialkamdudu 4 года назад
pole sana ndugu hua kwa imani yetu tunaamini roho haitoki ila kwa idhini ya Allah
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 4 года назад
Pole sana ndugu yetu, kwakweli tuliuzunika sana kwa kipindi kigumu ulichopitia, ila baada ya yote tuseme Alhamdulilah Allah ni muweza wa kila kitu. 🙏
@emmanuelminja2222
@emmanuelminja2222 4 года назад
Saumu Hassan mambo
@immailecx5355
@immailecx5355 Год назад
Polemo
@lusekelokajigili4564
@lusekelokajigili4564 2 года назад
MO Mungu ni mkubwa Sana. Mungu akubariki sana
@Queen-be1uf
@Queen-be1uf 3 года назад
Alhamdulillah uko salama. We were so sad when you were kiddnaped. We prayed to Allah for your safety ALHAMDULILLAH. Allah akuhifadhi wewe na sisi sote. Amiin
@mpozaurugamba2615
@mpozaurugamba2615 2 года назад
Pole sana Mungu akongezeye heli!
@abdulparesh4899
@abdulparesh4899 4 года назад
Mm mmoja wapo ambaye umenisaidia Sana nashukuru Sana siku umetekwa niliumia Sana bro pole sana
@driftdumper8927
@driftdumper8927 4 года назад
Pole sana Mo!! Nilisali sana nilijisikia vby wakati wote mungu mkubwa! Aliruhusu uwe hai!
@luluzegema5782
@luluzegema5782 4 года назад
Mimi chadema nami pia ni yanga ila nililia na kuomba sana
@mamunote3507
@mamunote3507 3 года назад
Mashallah. Mungu akustir usiyaone tenants ktk Maisha yako pole sana Bro
@user-eo7ug2tg9r
@user-eo7ug2tg9r 3 года назад
Mungu Ni Mwema Mo Dewji
@Da_Gee
@Da_Gee 2 года назад
FAITH, FAITH, FAITH 7:35 - 7:40 Very powerful! Eee Mungu nipe unyenyekevu zaidi ya huu, Imani yangu nisiiache, ukinipa mafanikio maishani mwangu.
@barackjoshua6712
@barackjoshua6712 4 года назад
mahojiano mazuri allah akuhifadhi mo dewji
@zuberigwakula8531
@zuberigwakula8531 4 года назад
Itakusaidia kuwakumbuka wanyonge, pole sana. Allah ashukuriwe
@wolfgangkichai8577
@wolfgangkichai8577 4 года назад
God does his miracles in mysterious ways. He’ll keep you long enough to tell fairytales and roaring stories. Pole sana kwa yaliyo kukuta
@mangofish9079
@mangofish9079 2 года назад
Duh pole sana mo mshukuru Mungu pia hawakukuharibu
@stephanom.sylvestor6902
@stephanom.sylvestor6902 3 года назад
Alie ckia neno boc Kutoka kwa mo agonge like zake hapa
@sharifakhamis2461
@sharifakhamis2461 4 года назад
Pole sana kaka ulipitia wakati mgumu sana Allah karim
@YAHAYA-xr8pu
@YAHAYA-xr8pu 4 месяца назад
Mkurugenzi wa Metl Mo Dewji Pole sana kaka Kwa yaliyokukuta lakn you a wisdom bro Allah blessed you
@YAHAYA-xr8pu
@YAHAYA-xr8pu 4 месяца назад
You have a wisdom bro
@ramadhanshaban4754
@ramadhanshaban4754 Год назад
Mungu anakupenda kwa mazuri yako wabaya hawata weza mbele yake allah
@moudyhamisi2641
@moudyhamisi2641 3 года назад
Pole sana hakika mwenyezi mungu ni mwema
@rekhaakashi5750
@rekhaakashi5750 2 года назад
Pole sana kaka yetu mo dewji kwa matatizo yaliyo kupata
@halimasaid4977
@halimasaid4977 4 года назад
Singida ilove you mkuu wetu kama wewe mnyaturu gonga like hapa
@abdulkuluwia6525
@abdulkuluwia6525 4 года назад
unyaturu nyuma utanzania mbele
@zboy6321
@zboy6321 3 года назад
Kumbe mo ni mnyaturu, nilikuwa we ni mzungu wa mataifa ya nje, hongera kwa kumtumaini mungu kwenye shida hiyo uloipata mashaalah
@sifatiiman
@sifatiiman 3 года назад
Ni Mzur ET
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 4 месяца назад
Ukiangalia Nywele,,, na Sura Yake,,,,, utasema muarabu Au Muhindi,,, Allah kamulindaa kwa Moyo wake Mzurii Ana Roho Nzuri,,, Allah Azidi kumtunza Daima
@danielmahelaleimba9644
@danielmahelaleimba9644 4 года назад
Mo pole sana kwa matatizo iliyokukuta lakn mungu bado yupo pamoja nawe tunamshukuru mungu kwa kutenda wema wako mungu
@briansancedo9336
@briansancedo9336 4 года назад
Umeongea sifa ya watanzania cc hatubaguwani hatuangalii rangi mwalimu nyerere ametuachia Hilo tunajivunia.
