Brother Mohamed Dewij you are Man of God 🙏 Mungu azidi kukupigania, una hofu ya Mungu pia una Roho ya upendo ndani Yako.....! Nimejifunza mengi kupitia wewe, let me change my life...! Mungu akubariki 🙏🙏
M.mungu akunusuru haya na mengine.😭😭 baba yangu Humaid Abdullah Humaid mkazi wa Itigi mjini mkoa wa Singida ni marehemu Allah mjaalie makazi mema huko aliko ampe pepo ameen.Alipofariki baada ya week tu walifukua kaburi lake na sijui nini walichofanya Allah ndio anajua zaid😭😭 lkn wakazi wa Singida na Manyoni na Itigi walishirikiana kwa pamoja kwa kumuombea dua marehemu kwa yale alietendewa.Watu wa singida ni watu wema sana.
Mwenyezi Mungu Subhannahu Wata'ala atakulipia leo hapa Duniani na Kesho Akheyra, Aamiin. Namwomba Allah Subhannahu Wata'ala akuepushe na balaa nyinginezo, Aamiin.
Kwa kweli tulikuwa tunakuombea Sana Sana sana hasa Mimi nilikuwa nawaza juu ya mzunguko wa pesa ulivyo Tz halafu watu wanakuja kutupunguzia mabosi wetu. Sisi tunaomba kila siku Mungu Atushushie mabosi wawe wengi kwenye nchi yetu halafu watu wanakuja kuwasumbuasumbua dah!!! Ilinipa tabu Sana lakini tunamshukur Mungu wamekuacha huru mwenyezi Mungu azidi kukulinda siku zote.
Alhamdulillah uko salama. We were so sad when you were kiddnaped. We prayed to Allah for your safety ALHAMDULILLAH. Allah akuhifadhi wewe na sisi sote. Amiin
Ukiangalia Nywele,,, na Sura Yake,,,,, utasema muarabu Au Muhindi,,, Allah kamulindaa kwa Moyo wake Mzurii Ana Roho Nzuri,,, Allah Azidi kumtunza Daima
Glory to God 👏 Binafsi na Mungu yupo na sisi watanzania ni watu wenye amain na upendo huweziona inchi yoyote ila hapa Africa.. Mungu anatupenda sana Watanzania!!
God's plan hyo. Nmegundua Duniani huwezi kukua bila kupitia shida ya kihistoria ili upikwe uive uweze kuishi kwa hofu ya mungu. Mungu anamaksudi na kila uhai na kila kichwa amekipa kipimo chake bro. Pole sana
16:18 - 16:30 Your good deeds will forever follow you, nimejifunza. Let's have good intentions, God will spare our lives, what a humble soul Mo. May God keep you longer.
Enzi za magu na kina makonda si mchezo,unafanyiziwa halafu unasifu mwenyewe,ikizidi huna njia zaidi ya kuwasifu waliokudhalilisha kuwa wamefanya kazi kubwa sana na juhudi
per this interview... the guy seems to be extremely nice... it would be a privilege to work with or even under him... kiufupi ni mtu muzuri!.. God bless him.