Unayesema jezi mbaya kahamie yanga peleka unafiki huko kwa hiyo msemaji ambaye anaionea wivu jezi letu hata hiyo anayesema sanda hata yeye lazima ataingia kwenye sanda
Hakuna cha tulijua wala tulikusudia wala tulijua..Hilo neno sanda amejichanganya na makoro kuanzia wewe mwenyewe limewakalia vibaya hakuna cha promo wala nini hiyo mijezi ni sanda na mtazikwa nazo msimu huu hakuna ubunifu wowote mnatambulisha mijezi kama gulioni😂😂😂
gb 64 wewe ilikua sahihi kutumbuliwa siamini ata hao wanafunzi waliopita kwako kama wanauwezo sahihi akuna maendeleo ya pekee yako duniani hata mataifa makubwa wanajifunza kwa taifa hata dogo vipi nyie simba mnakataa kujifunza kwa wengine na mnakataza wengine wasijifunze kwenu
gb 64 mbumbumbu wewe unavaa mawani umemwiga nani au wewe ndio wa mwanzo acha ushamba uwezi kufanya jambo iwe wengine wasifanye ndio ulitumbuliwa unaakili uliiba cheti
😂watu wa yanga bwana, wamekosa malezi ya maadili katika familiazao. sasa hilitusi aliloandika hapa hajuwi kwamba anatangaza yaliyopo katika familiayake?
Michoro iliyopo kwy jezi,ni jezi ya za yanga ya njano ,hiyo nyekundu juu kidogo ina namba moja,na chini kuna tano ni matokeo ya dabi,jezi nyeupe haina tofauti na msimu uliopita tofauti ni juu ya kifua neno m cola aliekuwa nayo mwaka jana mwaka huu tofauti ni m cola
Aliyebuni neno sanda kwenye jezi ni mpumbavu sana hana akili. Hata kama ni Simba mwenzangu hakutakiwa kuandika neno hilo. Sanda inayojulikana ni vazi la maiti. Sasa inakuwaje jezi zetu ziitwe sanda. Mlirogwa na nani kukosa akili kiasi hicho? Tutazodolewa mpaka tukome.
Sanda ni kifupi Cha kampuni ya sandaland iliyotengeneza jezi sasa huyo anapiga kelele na SANDA wakati umevaa nguo imeandikwa FILA upuuzi unakujaga kwenye jezi ya Simba tu?