@habibmhunga2391
@habibmhunga2391 4 месяца назад
Kabisa tajili umeongea neno mashallha watanzani kwenye matatizo pammoja
@sallygrace1495
@sallygrace1495 2 года назад
Glory to God 👏 Binafsi na Mungu yupo na sisi watanzania ni watu wenye amain na upendo huweziona inchi yoyote ila hapa Africa.. Mungu anatupenda sana Watanzania!!
@nasseradel9784
@nasseradel9784 3 года назад
Pole sana mungu bado anataka uishi 😗😗
@mustafaomari6293
@mustafaomari6293 Год назад
Pore sana mo mungu azidi kukurinda hakika tupo pamoja
@selinamnzava7750
@selinamnzava7750 4 года назад
Pole sana inauma sana ila Mungu ni mwema anajua wema wako kwa watu usichoke kutenda mema
@fadyanassor6934
@fadyanassor6934 4 года назад
i was cryn the whole time..pole sana MO alhmdullah kwa kutoka salama
@youngbizzy7856
@youngbizzy7856 4 года назад
Pole sana mama kwa viliyo ulivyoliyaa🙄
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 4 года назад
Alhmdulillah
@endythomas2838
@endythomas2838 4 года назад
Pole kwa hayo yote uliyopitia
@KajunaJovinary
@KajunaJovinary 4 года назад
@
@jiphonmbwale8138
@jiphonmbwale8138 4 года назад
Mambovp
@halimasaid4977
@halimasaid4977 4 года назад
Allah akulinde kijana wety
@malkavoice2570
@malkavoice2570 2 года назад
God's plan hyo. Nmegundua Duniani huwezi kukua bila kupitia shida ya kihistoria ili upikwe uive uweze kuishi kwa hofu ya mungu. Mungu anamaksudi na kila uhai na kila kichwa amekipa kipimo chake bro. Pole sana
@user-qg7wo4sy1z
@user-qg7wo4sy1z Год назад
mungu yu pamoja na wewe mkuu
@mariammatandala1409
@mariammatandala1409 3 года назад
Najua dua zetu Mungu aliziskia
@libeliusdonati7695
@libeliusdonati7695 2 года назад
Muombe Mwenyezi Mungu lisikutokee tena
@joasitz9559
@joasitz9559 4 года назад
Pole kweli ilituumiza sana. Lakini Mungu mwema
@ashapearubart2624
@ashapearubart2624 4 года назад
Mwenyenzi mungu akurinde sana
@rashidlighuda6014
@rashidlighuda6014 3 года назад
Pole sana Mohammed Gullam Dewji
@twalaataib7337
@twalaataib7337 3 года назад
Allah atakuhifadh kila wakati mngu ni mkubwa🙏
@beejay7354
@beejay7354 3 года назад
Walipo Kuja kuniona Mara ya kwanza wamesujudu. Allah Akbar❤️🙏
@najmagudeh203
@najmagudeh203 4 года назад
Dah pole sana boss m.mungu akulinde leo na kesho inshaallah
@edwardsalufu6886
@edwardsalufu6886 3 года назад
mungu akupe rehema nyingi kaka
@Da_Gee
@Da_Gee 2 года назад
16:18 - 16:30 Your good deeds will forever follow you, nimejifunza. Let's have good intentions, God will spare our lives, what a humble soul Mo. May God keep you longer.
@mradyally6948
@mradyally6948 2 года назад
hghgghhghghhggggggggģggģggģggggggggggggggggggģgggggggggggggģgģģggggggggggggggģggggģgģgggggggģggģggggģģggggģgggģggggggggģgģggggg hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh hhh hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhjhhh hhhhhhhhhh hhhhjhhhh hhhhhhhhhhhhggģgggggggģgggggggggggggggģggggggggggg
@mradyally6948
@mradyally6948 2 года назад
gggggggggggggggģggghhh
@arcusiusngonyani8639
@arcusiusngonyani8639 Год назад
Santeeeh!!
@claudiamollel4536
@claudiamollel4536 6 месяцев назад
​@@arcusiusngonyani8639😊😊😊😊😊
@claudiamollel4536
@claudiamollel4536 6 месяцев назад
😊
@abdulamir270
@abdulamir270 4 года назад
Nimekusikiliza sana leo naomba unisaidie mimi hataftari tu ninayatima namremavu nawalea
@nusalim3389
@nusalim3389 2 года назад
Enzi za magu na kina makonda si mchezo,unafanyiziwa halafu unasifu mwenyewe,ikizidi huna njia zaidi ya kuwasifu waliokudhalilisha kuwa wamefanya kazi kubwa sana na juhudi
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 4 года назад
Ktk matatizo lzm umtangulize mungu na hicho ndo kilicho kusaidia boss ukatoka salama
@emmanuellemalali3034
@emmanuellemalali3034 4 года назад
Salim you're bright ,thumb up brother!
@deverathabalitazari8685
@deverathabalitazari8685 2 года назад
Pole sana mzee mo je? Ulivyokuwa unataka kujisaidia hulikuwa unafanyaje mzee
@KhalidHashim-qj2dd
@KhalidHashim-qj2dd 3 месяца назад
😅😅😅
@mhangwacharles1156
@mhangwacharles1156 4 года назад
Polesana mtani wangu
@mahamoudmakotaperfumes8788
@mahamoudmakotaperfumes8788 3 года назад
Mwenyemungu mkubwa inshaallah izo nichangamoto
@origenesmsuya8291
@origenesmsuya8291 4 года назад
Kila jambo linasababu kutokea katika maisha yetu hapa duniani,jambo lamsingi ni kumshukuru mungu umzima,nothing last forever
@johnsinyinza7450
@johnsinyinza7450 Год назад
Acha kutetea udhaifu ni wasiyo julikana
@deogratiusgideon8673
@deogratiusgideon8673 4 года назад
Inasikitisha sana pia inahuzunisha 😢 😭! Pole sana Boss Mo, 1 ❤️
@mariamdaudi2315
@mariamdaudi2315 3 года назад
Pole bos wetu
@fanuelzakaria3956
@fanuelzakaria3956 3 года назад
Dah eti kuna kundi linaitwa wasiojulikana hadi leo hawafaahamiki
@saidahmed9688
@saidahmed9688 2 года назад
pole sana mo dewji
@ibrahimmusa331
@ibrahimmusa331 3 года назад
Pole ndugu moo.. #from +254
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 4 года назад
Pole sana boss Dah hyo lzm ikufanye uwe mchamungu tumejifunza kitu kutoka ktk hili tukio
@muhammadkipangatv2674
@muhammadkipangatv2674 2 года назад
Allah akuhifadhi akuepishe na mabalaa na mitihani
@alexjoseph8704
@alexjoseph8704 4 года назад
Mungu hawezi kushindwa lolote pole kwa yote yaliyokupata
@vascostanleymbisse4477
@vascostanleymbisse4477 4 года назад
Story yenye mguso.. Pole sana Brother kwa masaibu mazito
@rosemarrichard1709
@rosemarrichard1709 4 года назад
VASCO MBISSE mimi
@gipsonmassawe4632
@gipsonmassawe4632 2 года назад
Long life mo dewj
@getmotivated3619
@getmotivated3619 4 года назад
per this interview... the guy seems to be extremely nice... it would be a privilege to work with or even under him... kiufupi ni mtu muzuri!.. God bless him.
@abdallahaji294
@abdallahaji294 4 года назад
Pole mo kwa mitihani Allah atakulipi ixhaallah
@apaelinnko3052
@apaelinnko3052 Год назад
@@abdallahaji294 .kitoi
@venancemwanya4212
@venancemwanya4212 Год назад
@@abdallahaji294 alishalmlipia. Kulikuwa na uongozi wa hovyo sana awamu ile.
@genesikimario
@genesikimario Год назад
@@abdallahaji294 p
@daudjoseph
@daudjoseph Год назад
@@abdallahaji294 Llllllllllllàaàààaàaaaaàaaaaaaààaàaàaaàaalllllllllllàaàààaàaaaaàaaaaaaààaàaàaaàaallllllllllàaàààaàaaaaàaaaaaaààaàaàaaàaalll ll L
@msilaipimilo1928
@msilaipimilo1928 4 года назад
Pole sana brother
@hoseakamchapekaponya3502
@hoseakamchapekaponya3502 2 года назад
Pole Sana mshikaji wetu, ila na ww umezidi woga sanaa
@miriamneemavaagen4632
@miriamneemavaagen4632 3 года назад
Mungu ahimidhiwe kwa kukuokoa
@munamuna7488
@munamuna7488 3 года назад
Allah ataendelea kukulinda daima
@yusuffharoun7562
@yusuffharoun7562 4 года назад
A.ALEYKUM jaman m.mungu mkubwa kweli watanzania tuli muombea sana kwa m.mungu. Allah kareem.
@GeorgeEdward-ty8kn
@GeorgeEdward-ty8kn 4 месяца назад
Asee salim unaojii vzr sanaaa asee ❤❤
@patrickKitambo
@patrickKitambo 4 года назад
media za bongo baada zikave stories kama hizi ziko busy zina cover umbea
@halimasaid4977
@halimasaid4977 4 года назад
Subhanallah naumia kwa kweli Allah asiwasamehe awachome moto wa jahanamu milele
@sifamushi1747
@sifamushi1747 2 года назад
So cool and clam speaking
@waziristeven2676
@waziristeven2676 3 года назад
Pole.sanaa.mtani.wangu.mnyampaa
@cosmasdaud4472
@cosmasdaud4472 2 года назад
Pesa ulitoa ila unaficha ili maisha yaendelee, yakija kutokea ya Manara brother utasema ukweli, lakini kuna namna nyingi za kuishi acheni tuishi
@stewardismailngala2815
@stewardismailngala2815 Год назад
super humble man Allah over everything
@carmelinapalermo1573
@carmelinapalermo1573 3 года назад
Mungu akulinde daima pole Sana dewgi
@johnmnada9767
@johnmnada9767 3 года назад
mungu atatenda makuu
@johnmnada9767
@johnmnada9767 3 года назад
mungu yupp
@mhagachiphilemon710
@mhagachiphilemon710 3 года назад
Pole sana mr. Mo
Далее
Mkasi | S14E03 with Mohammed Dewji Extended version
35:56
МАРИЯ ГОЛУБКИНА О БАБУШКЕ #shorts
00:43
Кто быстрее? (GTARP)
19:19
Просмотров 603 тыс.
Mkasi - S02E03 with Steven Kanumba
26:51
Просмотров 1,3 млн
МАРИЯ ГОЛУБКИНА О БАБУШКЕ #shorts
00:43